Afya maridhawa

Afya maridhawa

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya maridhawa, Health/Beauty, Sinoni, Arusha.

Afya ndio mtaji wa kila kitu,maana k**a afya haipo imara shughuli nyingi za kiuchumi hazitafanyika na ndio mwanzo wa kuukaribisha umaskini hivyo jali afya kwanza

20/10/2022

MWANAMKE!!!! MWANAMKE!!! USIPITITWE!
▶️Uke kuwa mkavu
▶️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
▶️Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi.
▶️kukosa hamu ya tendo la ndoa.
▶️Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja).
▶️Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.
▶️Uchovu wa mara kwa mara.
▶️kutokwa maji machafu ukeni
▶️kutokwa uchafu mweupe au wa njano ukeni
▶️Kuharibika kwa mimba
▶️P.I.D na U.T.I isiyoisha
▶kupata miwasho ukeni

Kwa msaada na kupata tiba
Tupigie kwa 0762656868/0693861616

19/09/2022

0762656868/0693861616
Karibu tukuhudumie mana wengi wameshasaidika kupitia bidhaa hiz hiz za bfsuma karibu sana

03/09/2022

*XPower Man Capsules Plus*

*FAIDA ZAKE*
○ Una Mchanganyiko wa kipekee wa vyakula vya asili vinavyoongeza ufanisi katika tendo la ndoa
○ Inamuongezea Mwanaume uwezo wa kufanya mapenzi bila madhara
○ Inasaidia kumuongezea mwanaume hari ya kujiamini.
○ Kuongeza wingi na ubora wa manii (s***m)
○ Inaondoa Uchovu na msongo wa mawazo
○ Inaoboresha mzunguko wa damu kwenye uume hari inayosaidia uume kusimama vizuri.

● *BF Suma X Power Man ni nini ?*
○ Ni bidhaa yenye mchanganyiko wa hari ya juu ya virutubisho vinavyoboresha Afya ya Uzazi kwa Mwanaume.

● *VIUNGO* (Ingredients)
○ *Epimedium* ni kirutubisho kinachoongeza hamu ya kufanya mapenzi, kinasaidia kuchelewa kufika kileleni na kuongeza uwezo wa s***m kurutubisha Yai.
○ Maca inaongeza nguvu kwa mwanaume na kusimama kwa uume.

Call/WhatsAapp And Msg 0762656868/0693861616

Photos from Afya maridhawa's post 03/09/2022

Fahamu zaidi kuhusu Femicare Cleanser Mkombozi Kwa mwanamke anayejijali.
Faida za Femicare Cleanser kutoka BFSUMA 🇹🇿👇

• Hutibu U.T.I Sugu, Fangasi, Miwasho
• Huondoa Kutokwa na Uchafu Ukeni
• Huondoa Harufu Mbaya Ukeni
• Nzuri kwa wote wenye matatizo ya Hedhi
• Huzibua mirija ya uzazi iliyoziba
• Huimarisha Ulinzi Dhidi ya Bacteria wabaya
• Ni Njia ya Kusafisha uke bila Kemikali
• Hukifanya Uwe Huru Na kuwa Mwenye Furaha muda wote
• Ni Rahisi mno kutumia
• Ni Bora Na Imethibitishwa Na mamlaka zote za Afya! Duniani
NB:📌 OFFER 🫴 NUNUA FEMICARE 1 UPATE ANATIC SOAP 🧼🫧 MOJA BURE VIGEZO na Masharti kuzingatiwa 😊☺️Piga/WhatsApp& Msg 0762656868/0693861616

20/07/2022

Suluhisho la magonjwa haya na mengine mengi usisite kunipigia 0762656868/0693861616

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Sinoni
Arusha
12385