Zai Health And Beauty
Tunawasaidia wanawake kuondokana na changa moto za fangasi miwasho isiyoisha vidonda sehemu za siri na U. T. I. Sugu
Asalaam aleykum
Habari zenu jamani
Kwa jina Naitwa Zainab
Tutakuwa pamoja katika kutatua changamoto za afya zetu
Fangasi kwa Wanawake.
Leo tutazungumzia ugonjwa huu wa fangasi kwa wanawake ambao umekuwa changamoto kubwa katika jamii yetu maambukizi ya Fangasi sehemu za siri imekuwa tatizo kubwa sana duniani.
UKE Ni kifungo cha uzazi kwa mwanamke ambamo ndani mwake kuna Bacteria na Fangasi wazuri ambao wako katika kiwango kinacholingana
Bacteria na fangasi husaidia sana kulinda UKE na maradhi mbalimbali Endapo uwiano wake hauto bughuziwa bacteria hutia acid hambayo huzuia Fangasi kuku wa au kuwa wengi zaidi.
Ugonjwa wa fangasi Ukeni ni ugonjwa anaoupata mwanamke Endapo fangasi watakuwa wengi zaidi ya Bacteria wazuri waliopo Ukeni.
FANGASI Ukeni mara nyingi husababishwa na fangasi waitwao CANDIDA lakini wakati mwingine ni aina nyingine ya Fangasi na hizi ni vigumu sana kutibika.
Vitu vinavyo sababisha ugonjwa wa fangasi.
Kuna sababu nyingi sana baadhi ni hizi.
1. Matatizo ya homoni homoni kubadilika kuwa nyingi sana au kushuka sana hii inaweza kusababishwa na ukomo wa hedhi ujauzito kuwa katika siku za hedhi na ma matumizi ya dawa za kuongeza homoni.
2. Matumizi ya antibiotics hizi huuwa Bacteria wazuri.
3. Kufanya mapenzi na mtu aliye na ugonjwa wa fangasi sehemu za siri bila kinga
4. Kushuka kwa kinga ya mwili hii inaweza kusababishwa na mamangonjwa mbalimbali k**a kisukari ukimwi upungufu wa madini vitamini na virutubisho mbalimbali mwilini
5. Ulaji mbaya haşa kupenda vyakula vya sukari kwa wingi (sukari ni chakula kwa fangasi hivyo huongezeka kwa wingi) ili utibie fangasi sungu hiki kipengele ni muhimu saba kukizingatia kwani mlo wako ndio umekuletea matatizo yote mengine ni viongezeo tu kwani ukila mlo mzuri maradhi yote yanayo sababisha upate fangasi hayato kuwepo k**a vile kisukari uzito mkubwa upungufu wa homoni na kwa wale wenye ukimwi atajenga kinga yake vizuri kwa kutumia vyakula na dawa na maradhi mengine yatamuepuka tiba muhimu ni sahani
09/03/2022
(DARASA WHATSAPP) NAMNA YA KUONDOKANA NA TATIZO LA FANGASI SUGU.
K**a wewe umekuwa ukihangaika kwa mda mrefu ukitafuta suluhisho la tatizo la Fangasi sugu bila mafanikio basi nisikilize na Fatilia hii makala kwa makini Wenda makala hii ikawa makala mhimu kuwahi kukutana nayo mwaka huu.
Nasema Hivyo kwasababu ni miaka mda mrefu sasa nimekuwa nikiwasaidia watu wengi Sana kuondokana na tatizo la Fangasi sugu kwa kutumia bidhaa asili kabsa zisizo na kemikali
ya Aina yoyote.
Nimekuandalia DARASA WHATSAPP ambalo litaenda kukufundisha hatua kwa hatua utatuzi wa changamoto yako na ndani ya Darasa Hilo utajifunza yafuatayo;
1. Mfumo mzuri wa maisha unaotakiwa kuishi ili kuepuka vyanzo vya tatizo hili.
2. Vyakula rafiki na vitakavyokusaidia kuondokana na changamoto hii.
3. Bidhaa asili ambazo hazina kemikali kabsa zitakazokusaidia kuondokana na changamoto hii kwa mda mfupi sana.
Ili kuhudhuria darasa hili tafadharii bofya link hapa chini 👇kuingia moja kwa moja.
https://chat.whatsapp.com/DQqAEvPbXTH0Oj3hxIyshF
Au Tuma neno "DARASA" Kwenda WhatsApp namba +96895976828.
Tafadhali chukua hatua sasahivi maana tangazo hili halitakuwa hewani mda baadae.
Nimimi mwenye kujali afya yako,
Zainab Is-haq
Health and Beauty.
Tunawasaidia wanawake kuondokana na changa moto za kiafya
Kwa kutumia bidhaa zilizo sibitishwa na ma shirika ya afya Duniani bila bila kusababisha madhara yoyote kwenye mifumo mingine ya mwili
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Al Amarat
MUSCAT