Maisha ni Afya

Maisha ni Afya

Share

Karibu nikuhudumie changamoto yako ya kiafya kwa kutumia virutubisho lishe

26/01/2024

*FAIDA ZA PURE AND BROKEN* Kiini Cha Uyoga Mwekundu ♥️♥️♥️💯✅ Baadhi za kazi zake ni zifuatazo👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼 ⏺ Hupandisha CD4 mwilini ⏺ Huongeza Kinga mwilini ⏺ Ni nzuri kwa walio ugua mda mrefu ⏺ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini ⏺ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo ⏺ Ni nzuri kwa waathilika wa VVU ⏺ Huongeza nguvu Mwilini ⏺ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu ⏺ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari ⏺ Huondoa Sumu mwilini ⏺ Huondoa uvimbe mwilini ⏺ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus ⏺ Huondoa Maumivu makali wakati wa hedhi ⏺ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini ⏺ Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu ⏺ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau ⏺ Huimarisha macho ⏺ Huongeza nguvu za kiume ⏺ Huondoa vimelea vya Saratani ⏺ Huimarisha ngozi yako ⏺ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji ⏺ Hutibu Ugumba ⏺ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi ⏺ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ili
Call :0765311323 for more information

12/01/2024

Detoxification process ni muhimu jipatie bidhaa yako Leo....

Wasiliana nami kwa simu namba 0765311323

03/01/2024

Ukiona dalili izo wasiliana nami kwa simu namba 0765311323

03/01/2024

Ondoa sumu mwilini Leo KUPITIA virutubisho lishe

Wasiliana nami kwa.simu.namba 0765311323

18/05/2023

Tumia VYAKULA vinavyokuzunguka, k**a tiba yako....

01/04/2023

JIFUNZE LEO KUHUSU UGONJWA WA BAWASILI.

BAWASILI NI NINI?
-Bawasili ni hali ya kutokewa na kinyama katika njia ya haja kubwa, aidha kwa ndani au kwa nje. Kinyama hicho muda mwingine kinaweza kisionekane k**a kikitokea kwa ndani, ila mtu anakua anakihisi pale anapopata haja kubwa.

DALILI ZA BAWASILI NI ZIPI?
-Kupata maumivu ya tumbo mara kwa mara.
-Tumbo kujaa gesi na kupata kiungulia mara kwa mara.
-Kupata miwasho katika sehemu ya haja kubwa.
-Kupata haja kubwa iliochanganyika na damu.
-Kujisikia uchovu na udhoofu mara kwa mara.

JE, BAWASILI INASABABISHWA NA NINI?
-Kupata choo kigumu mara kwa mara
-Kukaa sehemu moja kwa muda mrefu, kwanzia masaa matatu na kuendelea, mara kwa mara.
-Kushiriki tendo la ndoa kinyume na maumbile.

WATU GANI WAPO KWENYE HATARI YA KUPATA UGONJWA HUU?
-Long transit drivers (Madereva wanaoendesha magari ya masafa marefu): Watu hawa wako kwenye hatari kubwa ya kupata bawasili kwani wanakaa sehem moja kwa muda mrefu hivyo kufanya kuwa n mkandamizo katika eneo la haja kubwa.
- Watu wanaofanya mazoezi makali/mazito.
-Wanawake wajawazito .
-Wanaoshiriki tendo ndoa kinyume na maumbile.

NI YAPI MADHARA YA BAWASILI?
-Kupungukiwa na damu mara kwa mara.
- Inapelekea kansa (cancer) ya utumbo mpana k**a haitatibiwa mapema.
-Kupata maumivu makali sana katika njia ya haja kubwa ambayo yanaeza kupelekea au kusababisha mgonjwa ashindwe kukaa.
-Husababisha upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume
-Kutokujiamini
-Hupelekea mvurugiko wa hormone (vichocheo) haswa kwa mwanamke.

KWA USHAURI ZAIDI, TIBA NA MASWALI KUHUSU UGONJWA HUU WA BAWASILI WASILIANA NAMI KWA SIMU NAMBA :0765311323
:0764311323
PIA UNAWEZA TEMBELEA PAGE/UKURASA WANGU WA INSTAGRAM; SHARON HEALTH CARE.

21/03/2023

Wasiliana nami kwa Simu namba 0765311323 upate suluhisho leo

25/02/2023

Jua maumivu mbali mbali ya kichwa leo.....pamoja na tiba yake...
CALL:0765311323

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Arusha