Ishi Kiasili.
Welcome Samapra Herb's and natural Healings
15/03/2023
Kula sana vyakula vyenye sukari nyingi kunaweza kusababisha:
1. Meno kuoza
2. Shinikizo la juu la damu
3. Magonjwa ya moyo.
4. Kiribatumbo
5. Kisukari
Ni muhimu kupunguza matumizi ya vyakula hivi ambavyo athari zake huwa hazionekani mapema.
13/03/2023
FAIDA ZA MAJANI YA MPERA
Mapera ni matunda ya msimu yenye wingi wa vitamin A na C,Madini ya pottasium,nyuzinyuzi za fiber na lycophene ambavyo vyote hivi ni muhimu kwa afya ya mwanadamu
FAIDA ZA MAJANI YA MPERA
1.Chai ya majani ya mpera inasaidia mwili kuwa stadi,inasaidia madini ya cabohydrates isigeuzwe kuwa sukari mwilini hivyo kupunguza hamu ya kula
2.Chai ya majani ya mpera pia husaidia kushusha kiwango cha sukari mwilini na kuzuia mwili kuondoa insulini hivyo wagonjwa wa sukari wanashauriwa kuitumia mara kwa mara
3.Chai ya majani ya mpera hupunguza lehemu mbaya mwilini bila kudhuru lehemu nzuri
4.Chai ya majani ya mpera ina uwezo wa kudhibiti vijidudu vya magonjwa mwilini hasa vinavyosababisha magonjwa ya kuharisha na kipindupindu
5.Chai ya majani ya mpera hutuliza mchafuko wa tumbo na husaidia kukabiliana na madhara yaletwayo na sumu za vyakula mbalimbali vya kila siku
6.Chai ya majani ya mpera inatibu matatizo ya pumzi na kukohoa
7.Majani ya mpera hutibu uvimbe wa fizi,maumivu ya kinywa na meno kwa kutafuna majani yake
8.Chemsha majani 10 ya mpera kwa maji glass mbili na nusu mpaka ibaki glass moja na nusu kunywa kutwa mara moja kwa siku 21 na zaidi hutibu matatizo ya homa ya dengue
9.Chai ya majani ya mpera hutibu kansa na prostrate kwa wanaume,pia hutibu matatizo ya kuzalisha [infertilitty]
10.Ponda majani ya mpera na weka kwenye kidonda kwani huzuia maambukizi,kwa maumivu ya nje ya sikio tia matone ya chai ya majani ya mpera iliyopoa sehemu iliyoathirka
11.Kwa muwasho unaosababishwa na aleji ponda na paka majani ya mpera eneo linalowasha
12.Ukiumwa na mdudu ponda majani ya mpera ubandike ni tiba nzuri
13.Pia hutibu mba na chunusi kwa wingi wake wa vitamin C
14.Kuondoa madoa meusi kwenye ngozi ponda majani ya mpera changanya na maji kidogo na ujipake
15.Kwa matatizo ya kukatika kwa nywele chemsha majani yakishapoa kanda taratibu kwa dakika 15 kwenye kichwa kisha acha kwa dakika 30 na uoshe kwa maji safi bila sabuni
12/03/2023
Je,Unahisi Daliliza za Vidonda vya tumbo? K**a kiungulia,tumbo kunguruma na kujaa gesi,maumivu ya tumbo na kichefu chefu Hadi kutapikaa?.Basi Suluhisho lako limepatikana tumia Super trigonella Humaliza matatizo yoote ya Vidonda vya tumbo hii hufanya Yafuatayo.
:Huthibiti Bakteria wanaosababisha Vidonda vya tumbo K**a, (Helcobacter pylori),
:Huongeza Uteute Unaofunika Kuta za tumbo maarufu k**a (Mucus layer).
:Huweka Sawa kiwango Cha P H. Tumboni
Nk.Wasiliana Nasi kupitia Tupo Arusha Stendi kuu ya Mabasi jirani na stendi ya Namanga 0686284301 tupo Dar es salaam,Moshi,Babati Singida nk.Karibu
12/03/2023
FAHAMU ATHARI YA TATIZO LA KUTOPATA CHOO (Constipation) NA JINSI YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
Choo Kigumu Ni haja kubwa inayopatikana isiyozidi mara tatu katika wiki au haja kubwa inayoleta shida kutoka kwake na utokaji wake ni mithili ya Mavi ya mbuzi (uyabisi) hata k**a inapatikana kila siku. Hali hii inaposhamiri muathirika hupata choo si zaidi ya mara tatu katika kipindi cha mwezi mmoja. Ni moja miongoni mwa matatizo katika mfumo wa kusaga chakula yanayowakumba watu wengi si hapa kwetu Tanzania au Afrika tu
bali dunia nzima kwa jumla. Shida ya kupata choo ni hali inayowakabili watu mbalimbali.
CHANZO CHA TATIZO LA KUTOPATA CHOO (Constipation)
Tatizo hili husababishwa zaidi na ulaji mbovu wa vyakula na kutokujizoesha kujisaidia mara kwa mara pia kula vyakula
vilivyokobolewa na matumizi mabaya ya dawa na magonjwa mengine pia na mabadiliko ya homoni mwilini ndio chanzo cha tatizo.
DALILI ZA TATIZO HILI LA KUTOPATA CHOO
Dalili za tatizo hili ni k**a ifuatavyo :
👉kupata Homa kali
👉kutapika na kupata vidonda nnje ya haja kubwa
👉kutumia nguvu na Muda mwingi kupata choo
👉ulimi kuwa na utando mweupe na hutoa harufu mbaya
👉kukosa hamu ya kula na tumbo kujaa gesi
👉kutetemeka kwa kuhisi baridi.
MADHARA YA KUKOSA CHOO
Kuna madhara makubwa iwapo hutaamua kupata tiba kwa kupuuzia kuona ni tatizo la kawaida, madhara hayo ni ÷
👉KUPATA SARATANI YA UTUMBO
👉FIGO KUSHINDWA KUFANYA KAZI VIZURI
👉KUPATA PRESHA NA KUPATA UGONJWA WA INI
👉KUPATA MAGONJWA YA MOYO NK
Usisubiri tatizo liwe sugu na hayo Madhara yakupate itakugharimu Sana, anza utatuzi Mapema...
Karibu tukuhudimie 0686 284301
12/03/2023
NDIZI: Ndio tunda linaloliwa kwa wingi zaidi hapa duniani baada ya tofaa. Ndizi huwa na utajiri mwingi wa madini ya potasiamu na upungufu wa madini ya sodiamu na hivyo hukinga dhidi ya magonjwa ya moyo na mishipa, shinikizo la damu, kiharusi pamoja na saratani.
31/08/2022
Tulinde Afya zetu
31/08/2022
29/07/2022
Zoezi La Sensa ya Watu na Makazi linawadia Tujiandae kuhesabiwa
14/05/2021
Je? Unasumbuliwa na Vidonda vya tumbo,Kiungulia Kikali,Tumbo kunguruma Ama kujaagesi kwa muda mrefu? Bila kupata suluhisho?.Usiteseke Suluhisho lako lipo Super-Trigonella, ndio Suluhisho lako Sasa nidawa iliyofanyiwa Majaribio ya kutosha nakuaminia Katika kutibu maradhi yoote ya mmeng'enyo wa chakula. Karibu Tupigie
0686284301
0767220508.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Arusha