Pona kiasilia

Pona kiasilia

Share

Ninawasaidia wagonjwa wa kisukari kudhibiti ugonjwa huo kwa lishe.

02/03/2026

*MAKOSA 5 YANAYOZUIA WATU KUPUNGUA UZITO NA KITAMBI*
(Uzoefu wangu wa miaka 4)

1. Kujinyima chakula
Njaa ni msukumo wa asili.
Una njaa lakini unaacha kula ili upungue, hutafanikiwa kwa muda mrefu.
Utajikuta unanenepe tu hata k**a unakula mlo mmoja.
Zingatia ubora wa chakula na sio idadi ya kalori.

2. Kutegemea mazoezi bila kuzingatia mambo mengine ya mtindo wa maisha
Mazoezi yanachangia sio zaidi ya 15% kupunguza uzito wako.
Sehemu kubwa inachafanywa na mambo mengine k**a chakula.

3. Kutegemea dawa / Supplements
Mtu anakula chips, soda, junks za kutosha, pombe lakini unataka upungue kwa dawa.
Unaweza kupata matokeo lakini utaongezeka mara 2 siku ukiacha dawa yako.
Supplement sio mbadala wa lifestyle.

4. Kuamini uzito ni wa kurithi
Vinasaba vya kurithi vinachangia sio zaidi ya 3% ya uzito wako ulioongezeka.
Sehemu kubwa imesababishwa na lifestyle yako tu.

5. Kuchanganywa na elimu za mtandaoni
Huyu anasema kula nyama, huyu anasema usile.
Yule anasema kula wanga, huyu anasema wanga ni sumu.

Usichanganyikiwe: Aliyetuumba anasema:
β€œAmetupatia kila mche wenye mbegu na matunda yenye mbegu” β€” Mwanzo 1:29

Ukimwamini unafanikiwa.

πŸ“Œ Save post hii ikusaidie.
πŸ” Share umsaidie na mwingine.....
*0763490384* Samweli Mfanga mshauriii wa Afya

21/02/2026

Hakuna Namna....πŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€—πŸ€—πŸ€—
Kazi yangu ni kukusaidia kwa muongozo wa chakula sahihi, mazoezi na ushauri wa kina
Ili kuiweka afya yako vema zaidi.
Wasiliana kwa Namba..0763490384

Photos from Pona kiasilia's post 20/02/2026

SIRI ZA KUISHI BILA KISUKARI
Kitabu kinachokuja kua mkombozi kwa kila mtu anaependa kuishi maisha yenye afya.
Kitabu kipo hatua nzurii, na siku si nyingi kitatoka rasimi na kua sokoni .....πŸ’₯πŸ’₯
Naanza kupokea ODA kwa wale wanaopenda kukipata kitabu hiki...
Hivyo comment neno NITAKIHITAJI KITABU...
in-box au kwa namba 0763490384.
Na ujiweke kwenye Nafasi nzurii ya kupata nakala ya kitabu hiki mapema kwa OFA.πŸ’ͺπŸ’ͺ

Photos from Pona kiasilia's post 17/02/2026

Nitakushauri unapoingia katika mfungo
Ftari yako iwe ya namna hii....πŸ˜‹πŸ˜‹
Nipo hapa kukusaidia kwa mpangilio wa vyakula, ushauri na aina ya mazoezi ya kufanya Ili uimarike kila siku.
Wasiliana kupata muongozo kwa namba 0763490384.

17/02/2026

Namna tunaweza kulinda afya zetu Wakati wa mfungo wa ramadhan na kwaresma...

Photos from Pona kiasilia's post 12/02/2026

Mlo sahihi wa jioni kwa mwenye kisukari....✍️✍️

07/02/2026

Kazi na utu .... Utu na afya
Tunasonga mbele.πŸ€—

30/01/2026

Nani Angependa kupata kitabu hiki kikitoka....""!?
*Kitabu kipo kwenye maandalizi.*πŸ‘†πŸΏ

25/01/2026

*UMEISOMA HII?*

AKILI YAKO NA MAGONJWA VINASEMA NINI.....!

Kuwa mgonjwa sio mwisho wa maisha, *ni sura moja tu ya safari yako.* Usiruhusu mawazo ya ugonjwa yachukue nafasi yote ya akili yako, kwa sababu akili ina nguvu kubwa kuliko unavyodhani.

Kila siku unapoamka, jikumbushe:

πŸ‘‰ β€œMwili wangu unapona hatua kwa hatua.”
πŸ‘‰ β€œNina nguvu ya kupambana na hali hii.” bila kukata tamaa...
πŸ‘‰ β€œNipo hai kwa sababu bado nina kusudi.”

Usiwaze ugonjwa muda wote, kwa sababu unachokiwaza sana hukua. Badala yake,

waza afya,
waza nguvu,
waza kesho bora.
Mwili wako husikiliza kile akili yako inaamini.
Jizungushe na maneno mazuri, watu wanaokutia moyo, na matumaini. *Cheka unapopata nafasi,*
shukuru hata kwa hatua ndogo,
kwa sababu shukrani huamsha nguvu ya ndani ya uponyaji.
njia sahihi ya kupona mwili huanza na usafi wa mwili pata mtu wa kukuambia ukweli juu ya uponyaji wa afya yako.....
*Kumbuka:*
✨ Hauko peke yako, ila akili yako isijiambie kuwa afadhali tuko wengi jiokoe mwenyewe kabla ya kujifariji na kuruhusu ukae na ugonjwa.
✨ Hali uliyonayo haitakutambulisha
✨ Uimara wako wa leo ndio ushindi wa kesho
Wewe ni zaidi ya ugonjwa. *Wewe ni shujaa anayejifunza kushinda. πŸ’ͺ*

Kujitibu ni vita iliyovamia askari wako wa mwili.

Basi unapochukua hatua ya kujitibu maana yake unataka uwaondoe walio vamia katika shamba lako hivyo na wao ili watoke lazima zipigwe kwanza hadi mshidi apatikane sasa kuamua ni wewe uruhusu uendelee kupigwa na hako kagonjwa au wewe ukapige hako kajamaa.πŸ€·β€β™‚οΈ
_Na_ *Samweli Josephat Mfanga*

24/01/2026

Muhimu zaidi hakikisha unatumia kwa kiasi na walau mara Moja tu kwa siku hasa wakati wa mchana... Pia bila kusahau mboga mboga za majani na protein YENYE Afya k**a samaki, kikubwa kienyeji, nyama isio na mafuta mengi au protein ya mimea....
Nipo hapa kukuongoza kwa Ushauri, aina ya vyakula na mazoezi Ili UISHI maisha yenye afya.
Wasiliana kwa Namba 0763490384.

21/01/2026

Watu wengi wanaamini kwamba matunda yote matamu ni hatari kwa watu wenye kisukari au kwa wanaotaka kupunguza uzito. Imani hii imewafanya baadhi ya watu kuyaogopa matunda na hata kuyaacha kabisa kwenye mlo wao wa kila siku.

Ukweli ni kwamba, si kila tunda tamu ni baya. Tatizo kubwa halipo kwenye tunda lenyewe, bali lipo kwenye kiasi kinacholiwa, aina ya tunda, na namna linavyotumika.
Matunda yana virutubisho muhimu k**a vitamini, madini na nyuzinyuzi (fiber). Nyuzinyuzi husaidia kupunguza kasi ya sukari kuingia kwenye damu, jambo ambalo ni muhimu sana kwa watu wenye kisukari. Pia, nyuzinyuzi husaidia mtu kushiba kwa muda mrefu na hivyo kupunguza kula ovyo, hali inayosaidia sana kwa mtu anayelenga kupunguza uzito. Hii inaonyesha kuwa kuyaacha matunda kabisa si suluhisho sahihi kiafya.

Kwa upande wa watu wenye kisukari, si lazima kuyaogopa matunda yote matamu. Kinachoshauriwa ni kula tunda zima kwa kiasi, badala ya kunywa juisi. Juisi huondoa nyuzinyuzi na kubakiza sukari pekee, jambo linalosababisha sukari kupanda haraka sana kwenye damu. Matunda k**a tufaha, machungwa, papai, strawberry, kiwi na hata embe kwa kipande kidogo yanaweza kuliwa bila shida kubwa ikiwa hayazidishwi na yamepangwa vizuri kwenye mlo wa siku. Tahadhari kubwa inahitajika kwa matunda k**a ndizi zilizoiva sana, zabibu, tende na matunda yaliyokaushwa, kwa sababu huwa na sukari nyingi kwa kiasi kidogo.

Kwa watu wanaotaka kupunguza uzito, matunda si adui. Kinyume chake, ni rafiki mkubwa ikiwa yatatumika kwa busara. Matunda husaidia kudhibiti njaa na hupunguza hamu ya kula vitafunio vya sukari k**a soda, keki na biskuti. Hata hivyo, kula matunda mengi sana kwa mara moja au kuyafanya kuwa mlo mkubwa wa kila siku kunaweza kuongeza ulaji wa sukari na kalori bila wewe kugundua. Hii inaweza kuchelewesha au kuzuia matokeo ya kupungua uzito, hasa k**a matunda hayo yana sukari nyingi.

Kanuni muhimu ya kufuata ni hii: kula tunda 1–2 kwa siku, liwe zima (sio juisi), na kwa kiasi kinachofaa. Ikiwezekana, changanya na chanzo kidogo cha protini au mafuta mazuri k**a karanga chache, mtindi usio na sukari au parachichi. .

20/01/2026

Watu wapenda afya... Wanakula mlo wenye afya Ili wawe na afya njema siku zoteπŸ’₯πŸ’₯

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00