KEMBE african HERBS
KEMBE african HERBS ni watengenezaji na Wauzaji wa mda mrefu wa bidhaa za tiba asilia/mbadala na urembo asilia
30/03/2020
Habari?Naitwa TABIBU KEMBE wa tiba asili tiba mbadala na urembo asili nimekuwa msaada kwa wahanga wengi wa maradhi sugu na yasiyo sugu yanayojulikana na yasiyo julikana.nilianza zoezi hili miaka ya 2007 nikiwa Jijini Arusha maeneo ya ilboru karibu na Riadha lorge.
Nilikuwa nikitembeza huduma yangu mtu kwa mtu duka kwa duka soko kwa soko na nilifanikiwa pia kufika mikoa mingine k**a KILIMANJARO MANYARA SINGIDA SHINYANGA SIMIU MWANZA TABORA DAR-DODOMA IRINGA NJOMBE MOROGORO SONGEA LINDI MBEYA N.K
Nimependa kuwafikia watu zaidi kwa njia hii ya mitandao nikitaraji kuwahudumia watu zaidi.
Nimetibu kwa kiwango kizuri maradhi k**a
1.KUSAWAZISHA SUKARI MWILINI(kisukari )
2.U.T.I
3.SHIDA ZA KINAMAMA
k**a kutokupata mtoto
Hedhi kukosa mpanglio nk
4.SHIDA ZA KINABABA
k**a kuondosha vyanzo vya mapungufu ya nguvu ask
5.VIDONDA TUMBONI na vidonda ndugu au vya majeraha au kuungua kwa moto maji uji nk
6.TUNATIBU KIFUA CHA AINA ZOTE
7.TUNATIBU ZAIDI YA MARADHI MIA KUMI NA MOJA
Tupigie simu sasa tukuhudumie
Huduma siku 8 ni bure kwa wenye kisukari 0744555933/0787768025
Asante
Click here to claim your Sponsored Listing.