Thamani Afya yako
your health is your wearth
25/11/2021
KARIBU TUKUHUDUMIE 0743689485
Bila shaka umesha msikia ndugu yako, rafiki au mtu wako wa karibu wakilalamika kuuma kwa MAUNGIO k**a (Knee Joint), , (Shoulder Joint) NA . Wako pia wanaolalamika maumivu ya maungio ya (Ankle Joint)
Inasemekana kwamba kuna zaidi ya watu bilioni nne duniani wana sumbuliwa na matatizo ya viungo( MAUNGIO)
Ambapo wanawake ni 18% na wanaume ni 9.6%
Kawaida katika MAUNGIO huwa kuna ute ute uitwao synonvio fluid ambao kazi YAKE ni kulainisha MAUNGIO pia kuna kitu k**a sponji kiitwacho catilage (gegedu) ambayo Kazi YAKE ni kufanya mfupa na mfupa visisagane hivyo sponji hii na ute ute juu ndio vinavyofanya MAUNGIO yawe salaam salimini
TATIZO hili kitaalamu huitwa OSTEOARTHRITIS(OA) hutokea pale ambapo gegedu(cartilage) kuanza kulika pole pole na kusababisha mifupa ya kwenye MAUNGIO kusagana hii husababisha maumivu
•Umri
•Uzito
•Kuumia Kwa Kupata ajali
•Kurithi (genesis)
•Wafanya mazoezi/wana michezo. .
Endapo usipotibu tatizo hili kuna uwezekano mkubwa wa kufanyiwa upasuaji na kuwekewa (gegedu) za bandia ambapo kimsingi ni gharama kubwa sana
Kwa kupitia bidhaa zetu, utapona kabisa na kurejea katika hali yako ya kawaida na afya yqko itaimarika.
Bidhaa zetu ni za asili nq huongeza ute ute kwenye maungia na kuziponya cartilage(sponji zinazozuia mifupa kusagana) na Huondoa maumivu ya maungio kabisaaaa
-Huongeza GLUCOSE AMINE ambayo huunda upya cartilage(sponji zinazolinda mifupa isisagane
-Huongeza CHRONDROITIN ambayo hutumika kutengeneza ute ute kati ya maungio
-Huondoa kabisaa maumivu ya maungio yaliyokithiri can
-Ni nzuri sana kwa MTU mwenye TATIZO LA ATHRITIS
-Huwakuta sana watu wanaofanya mazoezi.
Tunaithamini na kuijali afya yako mwana tunaamini ndilo tumaini lako katika kutimiza malengo yako.
12/08/2021
UJUE UGONJWA WA BAWASIRI 👇0743689485
Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.
A.NINI KINASABABISHA BAWASIRI ?
Miongoni mwa visababishi vya bawasir ni;👇👇
-Tatizo sugu la kuharisha
-Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
-Uzito kupita kiasi(OBERSITY)
-Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL S*X)
-Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.
B.DALILI ZA BAWASIRI
-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia
-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
-Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
-Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
C.ATHARI ZA BAWASIRI
-Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
-Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua.
-Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
-Kupelekea Saratani ya utumbo mpana
-Kuathirika kisaikolojia
-Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
-Kupungukiwa nguvu za kiume.
Karibu Tukuhudumie.....
kwa msaada zaidi wasiliana nasi
Call/WhatsApp +255743689485
Tutakuhudumia wewe na Huduma zetu zinakufikia popote
🤝🤝
12/08/2021
HABARI ZA LEO WAPENDWA ✋
Leo nimeona ni VYEMA nikushirikishe kuhusu CHANGAMOTO inayohusu UGONJWA wa *KIHARUSI ( STROKE ).*
♦STROKE au KIHARUSI ni CHANGAMOTO inayotokea GHAFLA kwenye UBONGO ambapo MTIRIRIKO wa DAMU kwenye ENEO fulani la UBONGO husitishwa GHAFLA au KUPUNGUA sana hivyo kusababisha eneo hilo kuanza KUFA.
♦Hili linaweza KUTOKEA pale MISHIPA ya DAMU ya kuelekea kwenye ENEO hilo KUPASUKA.
SELI za UBONGO za ENEO hilo zikianza KUFA kwa kukosa DAMU, shughuli ZOTE zinazoendeshwa na ENEO hilo la UBONGO husimama kwa mfano KUMBUKUMBU au MISULI.
♦KIHARUSI ni UGONJWA wa DHARURA ivyo TIBA inatakiwa ipatikane MAPEMA.
KIHARUSI huweza kumpata MTU yeyote, wakati wowote.
*AINA ZA KIHARUSI ( STROKE )*
♦Kuna AINA kuu TATU za STROKE, nazo ni:-
1.ISCHEMIC
2.HEMORRIHAGIC
3.TIA
♦KUNDI la WATU lililo kwenye HATARI kubwa ZAIDI ya kupata UGONJWA huu ni lile la WATU wenye MIILI MIKUBWA ( WANENE ),wenye UMRI zaidi ya MIAKA 55,wenye HISTORIA ya UGONJWA huu kwenye FAMILIA zao,wasiofanya MAZOEZI, wanaokunywa sana POMBE au kutumia MADAWA haramu.
*KIHARUSI HUSABABISHWA NA NINI?*
♦AINA zote TATU za KIHARUSI hapo juu zinasababishwa na VITU tofauti.
*ISCHEMIC STROKES:-*
♦Hii ndio AINA ya STROKE inayowaathiri WATU wengi zaidi.
ASILIMIA 85% ya WAGONJWA wa STROKE hupatwa na AINA hii ya KIHARUSI. AINA hii ya KIHARUSI husababishwa na KUZIBA kwa ARTERI *( mishipa ya kusafirisha damu safi )* zinazoelekea kwenye UBONGO au KUSINYAA kwa MISHIPA hiyo,ivyo kusababisha hali inayoitwa ISCHEMIA ( upungufu mkubwa wa mtiririko wa damu ).
KUZIBA kwa MISHIPA ya DAMU hutokea BAADA ya DAMU kuganda NDANI ya ARTERI zinazoelekea kwenye UBONGO au katika MAENEO ya mbali zaidi na KUSUKUMWA kwenye MISHIPA yenye KIPENYO KIDOGO ndani ya UBONGO.
MISHIPA hii inaweza KUZIBWA pia na MAFUTA yaliyoganda NDANI ya ARTERI ( Plaque ).
*HEMORRHAGIC STROKES:-*
♦Hii husababishwa na ARTERI ndani ya UBONGO kuvuja DAMU au KUPASUKA.
DAMU hii iliyovuja huleta MGANDAMIZO kwenye SELI za UBONGO na KUZIHARIBU.Kupasuka kwa MISHIPA ya DAMU husababishwa na HYPERTENSION, TRAUMA au DAWA zinazofanya MISHIPA hii ya DAMU kupungua UNENE wake.
*TRANSIENT ISCHEMIC ATTACK ( TIA):-*
♦Hii ni TOFAUTI na AINA hizo MBILI za STROKE hapo juu kwani hapa MTIRIRIKO wa DAMU kuelekea kwenye UBONGO huvurugwa kwa MUDA MFUPI kwa sababu zile TULIZOZITAJA hapo JUU tulipozungumzia ischemic strokes.
STROKE ya AINA hii ni ISHARA ya KUTOKEA STROKES nyingine BAADAE k**a HATUA zinazostahili hazitachukuliwa.
*DALILI ZA KIHARUSI ( STROKE ).*
UGONJWA wa KIHARUSI humpata MTU ghafla na DALILI hutokea kwa MUDA mfupi sana.DALILI kuu za UGONJWA huu ni:-
1.Kuchanganyikiwa( Mtu kupata shida ya kuongea na kuelewa anachoambiwa.
2.MAUMIVU ya KICHWA yanakwenda pamoja na kupoteza FAHAMU kwa vipindi na KUTAPIKA.
3.GANZI katika VIUNGO vya USO, MKONO na MGUU na hasa VIKIWA vya UPANDE mmoja wa MWILI.
4.Kupata SHIDA ya KUONA kwa JICHO moja au yote.
5.Kupata SHIDA ya KUTEMBEA vikichanganyika na KIZUNGUZUNGU na kukosa mpangilio wa MATENDO ya MWILI.
*ATHARI za KIHARUSI* zinaweza kuwa ni za MUDA mrefu. Kulingana na MUDA uliopita KABLA ya KUUGUNDUA na KUUTIBU Ugonjwa huu.MTU anaweza kupata ULEMAVU wa MUDA mfupi au wa KUDUMU.
Pamoja na MADHARA ya STROKE anaweza pia KUPATA yafuatayo :-
📍MSONGO wa MAWAZO
📍MAUMIVU kwenye MIKONO na MIGUU yanayoongezeka BAADA ya VIUNGO ivyo kufanya KAZI au kutokea MABADILIKO ya HALI ya HEWA.
📍KUPOOZA au UDHAIFU wa UPANDE MMOJA wa MWILI.
📍Kupata SHIDA katika kufanya MATENDO ya kuonyesha HISIA za MWILI.
📍Kushindwa KUMUDU matumizi ya KIBOFU cha MKOJO au VIUNGO vya NJIA ya HAJA KUBWA.
*TIBA:-*
♦KUPITIA UTENDAJI MZURI WA BIDHAA ZETU tunaweza kumsaidia MGONJWA wa KIHARUSI kurudi katika HALI ya KAWAIDA na KUMFANYA aendelee kufurahia MAISHA k**a WATU wengine.
*ILI KUJILINDA NA CHANGAMOTO HII NASHAURI YAFUATAYO.*
⏩1.Kutotumia MADAWA ya Kulevya.
⏩2.Kula CHAKULA chenye MBOGAMBOGA na MATUNDA kwa WINGI na chenye CHOLESTOREL kidogo.
⏩3.Kufanya MAZOEZI kila wakati.
⏩4.Kuhakikisha unadhibiti BLOOD PRESSURE.
⏩5.Kuhakikisha unadhibiti KIWANGO cha SUKARI mwilini.
⏩6.Kuwa na UZITO unaofaa kulingana na UMBILE lako.
⏩7.Kunywa POMBE kwa kiasi au KUACHA kabisa.
⏩8. Kuacha KUVUTA SIGARA.
♦Karibu nikusaidie upate ushauri zaidi Pamoja na tiba stahiki Piga or Whatsp 0743689485
07/08/2021
MATATIZO YA HEDHI YANAYOSABABISHA UGUMBA KWA MWANAMKE.
Ugumba kwa mwanamke ni hali ya mwanamke kushindwa kubeba ujauzito wakati huo akishiriki tendo la ndoa na mwenzi wake ambaye ana afya bora ya uzazi kwa zaidi ya mwaka mzima. Ugumba una vyanzo vingi leo tutaangalia matatizo ya hedhi ambayo mwanamke akiyaona ni vema akachukua hatua mapema ili aepukane na tatizo la ugumba.
Baadhi ya matatizo ya hedhi yanayoweza kusabaisha mwanamke akashindwa kubeba ujauzito:
➢ Kutopata hedhi, kwa kawaida kila mwezi mwanamke huingia katika siku zake za hedhi, ikitokea mwanamke anaona siku zinakwenda na haoni siku zake na hana ujauzito ni vema akachuka hatua za haraka ili ajue sababu za kukosa hedhi mapema.
➢ Hedhi kuvurugika, kila mwanamke anatakiwa kuwa na mzunguko maalum wa siku zake ambapo kwa kawaida huanzia siku 21 mpaka siku 35 japo wanawake wengi huwa na mzunguko wa siku 28. Ikitokea mwanamke anakaa miezi miwili ndio anaona hedhi au kila baada ya wiiki anaona hedhi si dalili njema kwa afya ya uzazi.
➢ Hedhi kutoka kidogo sana, kuna baadhi ya wanawake huona damu ya hedhi matone machache tu na inatoka chini ya siku tatu. Wengi huona k**a wanaepukana na usumbufu wa kubadili pedi hivyo huchukulia ni hali ya kawaida. Hii pia si dalili njema.
➢ Hedhi nyingi sana, mwanamke ambaye anatokwa na damu nyingi sana wakati wa hedhi kiasi ambacho anabadili pedi zaidi ya tatu kwa siku na inatoka kwa muda mrefu zaidi ya siku saba hii nayo si dalili njema.
➢ Maumivu makali wakati wa hedhi, kuna baadhi ya wanawake hupata maumivu makali kiasi cha kulazwa na kushindwa kuendelea na majukumu yao ya kila siku, hali hiyo ni kiashiria cha matatizo katika mfumo wa uzazi.
HEALTH AWARENESS tuna TIBA ASILIA Nzuri sana ya kukusaidia na kuboresha mfumo wa hedhi ni TIBA zinazotokana na mitishamba, mimea tiba na matunda pia Utapata ushauri wa kitaalamu.
Tupigie/SMS/ whatsapp kupitia namba 0743689485
06/08/2021
Usiulize Ni dawa gani nitumie ili nishike Ujauzito maana hakuna dawa inayosababisha Ujauzito Bali tuna Tiba ya Magonjwa mbalimbali ambayo yanazuia usishike Ujauzito mfano, Uvimbe,mirija Kuziba,Mvurugiko wa hormones, Uzalishaji na upevushaji wa Mayai ya uzazi nk.
Wahi kutibu Tatizo Lako kabla halijawa sugu ili lisikusumbue zaidi.
ya uzazi kwa kina Mama 0743689485
03/08/2021
UGONJWA WA HOMA YA INI
HOMA YA INI ni UGONJWA unaoambukizwa kwa njia ya VIRUSI ambavyo vikishaingia MWILINI hushambulia INI kabla ya kugeuka kuwa MARADHI SUGU.VIRUSI ivyo vinaitwa HBV - HEPATITIS B VIRUSES.
VIRUSI hivi husambazwa kwa njia ya DAMU au MAJIMAJI mengine ya MWILINI mfano MATE au JASHO.
UGONJWA huu k**a haujatibiwa hutengeneza UVIMBE katika INI na kusababisha KANSA ya INI na baadaye KIFO.
JINSI UNAVYOAMBUKIZWA.
Katika maeneo hatari zaidi DUNIANI,virusi vya HEPATITIS B ( HBV ) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa MAMA kwenda kwa MTOTO wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa MTU mmoja hadi mwingine hususani nyakati za UTOTONI.
K**a ilivyo kwa UKIMWI virusi vya HOMA ya INI navyo huambukizwa kwa njia ya KUJAMIIANA ,MATE,JASHO, na mwingiliano wowote wa DAMU.
NJIA KUU ZA MAAMBUKIZI :-
- Kujamiiana bila kinga.
- Kunyonyana NDIMI ( Denda )
- MAMA mwenye Ugonjwa kumwambikiza MTOTO wakati wa kujifungua.
- Kuchangia DAMU isiyo salama.
- Kuchangia vitu vya ncha kali k**a SINDANO ,WEMBE n.k
- Kuchangia MISWAKI .
- Kuchangia TAULO na mwenye Ugonjwa huo.
- Kubadilishana nguo au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja JASHO .
Tafiti zinaonesha kuwa VIRUSI hivi ni HATARI kuliko hata vya UKIMWI kwa sababu vinaweza kuishi NJE ya MWILI wa BINADAMU ( yaani nje ya mfumo wa damu ) kwa siku SABA.
VIRUSI vya UKIMWI ( VVU ) havina UWEZO wa kuishi NJE ya mfumo wa DAMU hata kwa DAKIKA moja.
Kutokana na USUGU wa HBV maana yake ni kwamba k**a kirusi kipo kwenye NGOZI,kitaendelea kuwa HAI kwa siku SABA na katika kipindi hicho MTU anaweza kuambukizwa kwa njia ya DAMU au JASHO. Kwa wastani kirusi cha HBV kikishaingia MWILINI hupevuka ndani ya SIKU 75.Hata hivyo upo uwezekano wa kupevuka kati ya SIKU 30 hadi SIKU 180.Ndani ya SIKU 30 mpaka SIKU 60, MTU mwenye HBV anaweza kugundulika ikiwa atapimwa.
MTU mwenye HOMA ya INI ana wastani mdogo wa KUISHI kuliko mwenye UKIMWI.
DALILI ZA UGONJWA HUU.
WATU wengi hawaonyeshi DALILI yoyote.
Kwa maana hiyo MTU anaweza kuishi na HBV na kusababisha MAAMBUKIZI kwa WENGINE bila kugundulika.
Hata hivyo WATU wengine husumbuliwa na HOMA KALI na DALILI ambazo hudumu kwa wiki kadhaa. DALILI hizo ni:-
- Uchovu
- Kichefuchefu
- Mwili kuwa dhaifu
- Homa kali
- Kupoteza hamu ya kula
- Kupungua uzito
- Maumivu makali ya tumbo upande wa INI.
- Macho na ngozi kuwa ya njano.
- Mkojo mweusi.
Kwa WAGONJWA wengine, VIRUSI vya HEPATITIS B hukua hadi kusababisha INI kuharibika kabisa ( Cirrhosis of the liver ) au SARATANI ya INI ( liver cancer ).
KINGA.
- Chanjo
- Kutumia kinga wakati wa Kujamiiana.
- Kuacha Kuchangia vitu vya ncha kali.
- Kutochangia miswaki.
- Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu.
- Kutochangia damu isiyo salama.
Kwa maelekezo zaidi na kupata tibalishe/virutubisho vya kukutibu
Call/whatsapp
📱0743689485 au njoo Whatsapp kupitia link apo Chin https://wa.me/message/GGZCT5ISXD6DK1
05/07/2021
FAHAMU KUHUSU HEDHI 0743689485
Kila Mwanamke anatakiwa kupata bleed/hedhi Mara moja kila mwezi, isipokuwa tu akiwa Mjamzito au ananyonyesha miezi kadhaa ya mwanzo.
Wengine wasipoona siku zao miezi Kadhaa wanachukulia poa wanafurah kuondokana na usumbufu wa kubadir ped🤨 kumbe huenda wanajilundikia magonjwa ya hatari.
____Tibiwa mapema ili tatizo lisizid kuwa Kubwa zaidi.____
_____________________
❗*je Unakosa hedhi kwa miezi/miaka Kadhaa?
❗*Je unapata hedhi muda Mrefu bila kukata?
❗*je unapata hedhi mabonge K**a vipande Vya maini?
❗*Je unapata hedhi ya matone matone?
❗*Je unapata hedhi yenye Maumivu makali ya tumbo?
❗*Je unapata hedhi isiyo na mpangilio yaan siku hazieleweki?
Tuamini *Health Awareness* tukuhudumie
🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Piga simu no 0743689485 au njoo Moja kwa moja Whatsp kupitia link apo Chin https://wa.me/message/GGZCT5ISXD6DK1
13/06/2021
Mwanamke anaweza kubeba mimba kwa urahisi sana Endapo ana sifa Zifuatazo :.
👣Mayai yanakomaa na kupevuka vizuri
👣Mirija ya uzazi haikuvimba wala kuziba au kuwa na kakovu
👣mji wa mimba au uterus ipo safi na hauna Vivimbe
👣Kizazi hakina uambukizo wa aina yoyote, fangasi, UTI,(Urinary Track Infection), PID - (Pelvic Inflammatory Disease )
👣Homoni zake zimebalance vizuri
👣UTE wa Uzazi /OVULATION uwepo katika siku za hatari.
✏Uwezo wa kupata sifa hizo na kukufanya ubebe mimba upo.K**a unamfaham mtu mwenye changamoto hii Usisite kuwasiliana nasi;.
Piga/Sms au WhatsApp
📱0 743689485
link hapa kuja Moja kwa moja WhatsApp:
https://wa.me/message/GGZCT5ISXD6DK1
19/05/2021
YA UZAZI KWA KINA MAMA
Wanawawake wanakabiliwa na magonjwa k**a:
⏩Harufu mbaya ukeni
⏩U.T.I sugu ambayo hujirudia mara Kwa mara hata baada ya kutumia dawa
⏩Fangasi
⏩Kuwashwa ukeni na kutokewa na madonda/naitwa sehemu ya siri
⏩Miirija ya uzazi kujaa maji
⏩Kizazi kulegea/kushuka
⏩Maumivu wakati wa tendo la ndoa
⏩Kutokwa na uchafu ukeni na mengine mengi...
*Hii ni kwa sababu wanawake_hupitia vipindi_vitano vya kimaumbile*
Vipindi hivyo ni;
🔻Kuvunja ungo
🔻Tendo la ndoa
🔻Ujauzito
🔻Uzazi na
🔻Kukoma hedhi
Katika vipindi vyote hivi vitano k**a hutakuwa makini na usafi wa uke wako lazima magonjwa hayo yatakushambua.
tunayo tiba mbadala ya kuweza kutatua matatizo hayo ambayo itapambana na hali ya;
👉kuwashwa uke,
👉uke kutoa harufu
👉UTI sugu,
👉Fangasi sugu,
👉kuta za uke kulegea,
👉mirija ya uzazi kuziba,
👉harufu mbaya inayotoka ukeni
👉maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉 Vimbe kwenye kizazi au kwenye mayai
👉 Hormone imbalance nk
kupata HUDUMA zetu piga/WhatsApp
📲0 743689485 au njoo Whatsapp kupitia link apo Chin https://wa.me/message/GGZCT5ISXD6DK1
18/05/2021
🙌🙌🙌🤸🤸🤸Woooow Hongera sana, kwa KUPONA kwenye kizazi hatimae Kushika 🤰🤰🤰🤰🤰 . Furaha yako imerejea,Ni faraja kwetu pia tuliokuhudumia.🙏🙏🙏🙏🙏
Asante Sana kwa Kuniamini.🙏🙏🙏
Baadhi Ya Vyanzo vya Kutoshika MIMBA,
❗Mirija Ya Uzazi kuziba
❗Uvimbe kwenye mfuko wa kizazi(Fibroids)
❗Uvimbe kwenye Mayai ya Uzazi(Ovarian cyst)
❗Makovu kwenye mfuko wa kizazi
❗ Maambukizi ktk via vya Uzazi (P.I.D)
❗ Mvurugiko wa hormones Mwilini
❗Kutokomaa kwa Mayai ya Uzazi.
N.k
K**a unachangamoto yoyote ya UZAZI karibu (Matatizo ya Uzazi kwa Mwanamke) uhudumiwe.
👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
WENGI WALIOTUAMINI WAMEPONA.
_ya uzazi kwa Mwanamke
WhatsApp/Sms/Call
📱0 743689485 au njoo Whatsapp kupitia link apo Chin https://wa.me/message/GGZCT5ISXD6DK1
15/05/2021
VITU VINAVYOSABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA🤰🏾 NI👇🏽____________________
🪄1.Kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni (Hormonal Imbalance).
🪄2.Ovaries kushindwa kutoa mayai.
🪄3.Kuziba kwa mirija ya uzazi.
🪄4.Mirija ya uzazi kujaa maji.
🪄5.Uvimbe katika kizazi (uterine fibroid).
🪄6. Magonjwa k**a vile PID, kisonono kisukari nk.
🪄7.Kuwa na msongo wa mawazo.
🪄8.Utoaji wa mimba (Abortion).
🪄9.kuwa na uzito kupita kiasi (over-weight).
🪄10.Matumizi ya pombe, bangi, sigara, ulevi kupindukia.
🪄11.Matumizi ya madawa.
🪄12.Endometriosis:-Hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa uzazi huanza kuota nje ya fuko hilo au hata sehemu nyingine.
_________________
Kwa Maelezo Zaidi
Wasiliana nasi kupitia nambari ;
📱☎️0743689485/0624129036
Pia unaweza nifata Whatsp Moja kwa moja kupitia link apo Chin https://wa.me/message/GGZCT5ISXD6DK1
10/05/2021
*🅾️⭕ MATATIZO YA HEDHI YANAYO SABABISHA UGUMBA KWA MWANAMKE ⭕🔘*
0743689485
___________________
🪄➡️ Ugumba kwa mwanamke ni hali ya mwanamke kushindwa kubeba ujauzito wakati huo akishiriki tendo la ndoa na mwenzi wake ambaye ana afya bora ya uzazi kwa zaidi ya mwaka mzima. 🪄
*❇️‼️ Ugumba una vyanzo vingi leo tutaangalia matatizo ya hedhi ambayo mwanamke akiyaona ni vema akachukua hatua mapema ili aepukane na tatizo la ugumba.*
➡️ Baadhi ya matatizo ya hedhi yanayoweza kusabaisha mwanamke akashindwa kubeba ujauzito:
*➢ 〽️Kutopata hedhi,* kwa kawaida kila mwezi mwanamke huingia katika siku zake za hedhi, ikitokea mwanamke anaona siku zinakwenda na haoni siku zake na hana ujauzito ni vema akachuka hatua za haraka ili ajue sababu za kukosa hedhi mapema.
*➢ 〽️Hedhi kuvurugika,* kila mwanamke anatakiwa kuwa na mzunguko maalum wa siku zake ambapo kwa kawaida huanzia siku 21 mpaka siku 35 japo wanawake wengi huwa na mzunguko wa siku 28.
🔈Ikitokea mwanamke anakaa miezi miwili ndio anaona hedhi au kila baada ya wiiki anaona hedhi si dalili njema kwa afya ya uzazi.
*➢〽️ Hedhi kutoka kidogo sana,* kuna baadhi ya wanawake huona damu ya hedhi matone machache tu na inatoka chini ya siku tatu. Wengi huona k**a wanaepukana na usumbufu wa kubadili pedi hivyo huchukulia ni hali ya kawaida. Hii pia si dalili njema.
*➢ 〽️Hedhi nyingi sana,* mwanamke ambaye anatokwa na damu nyingi sana wakati wa hedhi kiasi ambacho anabadili pedi zaidi ya tatu kwa siku na inatoka kwa muda mrefu zaidi ya siku saba hii nayo si dalili njema.
*➢ 〽️Maumivu makali wakati wa hedhi,* kuna baadhi ya wanawake hupata maumivu makali kiasi cha kulazwa na kushindwa kuendelea na majukumu yao ya kila siku, hali hiyo ni kiashiria cha matatizo katika mfumo wa uzazi.
*JE,UNA DALILI ZOZOTE KATI YA HIZI HAPO JUU?🤔🤔*
🌹Inawezekana Ukawa Una Changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya na umehangaika kutafuta suluhisho la kudumu.
Usikate Tamaa, Karibu HEALTH AWARENESS kwa Ushauri na Tiba Asilia.
*Health Awareness*
📱0 743689485 au Txt Whatsp kupitia link apo Chin
https://wa.me/message/GGZCT5ISXD6DK1
_Usisahau kumshirikisha na mwingine K**a unamjali._
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Arusha
147