Afya na Mpokomo

Afya na Mpokomo

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya na Mpokomo, Health/Beauty, Arusha.

24/08/2021

UJUE UGONJWA WA GOITRE (ROVU)
Gusa link yangu hapo chinihttps://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE
Kuna goiter za aina 2.

Ya kwanza ni ile ambayo uvimbe huonekana juu ya koo
Nyingine ni ile ambayo ipo ndani kwa ndani ya koo.

Kwa kawaida huu ugonjwa unaletwa na upungufu au wingi wa madini aina ya iodine ambayo huzalishwa na tezi (thyroid gland).

Inapokuwa kidogo hufanya eneo juu ngozi /nyama ya koo kuvimba, hii inaashiria kwamba tezi linafanya juhudi za hali ya juu kutafuta madini hayo.

Madini hayo yanapokuwa mengi basi huzidi kwenye mzunguko wa damu na kuchanganyika na vitu vingene ambavyo husababisha kutengeneza k**a sumu fulani ambayo huchoma mafuta yaliyo kwenye hifadhi mwilini, mishipa ya fahamu huathirika kiasi kidogo.

Mtu ambaye ameathiriwa na aina hii ya pili, huanza kupunga uzito na umbo la mwili taratibu baadaye madhara yanapoongezeka mtu anaanza kupoteza kumbukumbu, anakuwa na hasira, anakula sana, nywele zinanyonyoka mpaka anapata upara, magoti yanakosa nguvu na mtu anashindwa kutembea.

Moyo kwenda mbio (high blood pressure), macho yanavimba sehemu ya juu kope na jicho lenyewe linatoka nje k**a vile linadondoka.

Ugonjwa huu una dalili kidogo zinazofanana na ukimwi k**a mtu hatatambulika haraka.

Ni vizuri kuwahi hosipitali ili kupata vipimo na tiba

Matibabu ya Uvimbe wa Tezi shingo (GOITA)

Neno Goita ni jina linalotumika katika kuliita tatizo la kuvimba kwa tezi ya thairoidi iliyo katika eneo la shingo. Kiufasaha, huu ni ugonjwa wa tezi ya thairoidi. Ugonjwa huu pia unaweza kutokea bila kuonekana uvimbe katika eneo hilo. Ugonjwa huu unaonekana kuwatokea zaidi wanawake kuliko wanaume, hasa wale wanawake wasiopata muda wa kutosha wa kupumzika na kupata utulivu.

Dalili za Ugonjwa wa Kuvimba Tezi ya Shingo (GOITER)

Dalili za mwanzoni za goita kwa kawaida huwa ni za muda mfupi na hutokea k**a mabadiliko madogo ya kihisia na huweza kupitia bila kugundulika. Baadae mtiririko wa dalili nyingine k**a vile huzuni, kupoteza uwezo wa kuzingatia na kulia vinaweza kuonekana vikiambata na kuharibika kwa hisia. Pia mgonjwa mwenye tatizo hili huwa anakwazika kirahisi sana.

Kunaweza pia kukawa na kuvimba kwa tezi ya shingo lakini hili haliashirii ukubwa wa tatizo kwani hata tatizo linapokuwa kubwa mara nyingine inawezekana usionekane uvimbe ulio wazi. Dalili hizi huweza kufuatiwa na hisia za uchovu uliopitiliza na kutetemeka kwa mikono pamoja na ukosefu wa nguvu za kuwezesha kutumia misuli ya aina yoyote mwilini. Kwa baadhi ya wagonjwa macho huweza kutokeza kwa nje.

Kupungua kwa uzito ni kati ya dalili zinazoweza kujitokeza zaidi kwa wale wanaoumwa ugonjwa huu na huweza kudumu mpaka kufikia hatua ambapo mgonjwa anajisikia kuwa mdhaifu kupindukia.

Visababishi vya Ugonjwa wa Kuvimba kwa Tezi ya Shingo

Chanzo kikuu cha kuvimba kwa tezi ni ukosefu wa madini joto katika chakula na kutokea kwa maudhi mengine ya kihisia na kimwili kunaweza kuliongezea tatizo Zaidi. Chanzo kingine cha kuvimba kwa tezi ya shingo ni pamoja na mazoea ya kula chakula kilichoondolewa uhalisia wake na ambacho hakikupikwa, pia ulaji wa kupita kiasi wa vyakula vilivyopitia kiwandani na vilivyoondolewa ladha asili

Goita (Goiter) ni hali ya kuvimba kwa tezi ya thyroid. Uvimbe huu hautokani na saratani na kwamba goita si saratani. Tezi ya thyroid ipo sehemu ya mbele ya shingo. Kazi kuu za tezi ya thyroid ni kuzalisha homoni mbalimbali ambazo husaidia mwili kuthibiti na kufanya kazi zake mbalimbali.

Aina za goita na visababishi vyake
Kuna aina kadhaa za goita. Goita ya kawaida (simple goiter) inaweza kutokea bila kuwepo kwa chanzo chochote cha kueleweka. Wakati mwingine, yaweza kutokea wakati tezi ya thyroid inaposhindwa kuzalisha homoni/vichocheo vya kutosha vya thyroid kwa ajili ya mahitaji ya mwili. Ili kuweza kuendana na hali hii, tezi ya thyroid huongezeka ukubwa ili kufidia upungufu wa homoni za thyroid.

Kuna aina mbili za goita ya kawaida, Goita inayowapata wakazi wa eneo fulani (endemic goiter). Aina hii pia huitwa colloid goiter, na Goita inayotokea maeneo tofauti (sporadic goiter). Aina hii pia hujulikana k**a nontoxic goiter.

Endemic goiter au colloid goiter huwapata makundi ya watu wanaoishi maeneo yenye udongo wenye upungufu mkubwa wa madini ya Iodine. Maeneo ya aina hii mara nyingi ni yale yaliyo mbali kutoka pwani ya bahari au yaliyo katika nyanda za juu kutoka usawa wa bahari k**a vile mikoa ya Mbeya, Iringa na Rukwa.

Iodine ni madini muhimu yanayohitajika katika utengenezaji wa homoni mbalimbali zinazozalishwa na tezi ya thyroid. Watu wanaoishi kwenye maeneo k**a haya wapo katika hatari ya kupata goita kwa vile hawapati madini ya kutosha ya Iodine katika chakula chao.

Matumizi ya chumvi ziliongezwa madini ya Iodine yamesaidia sana kupunguza matatizo ya upungufu wa Iodine miongoni mwa watu wengi nchini Tanzania na duniani kwa ujumla. Hata hivyo, upungufu wa madini ya Iodine bado umeendelea kuzikumba sehemu nyingi za Afrika ya kati, Amerika ya kusini pamoja na Asia ya kati.

Chanzo cha sporadic goiter au nontoxic goiter bado hakifahamiki vema miongoni mwa wagonjwa wengi. Hata hivyo, matumizi ya baadhi ya dawa k**a vile lithium pamoja na aminoglutethimide yameelezwa kuwa chanzo kimojawapo cha aina hii ya goita.

Vihatarishi vya goita

Kuna baadhi ya mambo yanayohusiana na kurithi yanayoweza kusababisha mtu kupata goita. Vihatarishi hivi ni pamoja na:
• Kuwa na umri kuanzia miaka 40 na kuendelea
• Historia ya ugonjwa wa goita miongoni mwa wanafamilia
• Hali ya kuwa mwanamke
• Na, kutopata iodine ya kutosha katika lishe

DALILI ZAKE

Dalili kuu ya goita ni kuvimba au kuongezeka ukubwa kwa tezi ya thyroid. Ukubwa wa tezi unaweza kuwa kijiuvimbe kidogo katika tezi au uvimbe mkubwa k**a nundu sehemu ya mbele ya shingo. Kuvimba kwa tezi ya thyroid kunaweza kusababisha mgandamizo katika njia ya hewa na mrija wa chakula, hali ambayo inaweza kusababisha:
• Shida katika kupumua
• Kikohozi
• Sauti kuwa ya mikwaruzo
• Shida wakati wa kumeza chakula
• Wakati mwingine, mishipa ya damu ya shingoni inaweza kuvimba pia na kusababisha mtu kujihisi kizunguzungu pindi anapoinua mikono yake juu

Matibabu

Goita huitaji matibabu iwapo tu inasababisha dalili zinazomletea mgonjwa usumbufu. Matibabu ya goita hujumuisha:
• Matumizi ya madini ya mionzi ya iodine (radioactive iodine) yaani I-131 kwa ajili ya kupunguza ukubwa wa tezi ya thyroid hususani iwapo tezi hiyo inazalisha kiasi kikubwa cha homoni
• Upasuaji wa kuondoa tezi yote yaani (total thyrodectomy) au kuondoa sehemu ya tezi (partial thyrodectomy)
• Iwapo goita inasababishwa na upungufu wa madini ya Iodine, mgonjwa anaweza kupewa kiasi kidogo cha dawa ya maji aina ya Lugol's iodine au mchanganyiko wa potassium iodine
• Iwapo goita inasababishwa na tezi ya thyroid inayofanya kazi chini ya uwezo wake, mgonjwa anaweza kupewa homoni za thyroid ili kufidia upungufu wowote

Matarajio

Goita ya kawaida inaweza kuisha yenyewe au inaweza kuendelea kuongezeka ukubwa mpaka kumsababishia mgonjwa usumbufu. Kadiri uharibifu wa tezi ya thyroid unavyoendelea, hufikia wakati tezi hii huacha kabisa kutengeneza homoni hali inayoitwa kwa kitaalamu hypothyroidism. Mara chache, goita inaweza kubadilika na kuanza kuzalisha homoni za thyroid bila kuchochewa na kitu chochote. Hali husababisha kuwepo kwa kiasi kikubwa cha homoni za thyroid, hali inayoitwa kitaalamu k**a hyperthyroidism.

Madhara ya goita
• Shida wakati wa kumeza au kupumua
• Kiwango cha chini cha homoni za thyroid (Hypothyroidism)
• Kiwango cha juu cha homoni za thyroid (Hyperthyroidism)
• Saratani ya tezi ya thyroid (thyroid cancer)
• Goita yenye vivimbe inayozalisha homoni kwa wingi (toxic nodular goiter)

Kinga
Matumizi ya chumvi ya mezani iliyowekwa madini ya iodine husaidia kuzuia uwezekano wa kupata goita. Aidha inashauriwa kumuona daktari au mtaalamu wa afya pindi unapoona kuna uvimbe wowote sehemu za mbele za shingo.kwa mawasiliano piga simu namba 0627750696 au gusa link yangu hapo chini https://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE

24/08/2021

*TIBA YA UGONJWA WA KUUMA VIUNGO NA MISULI MWILINI*gusa link yangu hapo chinihttps://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE
Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kwa sasa kutokana na mabadiliko ya mitindo ya Maisha. Umri mkubwa ni moja ya sababu inayopelekea kutokea kwa tatizo, ambapo tishu za mwili zinakuwa kavu na kupoteza uwezo wa kuvutika. Watu wengi wanafikiri kwamba kufanya mazoezi ni hatari kwa afya ya joints lakini ukweli ni kwamba ili kuepuka magonjwa ya joints mazoezi ni lazima katika kuongeza ufanisi wa viungo pia.
Nina uhakika kuwa umewaona akina mama wenye umri mkubwa na miili mikubwa wanavyopata shida kutembea huku wakiinama toka upande mmoja hadi mwingine kila wakipiga hatua au shida wanayopata pale inapowabidi kupanda ngazi au kukuchuchumaa. Maneno k**a “ugonjwa wa kuumwa joints, nina tatizo la joints, maumivu ya joints” na maumivu ya mifupa umeyasikia mara nyingi. Tatizo hasa hapa ni nini? Ungana nami katika mada hii uujue ugonjwa huu wa arthritis lakini pia tiba ya mafuta asili ya eucalptus.

Ugonjwa wa Arthritis ni nini
Arthritis ni ugonjwa unaotokana na namna yoyote ya hitilafu katika maungio ya mifupa ya binadamu ambao husababisha maumivu na pengine kuvimba katika sehemu moja au zaidi ya maungio hayo. Neno arthritis halilengi ugonjwa mmoja bali jamii ya magonjwa ambayo kwa ujumla yapo zaidi ya 100. Tabia kuu ya magonjwa haya ni maumivu kwenye maungio ya mifupa (joints) ambayo ni endelevu na ambayo hutokea eneo hilo moja.

Chanzo cha Maumivu ya Viungo(Arthritis) ni nini
Kuelewa chanzo cha ugonjwa huu, hebu kwanza tutazame muundo wa joint au sehemu mifupa miwili inapokutana. Fikiria goti ambapo mifupa miwili mmoja wa paja na mwingine wa mguu vinapokutana:Ligaments: Ndicho kitu kinachoshikilia mifupa hii miwili pamoja. Hii ni k**a utepe wa plastiki au mpira unaonyumbuka uliozunguka eneo hilo kwa nje, ukikunja goti inanyumbuka na ukinyoosha mguu inarudi.
Cartilage: Huu ni utando unafunika eneo ambalo mifupa hugusana ili kuzuia mifupa hii isisuguane moja kwa moja. Utando huu ambao kwa kiswahili tunauita gegedu huyawezesha maungio hayo kufanya kazi kiulaini pasipo kusababisha maumivu.
Capsule: Hiki ni kitu kinachofunika maungio haya kikizunguka pande zote. Ndani ya mfuko huu wa capsule kuna synovial fluid ambayo huzalishwa na synovial membrane. Synovial fluid ni ute wa kulainisha sehemu hiyo ya maungio na synovial membrane ni utando ulio kwenye kuta za ndani za capsule.
Ugonjwa wa arthritis unasababishwa na hitilafu yoyote katika sehemu hizo za maungio ya mifupa. Inaweza kuwa cartilage inalika, upungufu wa synovial fluid, maambukizi ya vijidudu katika moja ya maeneo hayo au mchanganyiko wa matatizo.

Aina za Ugonjwa wa Arthritis(Maumivu ya Viungo)
Osteoarthritis: Hii ni aina ya arthritis inayosumbua watu wengi zaidi kuliko aina nyingine zote. Ugonjwa huu huwapata zaidi watu wenye umri mkubwa. Osteoarthritis hutokea pale cartilage inapopoteza uwezo wake wa kubonyea na kuwa ngumu hivyo kuharibika haraka. Cartilage ni kiungo cha kuhimili migandamizo ya ghafla (shock absorber). Cartilage hii inapopoteza ubora wake, tendons na ligaments huvutika na kusababisha maumivu. Hali ya uharibifu huu wa cartilage ikiendelea, mwishowe mifupa huanza kusuguana moja kwa moja na ndipo mgonjwa atakapoanza kupata maumivu makali sana.
Rheumatid Arthritis: Ugonjwa huu hutokea pale mfumo wa kinga ya mwili kwa bahati mbaya kuanza kushambulia viungo vya mwili ikiwa ni pamoja na synovial membrane (synovium) na kusababisha uvimbe na maumivu. Hali hii isipodhibitiwa, huweza kusababisha ulemavu. Ugonjwa huu unaweza pia kushambulia macho, ngozi, mapafu, midomo, damu na mishipa ya damu
infectious Arthritis (Septic Arthritis): Aina hii ya arthritis inatokana na maambukizi ya bacteria kwenye synovial fluid. Maambukizi haya yanaweza kuwa pia ni ya fungus au virusi. Wadudu kutoka sehemu nyingine ya mwili iliyo karibu na maungio ya mifupa huweza kusambaa kupitia mfumo wa damu hadi kwenye joint na kuleta maambukizi.
Tiba Kupitia Mafuta ya omega 3 suplimement
mafyta ya mkaratusi
mafuta ya eucalyptus
Mafuta ya OMEGA 3 SUPLIMEMENT yamekuwa yakitumika kwa zaidi ya miaka 2000 kutibu maumivu na kupunguza kuvimba kwa mwili, kwa miaka ya sasa mafuta haya yamegundulika kuwa na uwezo mkubwa zaidi na kutibu changamoto nyingi:
Kutibu maumivu ya misuli na joints: chovya kiasi kidogo cha mafuta haya kwa kutumia pamba au kitambaa laini kisha sugua eneo lenye maumivu mara mbili kwa siku. Tunashauri mgonjwa atumie walau dozi mbili za dawa.
Huhitaji tena kuagiza nje ya nchi, tayari tumefanya utafiti wa mafuta salama yasiyochakachuliwa na kukuletea hapa. Wasiliana nasi ufike ofsini kwetu ama tukutumie ukiwa mkoani.
Wasiliana nami 0627750696 gusa link yangu hapo chini https://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE

13/08/2021

ZIJUE SABABUZA
MOYO KUTANUKA AU MOYO KUWA MKUBWA (CARDIOMEGALY)
Bonyeza link yangu hapo chini https://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE
Yajue mengi kuhusu Moyo uliotanuka/moyo Kuwa Mkubwa

Kutanuka kwa moyo maana yake ni moyo unakuwa mkubwa kuliko kawaida,moyo hutanuka kutokana na utanukaji wa misuli/ kuta za moyo ambayo ni matokeo ya misuli au kuta za moyo kufanya kazi kubwa kuliko uwezo wake.

Kutanuka kwa moyo sio ugonjwa bali ni matokeo ya itilafu inayotokana na moyo kutumia nguvu nyingi katika kusukuma damu mwilini,nguvu hiyo ndio hudhoofisha misuli/kuta za moyo na kupelekea misuli hiyo kutanuka(moyo kuwa mpana/mnene).



Je wajua nini hasaa chanzo cha moyo kutanuka???

Kutanuka kwa moyo huchangiwa na moja ya sababu zifuatazo;

1.Kupanda zaidi kwa shinikizo la juu la damu mwilini (Hypertension) au kwenye mishipa inayounganisha moyo na mapafu (Pulmonary hypertension).

Hali ya presha au shinikizo la damu kuwa juu zaidi husababisha moyo kusukuma damu zaidi kuliko kawaida hali inayopelekea misuli/kuta za moyo kuwa nene hatimae hufanya moyo kuwa mpana.

2.Ugonjwa wa mishipa ya moyo (Coronary artery disease) pamoja na ugonjwa wa misuli ya moyo (Cardiomyopathy).

Moyo wenye itilafu ya mishipa au misuli husababisha misuli au mishipa hiyo kukak**aa, kukak**aa kwa misuli/mishipa hupunguza uwezo wa moyo hatimae moyo hujaribu kutumia nguvu nyingi kusukuma damu hali inayofanya misuli kuwa minene.

3.Uchache wa chembe hai nyekundu katika damu(Red blood cell) au uwingi wa madini ya Chuma (Fe) katika damu.

Uwepo wa chembe hai nyekundu chache katika damu ambayo inatafsiriwa k**a ukosefu wa damu mwilini hufanya ubebaji na usambazaji wa damu mwilini kuwa mdogo hivyo moyo nguvu za ziada tena za haraka kukabiliana na hali hiyo na kupelekea kuta za moyo kuwa nene(moyo kutanuka).

Kwa upande mwingine, uwingi wa madini ya chuma mwilini hufanya madini hayo kujijenga sehemu mbalimbali za mwili hasaa zaidi ogani za mwili k**a moyo.Uwingi wa madini haya kwenye moyo hudhoofu misuli ya moyo na kufanya misuli ya moyo kuwa minene.

4.Magonjwa ya tezi mfano Thyroid disease.

Magonjwa ya tezi (Grands disease) hupelekea homoni kutolewa kwa kiwango kidogo au kingi, kuvurugika kwa mpangilio huu huathiri mapigo ya moyo, msukumo wa damu na ukubwa wa moyo na hivyo kuufanya moyo kuwa mnene.

5.Kurithi na matatizo ya kuzaliwa nayo mfano kuwepo kwa tundu kwenye Aorta (Patent ductus arteriosus) k**a ugonjwa wa kuzaliwa nao.

Kurithi tatizo hili au kuzaliwa na tatizo hili hufanya watu kulipata tatizo hili.

Sababu zingine zinazopelekea tatizo hili ni k**a zifuatazo??⤵️;

➡️Kuharibika kwa vavu (valve) kwenye vishipa vya damu.

➡️Moyo kushambuliwa na virusi na bakteria mara kwa mara.

➡️Ugonjwa wa figo.

➡️Kuwa na uzito mkubwa (Overweight) na unene uliokithiri (Obese).

➡️Matumizi yaliyokithiri ya pombe na madawa ya kulevya.

➡️Maambukizo ya virusi vya ukimwi (VVU)

➡️ Ujauzito/kujifungua.

KUMBUKA.

Madhara yatokanayo na utanukaji wa moyo ni k**a ⤵️

▶️kifo cha ghafla.

▶️Moyo kusimama kufanya kazi.

▶️Kiharusi(stroke).

▶️Vidonda kwenye moyo.



Dalili za Cardiomegaly

Moja ya dalili hatari za tatizo hili ni pamoja na;

1️⃣Kupumua kwa shida sana

2️⃣Kujaa na kuvimba kwa miguu.

3️⃣Kifua kubana na

4️⃣kupoteza fahamu.



Dalili zingine za moyo kutanuka ni pamoja na Vidole kufa ganzi na kukak**aa, mapigo ya moyo kwenda kwa kasi sana,moyo kulipuka mara kwa mara,miguu kuwa ya baridi, maumivu kwenye chemba ya moyo, kuongezeka uzito na kuwa na tumbo kubwa.

TIBA YAKE.
CPE na CHOLEDUZ and NATURAL CEUTICALS

Muhimu zaidi aliyebainika na tatizo hili kufanya mambo yafuatayo;

➡️Kudhibiti ulaji wa nyama nyekundu kwa wingi.

➡️Kupunguza ulaji wa wingi wa mayai na maziwa.

➡️Matumizi mengi ya chumvi kwenye mboga

➡️Kudhibiti kupanda kwa shinikizo la juu la damu

➡️Kudhibiti sukari

➡️Kutotumia pombe au kahawa

➡️Tumia mafuta kiasi kwenye kuandalia chakula mfano mafuta ya alizeti

➡️Kupata mapumziko ya kutosha kwa siku(masaa 8 au zaidi kwa siku)

➡️Kutumia mbogamboga za majani na matunda unazopendelea katika kila mlo.

➡️kufanya mazoezi ya viungo/kukimbilia kwa walau dk 45 kwa siku.

➡️Kujiandikisha kwenye kliniki ili kupata uchunguzi wa mara kwa mara.

Jilinde, jitunze na jihimize zaidi kufuata taratibu za kitabibu k**a nilivyoeleza na hii itasaidia kulinda afya yako na kupunguza madhara makubwa ya tatizo hili.

Tunapatikana ARUSHA mjini,dawa inakufikia popote ulipo kwa maelezo zaidi piga simu 0627750696
Au bonyeza link yangu hapo chini https://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE

03/08/2021

DALILI ZA AWALI ZA SARATANI YA MATITI, NAMNA YA KUJIPIMA MWENYEWE NA TIBA YAKE bonyeza link yangu hapo chini https://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE
Mat**i ni kiungo muhimu katika mwili wa mwanamke.
K**a vilivyo viungo vingine, mat**i huathiriwa na magonjwa mbalimbali.
Mojawapo ya magonjwa hayo ni saratani(kansa).
Zifuatazo zinaweza kuwa dalili zinazo ashiria saratani ya mat**i.
1=Uvimbe ambao hauna maumivu kwenye t**i moja au mat**i yote.
2=Ngozi ya mat**i kuwa na rangi nyekundu au kidonda.
Rangi ya ngozi ya t**i kubadilika na kuonekana k**a ngozi ya nje ya chungwa
3=Chuchu kukunjamana.
4=Chuchu kuingia ndani.
5=Kutoka damu au majimaji yenye damu au rangi isiyokuwa ya kawaida kwenye t**i.
Mwanamke anaweza kujichunguza mwenyewe maradhi haya ya saratani na kujua k**a ameathirika ama la, kabla ya kufanya uchunguzi huu unapaswa kufahamu masharti yafuatayo:
K**a anayejichunguza ana umri zaidi ya miaka 20, anapaswa kuhakikisha anaufanya katika siku ya tano,
Sita na saba baada ya kumaliza hedhi.
Ili kujipima saratani mwenyewe ukiwa nyumbani au sehemu yoyote tumia moja( au zote) katika njia hizi;

•Hali ya kuwa kifua chako kikiwa kipo wazi huku ukijitizama kwenye kioo,
Nyanyua mkono juu na viganja vishikane juu ya kichwa chako. Kisha chunguza k**a kuna mabadiliko yoyote katika mlingano wa ukubwa wa mat**i.
K**a moja litaonekana kuwa kubwa zaidi ya jingine basi ni moja ya viashiria vya athari ya saratani.

•Njia nyingine ambayo haihitaji kioo, unachotakiwa kufanya ni kusimama wima na kunyanyua mkono wa kushoto juu huku vidole vya mkoo wako wa kulia vikiwa vinabinya na kuachia kwa mzunguko kwenye t**i kuangalia k**a ndani kuna uvimbe.

Baada ya kumaliza kwa t**i la kushoto vivyo hivyo utafanya kwa t**i la kulia.
Njia hii pia waweza kuifanya ukiwa umelala chali.
Wataalam waliofanya utafiti juu ya saratani ya mat**i walibaini kwamba hali hiyo inaweza kusababishwa na sababu mbalimbali k**a vile;

i) kuanza hedhi katika umri mdogo
ii) mwanamke kufikisha umri bila kuzaa
iii) utumiaji wa mafuta mengi katika mlo.
iv) mama kutonyonyesha baada ya kujifungua au kumnyonyesha mtoto kwa muda mfupi.
Kwa wastani na kiafya zaidi yabidi mama amnyonyeshe mwanae kwa miaka miwili kamili.

v) unene kupita kiasi
vi) kutofanya mazoezi mara kwa mara
vii) uvutaji wa sigara
viii) matumizi ya pombe kupita kiasi
ix) wakati mwingine inaweza kurithiwa kutokana na historia ya saratani ya mat**i katika jamii husika au familia husika.

TIBA
Mgonjwa wa saratani ya mat**i anaweza kupata tiba na kupona kabisa hivyo hakuna haja ya kuwa na wasi wasi.
Aina zote za saratani ni kwamba zinapaswa kubainiwa mapema kwa kuwa hiyo ndiyo njia pekee ya kuweza kuitibu na kupona bila ya mtu kupata matatizo mengi.

Zipo aina mbalimbali za tiba na mojawapo ni upasuaji. Upasuaji huu kwa kawaida hufanywa katika hatua za mwanzo.
Njia nyingine ni tiba ya mionzi au kupewa dawa.
Tiba iliyo bora, Rahisi na yenye uhakika zaidi bila ya kukuletea madhara katika mwili wako ni kutumia mimea na vyakula vyenye kuleta matokeo mazuri katika kuutibu ugonjwa huo.
Wataalamu wamefanya uchunguzi juu ya mimea mbalimbali na kuthibitisha kuwa inafanya kazi asilimia mia na kutibu kabisa ugonjwa.

Kwa kuzingatia haya, waweza ukapata tiba kwa kutumia dozi asilia iliyokwishaandaliwa ili kutibu kabisa chanzo au mzizi wa saratani hivyo kuua kabisa tatizo na siyo kupooza.
KWA TIBA NA USHAURI TUPIGIE
/SMS/WHATSAPP; 0627750696 bonyeza link yangu hapo chinihttps://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE

31/07/2021

👙👙FAIDA ZA KUTUMIA FEMININE WASH KWA WANAWAKE 👙👙👇🤰bonyeza link yangu hapo chini https://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE

FEMININE WASH
Hii huwa inafahaamika k**a Mkombozi wa WANAWAKE kwa maambukizi ya sehemu za SIRI l,imeandaliwa maalumu kwaajili ya wanawake

Imetengenezwa kwa vya vyakula na mimea,ina madini na viua sumu mwilini.
Inamadini yanayouhusisha Uke kuwa na ulinzi asilia,Inaviua sumu vinavyozuia uke kuzeeka(Mashavu),uke uliolegea,pia ina mafuta mazuri sana yaitwayo essential Oil kwaajili ya kufanya Uke urudishe mnato wake wa asili.

KAZI ZAKE👇🤰
FEMININE WASH
▪︎Huondoa harufu mbaya Ukeni
▪︎Huondoa Bakteria wabaya na kuzuia U.T.I
▪︎Huondoa Fangasi na miwasho Ukeni
▪︎Hurudisha saizi nzuri ya Uke
▪︎Huondoa majimaji yenye harufu mbaya yatokayo Ukeni
▪︎Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa
▪︎Hufanya MWANAMKE kujiamini muda wote
▪︎Huzibua mirija ya UZAZI hivyo husaidia wenye shida ya kutoshika mimba
▪︎Humkinga MWANAMKE na maambukizi mabaya hasa U.T.I kwenye vyoo,kemikali za swimming pool,maambukizi mabaya kutoka kwa mwanaume n.k

Mwisho kabisa napenda kuwashauri WANAWAKE wote,uwe unaumwa ama hauumwi hii ni supplement nzuri kuwa nayo ndani itakusaidia kwenye mazingira usiotegemea. Kwa waliopo Arusha kuonana na mm ni bure

Kwa mawasiliano: 0627750696 bonyeza link yangu hapo chini https://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE

30/07/2021

*SABABU ZA UUME KUSINYAA/ KUWA LEGE LEGE, KUWAHI KUFIKA KILELENI NA KUSHINDWA KURUDIA RAUNDI YA PILI HARAKA.* Bonyeza link yangu hapo chini https://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE

Haya ni matatizo yanayotesa wanaume wengi kwenye suala la nguvu za kiume.
Kuwahi kufika kileleni ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake.

Wengi walio na tatizo hili utakuta uume wao unaposimama unakuwa legelege na wakati unapolala husinyaa na kurudi ndani

Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa baada ya hali hii kutokea.

Kimsingi mwanaume anatakiwa achukue dakika nne mpaka nane kabla ya kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja.

Tatizo hili huweza kutokea mara tu baada ya kubalehe, {primary pre mature ej*******on} mda mrefu baada ya kubalehe{secondary PE} au kutokana na aina ya mwanamke uliompata. {situational PE}

CHANZO NI NINI?
Tatizo hili halina sababu za kitaalamu zilizofanyiwa utafiti zikakakubalika ila wanasayansi wanaamini sababu zifuatazo zinaweza kua chanzo kikuu cha tatizo hilo.

1) Kupiga punyeto au kujichua ; mara nyingi watu wanaopiga punyeto hua wanafanya haraka kwa kujificha ili wasikutwe na mtu. tabia ile ya kulazimisha mbegu zitoke
haraka huweza kuleta tatizo hili.

2) Kukaa muda mrefu bila kushiriki tendo la ndoa; kukaa mda mrefu sana bila kushiriki tendo la ndoa husababisha mkusanyiko mkubwa wa mbegu za kiume ambazo
zinaleta msisimko mkubwa na ukichelewa sana kushiriki tendo la ndoa zitatoka kwenye ndoto nyevu. kawaida mwanaume anatakiwa ashiriki tendo angalau mara nne kwa wiki.

3) Kuwa na wasiwasi wakati wa tendo la ndoa ; mtu akiwa na historia ya kupata hali hii kabla, hua hajiamini na kua na wasiwasi kwamba litatokea tena na matokeo yake hulipata kweli.

4) Madhara ya dawa zinazofanya kazi kwenye mishipa ya fahamu; baadhi ya dawa za usingizi, mawazo na zingine zinazofanya kazi kwenye mishipa ya fahamu huleta tatizo
hili mfano amitriptyline.

5) Kurithi; baadhi ya koo au familia fulani hurithi vimelea vya kua na ugonjwa huu kwa vizazi mbalimbali vya familia husika.

6) Magonjwa ya mfumo wa uzazi wa mwanaume mfano prostat**is.

KUTAMBUA TATIZO
Mwanaume yeyote ambaye anatoa mbegu chini ya dakika moja au mbili ni muhanga wa hili tatizo na anatakiwa apewe matibabu.

Watu wamekuwa wakimeza vidonge vya kuongeza nguvu za kiume na madawa mbalimbali ya asili bila mafanikio yoyote, sababu hujaribu kutibu misuli ya uume kwa dawa ili hali misuli dawa yake mazoezi.

MATIBABU YA TATIZO HILI.
TIBA YA MAZOEZI NA KULA MATUNDA KWA MTU MWENYE TATIZO HILI
Tiba ya mazoezi ya misuli ya uume na kula matunda ni tiba bora na ya uhakika kabisa kwa mtu aliye athiriwa na tatizo hili. Tiba hii hufanya mambo yafuatayo:
A) Kuimarisha mishipa na misuli ya uume ulio
legea na hivyo kuurejeshea uwezo wake wa asili
B) Hutibu tatizo la uume kurudi ndani na kuwa k**a wa mtoto mdogo
C) Humaliza tatizo la kusimama kwa uume
ukiwa legelege
D) Hutibu na kuponya kabisa tatizo la kufika
kieleleni haraka.
E) Huongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa hata baada ya raundi ya kwanza.

K**a una tatizo hilo wasiliana nami sasa kwa Whatsap au kawaida kwa namba 0627750696 ili upate tiba hii ya ukweli na uhakika iliyokwisha saidia wengi wenye tatizo hili.
Kumbuka kuwa tiba hii inatolewa kwa kupewa mazoezi Bora ya kufanya nyumbani kwako utakayo fanya ndani ya nusu saa,Aina ya vyakula na vinywaji vitakavyo kumsaidia kuongeza nguvu, *cha mwisho ni tiba mbadala ambayo utatumia kwa mda wa siku 10 mpaka mwezi mzima,

*NB: Usikae kimya ndugu, wengine wanapona*.
*Karibu uondoe stress na* *aibu hiyo ya kudharirika mbele ya mke/mpenzi wako* bonyeza link hapo chini https://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE

29/07/2021

NINI CHANZO CHA MIGUU KUWAKA MOTO
Bonyeza link yangu hapo chinihttps://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE
Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la c kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yaani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwa jina la Peripheral Neuropathy.

Mwili wa binadamu hutawaliwa na mifumo ya neva au kwa kitaalamu Nervous System, ambapo katika mifumo hii kuna mfumo mkuu, central nervous system (ubongo na uti wa mgongo) na pia kuna mfumo wa pembezoni ambao ni kazi za mwili mbali na ubongo na uti wa mgongo (peripheral nervous system), mfumo huu wa pembezoni hujumuisha kazi za misuli, mapigo ya moyo, mmeng’enyo wa chakula tumboni, uwezo wa kuhisi baridi au joto, kugusa vitu na kujua ukali wa ncha ya kitu na kadhalika.

Matatizo haya ya kiafya (miguu au mikono kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa neva za pembezoni mwa mwili (miguuni au mikononi) na hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa neva katika sehemu husika, miguuni au mikononi.

Dalili zinazoambatana na ugonjwa huu ni hizi zifuatazo:

1. Mtu kuhisi ganzi
2.Maumivu au kuwaka moto maeneo ya miguuni au mikononi,
3. Kuhisi k**a umevaa soksi au gloves wakati hujavaa,
4. Kuhisi k**a kuna kitu cha ncha kali kinakuchoma miguuni au kwenye vidole,
5. Kushindwa kushika au kunyanyua kitu,
6. Kuchoka kwa misuli na kadhalika.

Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea neva hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi vizuri ni haya yafuatayo naomba uyafahamu:

1. Kupungua kwa virutubisho mwilini, katika hili tunamaanisha mwili kutokuwa na vitamini vya kutosha na hasa mkusanyiko wa vitamini B, (Vitamin B Complex).

2.Matumizi ya dawa, mtu kuwa katika matumizi ya baadhi ya dawa, mfano dawa za kutibu kifua kikuu au za kupambana na virusi vya ukimwi huweza kumsababishia mtumiaji matatizo ya neva.

3. Uzito mkubwa wa mwili: Hali hii hupelekea maumbile ya viungo vya mwili mfano umbile la uti wa mgongo lionekane tofauti na ilivyo kawaida, kubadilika huku husababisha baadhi ya neva katika uti wa mgongo zikandamizwe zaidi na misuli au uzito wa mwili na hivyo kusababisha neva hizo zishindwe kufanya kazi vizuri, matokeo yake ni wewe kuanza kuhisi maumivi au kufa ganzi kwa miguu.

4. Ugonjwa wa kisukari: Mtu mwenye tatizo la kisukari huwa hatarini zaidi kuugua au kupata matatizo ya neva, (diabetic polyneuropathy).
Shinikizo la damu: Mtu kuwa na shinikizo kubwa la damu (High blood pressure) pia ni kihatarishi kinachoweza kumfanya mtu apate ugonjwa huu wa neva.

Baadhi ya vitu hatarishi vinavyoweza kumfanya mtu apate matatizo haya, vinaweza kuepukika kwa mtu kuyabadili maisha yake mfano, k**a ulikuwa hufanyi mazoezi ya mwili, basi ujitahidi kuupa mwili mazoezi ili kupunguza uzito wa mwili, kuepuka magonjwa ya kisukari na kuepuka kuwa na shinikizo kubwa la damu, kula chakula chenye virutubisho vya kutosha

Kwa maelezo zaidi piga simu au tuma sms au WhatsApp number 0627750696 Au link👇👇👇👇https://chat.whatsapp.com/CQ3GUkXsaEyDOa73DF2YUE
Kwa maelezo zaidi

29/07/2021

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

Arusha