EM Herbs Tiba lishe
TUNATIBU MAGONJWA MBALI MBALI KWAKUTUMIA MIMEA, MATUNDA NA MBOGA MBOGA
Mawasiliano:0754771022
03/11/2023
FAIDA YA UTUMIAJI WA UKWAJU KATIKA AFYA
•Husaidia kupunguza kiwango cha lehemu mwilini (Cholesterol)
•Huwasaidia watu wenye changamoto ya shinikizo la damu (Presha)
•Hupunguza uzito wa mwili uliozidi (Over weight)
•Huboresha mmeng'enyo wa chakula
•Husaidia kuondoa tatizo la uhafifu wa nyere kutokuwa au kukatika katika na kuzipa ubora{Chakufanya hapa chukua ukwaju vipande kadha hata 3 changanya na Bizali vijiko 4 vya chakula kisha chemke jikoni baada ya hapo utaipua kisha paka kichwani acha ikae hata dk 20 kisha unawe kwa maji safi ya vuguvugu
•Husaidia katika usambazaji mzuri wa damu
•Huimarisha ufanisi wa tendo la ndoa
NAMNA YA KUANDA JUISI YETU:
Chukua viambata hivi ili iwe Bora zaidi kiafya
-Chukua ukwaju kwa kiasi kitakachofa kwa matumizi
-Maji nusu Lita,
-Asali vijiko 5
-Mdalasini vijiko 3
-Tangawizi vijiko 4
Baada ya hapo utachukua ukwaju,maji, Mdalasini na Tangawizi utavichemsha kwa pamoja jikoni kwa dk 5 had 10 ili kuuwa vijidudu baada ya hapo utaanda vyombo vilivyo salama na chujiu utachuja juisi yako kisha utachanganya na Asali koroga vizuri acha mchanganyiko wako huo usiku kucha utakuwa tayari kwa matumizi
Tumia walau glass moja Mara mbili kwa siku Asubuhi na jioni
Hifadhi sehemu yenye ubaridi na hakikisha imefunikwa kwaajiri ya usalama
Karbu tuendele kujifunza zaidi
EM Herbs Tiba lishe
TUNATIBU MAGONJWA MBALI MBALI KWAKUTUMIA MIMEA, MATUNDA NA MBOGA MBOGA
Mawasiliano:0754771022
31/10/2023
Uvimbe kwenye kizazi (Swelling in the cervix/Fibroids),Fibroids ni uvimbe unaojitokeza kwenye tumbo la kizazi,uvimbe huu unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta :,
-Aina za uvimbe ni k**a ;
i-Submucosal Fibroids (Ndani ya kizazi)
ii-Subserosal Fibroids(Nje ya kizazi)
iii-Intramural Fibroids (Ndani ya nyama ya kizazi)
€Baazi ya viashiria/Dalili za uvimbe kwenye kizazi ni k**a
-Maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi,ambao husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe
-maumivu makali ya tumbo la chini ya kitovu (Lower abdomen pain)
-Hedhi zisizokuwa na mpangirio
-Kukosa hamu ya tendo la ndoa
-Kutokwa na uchafu wenye harufu ukeni n.k
...!!!! Ni vema kuchukua hatua,usichukulie kawaida pale uonapo dalili au viashiria k**a hivyo ni vema kukutana na wataramu wa afya au kituo cha afya cha karbu yako ili uweze pata ushauri zaidi na suruhu juu ya hiyo changamoto
Matibabu:-
Unaweza kuitumia dawa zetu hizi ukapona pia dozi
-Lady Cure 3
-Herbal tonic 2
-Detoxifier 1
[email protected]
ni mtaji
31/10/2023
FAIDA ZA UTUMIAJI WA MCHANGANYIKO HUU (Limao,Tangawizi,Vitungu swaumu,Mdalasini na Asali)
Mchanganyiko huu unakiwango kikubwa cha Vitamin C
1-Husaidia kuondoa mafuta machafu mwilini(Lehemu/Cholesterol)
2-Husaidia kupunguza kitambi na uzito wa mwili kupita kiasi
3-Hudhibiti changamoto za mfumo wa hewa(mafua, kikohozi n.k)
4-Hisaidia kuongeza joto la mwili
5-Husaidia kuongeza hamu ya chakula kwa watu wasio na hamu ya kula(appetite)
6-Husaidia kupunguza matatizo ya uvimbe sehemu mbali mbali za mwili
7-Husaidia pia kina baba katika ufanisi wa tendo la ndoa kwani unapotumia mchanganyiko huu husaidia kusambaza damu vizuri hata katika maumbile(Blood flow) na kufanya kuwa na uwezo wa kusimama(electile transmitter)
Maandalizi
-Chukua Tangawizi moja yenye ukubwa wa kidole gumba
-maji moto yenye ujazo wa kikombe cha chai na nusu
-Mdalasini kijiko kimoja cha chakula
-Chukua limao moja
UTENGENEZAJI
Utachukua maji yenye ujazo huo wa kikombe kimoja cha chai na nusu,utaweka kwenye chombo cha kuchemshia,utachukua tangawizi utaikwangua au kuitwanga,Limao katakata vipande viTangawizi,Vitungu swaumu punje sita ponda ponda,kisha chukua mdalasini kijiko kimoja cha chai vichanganye kwa pamoja vyote vichemke hadi pale utakapoona maji yamebaki kikombe kimoja cha chai chuja vizuri upate juice yako..!
Matumizi!!
Tumia kila siku Asubuh hadi pale utakapoona maendeleo ya hiyo changamoto yako ki Afya nashauri kutumia ndani ya siku saba hadi kumi na nne(two week)
ANGALIZO
Mwenye vidonda vya tumbo harusiwi kutumia mchanganyiko huu.
Na aliyepima na kukutwa na kiwango kikubwa cha Uric Acid usitumie mchanganyiko huu!
Tiba lishe 🍒🍒🥑🥦🥝
Karbuni tuendelee kujifunza zaidi
Mawasiliano 0754771022 kwa changamoto nyinginezo na ushauri zaidi 🙏🙏
31/10/2023
TUFAHAMU KUHUSU TIBA ASILI 🥑🍇
Dawa hizi zimeandaliwa kwa mimea (miti shamba,matunda🥑 na mboga mboga 🥦) zisizo na kemikali yoyote na ni Bora katika afya ya mwili wa binadamu..,karbu tuone aina ya dawa na faida zake karbu:
👇👇👇
HERBAL TONIC:-
Ni dawa asili inayo tibu changamoto mbalimbali katika mfumo wa mwili k**a:
1.Kuyeyusha mgandamizo wa mafuta katika mishipa ya damu(Blood Cholesterol)
2.Presha(High blood pressure)
3.Sukari(Diabetes)
4.Matatizo ya moyo,figo
5.Huyeyusha vimbe aina zote mwilini,ikiwa hata katika mfumo wa uzazi (Uterine fibroids)
6.Husaidia kupunguza unene wa mwili hasa kwa wenye miili mikubwa
7.U.T.I sugu
8.Tatizo la miguu Kufa ganzi na kuwa moto
9.watu walio pooza mwili N.k
BEI YAKE KWA KOPO MOJA NI TSH 20,000/=
DETOXIFIRE:-
Hutibu:
1.Huondoa sumu mwilini
2.Vidonda vya tumbo
3.Matatizo ya viungo mgongo, kiuno,magoti n.k
4.Gaut
5.Baridi ya bisi (Rheumatism)
6.Maralia sugu,typhoid na Brucella
7.Matatizo kwa wanawake wasio ona siku zao(Menstruation cycle)
8.Hufungua choo,kwa watu wenye changamoto ya kosa choo au wanao pata choo kigumu(Constipation) na Bawasili
BEI YAKE KWA KOPO MOJA NI TSH 15,000/=
MPS HERBS:-
Dawa hii ni kwa ajili ya wanaume,Hutibu na kuondoa mapungufu yaliomo katika mfumo wa uzazi wa mwanaume yanayo sabishwa na:
1.Kutolingana kwa homoni za uzazi(Homone Imbalance)
2.Kuwahi kufika mshindo(Pre-matured ej*******on)
3.Upungufu wa idadi ya mbegu za kiume(Low s***m count)
4.Ngili,chango,Hernia
5.Tezi dume
6.shida ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kutungisha mimba(Infertility)
7.Shida ya uume kuwa legevu wakati wa tendo la ndoa(Electile dysfunction) na kukosa hamu ya tendo la ndoa
BEI YAKE KWA KOPO MOJA TSH 20,000/=
LADY CURE:-
Dawa hii huwasaidia wanawake wenye changamoto katika mfumo wa uzazi k**a:
1.Homoni za uzazi kutolingana(Homone Imbalance)
2.Uvimbe kwenye kizazi(Uterine fibroids)
3.Kupevusha mayai ya uzazi
4.Uvimbe maji kwenye viwanda vya mayai (Ovarian cyst)
5.mirija ya uzazi iliyo ziba(clogged fallopianTubes)
6.Hutibu maambukizi ya bacteria k**a P.I.D,UTI na fangasi
7.Kutokwa na uchafu unao toa harufu ukeni
8. Huzuia mimba isiharibika(miscarriage)
9.hupunguza maumivu wakati wa hedhi
10.Husaidia mwanamke kushika mimba kwa wanawake wenye changamoto ya kuto beba mimba
BEI YAKE KWA KOPO MOJA NI TSH 20,000/=
COUGH CURE
Hutibu:
1.Kikohozi
2.Mafua makali
3.Pumu
4.Tonses
5.Allergies
BEI YAKE KWA KOPO MOJA TSH 15,000/=
DHK herbs:-
Hii Husaidia na kutibu matatizo yaliyomo katika mfumo wa moyo (Cardiovascular system)k**a Presha,kiharusi,Moyo kutanuka, Husaidia kusambaza damu vizuri katika mfumo wa mwili pamoja na matatizo mengine k**a Figo,hudhibiti kiwango cha Sukari mwilini
BEI YAKE KWA KOPO MOJA TSH 20,000/=
ANTI-ULCERS Hp
Hii hutubu changamoto ya vidonda vya tumbo sugu
Dozi yake ni
-Anti-ulcers Hp 2
-Detoxifire 1
BEI YAKE KWA KOPO MOJA TSH 20,000/=
TUTAKUWA NA OFA PIA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA KWA TSH 10,000/=
"Tiba lishe" 🍏🍒🥑🍇
TUNAPATIKANA ARUSHA TANZANIA NA MIKOA MINGINE
Mawasilian:0754771022
Pure herbal products for better Health in God we trust!!!🥦🥦🍇🥑
Unaweza kujiunga na group letu Whatsapp kwaajiri ya kujifunza zaidi
https://chat.whatsapp.com/EwQe3qt3LjL7R3UfQE2sAq
30/10/2023
CHANGAMOTO YA KUZIBA MIRIJA YA UZAZI (TUBE BLOCKAGE)
Kuziba mirija ya uzazi ni hali ya kujaa maji kwenye mirija ya uzazi (Fallopian tube) ambako kunazuia yai kusafiri kutoka kwenye mifuko ya mayai( Ovaries) kwenda kwenye mji wa mimba(Uterus),Maji haya kwenye mirija hizuia yai lisiweze kupata mbegu za kiume za kulirutubisha na hivyo kufanya mwanamke asipate ujauzito
SABABU ZA MIRIJA KUZIBA:-
Husababishwa na tatizo la maambukizi kwenye via vya uzazi ambalo hujulikana kwa kitaalamu k**a"Pelvic Inflammatory Disease (PID),PID mara nyingi husababishwa na magonjwa ya zinaa k**a kisono (Gonorrhea) na pangusa(Chlamydia),Visababishi vingine ni k**a Mimba kutunga nje ya kizazi (ectopic pregnancy),Michubuko au majeraha kwenye mirija ya uzazi kutokana na upasuajo,Mkusanyiko wa usaha au uchafu kutokana na maambukizi ya magonjwa kwenye mirija n.k
DALILI ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI
-Maumivu makali wakati wa hedhi
-Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
-Maumivu wakati wa kukojoa
-Kutokwa na uchafu ukeni
-Mirija ya uzazi kuziba na kijaa maji
-Maumivu makali ya chini ya kitovu(Lower abdominal pain)
-Maumivu ya nyonga
-Kuvurugika kwa mpangilio wa siku za hedhi
ENDAPO UONAPO DALILI HIZO FIKA KUTUO CHA AFYA KILICHO KARBU UFANYIWE VIPIMO KATI YA KIMOJA WAPO YA HIVI AU ATAKACHOPENDEKEZA MTAALAMU:
1)Ultrasound-ili kuonesha ukubwa wa mirija yako na namna ilivyoathiriwa
2)Hysterosalpingogram(HSG),Ni kipimo cha mionzi (x-rays)
3)Laparoscopy, Ni kipimo ambacho kinaweza kufanywa na mtaalamu kwa kufanya upasuaji kidogo ili kufanya uchunguzi kwa ukarbu zaidi
MATIBABU
I)Ni kuondoa mrija ulio athiriwa au kuondoa yote k**a imeathiriwa.
II)Ni kurekebisha mirija ya uzazi ilioathiriwa.
DAWA
Pia unaweza tumia dawa lishe zetu ambazo ni asilia ambazo zina mchanganyiko wa mimea matunda na mboga mboga dawa dozi ya changamoto hii inabidi utumie dawa hizi (LadyCure 3,Herbal tonic 2 na Detoxifire 1) kwa mda wa mwezi mmoja na nusu
VYAKULA VINAVYO WEZA KUSAIDIA KUZIBUA MIRIJA YA UZAZI:
1-Vitamin C
Inapatikana kwa wingi kwenye matunda yenye uchachu, k**a malimao na machungwa,Pia unaweza kupata matunda mengine k**a Papai, kiwi na mboga ya Broccoli
2)Binzali ya manjano (Turmeric),husaidia kupambana na changamoto mbalimbali za uvimbe
3)Tangawizi
4)Vitunguu saumu
MADHARA YA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI:
Endapo tatizo hili litakuwa endelevu kwa mda mrefu linaweza sababisha
a)Mwanamke kutobeba mimba(ugumba)
b)Mimba kutunga nje ya kizazi (Ectopic pregnancy)
c)Mimba kuharibika baada ya mda mfupi (Miscarriage)
Karbuni tuendelee kujifunza zaidi juu ya Afya zetu .
Tiba lishe!!🥑🍒🥦🥝🥝
Kwa mawasiliano zaidi 0754771022
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Arusha
00255