Minael na Afya
Tunatoa tibalishe bora zinazotibu magonjwa mbalimbali. Karibu tukuhudumie.
29/09/2022
PID SASA BASI! KWA HIZI NJIA TATU ITABAKI HISTORIA.
Pelvic Inflammatory Disease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:-
Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivy wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi. Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua. Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe.
DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi
PID inatibika na kupona Kwa haraka jwa kutumia tibalishe tatu tu ambazo ni maalumu kwa ajili ya kuyaondoa maambukizi hayo.
Kwa ushauri au tiba ya uhakika ya tatizo hili wasiliana nasi sasa kupitia
0684614514
18/09/2022
Hili ni tatizo linaloathiri viungo linalotokanana umri. Tatizo hili huathiri viungo na baadae huathiri mfupa/mifupa.
🍇 Hutokea baada ya gegedu (cartilage) kulika kwenye viungo pia uteute kuisha.
🍓 Huathiri viungo mbalimbali k**a vile pingili za ute wa mgongo, nyonga, magoti n. k
1. Viungo ni muunganiko kati ya mifupa miwili (Mfupa na mfupa)
2. Katikati ya viungo kuna gegedu (cartilage), hii ni plastiki ya asili inayozuia mfupa na mfupa visigusane kwenye viungo.
3. Pia kwenye viungo kuna uteute unaoitwa synovial fluid
4. hutokea pale ambapo gegedu (cartilage) imelika na uteute umepungua kwenye viungo.
1. Virutubisho vinavyosaidia kuimarisha gegedu vinapopungua mwilini mfano glucoseamine
🍊 Mara nyingi virutubisho hupungua kwa sababu ya umri unavyozidi kwenda
🍊 Inasemekana mtu akifikisha miaka 30 mwili hushindwa kuendelea kutengeneza virutubisho vinavyotengeneza gegedu (cartilage)
Sababu zinazoongeza kasi ya kutokea kwa osteoarthritis
1. Uzito uliopindukia
2. Historia ya familia
3. Ajali
4. Kutumikisha viungo kupita kiasi mfano wanamichezo, wana mazoezi n. k
Yafuatayo ni yanayowafanya watu wengi waendelee kusumbuliwa na matatizo ya mifupa na maungio:
1. Watu wengi wanatumia dawa za maumivu
👉Dawa za maumivu hupooza/hutuliza maumivu kwa muda tu na baadae maumivu hubakia palepale kwa sababu hazisaidii kuongeza uteute wala gegedu (cartilage)
2. Watu wengi wanafanyishwa mazoezi
👉 Mazoezi pia huwa yanawasaidia watubkwa muda mfupi sana na baadae shida inajirudia pale pale.
👉👉 Kwa hiyo watu wengi ambao wana shida ya viungo kulika na kusagana huishia kufanyiwa upasuaji wa viungo kwa gharama kubwa sana.
DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA
1.
🍇 Maumivu kwenye magoti
🍇 Magoti kushindwa kujikunja
🍇Kushindwa kupanda ngazi kwa urahisi
🍇Kusikia milio ya mifupa kusagana kwenye magoti
2. /uti wa mgongo
🥕 Maumivu kwenye magoti
🥕Kushindwa kuinama
🥕Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama
🥕Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguuni
3. (SHOULDER JOINT)
🍅kshindwa kunyanyua mkono na kusikia maumivu makali kwenye bega.
👉👉👉 Ikiwa unasumbuliwa na tatizo hilo basi habari njema ni kuwa suluhisho lipo. Tunavyo virutubisho ambavyo vitakusaidia kuondoa tatizo hilo kwa haraka. Virutubisho hivi vinafanya kazi zifuatazo pasipo hata mgonjwa kuhitaji kufanyiwa upasuaji ambao ni gharama kubwa sana.
🍓 Vinatengeneza gegedu, kurejesha ute ute (maana imetengenezwa kwa glucoseamine na chondroitin ambavyo ni virutubisho vinavyosaidia kurejesha gegedu na kurejesha uteute)
🍓Kuimarisha mifupa na kutibu majeraha ya ndani.
Usikubali kuendelea kuteseka wakati suluhisho la uhakika lipo.
🍓Vinawezesha mzunguko wa damu na kuondoa hali ya ganzi na viongo kuwaka moto.
Kwa ushauri zaidi na tiba juu ya tatizo hili usisite kuwasiliana nasi kupitia:
0684614514. Au
0756614511
19/06/2022
Habari rafiki mpendwa. Natumaini haujambo. Karibu sana katika ukurasa huu.
Minael na afya inahusika na utoaji wa elimu juu ya magonjwa mbalimbali ambayo yanatibiwa kwa virutubisho lishe (SUPPLIMENTS)
Ukiwa k**a mtu wangu wa karibu nimeona ni vyema nikushirikishe ili ikiwa unasumbuliwa na mojawapo ya changamoto ambazo tibalishe zake zipo basi tuweze kukuhudumia kwani afya ndio mtaji na msingi wa kila kitu. Yawezakuwa wewe hausumbuliwi na hata mojawapo ya matatizo hayo lakini unae ndugu, rafiki au jirani ambaye anasumbuliwa, itakuwa vyema ikiwa utampatia taarifa juu ya uwepo wa tibalishe hizi nzuri ambazo zinatibu kwa uhakika na kuleta matokeo mazuri.
TIBALISHE ZA MAGONJWA YAFUATAYO ZINAZOPATIKANA
1. Tatizo la Hedhi kwa wanawake (Hormone imbalance)
2. Uvimbe kwenye kizazi/Tatizo la kizazi
3. Tatizo la macho
4. Miguu kuwaka moto na viungo kufa ganzi
5. Moyo kutanuka
6.Tezi dume
7. P. I. D
8. Bawasiri
9. Mifupa na viungo
10. Vidonda vya tumbo
11. Mgonjwa wa ini
12. Gauti
13. Thyroid (Goita)
14. Watoto hamu ya kula
15. Uzito
16. Saratani
17. Matatizo ya kusikia
18. Masundo sundo kwa upande wa wanawake (Uchafu / mapele)
19. Kinywa kutoa harufu mbaya.
20. Kuongeza kinga ya mwili
21. Kiharusi (Stroke) kupooza mwili / kiungo
22. Tonsis
23. Tumbo kujaa Gesi
24. Kisukari
25. Pressure ya kupanda na kushuka
26. Kisukari cha kupanda
27. Sukari ya kushuka
28. Sicle Cell
29. Ngozi kukosa uzuri (makunyanzi, mapele, chunusi n.k)
30. Mimba kuharibika/ kukosa uzazi mwanamke
31. Uchovu/ stress
32. Punyeto kwa wanaume
33. Punyeto kwa mwanamke
34. Ukosefu wa nguvu za kiume
35. Moyo mpana au shambulio la moyo
36. Figo kufeli
37. Ganzi au viungo kuwaka moto
38. Uke mkavu
39. Kupunguza uzito, mafuta na nyama uzembe mwilini.
Tiba za uhakika kwa magonjwa hayo yote zinapatikana. Karibu ili tujenge afya maana MAISHA NI AFYA NA AFYA NI MAISHA
asante.
Mawasiliano: 0659181062 au 0684614514
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
2222