DAMU SAFI NA salama
tuwasiliane zaidi whatsap au simu ya kawaida +255635150395
13/03/2026
ilianza miwasho kwenye mashavu ya uke kuelekea kwenye midomo ya ngozi ya nje mpk ya ndani ya uke; ute ukaanza pia kubadilika rangi ukiwa mzito mfano wa maziwa ya mtindi au kijani na wakati mwingine mzito wenye damu.
Harufu ya uchafu ilikuwa na shombo kali ya samaki na wakati mwingine hauna harufu ila mwenza aliisikia.
Maumivu makali pakiwaka moto nikiwa nakojoa na maumivu ya chini ya tumbo/kitovu yanayozunguka kiuno kizima. Nikijaribu kushiriki naumiiaa na wakati mwingine damu inatoka baada ya tendo.
Bwana angu aliniacha na kuhisi nina magonjwa ya zinaa kwa kuzini na wanaume wengi lakini wala sikuwa wa hivyo.Nilijawa msongo mkali na kujiona Jalala kila nikipatazama uk*ni kwangu-hata mimi mwenyew hapakunivutia🤨
(k**a una story pia ya muundo huu,ninafahamu unachopitia na sababu ya hali kujirudia ipo wazi.JIFUNZE)
10/03/2026
unapitia miwasho mikali,uchafu mzito/mwepesi wa rangi ya maziwa,kahawia,kijivu au mwekundu wenye damu unaotoa harufu kali kiasi cha kukuathiri kisaikolojia na kujiona hufai.
hali hii imepelekea kuathiri mahusiano yako na kukunyima uhuru na furaha ya tendo kwa sababu kila ukijaribu kushiriki maumivu ni makali huku damu ikikutoka baada ya tendo.
hali ya kuchomwa na kuungua ni yako pia ukiwa unakojoa mithili ya kuwaka moto eneo zima la nje na ndani ya uke.
unahitaji taarifa sahihi kwanza kuhusu kila kinachokutokea kisha unahitaji hatua za mapema kabla ya kizazi kuoza🤔🤔
Click here to claim your Sponsored Listing.