lossweightandfitnesstz

lossweightandfitnesstz

Share

IMARISHA AFYA YA UZAZI/PUNGUZA UZITO NA FOREVER LIVING PRODUCTS Tibu nguvu za kiume kwa kutumia Virutibisho

31/05/2022

UKIWA MWANAUME KUHIMILI TENDO VIZURI ZINGATIA MAMBO MANNE (4) YAWE IMARA KATIKA MWILI WAKO ILI KUFANYA PERFORMANCE YAKO IWE IMARA MUDA WOTE.

1)√Mzunguko wa Damu
©Hapa ndipo performance ya tendo ilipolalia kwa asilimia zaidi ya 70 Ili usimamishe imara na Muda mrefu Damu inatakiwa ifike ya kutosha kwenye dhakari yako.

2)✓Misuri/Mishipa
©Hapa ni mhimu sana maana mashine yako haiwezi kuwa bora k**a misuri imelegea inaweza kuwa chanzo ni punyeto,Maradhi ya Muda mrefu mpangilio mbovu wa vyakula Unene kuzidi n.k

3)✓Hormoni/ Psychologia ya Ubongo.
©Hapa ni mhimu sana maana Ili taarifa za msisimko wa tendo ziendelee kudumu kwa Muda mrefu mwilini inahitajika hormoni ziwe sawa Ili kukufanya ufikilie tendo tu na usipoteze hisia pia kumbuka ubongo ndio unaongoza hisia za mwili mzima.

4)✓Mmeng'enyo wa chakula.
©Hapa ni mhimu sana maana Ili mwili uweze kuvuta madimi, protein na vitamins ambazo zinahitajika sana katika mwili ili kukuweka imara zinahitaji usafi wa utumbo wako.Kumbuka kupata choo kigumu kukosa choo kwa Muda sahihi kuwa na gesi nyingi sana hupelekea performance ya tendo kushuka kwakuwa mwili Utakosa Nutrients mhimu.

NB:USITUMIE DAWA KATIKA CHANGAMOTO YA NGU-VU-ZA-KI-UME TUMIA LISHE BORA NA MAZOEZI.

Utapewa program maalmu ya mazoezi na virutubisho kulingana na changamoto yako lakini mwongozo sahihi ndio utakufanya urejeshe Ulijari wako k**a mwanzo.

Kwa mwongozo mzuri/Ushauri pamoja na Huduma zetu;

Follow:




Wasiliana:
WhatsApp/Call +255755116766

Photos from lossweightandfitnesstz's post 01/07/2021

Je unahangaika sana kupunguza uzito na kitambi bila mafanikio? Sasa basi suluhisho rahisi lipo wasiliana nami kwa ushauri zaidi

WhatsApp/Call/Text 0755116766

08/01/2021
07/01/2021

Mbadala kwa wale ambao hawna uwezo wa kulipia C9

05/01/2021

Dada Huyu alitumia C9 pekee na akapunguza 11Kgs akaendelea na habits kula vizur na Kufanya mazowezi ndio matokeo mazur haya.

Amua sasa kuboresha Afya yako mapema maana Mipango yako inaanza sasa na nakushauri anza na Afya yako kwanza.

Photos from lossweightandfitnesstz's post 16/12/2020

Afya ndio mtaji mkubwa sana wa binadamu na wengi tunajisahau sana kuwekeze kwenye Afya zetu badala yake tunaweka nguvu kubwa sehemu zingine tunasahau Afya.

Kuboresha Afya ni swala la maamuzi ya toka ndani ya moyo wako.

Kwa maelezo zaidi na ushauri;
Whatsapp 0755116766



Follow

14/12/2020

Hata k**a unanyonyesha tunazo products special kwa ajili yako.

Kwa maelezo zaidi:
WhatsApp 0755116766

14/12/2020

Umefanya maamuzi sahihi kabisa bro Afya ndio mtaji wa kwanza wa binadamu yeyote nakupongeza kwa hilo Let's go bro 🙏🙏

WhatsApp 0755116766

Photos from lossweightandfitnesstz's post 13/12/2020

JE? UNAJUA AFYA ZETU ZIPO KWENYE HATARI KIASI GANI KUFWATANA NA SUMU,UCHAFU/TAKAMWILI TUNAONGIZA KWENYE MIILI YETU KUPITIA VYAKULA TUNAVYOKUWA NA VITU TUNAVYOKUNYWA HATA HEWA TUNAZOVUTA?

Ngoja nikukumbushe jambo moja yawezekana haujui ama unajua lakini haujui ufanye nini! Maisha ya Sasa na bidhaa tunazo tumia hata vyakula tunavyokula kuanzia ardhini mmea unapooteshwa kuna suma na kemikali nyingi ambazo kwa namna moja ama nyingine huenda kuharibu mifumo yetu ya mwili.

Hali hii hupekea kuwa kwenye hatari kubwa tu za kupata magonjwa hatari Sana kutokana na kuwa na Uzito uliopitiliza ambao husababishwa na kujaza sumu,mafuta na takamwili mwilini.

Hivyo magonjwa k**a Kisukari, Pressure, magonjwa ya moyo,Ini n.k. Yatakuwa mbioni kukukabili.

Usihofu Kampuni yetu ya forever Living Tunazo products zitakazo kusaidia katika safari yako ya kupungua k**a:

√Kutoa taka mwili mwilini (body detoxing/cleansing) Siku 9
√Kupunguza uzito
√Kukupa tabia nzuri ya kula vyakula
√kukupa tabia na Energy nzuri ya mazowezi
√Ngozi Kung'aa(Kwasababu ya kusafisha mwili)
√Kurekebisha mmeng'enyo wa chakula n.k

Kumbuka muonenekano wa mwili wako unatokana na vyakula unavyokula kila siku,hewa chafu tunazovuta pamoja na namna tunakunywa vitu mbali mbali vyenye kemikali nyingi bila kujua.

Kwa maelezo zaidi:
Call/Text/WhatsApp 0755116766

Follow
Follow

.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Dar Es Salaam