Team kevo

Team kevo

Share

Hope is a good day at a look

30/01/2022

HII NAYO NI AJABU
Nimesoma vizuri habari ya Daudi na mke Wa Uria, nimejifunza kitu kimoja na kimenipa kunifikilisha sana. Daudi alianguka dhambini baada ya kumuona mke Wa Uria akioga.

Sasa mtu akiwa anaoga tu najua kuwa anavua Nguo. Ni huyu huyu mwanamke ambae huenda siku zote anakuwa akimuona na kumfahamu k**a mke Wa Uria na hakuwahi kumtamani. Lakini alipokuwa akioga ndiposa alimtamani.

My point is Dada zangu, wadogo zangu Wa k**e mama zangu kwa nini mnavaa Nguo k**a mko bafuni jamani?????? Mnawaangusha wafalme, mnawarudisha nyuma, mnawakosanisha na kuwafarakanisha na Mungu wao. Unakuta binti kavaa uchi kabisa, ni Sawa tu na mtu alieko bafuni. Hii si Sawa sawa vaa kwa stala utapendeza, utaenda na wakati na bado utavutia. UZURI WA MTU HAUPO KWENYE KUKAA UCHI, UZURI WA MTU UPO NDANI YA MTU. Na k**a unavaa Hivyo ili kupata pesa na uchumi mzuri huo ni kwa muda tu, Sawa pesa utapata mda huo lkn utapoteza
Utu
Heshima
Thamani, kikubwa utakuwa unakaambali zaidi na Mungu akupae nguvu za kupata utajiri, Hivyo utachengana na msimu, utapishana na gari la mshahara.

Sikiliza Rafiki maisha bora yanapatikana kwa Yesu, karibu kwa Yesu utatunza utu wako na utapata Baraka za kutosha.
# # #

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Nairobi?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Soweto
Nairobi
ZOTE