NEY DETOX HERBS

NEY DETOX HERBS

Share

Detoxification herbs

22/08/2025

🌿 EVENING TONIC – Ney Detox Herbs 🌿

“Recharge, relax, and nourish your body naturally.”
🕯️ Chai ya mitishamba kwa jioni – kutuliza mwili, akili na kuujenga tena kwa nguvu mpya.

✅ 100% Natural



🌟 BENEFITS | FAIDA:

✅ Boosts Iron Fluorine levels naturally
➡️ Hujenga na kuongeza madini ya Iron Fluorine kutoka kwenye mimea

✅ Calms your nerves and promotes better sleep
➡️ Hutuliza akili na kusaidia kupata usingizi mzuri

✅ Eases body tension and fatigue
➡️ Huondoa uchovu wa mwili baada ya siku ndefu

✅ Purifies the blood
➡️ Husafisha damu na kusaidia mfumo wa mzunguko wa damu

✅ Strengthens immunity
➡️ Huimarisha kinga ya mwili kwa njia ya asili



🍵 HOW TO PREPARE | JINSI YA KUANDAA

1️⃣ Boil water – Chemsha maji
2️⃣ Add 1 tablespoon of tonic – Weka kijiko 1 cha tonic kwenye kikombe
3️⃣ Steep for 3–5 minutes – Loweka kwa dakika 3 hadi 5
4️⃣ Add natural flavour (e.g. ginger or cinnamon) – Unaweza kuongeza ladha ya asili k**a tangawizi au mdalasini
5️⃣ Strain and enjoy! – Chuja na furahia kikombe chako cha afya 🌿



🌱 INGREDIENTS | VIUNGO VYA ASILI:

Mixed blend of powerful alkaline herbs:
➡️ Sarsaparilla – Huongeza nguvu na kusafisha damu
➡️ Blue Vervain – Hupunguza msongo wa mawazo
➡️ Ashwagandha – Hutuliza na kusaidia ubongo kupumzika
➡️ Wild Basil – Inasaidia mfumo wa upumuaji
➡️ Guaco – Hupunguza uvimbe na kuondoa sumu
➡️ Burdock – Husafisha ini na damu
➡️ Concoza – Hujenga kinga ya mwili na huondoa sumu

16/08/2025

🌸 Red Clover Tea – Dawa Asilia ya Mwanamke wa Kisasa!

Red Clover ni mmea wa asili unaochanua maua ya rangi ya waridi-kijani. Mmea huu umetumika kwa miaka mingi katika tiba mbadala, hasa kwa wanawake. Unapotengeneza chai ya Red Clover, unapata kikombe cha afya kwa mwili, homoni na ngozi yako.

💡 Red Clover ni nini?

Ni mmea wenye isoflavones – aina ya virutubisho vinavyofanana na homoni ya estrogeni ya mwanadamu. Hii ndiyo sababu kubwa inayoufanya kuwa na faida nyingi kwa wanawake.



🌿 Faida Kubwa kwa Wanawake:
1. Kupunguza dalili za menopause: K**a vile jasho la usiku, mabadiliko ya hisia, na kukosa usingizi.
2. Kurekebisha homoni: Inasaidia wanawake waliopo kwenye mzunguko wa hedhi usio sawa au waliokaribia kukoma hedhi.
3. Kupunguza uzito kwa asili: Inaongeza kiwango cha metaboli na kupunguza hamu ya kula kupita kiasi.
4. Kushusha kiwango cha cholesterol: Inasaidia afya ya moyo na mishipa.
5. Kuboreshaji wa ngozi na nywele: Inasaidia ngozi kutozeeka haraka, na huimarisha nywele kutokana na virutubisho vyake.
6. Kuimarisha afya ya mifupa: Husaidia kwa wanawake walioko hatarini kupata osteoporosis baada ya menopause.



🧪 Inajaa Madini Muhimu:
• Calcium – kwa mifupa imara
• Magnesium – kwa utulivu wa neva
• Potassium – kwa mzunguko mzuri wa damu
• Vitamin C & E – kwa kinga ya mwili na ngozi yenye mwangaza
• Phytoestrogens (isoflavones) – kwa usawa wa homoni za wanawake



🫖 Namna ya Kuandaa:

➡️ Chukua kijiko kimoja cha Red Clover
➡️ Mimina ndani ya kikombe chenye maji ya moto
➡️ Funika na acha iivile kwa dakika 3-5
➡️ Unaweza kuongeza mdalasini au asali kwa ladha
Kunywa mara 1 hadi 2 kwa siku



📌 Unashauriwa kutumia kwa mzunguko wa wiki 3 kisha upumzike wiki 1.
🙅🏽‍♀️ Haitakiwi kwa mama mjamzito au wenye matatizo ya homoni k**a fibroids bila ushauri wa kitaalamu.



✅ Inapatikana sasa

25/07/2025

Stevia

19/07/2025

*NEY_DETOX NATURAL ALKALINE HERBS*🍃🌿(dr.sebi recomended)

1:CHAMOMILE 30,000@250g
2:HIMALAYAN SALT 20,000@ 500g
3:SEAMOSS 35,000@500g
4: YELLOW DOCK 50,000@250g
5:NETTLE LEAF 30,000@gm250g
6:BLADDERWRACK 50,000
7:SARSAPARILLA 150,000@250g
8:SENNA 30,000 (yakuharisha)
9:DANDELION 40,000@250g
10:RED CLOVER 50,000@250g
11:MILK THISTLE 40,000@250g
12:ASWAGATHA 25,000@250g
13:BLUE VERVAIN:25,000@250g
14: BURDOCK 50,000@250g
15;KALAWALLA 60,000
16:TONIC IRON FLUORINE: ASUBUHI 250g=110,000/=
JIONI 250g=150,000/=

▶️MARY POSTA/KARIAKOO 0753331936
▶️NEYRA 0764562431 DAR/MWENGE
▶️MARRY 0787890609 kigamboni/dar
▶️PRICILA DODOMA 0657220528
▶️STELLA 078 44 8 6 882 MWANZA
▶️JACKY 0745760250 ARUSHA
▶️JAQULINE 0792313825 AIRPORT DAR
▶️NEYRA DAR/GOBA 0716450663
▶️BITE 0757355320 ARUSHA
▶️DREAM 0764340749 KILIMANJARO
▶️MANKA 0678065681 MOROGORO
▶️THEDIA 0753657533 KAHAMA
▶️Imelda 0744 645 402 MOMBO
▶️Scola 0620 405274 BABATI
▶️TUPELIGWE 0767050804 MBEYA
▶️PELE 0693387491 TABORA

19/07/2025
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Nairobi?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Langata/karen
Nairobi

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00