Ijenge Afya Yako
Tunatoa Elimu juu ya Afya na ushauri kwa matatizo yasio kuwa na maambukizi k**a bawasiri,baridi yabisi,uti sugu nm, sukari nk kwa kutumia tiba lishe
••NIDHAA INAYO ZUIA UZEEE
**Bidhaa Hii Huzuia na kuondosha maradhi yote Yatokanayo na UZEE
>Hukuzuia UZEE Utokanao na Ngozi kuharibiwa na MIONZI ya jua
>Huzuia Uzee utokanao na Kuugua Maradhi mbali mbali Mara Kwa mara
> Huzuia Maradhi yote ya NGOZI k**a Chunusi,Upele,Harara,MBA,Mapunye
>Nzuri Kwa Waliofanyiwa VIPIMO au TIBA ZA MIONZI
>Huzuia UZEE kutokana na matumizi ya MADAWA mbalimbali na kuondosha SUMU mwilini kutokana na chemical za MADAWA na VYAKULA
> Huongeza MNG’AO ASILI WA NGOZI YAKO
>Huzuia MIWASHO na MCHAFUKO WA DAMU
>Huongeza mnyumbuliko wa Ngozi (Skin Elasticity)
>Huzuia Makunyanzi usoni
>Huondoa MAKOVU na MABAKA mwilini
>Nzuri Kwa WALIO UNGUA NA VIPODOZI, kuharibika Ngozi
>Huzuia PUMU YA NGOZI, ALERGY (Mzio) Aina zote
>Huzuia na kuondosha VITILIGO( kubabuka kwa Ngozi na kuwa na RANGI ISIYO ya kawaida
>Huchochea utendaji kazi wa bacteria 🦠 ASILIA wanaotunza na kulinda Ngozi yako
>Huimarisha UBONGO,Nzuri sana kwa wanaopoteza KUMBUKUMBU
>Husaidia MISHIPA YA DAMU kutanuka na kusinya vizuri (Elasticity of blood 🩸 vessels)
>Husaidia utendaji kazi wa INI,FIGO,KONGOSHO
>Huondosha OCHOVU na Kuupa Mwili Nguvu
>Huamsha HAMU ya kushiriki Tendo la Ndoa na kuzuia maumivu kwa wanawake wanaposhiriki tendo la ndoa
>Husaidia KUONA VIZURI
>Huimarisha mfumo wa MAWASILIANO na UMEME MWILINI(Nerve system)
>Huzuia STOKE,SHINIKIZO LA DAMU na KISUKARI
**HUZUIA kukua na kuenea kwa SELI za SARATANI/Cancer
** HUWASAIDIA SANA WANAWAKE WALIOFIKIA UKOMO WA HEDHI(menopause) Huwafanya wasipatwe na CHANGAMOTO za kukoma kwa HEDHI
*
*
*
Kwa mawasiliano zaidi simu namba
0742604392
09/07/2022
*UGONJWA WA PID* (Pelvic Inflammatory Disease)
au Maambukizi Katika Mfumo wa Uzazi wa
Mwanamke.
Magonjwa ya zinaa ndio sababu kuu ya
wanawake kupata maambukizi katika mfumo wa
uzazi yani (PID). Mwanamke 1 kati ya wanawake 8 walipota PID katika wakati wowote ndani ya maisha yao hupata tabu kushika mimba
*(PID) NI NINI?*
PID ni maambukizi katika mfumo wa uzazi wa
mwanamke na mara nyingi husababishwa na
magonjwa ya zinaa k**a gonorrhea na
chlamydia ila kuna aina ya maambukizi mbali na
magonjwa ya zinaa yanaweza kusababisha
maambukizi ya PID.
*JE! MWANAMKE HUAMBUKIZWAJE PID?*
Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza
kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na:
- K**a una ugonjwa wa zinaa na haijatibiwa
- Kufanya ngono zembe isiyo salama (yani kulala
na wanaume tafauti tafauti)
- Kuwa na mpenzi ambaye ana wanawake wengi
nnje
- K**a umekuwepo na historia ya PID hapo
nyuma
- Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara
baada ya kujifungua (au postpartum period)
- Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya
kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post
abortion) au mara baada ya mimba kutoka
(miscarriage)
- Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa
uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa
mpango
- Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya
PID
- Kutumia (Vaginal Dauche)
*UTAJUAJE UKO NA (PID)?*
Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID.
Miongoni mwa dalili hizi ni:
- Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa
maeneo ya chini ya kitovu
- Kupata maumivu ya mgongo
- Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za
siri. Utoko huu huambatana na harufu mbaya.
- Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
- Kupata maumivu au kutokwa na damu wakati
wa tendo la ndoa
- Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi
- Kupata homa
- Kupata damu innje ya siku zako zako za-
kawaida kupata damu ya hedhi
- Wakati fulani kuhisi kichefuchefu k**a
mwanamke mja mzito na kutapika
*VIPIMO VYA PID*
Hakuna vipimo maalum kudhibitisha mwanamke
ameathirika ila Dactari hujua mwanamke
ameathirika baada ya kuchukua historia ya
muhusika na kufanya vipimo vingine k**a:
- Kuchunguza mkojo ili kufahamu k**a mgonjwa
ana mimba. Kipimo hiki ni muhimu hasa kwa
mwanamke aliye katika umri wa kuzaa au
mwenye uwezo wa kubeba mimba
- Uchunguzi wa mkojo kwenye darubini ili
kutambua aina za vimelea vinavyomletea
mgonjwa uambukizi. Aidha mkojo huweza
kuoteshwa katika maabara kwa ajili ya kutambua
aina nyingine za vimelea viletavyo uambukizi huo.
- Kupima damu kwa ajili ya kuchunguza jinsi aina
mbalimbali za chembe za damu zilivyoathiriwa na
uambukizi huo au k**a kuna mwingiliano na
magonjwa mengine yaliyojificha. Kipimo hiki kwa
kitaalamu huitwa (Full Blood Picture).
- Kuchukua utando unaozunguka shingo ya uzazi
na kuuotesha kwa ajili ya utambuzi wa aina za
vimelea viletavyo maambukizi hayo. Kipimo hiki
huitwa (Cervical culture)
- Aidha ni muhimu pia kufanya vipimo vingine kwa
ajili ya utambuzi wa magonjwa yaambukizwayo
kwa njia ya kujamiiana, k**a vile virusi vya
ukimwi na kisonono.
- Mgonjwa pia anaweza kufanyiwa ultrasound ya
nyonga ili kuangalia k**a kuna athari yeyote
katika mfumo wake wa uzazi.
*JE PID INAWEZA KUTIBIWA?*
Jibu ni ndio k**a itagunduliwa mapema inaweza
kutibiwa na ikaisha, ila ieleweke k**a tayari
ilikuwa imeharibu njia za uzazi uharibifu ule
haiwezi kurekebishwa. Kila mara ukichelewesha
kutibu PID ndivyo itaharibu mfumo wako wote wa
uzazi sasa ni muhimu ukiona mojawapo wa dalili
nilizozitaja utembelee daktari ili upate tiba. Hata
k**a utatibiwa na zile dalili zikapotea hakikisha
kila mara unashauriana na daktari wako na
ukipata mume mwingine ni muhimu umueleze ili
mpate matibabu msi-ambukizane mara kwa
mara. Ijulikane k**a ulikuwa na PID awali
inaweza kurudi mara kwa mara.
*MATIBABU*
Mara mgonjwa anapogunduliwa kuwa
ameathiriwa na ugonjwa huu, dawa za jamii ya
antibayotiki huweza kutumika kwa ajili ya kuua
vimelea vya ugonjwa .
Ieleweke pia mara nyingi ugonjwa hujirudia mara
kwa mara k**a mwanamke atapewa tiba na
mume asitibiwe. Na k**a maambukizi imekuwa
sugu inabidi muathiriwa amueleze daktari ili
apate kutumia anti-biotics kwa mda mrefu kuliko
kawaida. Lakini muhimu sana mwanaume apewe
dawa wakati mwanamke anatibiwa. Ikiwa
mwanamke peke yake atapata tiba pindi atakapo
lala na mwanaume yule yule maambukizi
yatarejelea.
*MADHARA YAKUTO-FWATA MATIBABU*
- Maumivu ya mfuko wa uzazi wakudumu
- Utapata ugumu wa kushika mimba
- Ectopic pregnancy (mtoto kuwa innje ya mfuko
wa uzazi)
- Kuziba kwa njia ya uzazi
*JINSI YA KUZUIA MAAMBUKIZI*
Kuna njia kadhaa za kuzuia maambukizi katika
mfumo wa uzazi. Njia hizi ni pamoja na:
- Njia hakiki ya kujizuia na maambukizi haya ni
kuwacha ngono zembe na kufanya ngono salama
- Kuwahi kuwaona wataalamu wa afya mara dalili
za ugonjwa huu zinapoanza kujitokeza au pindi tu
unapogundua kuwa mwenzi wako ana dalili za
magonjwa ya zinaa au anatembea na wanawake
wengine
- Kufanya vipimo mara kwa mara hasa vya
mfumo wa uzazi, pamoja na vipimo vya
maambukizi ya magonjwa yanayosambazwa kwa
njia ya ngono (STI) khususan ugonjwa wa
chlamydia ufanyie vipimo kila mwaka mara 1
- Kutofanya ngono mara baada ya kujifungua,
mimba kutoka au mara baada ya kutoa mimba ili
kuhakikisha njia ya shingo ya uzazi imefunga
vema.
Ahsante.
**Good** *evening *Leo* *tupate* *somo* *hili* 👇 *apa* *chini*
*Je* ! *Umekuwa* *ukifanya* *kosa* *moja* *kati* *ya* *Makosa* *haya* ?*
✅Unahisi miwasho ukeni lakini unapuuzia.
▪️Ukivua chupi jioni unakuta imechafuka lakini unaona kawaida.
▪️Uchafu unatoka k**a maziwa, na mda mwingine una rangi zingine lakini unaombatana na harufu mbaya lakini bado unachukulia poa!.
▪️U.T.I inakurudia mara kwa mara kwa mara ila unaona sawa tu.
▪️Ukijaamiana unapata maumivu unatoka mpaka damu, hauna hisia na wala huchukui hatua yeyote.
*Usiendelee kufanya makosa hayo**Tafiti zinaonyesha kati ya wanawake 10 waliofanya kosa moja wapo kati ya hayo wamekumbwa na madhara yafuatayo ...
▪️kupata kansa ya kizazi hapo baadae
▪️kushindwa kushika ujauzito na kupata ugumba au kutoka kwa mimba mara kwa mara.
▪️kushindwa kufurahia tendo la ndo na kuvuruga mahusiano.
▪️Msongo wa mawazo ambao hupelekea kuvuruga homone na kusababisha kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi kunakoambatana na maumivu.
▪️Tatizo la harufu mbaya na ukavu uliopitiliza ukeni
*Usiendelee kupuuza chukua hatua kuondoa tatizo*
**Karibu* *tuzungumze* *kitaalamu*
Whatap no
0742604392
01/07/2022
UGONJWA WA KISUKARI
👉Ugonjwa kisukari au kitaalamu tunaita (diabete mellitus) ni tatizo linalosababishwa na ukosefu wa insulin ambayo hutoka katika kongosho
💫Kuna aina mbili za ugonjwa wa sukari
1️⃣ Kisukari type 1
2️⃣Kisukari type 2
📌 KISUKARI TYPE 1
👉 hii ni aina ya kisukari ambayo kitaalamu tunaiita JUVENILE DIABETES ambayo mara nyingi inawapata watoto wadogo mara nyingi ugonjwa huu huwa wa inheritance yani ni moja ya Magonjwa ya kurithi ugonjwa huu husababishwa pia na kuharibiwa kwa seli za kongosho hivyo kushindwa kutoa insulin ya kutosha
💫
DALILI ZA KISUKARI TYPE1
👉 Kuhisi kiu sana
👉 Mdomo kuwa mkavu sana
👉 Matatizo ya ngozi na njia za mkojo
👉 Kiungulia na kichefu chefu kikali
👉 Kukojoa mara kwa mara
👉 Kuhisi njaa kila wakati
👉 Mwili kukosa nguvu
👉 Jasho sana hasa nyakati za usiku
👉 Kushindwa kujiamini
2️⃣ DIABETES TYPE 2
💫hii ni aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari ambayo huwapata watu wazima umri kuanzia miaka 45 plus hapa inaeeezekana insulin ipo ila haifanyi kazi kabisaa au hufanya kazi kwa kiasi kidog sana hivyo kushindwa kupambana na sukari
💫SABABU MBADALA ZINAZOSABABISHA UGONJWA WA SUKARI
↘️Ulevi hasa wa pombe kali
↘️Uvutaji wa sigara
↘️Matumizi ya madawa makali hasa antibiotic
↘️Ulaji mbovu hasa mafuta mengi na vyakula vya kiwandani vyenye kemikali
⚠️ MATATIZO MENGINE YANAYOSABABISHWA NA SUKARI
💫Magonjwa ya moyo
💫Kiharusi
💫Mishipa ya fahamu kushindwa kufanya kazi vzr
💫Figo kufeli
Je unasumbuliwa na tatizo hilo wasiliana nasi sasa upatesuluhisho la kudumu
Whatsap no 0742604392
28/06/2022
Je! Wewe ni Mama au Dada unaependeza kwa mwonekano wa Nnje halafu ndani uko na hali iyo👆😭😭😭, Ukiona dalili iyo fahamu kwamba una maambukizi kwenye via vya uzazi/au mfumo wa uzazi wa mwanamke(PID)🙉 🙉🙉 Usiwazie gharama kutibu changamoto yako yoyote ya kiafya especially changamoto K**a ya PID, Afya Ni mtaji, ukiwa na afya nzuri/bora utaweza fanya shughuli zako kwa Amani ukiwa na nguvu tele, 🤦♀️Mwanamke jipende mwenyewe, kwanza unapata wapi ujasili wa kukutana na mwanaume wako🤷♀️ ukiwa unatoa uchafu K**a huu👆👆 ukeni na unaharufu mbaya 😤 Wanawake tujipende tuache kufikilia pesa katika kujitibu afya zetu 🙄usiseme utaanza kesho kujitibu uku tatizo linazidi kukua😱 na unajitibu na dawa za hospital, tatizo linarud kesho 👈Fikiria na Chukua hatua🧏♀️🏃♀️Tokomeza uchafu uken 😏Kataa harufu mbaya uken😵na Usikubali kupata aibu ya miwasho ukeni mbele za watu ☹️Uzuri wa mwanamke unaanzia ndani👌nifate inbox nikushauri zaidi ni jinsi gani ya kumaliza tatizo ili bila kujirudia rudia 🙅♀️wahi upate matibabu 🏃♀️🏃♀️Hii ni faida yako wewe mwanamke JE NI WEWE MUHANGA WA PID KARIBU TUKUHUDUMIE
0742604392
21/06/2022
*DONDOO ZA AFYA JE UFANYE NINI ILI KUEPUKA UKE KUTOA HARUFU MBAYA?*
_________________________________________
1️⃣.Epuka kusafisha uke wako kwa kuingiza kidole ukeni, uke usafishwe kwa maji ya uvuguvugu.
2️⃣.Epuka matumizi ya madawa ya antibiotics kwa muda mrefu bila ya kuambiwa na daktari
Kwani dawa hizi zikitumika kwa muda mrefu na bila ushauri wa daktari husabisha mabadiliko katika bacteria wa kwenye uke na kupeleka magonjwa na *harufu mbaya.*
3️⃣.Vaa nguo za ndani za cotton na pana.
4️⃣.Epuka nguo za kubana sana mwili.
5️⃣Nguo ya ndani ianikwe nje :sehemu ambayo itapigwa na jua (na sio ndani ya chumba) :au nguo za ndani zipigwe pasi kabla ya kuvaliwa,
6️⃣.Unapokua kwenye siku zako zingatia usafi na kubadilisha pedi inavyotakiwa (mara 2/3 kwa siku )
7️⃣.Epuka kutumia vyoo vya umma vya kukaa
8️⃣Jikinge na magonjwa ya zinaa.
9️⃣Epuka kuvaa nguo nyingi na /au nzito wakati wa kulala, Vaa nguo nyepesi ambayo itaruhusu uke kupata hewa ya kutosha.
🔟 *Jisafishe vizuri kila baada ya kumaliza haja ndogo* ungependa kuwa pamoja nasi kwenye swalaa la kitibu na kutunza ukee usitowe harufu? Furaha ya mwanamkee ni usafi wake mwenyewe karibuni
Whatsap 0742604392
01/06/2022
Je unajua wanawake wengi hukosa raha ya kukaa na wengine kwasababu ya harufu mbaya na miwasho wasiliana nasi sasa upate kutatuliwa changamoto yako
JITIBU BAWASIRI UKIWA NYUMBANI
NAVYAKULA TIBA.
Bawasiri nikinyama,vinyama au viuvimbe vinayo ota eneo la haja kubwa.
Vinaweza kuwa kwandani au kwanjee kwenye eneo la haja kubwa
Vinyama hivyo husababishwa na mgandamizo mkubwa na udhaifu wa veini ndogondogo zilizopo kwenye njia ya haja kubwa na kupelekea kupata bawasiri
Dalili za bawasiri
miwasho eneo la haja kubwa
na kinyama ,Vinyama au viuvimbe eneo la haja kubwa
Choo k**a chambuzi na kigumu
maumivu makali kwenye eneo la haja kubwa
kukaa kitako muda mrefu
wa Nguvu za kiume na kuambatana na maumivu ya mgongo na Kiuno hasa inapo fika hatua mbaya bawasiri
Nk..
Bidhaa yenye uwezo wa kutibu bawasiri
Novel Depile Capsules
○ Inasaidia kuondoa Bawasiri Sugu, Nyama ya bawasiri au uvimbe na kutoka kwa damu.
○ Huondoa maumivu yanayosababishwa na uzito wa miguu.
○Hutuliza mvutano wa mishipa miguuni kunakoweza kusababisha damu kushindwa kurudi kwenye moyo.
○ Husaidia Damu kuzunguka vizuri.
○ Ni Nzuri sana kuondoa mlundikano wa uric acid kwenye maungio inayopelekea kuharibika kwa mifupa (Arthritis)
○ Ni tiba ya kuvimba kwa mishipa inayopitisha damu miguuni (Vericous Veins)
○ Kuboresha uzalishaji wa homoni zinazosaidia ubongo na mwili kufanya kazi.
○ Zinaongeza uzalishwaji wa seli mpya zinanopambana na wavamizi (leukocyte and endothelial cell)
○ Inapunguza mnato wa damu na kurahisisha mzunguko wa damu (blood viscosity and improve blood circulation)
○ Inaboresha mzunguko wa maji mwilini kwenda sehemu zinazotakiwa
Tupigie simu kujipatia huduma hii
Namba chukuwa hapo chini
Bidha ni ya asili isiyo na kemikali
Ipo mfumo wa kidonge
Inavidonge 60
Inatumika siku20
Dozi parkege4
weka order kabla hazijaisha
Kutibu matatizo ya bawasiri na madhara yake.
Tunaweza wasiliana kwa no
0742604392
Hakuna maisha bora yasio na afya bora
UGONJWA WA BAWASILI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE
Bawasiri ni nini
Huu ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama amcho ndio huitwa Bawasiri/mgoro/Hemorrhoid nk
SABABU YA BAWASILI
Sababu kubwa ya mtu kupata Bawasiri ni Mgandamizo sehemu ya haja kubwa ambapo mgandamizo huo hupelekea kupasuka/kuvimba kwa mishipa midogo midogo ya damu aina ya veins sehemu ya haja kubwa hivyo hupelekea kuota kwa Vinyama sehemu ya haja kubwa
DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI
1.kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
2.kujitokeza kwa kinyama/vinyama eneo la haja kubwa
3.kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
4.kupata kinyesi chenye damu
5.kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
6. Kupata maumivu ya tumbo/kiuno hasa Bawasiri inapofikia hatua mbaya
MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MTU KUPATA BAWASIRI
1.Uzito kupita kiasi(Overweight)
2. Ujauzito
3.Kunyanyua vitu vizito na Mazoezi makali
4.Kukaa sana sehemu eneo moja mda mrefu
5.Kuingiliwa sehemu ya haja kubwa( tendo la ndoa kinyume).
6.Kujisaidia Choo Kigumu.
Sababu za kujisaidia choo Kigumu ni:
-Vidonda vya Tumbo
-Ngiri/Hernia
-Ulaji duni
AINA 2 ZA BAWASIRI
1. BAWASIRI YA NJE
Ni kuota kinyama sehemu ya nje ya haja kubwa ambapo kinyama huwa nje hata k**a hujaenda kujisaidia haja kubwa.
2.BAWASIRI YA NDANI
Ni kuota kinyama sehemu ya ndani ya haja kubwa mara nyingi huambatana na maumivu makali na damu na kinyama hutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
Bawasiri ya dani ina hatua NNE ambazo ni:⤵⤵⤵⤵
HATUA YA KWANZA
Katika hatua hii mtu hujihisi maumivu makali,miwasho pamoja na kutokwa damu wakati wa kujisaidia na kinyama hakionekani wakati wa kujisaidia.
HATUA YA PILI
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe punde baada ya kujisaidia
HATUA YA TATU
Hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe ama inaweza kurudi yenyewe baada ya muda
HATUA YA NNE
Hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi baada ya kujisaidia.
ATHARI ZA BAWASIRI
1.Upungufu wa damu mwilini
2.Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
3.kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
4.kupungukiwa nguvu za kiume
5.kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu6
6.Kupata tatizo la kisaikolojia
7. Kupata kansa ya utumbo ( Colorectal cancer)
8.Mwili kudhoofika mwili na kinga kupungua
TIBA YA BAWASILI
Mara nyingi Tiba ilio z0toeleka kwa hospital ni upasuaji
Ila tuna bidhaa ambazo zimewasaidia wengi zenye uwezo wa kuondoa bawasili bila upasuaji
Kwa maelezo zaid wasilian
0742604392
22/05/2022
Je unadumbuliwana sukari bila yamajibu sahihi👇👇 imekufikia sasa njoo utibu na kumaliza sukari ksbisa
18/05/2022
FAHAMU UGONJWA WA PID DALILI, CHANZO NA TIBA
*PID* Ama Pelvic Inflammatory Disease ( PID).
Ni maambukizi katika via vya uzazi.
Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:- .
👉Matumizi ya antibiotics Kwa wingi,
kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivyo wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi.
👉Kadhalika ujauzito kuharibika ikiwa ni pamoja na kujifungua na kuachwa bila kusafishwa
👉 Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms( kwa baadhi ya watu) na kufanya ngono zembe.
👉 Pia *hormonal* imbalance ni chanzo moja wapo baada ya kusababisha uvimbe
👉 Lakini pia UTI SUGU na Fangasi hupelekea maambukizi kwenye via vya uzazi
*DALILI ZA UGONJWA WA PID*
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa 2️⃣Kuwashwa sehemu za siri .3️⃣Uke kutoa harufu mbaya.
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu 5️⃣Uke kuwa laini sana hivyo Kupata michubuko kiurahisi
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
*MADHARA YA PID*
•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi
*PID* inatibika na kupona Kwa haraka
Ukifuata dose sahihi
Pia ni mhimu sana kutumia vitu vyenye vitamin C za kutosha
*Ila ngumu kutibika usipo fuata dose sahihi na kutotambua shida ni nini*
Kwa ushauri na Tiba wasiliana nasi. Pia k**a unachangamoto ya Afya ya uzazi kwa magonjwa k**a UTI SUGU, FANGASI UKENI na homonal Imbalance tunatoa Tiba za uhakika kabisa.
Tupigie 072604392
Gusa Whatsap wa.me/255742604392
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Arusha