Maisha ni Afya.

Maisha ni Afya.

Share

Am forever Business Owner(FBO). Am here to help people hand to hand to achieve their goals by doing Foreverbusiness. Bila kusahau kulinda afya.

06/07/2022

MADHARA YA KUTOPATA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU (CONSTIPATION)

Watu wengi hudhani ni hali ya kawaida kupata CHOO KIGUMU au KUTOPATA CHOO kabisa. Wengine hukaa siku nzima, siku mbili au tatu bila kupata CHOO, wengine hupata CHOO KIGUMU hii ni hatari sana.... Usipuuzie.

Madhara ya KUTOPATA CHOO au kupata CHOO KIGUMU ni makubwa sana.

# Bawasili (Hemorrhoids)
Kutanuka kwa mishipa ya damu kunakotokana na nguvu nyingi unayotumia wakati wa kujisaidia. Hii hupelekea maumivu makali kwenye njia ya haja kubwa.

# Kupasuka kwa layer ya ndani ya njia ya haja kubwa. (A**l Fissure): Ni kutokana na nguvu nyingi inayotumika wakati wa kujisaidia. Hutokea sana kwa watoto.

# Kuchungulia kwa sehemu ya utumbo kwenye njia ya haja kubwa( Re**al Prolapse).

# Magonjwa ya utumbo. Kutokana na kinyesi kukaa kwa muda mrefu bila kutolewa hupelekea kupata maambukizi ya Magonjwa mengi yatokanayo na bakteria n.k na kwa muda mrefu hupelekea kupata kansa za utumbo.
Pia U.T.I, Mkojo kushindwa kutoka vizuri, maumivu ya sehemu ya mgongo n.k

NAMNA YA KUWEKA AFYA YAKO VIZURI NA KUJIONDOA KWENYE HATARI YA KUPATA CONSTIPATION, PIA KUSAIDIA KUFANYA KINYESI KUA LAINI.

Kuna njia nyingi sana za kuondoa hili tatizo, Mimi nitakuonesha niliyoitumia na niliyoqashauri wengi na ikawasaidia hata changamoto zingine nyingi.

Nimewasaidia wengi sana kwa kutumia virutubusho hivi viwili. Aloe vera Gel (juice) na Fields of green (vidonge).
Hivi ni virutubisho (sio dawa), zinatumika sana kuhakikisha afya yako ya mmeng'enyo wa chakula unakua vizuri na kukuondolea matatizo ya constipation.

Ni virutubusho asilia havijaongezwa radha, wala visindika vyenye kemikali.

1. ALOE VERA GEL.

Ina uwezo mkubwa wa kusafisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. Imetengenezwa kwa aloe vera 99%. Na 1% ikiwa imeongezwa citric acid ya machungwa n.k kwa ajili ya kusindika.
Ina vitamin zaidi ya 12, madini 20 na amino acid 18. Mbali na kuboresha mmeng'enyo wa chakula pia husaidia ufanisi wa mifumo ya mwili, afya ya Ngozi, kuondoa sumu mwilini, kubalance sukari, n.k

2. FIELDS OF GREEN.
Hii ipo kwenye mfumo wa vidonge ili kurahisisha utumiaji. Imetokana na mboga za majani tofauti zenye mchanganyiko mzuri wa virutubisho.
Imetengenezwa kwa mboga mboga k**a ifuatavyo.

# Barley Grass: Hii inakiasi cha kutosha cha alkaline ambayo husaidia kuneutralize acidi tunayopata kutoka kwenye vyakula k**a mayai, nyama na sukari. Pia ina protease enzyme ambayo ni muhimu kwa ufyonzwaji wa vyakula vyenye protein.

# Alfalfa Grass: Hii ina amino acid 8, madini ya calcium, magnesium pia beta carotene. Pia ina Chlorophyll ambayo husaidia kuondoa simu mwilini. Calcium na magnesium ni muhimu kwa afya ya mifupa.

# Wheat grass: Hii ina madini ya calcium pia na magnesium. Wheat grass husaidia sana kubalance PH, kusaidia mmeng'enyo wa chakula na kuimarisha kinga ya mwili.

# Cayenne Pepper: Hii ina vitamin E kwa wingi, ina madini ya B complex. Husaidia sana kusafisha mmeng'enyo na kulainisha kinyesi.

# Selenium : hii husaidia kuondoa sumu mwilini, huzalisha insulin na pia huongeza ufanisi wa vitanini E.

KWA KUTUMIA ALOE VERA GEL NA FIELDS OF GREEN unapata faida nyingi mno sio tu kwa mmeng'enyo wa chakula na constipation.

Hiki ni chakula kizuri kwa uimara wa afya yako.

Kwa maelezo zaid tuwasiliane kupitia namba 0766795579

06/07/2022

Your transformation is possible too.. It's not a diet... It's a decision to make a completely lifestyle change to a healthier you.. YES YOU CAN 💪
•
•
Watsup +255766795579 for consultation..

10/04/2022

BORESHA UFANISI MWANAUME
"Nimeipata RAHA YA TENDO! Hakuna tena KUWAI KUFIKA, Nasimama IMARA, SICHOKI HARAKA na Naenda zaidi ya MARA MOJA. Call/whatsApp https://wa.me/255766795579

26/01/2020

BORESHA UFANISI MWANAUME
"Nimeipata RAHA YA TENDO! Hakuna tena KUWAI KUFIKA, Nasimama IMARA, SICHOKI HARAKA na Naenda zaidi ya MARA MOJA. Call+255716560946 whatsApp https://wa.me/255766795579

16/01/2020

BORESHA UFANISI KWENYE TENDO LA NDOA.
Tatizo la Nguvu za Kiume linatokana na Changamoto za Mzunguko Wa Damu pamoja na Ukosefu wa Virutubisho lishe Mwilini(Madini na Vitamins) ambavyo huathiri, Hisia, Hormone (Vichocheo), Uzalishaji Mbegu, Utungishaji Mimba, Misuli ya Mwanaume kulegea kupelekea Kuwahi Kufika kileleni, Kutokea kwa Saratani ya Tezidume.
ARGI+ na Multi Macca ni Kirutubisho lishe ambacho Husaidia kumaliza matatizo hayo Yote. Huzibua mishipa ya Damu, Kuongeza uzalishaji mbegu, Kuboresha hamu ya tendo la ndoa, kuimarisha mishipa, Uzalishaji Wa Hormone, Kuboresha Nguvu za Kiume kwa Ujumla. .
FAIDA NYINGINE NI:



&TISSUE
'ENYAMAFUTA
UZALISHAJI WA ZA KUPUNGUZA KASIYAUZEE. . Kwa maelekezo zaidi tuwasiliane kwa +255716795579/watsApp link: https://wa.me/255766795579

03/01/2020

BORESHA UFANISI KWENYE TENDO LA NDOA.
Tatizo la Nguvu za Kiume linatokana na Changamoto za Mzunguko Wa Damu pamoja na Ukosefu wa Virutubisho lishe Mwilini(Madini na Vitamins) ambavyo huathiri, Hisia, Hormone (Vichocheo), Uzalishaji Mbegu, Utungishaji Mimba, Misuli ya Mwanaume kulegea kupelekea Kuwahi Kufika kileleni, Kutokea kwa Saratani ya Tezidume.
ARGI+ ni Kirutubisho lishe ambacho Husaidia kumaliza matatizo hayo Yote. Huzibua mishipa ya Damu, Kuongeza uzalishaji mbegu, Kuboresha hamu ya tendo la ndoa, kuimarisha mishipa, Uzalishaji Wa Hormone, Kuboresha Nguvu za Kiume kwa Ujumla. .
FAIDA NYINGINE NI:



&TISSUE
'ENYAMAFUTA
UZALISHAJI WA ZA KUPUNGUZA KASIYAUZEE. . Kwa maelekezo zaidi tuwasiliane kwa +255766795579

07/12/2019

Je ndoa yako inaelekea kupoteza heshima? Mkeo hana furaha na performance yako, kurudia tendo la ndoa ni mtihani?
TUMIA AGRI+ SASA KUOKOA NDOA YAKO.
ARGI+ inaongeza nguvu za kiume kwa akina baba.
Huboresha misuli ya uume.
Inakupa stamina na uwezo wa kurudia tendo la ndoa.
Inaboresha afya ya tendo la ndoa.
Inakupa afya bora ya moyo balance blood pressure, muscle growth.
Inafanya mishipa ya damu kuwa sawa,
Inakupa mwili rutuba,
Karibuni sana product zetu zimedhibitishwa na mashirika makubwa duniani hazina madhara yeyote tutafute 0766795579 call and sms WhatsApp

11/11/2019

JENGA HESHIMA YA NDOA YAKO KWA ARGI+.
ARGI+ ni kirutusho chenye ubora wa hali ya juu, kilicho saidia watu wengi sana.
Asilimia kubwa ya Wanaume ambao waliwahi au wanaojihusisha na punyeto (masterbration) hukumbana na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ambapo uume huwa mdogo k**a wa mtoto mdogo, uume kusimama lege lege na kuwahi kufika kileleni ndani sekunde au dakika chache na pia kushindwa kuendelea na tendo la ndoa. hii hutokana na mishipa kuwa dhaifu na kupungua kwa hisia ya tendo la ndoa.
Pia kunasababu nyingi zinazosababisha tatizo k**a magonjwa k**a Presha, Kisukari, Ngiri, na pia Msongo wa Mawazo. Kwa upande mwingine vyakula tunavyokula hupelekea mishipa kutopitisha damu k**a inavyotakiwa. Kwa hili usiwe na shida njoo tuzungumze utaelimishwa kwa undan juu ya hilo na kupewa ufumbuzi nini cha kufanya.

FAIDA ZA ARGI+
1- Inaongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote akina mama na akina baba, STAMINA, na NGUVU wakati wa tendo la ndoa.
2- Inasaidia kuongeza idadi ya mbegu za kiume (s***m count) na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri (mobility).
3- Inasaidia kubalance kiwango cha sukari mwilini, hivyo huboresha hamu ya tendo la ndoa kwa wenye changamoto ya kisukari.
4- Husaidia kwa wenye changamoto ya kuwahi kufika kileleni, na kushindwa kurudia tendo la ndoa.
5- Husaidia ufanisi wa kazi za moyo.
6- Husaidia mishipa ya damu kufunguka na kutoa uchafu ulio ganda, hivyo kuweka standard pressure.
7- Inasaidia misuli kuwa imara na yenye nguvu, hivyo ni nzuri sana pia kwa watu wanaofanya mazoezi, n.k
2.POLLEN
Bidhaa imetokana Na nyuki ambayo inavirutubisho 22 ambazo ndan yake kuna vitamin Na madini muhimu ambazo inalisha na kutunza tezi Dume Na inasaidia kuimarisha mbegu Za kiume Na uwezo wa tendo la ndoa
kumbuka tu, hizi siyo dawa. Japo hufanya kaz zaid ya dawa

NI PRODUCT SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, IMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA AFYA NA CHAKULA DUNIANI.

Kwa maelezo na ushauri zaidi wasiliana nasi
https://wa.me/255766795579 call: 0716560946

01/07/2019

TATIZO LA KUTOPATA CHOO/CONSTIPATION

Kati ya changamoto za kiafya ambazo zinawakumba watu wengi mojawapo ni kutopata Choo na kupata Choo kigumu k**a cha mbuzi na wengine hudhani ni kawaida t, yaani huona kawaida kutopata Choo kwa muda hata wa siku tatu hadi wiki na wengine hudhani kua ndio jambo la kheri kutokwenda kwenda chooni, kumbe ni tatizo kubwa linaloweza kusababisha 90% ya magonjwa yote yasiyoambukizwa na hatimae vifo.

Watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo kwa wengine huwafanya kua na uoga na aibu wa kulielezea na kushindwa kwenda hata hospitali kupata tiba, Kwahiyo huteseka sana.
TUTAKUELEKEZA NAMNA YA KUWEKA AFYA YAKO VIZURI NA KUJIONDOA KWENYE HATARI YA KUPATA CONSTIPATION, PIA KUSAIDIA KUFANYA KINYESI KUA LAINI.

Tumewasaidia wengi sana kwa kutumia virutubusho hivi viwili. Aloe vera Gel (juice) na Fields of green (vidonge).
Hivi ni virutubisho (sio dawa), zinatumika sana kuhakikisha afya yako ya mmeng'enyo wa chakula unakua vizuri na salama.

KWA KUTUMIA ALOE VERA GEL NA FIELDS OF GREEN unapata faida nyingi mno sio tu kwa mmeng'enyo wa chakula na constipation.

Kwa mawasiliano zaidi tupigie kupitia namba +255766795579. WhatsApp https://wa.me/255766795579

15/06/2019

*JE UNA MTOTO ANAYESUMBUA KULA?*

Watoto wengi wanakosa lishe bora kwasababu wanashindwa kupata *virutubisho* vya kutosha kutoka kwenye chakula. Hii inatokana na watoto wengi kutopendelea kula mboga za majani. Vile vile ukosefu kwa vitamini unaweza ukawapelekea watoto kukosa hamu ya kula na hivyo kupelekea kudhoofika kwa afya.

*Forever Kids* ni Multi-Vitamin kwa ajili ya watoto. Ipo kwenye vidonge vitamu k**a p**i hivyo kufanya watoto wavipende huku vikiwapa virutubisho muhimu wanavyovihitaji kila siku ikiwemo vitamini A, C, D, na B12, Calcium, Iron na Zinc.

⊙ Inasaidia kuwapa watoto *vitamini* na "madini* muhimu kwa afya njema na kuboreshe mfumo wa *kinga* na hivyo kuuwezesha mwili kupambana na magonjwa.

⊙ Inasaidia kuwarejeshea watoto *hamu ya kula* na hivyo kuwapa virutubisho zaidi na kuboresha afya.

⊙ Ipo kwenye mfumo wa p**i hivyo kufanya iwe rahisi kwa watoto kuvitafuna na kuvipenda.

⊙ Inaweza kutumiwa na watu wazima pia.

⊙ Kikopo kimoja ni *41,000/=* na kina tembe 120 ambazo zitakaa kwa miezi miwili.

Kwa maelezo call/text 0764 189 885

WhatsApp https://wa.me/255766795579

01/06/2019

JENGA HESHIMA YA NDOA YAKO KWA ARGI+.
ARGI+ ni kirutusho chenye ubora wa hali ya juu, kilicho saidia watu wengi sana.
Asilimia kubwa ya Wanaume ambao waliwahi au wanaojihusisha na punyeto (masterbration) hukumbana na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ambapo uume huwa mdogo k**a wa mtoto mdogo, uume kusimama lege lege na kuwahi kufika kileleni ndani sekunde au dakika chache na pia kushindwa kuendelea na tendo la ndoa. hii hutokana na mishipa kuwa dhaifu na kupungua kwa hisia ya tendo la ndoa.
Pia kunasababu nyingi zinazosababisha tatizo k**a magonjwa k**a Presha, Kisukari, Ngiri, na pia Msongo wa Mawazo. Kwa upande mwingine vyakula tunavyokula hupelekea mishipa kutopitisha damu k**a inavyotakiwa. Kwa hili usiwe na shida njoo tuzungumze utaelimishwa kwa undan juu ya hilo na kupewa ufumbuzi nini cha kufanya.

FAIDA ZA ARGI+
1- Inaongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote akina mama na akina baba, STAMINA, na NGUVU wakati wa tendo la ndoa.
2- Inasaidia kuongeza idadi ya mbegu za kiume (s***m count) na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri (mobility).
3- Inasaidia kubalance kiwango cha sukari mwilini, hivyo huboresha hamu ya tendo la ndoa kwa wenye changamoto ya kisukari.
4- Husaidia kwa wenye changamoto ya kuwahi kufika kileleni, na kushindwa kurudia tendo la ndoa.
5- Husaidia ufanisi wa kazi za moyo.
6- Husaidia mishipa ya damu kufunguka na kutoa uchafu ulio ganda, hivyo kuweka standard pressure.
7- Inasaidia misuli kuwa imara na yenye nguvu, hivyo ni nzuri sana pia kwa watu wanaofanya mazoezi, n.k
2.POLLEN
Bidhaa imetokana Na nyuki ambayo inavirutubisho 22 ambazo ndan yake kuna vitamin Na madini muhimu ambazo inalisha na kutunza tezi Dume Na inasaidia kuimarisha mbegu Za kiume Na uwezo wa tendo la ndoa
kumbuka tu, hizi siyo dawa. Japo hufanya kaz zaid ya dawa

NI PRODUCT SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, IMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA AFYA NA CHAKULA DUNIANI.

Kwa maelezo na ushauri zaidi wasiliana nasi
https://wa.me/255766795579

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Arusha