Ukweli wa jamii
Abonnez-vous à notre chaîne pour recevoir des mises à jour en permanence.
Mes publications ont obtenu plus de 1 150 réactions la semaine dernière. Merci à tout le monde pour votre soutien ! 🎉
25/06/2026
Avec Tamaduni Afrika News – Je fais désormais partie de ses super fans ! 🎉
19/06/2026
🎉 Facebook recognized me as a consistent post creator this week!
04/06/2026
Siri kipato kwenye mto wa Mulongwe Enjoy the videos and music you love, upload original content, and share it all with friends, family, and the world on YouTube.
27/05/2026
Eid Uvira sheikh mkorea Enjoy the videos and music you love, upload original content, and share it all with friends, family, and the world on YouTube.
16/05/2026
Tamaduni Afrika News 👇👇👇
https://www.facebook.com/share/18iwkwx49G/
26/04/2026
Mpaka wa Kavimvira–Gatumba unaounganisha 👉 na 👉 una historia ndefu inayohusiana na ukoloni, biashara, na mahusiano ya watu wa eneo la maziwa makuu ya Afrika.
Historia ya mwanzo
Kabla ya mipaka ya kisasa:
Wakazi wa maeneo ya Uvira na Bujumbura walikuwa wakivuka kwa urahisi.
Kulikuwa na biashara ya:
👉samaki kutoka Lake Tanganyika
👉chumvi
👉mazao ya kilimo
👉mifugo
Watu wa pande zote mbili walikuwa na uhusiano wa kifamilia na kijamii kabla ya kuwekwa kwa mpaka rasmi.
Kipindi cha ukoloni
Upande wa ulikuwa chini ya utawala wa Belgium k**a Belgian Congo.
pia ilitawaliwa kwanza na Germany, baadaye Belgium.
Wabelgiji waliweka mpaka rasmi kati ya maeneo haya.
Kavimvira na Gatumba zikaanza kuwa sehemu ya kudhibiti watu na bidhaa.
Baada ya uhuru
Baada ya:
Congo kupata uhuru mwaka 1960
Burundi kupata uhuru mwaka 1962
mpaka huu ukawa:
njia muhimu ya biashara
njia ya usafiri wa wananchi
sehemu ya kuingia wakimbizi wakati wa migogoro ya kisiasa katika eneo la maziwa makuu.
Jiunge na page zetu ili kupata historia na habari zenye kuelimisha Asante 🙏
😂😂😂
23/04/2026
Mto (Rusizi) ni mto muhimu sana katika Afrika ya Kati. Unapatikana kati ya nchi za
👉Burundi 🇧🇮
👉Rwanda 🇷🇼
👉DR.Congo 🇨🇩
Mto huu unatoka katika Lake Kivu
Kisha unatiririka kuelekea kusini hadi kuingia kwenye Lake Tanganyika
Una urefu wa takribani kilomita 117
Umuhimu wake:
🔴1.Mpaka wa nchi–sehemu ya mto huu hutenganisha Rwanda, Burundi na Congo.
🔴2.Umeme – kuna mabwawa ya kuzalisha umeme kwenye mto huu yanayosaidia nchi za eneo hilo.
🔴3.Mazingira – mto huu una wanyama k**a viboko na mamba pamoja na samaki mbalimbali.
🔴4.Biashara na maisha – watu wanaoishi karibu nao hutegemea maji yake kwa kilimo na uvuvi.
Kipekee chake:
Mto Ruzizi ni wa kipekee kwa sababu zamani sana maji ya Ziwa Kivu yalikuwa yanaelekea upande wa Mto Nile, lakini mabadiliko ya kijiolojia yalifanya maji yaanze kupitia Ruzizi kwenda Ziwa Tanganyika.
Jiunge na page zetu ili kupata historia na habari kila siku Asante 🙏
Cliquez ici pour réclamer votre Listage Commercial.
Type
Site Web
Adresse
Uvira
30/05/2026