Rijali- mwanaumetz

Rijali- mwanaumetz

Share

BORESHA AFYA YAKO.
��ushauri wa afya ya uzazi wa mwanaume.
��muongozo wa chakula & mazoezi.

24/05/2022

❗❗USITUMIE DAWA tumia VIRUTUBISHO. Bedroom pack ni mkombozi wa ndoa yako tumia sasa na urejeshe uasilia wako. Kwa mawasiliano zaidi au ushauri nasaha tuma neno BORESHA AFYA kwenda namba 0782798933

22/05/2022

Kwa msaada wa changamoto yoyote ya uzazi kwa wanawake na wanaume,wasiliana nasi kwa simu namba 0782798933

21/05/2022

MAMBO 10 YA KUZINGATIA KABLA NA BAADA YA KUFANYA MAPENZI.

ni ubunifu baina ya wafanyao. TWENDE PAMOJA.

1:UTAYARI. hili ndilo jambo la kwanza la kulitilia mkazo. Haitakiwi mwanamke awe na kinyongo juu ya tendo. Sio mwanamme unamuandaa mwanamke ila pindi utakapotaka kuanza tendo anakuuliza "unataka kufanya nini" huu ni upuuzi.

2: USHIRIKIANO. haina budi kila mmoja awe katika hali ya kumfanya mwenza awe na furaha ya tendo.

3: SAUTI NA MIGUNO. kwa mwanamke jitahidi kumfanya mwanamme ajihisi wa kipekee kwa kutoa sauti za mahaba baina yenu. Sio unaguswa au kunyonywa unakaa tu kimya ila unatoa neno moja tu "UNANIUMIZA BWANA" hapo unakua unazingua

4: UJASIRI. Inabidi muwe na ujasiri na kujiamini wakati wa tendo

5: RIDHIKO, yaani ridhika na hatua mtakayofikia. Mwenza akikueleza hawezi kuendelea na tendo. Kuwa wa kwanza kumuelewa hiyo itamjenga kisaikolojia.

6: PONGEZA. mpongeze mwenza baada ya tendo. "DAH HAKIKA WEWE NI HODARI" hii itamfanya awe na uhakika juu ya alichokitenda na si kuhofia tena.

7: SHUKURU. Asante ni neno dogo sana ila kumfanya mwenza akahisi yeye ni wa pekee mbele yako. Hakika atajisikia ana thamani kubwa juu yako.

8: TENGENEZA MAONGEZI. Baada ya tendo jifunze kuongea na mwenza ili kumfanya asihisi upweke. Wanaume wengi wananukuu "baby muda huu umekwenda so badae nikakupigia ok" hii si haki na utamfanya ahisi ulitaka kumtumia tu.

9: MSINDIKIZE. Mtoe mguu kwa mguu mpaka labda kituo cha gari au karibu na kwao. Utajiwekea nafasi siku nyingine kumpata.

10: JALI NAFASI YAKE. Mpigie simu mara tu baada ya kuhisi ameshawasili kwao au kwake. Hii itafanya ajue wewe ni zaidi ya mpenzi kwake.

KUMBUKA MAPENZI NI AKILI NA SIO UMRI

K**a unapata changamoto yoyote wasiliana nami kupitia
Call/whatsap +255782798933 kwa kutuma neno AFYA

19/05/2022

Kufanya mazoezi: Mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwahiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa damu. K**a una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra ambazo huchangia kwenye swala zima la kuwahi kufika kileleni. Hii hutokana na kuongeza kujiamini na kujihusudu.

Pumua vizuri na kikamilifu: Kiungo chochote cha mwili huhitaji nguvu kamili ili kufanya kazi na ndivyo ilivyo kwa habari ya viungo vya uzazi! Unapo pumua vizuri na kwa ukamilifu, kiungo hiki hupata nguvu za ziada. Mbinu mbalimbali za kupumua k**a pranayama hujajwa kusaidia sana kujifunza jinsi ya kuzuia kufika kileleni mapema. Baada ya kuinza tu (wakati wa tendo), jaribu kupumua kwa ufasaha ili mwili uweze kupata hisia kabla ya kuanza kufanya msuguano.

Mshirikishe mwenzako kikamilifu: Kuridhika kimapenzi ni tukio ambalo wote wawili mnaridhika kikamilifu. Ili kujifunza kujizuia kufika kileleni haraka, ni vizuri kuwasiliana na mwenzi wako wa kimapenzi. Anaweza akakusaidia kushinda tatizo hili la kiaibu, kila unapohisi unataka kukojoa mapema, sema 'ngoja' na usitishe kwanza shughuli zote kwa muda kidogo.

Maandalizi kifikra: Pia kabla ya kwenda kuanza tendo kwa mfano upo ofisini na unajua jioni unakwenda kufanya s*x, basi jitahidi usiwaze hayo mambo chukulia k**a ni kitu cha kawaida. Hii ni kwa sababu kuongeza concentration ya kuwaza ngono inaongeza stimulation kiasi kwamba ukimgusa mpenzi wako tayari umekwishaachia hata kabla ya kuingiza.

Angalia movie: Kuangalia style zenye kuchochea kufika kileleni haraka .... etc hii ni ngumu kujizuia kukojoa hasa kwa bao la kwanza maana panakuwepo na constriction ya hali ya juu very tighten kiasi kwamba ukigusa tu tayari ..so ni vizuri style k**a hizi zikafuata baada ya bao la kwanza ili uweze ku-enjoy vizuri zaidi.

Mazoezi ya kubana mkojo: Fanya mazoezi ya kukojoa na kubana mkojo mara kwa mara... hii ina maana kuwa unapokojoa mkojo unaachia then unakatiza unaendelea tena alafu unakatiza tena . Fanya mara tatu kila unapokwenda kukojoa. Hii ni muhimu kwa ajili ya kuongeza nguvu.
Tuma neno AFYA kwenda 0782798933

18/05/2022

SOMA KWA UMAKINI MPAKA MWISHO ...
Unaweza kwenda mabao hata SITA na bado ukaonekana huna nguvu za kiume.
Hapa kinachoangaliwa ni MUDA gani umetumia kubaki hapo MCHEZONI

K**a unafika mpaka magoli manne na kila goli unatumia dakika 4 au 5 kufika kileleni basi tunaweza kusema wewe HUNA NGUVU ZA KIUME
Ila k**a utaweza kwenda goli moja tu na likachukua dakika 10 au 15 au 20 na kuendelea hakika tunasema wewe UNAZO NGUVU ZA KIUME Tunaamini muda huo umetosha kuweza kumfikisha mwenza wako kileleni.
Mwanaume pia utahitaji kujua dalili au ishara za mwanamke anapofika kileleleni.
Bila kujua dalili au ishara za mwanamke anayefika kileleni ni kazi bure.

KUMBUKA
Mwanaume lazima utafika kileleni hata iweje, hivyo ni jukumu lako kuhakikisha kabla ya wewe kufika kunako uwe na uhakika wa Mwenza au Mke wako naye amefika kileleleni.

HIVYO BASI nguvu za kiume siyo idadi ya mabao, ni MUDA unaotumia kubaki hapo kifuani ndiyo muhimu na si idadi ya mabao.

Tuma neno BORESHA afya kwa whatsapp +255782798933 kupata elimu zaidi pamoja na SULUHISHO la kudumu.

17/05/2022

*FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINYAA.*

+255782798933
👇
*Pelvic floor muscle.*
Ni msuli ambao umeshikilia Uume,Wakati uume unasimama ndio unawezesha Mwanaume kusimamisha uume wake muda Mrefu.

Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .

*Msuli*
👉🏾 huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo. Kuna vitu ambavyo hulegeza msuli huu na kuufanya kuwa Dhaifu ;

*Moja,👇🏻*
Bawasili -kutokwa na vinyama sehemu za haja kubwa.

*Mbili,👇🏻*
Kuvimbiwa tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumeng'enya chakula Fulani,Basi msuli huu hulegea.

*Tatu,👇🏻*
Kupata Choo kigumu ,Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa.

*Nne,👇🏻*
Kujichua/punyeto.Punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu.

*Tano,👇🏻*
Uzito mkubwa/kitambi pia hulegeza msuli huu.Ndio maana wenye vitambi wengi uume ni mdogo umezama kwa ndani

Mengine k**a kisukari,presha,stress n.k

Zaidi tibu magonjwa yanayokusumbua k**a yaliyotwa hapo juu.

Whatsapp +255782798933

Tunajali afya yako
Tuma neno BORESHA afya kwa whatsapp kupata SULUHISHO na elimu zaidi juu ya afya

15/05/2022

MFUMO WA MAISHA UNAOMALIZA NGUVU ZA KIUME

Moja ya vitu muhimu vya kuzingatia kwa ajili ya afya ya uzazi Kwa mwanaume na mwanamke ni pamoja na mtindo wa maisha tunaoishi au Lifestyle, ambapo hujumuisha vitu vingi sana k**a vile; vyakula tunavyokula, kazi tunazofanya n.k

Mfumo wako wa maisha huweza kuleta matokeo mabaya au mazuri kwenye afya yako ya mwili pamoja na afya ya uzazi.

MFUMO WA MAISHA UNAOMALIZA NGUVU ZA KIUME NI PAMOJA NA;

- Ulevi wa pombe kupita kiasi, mtu ambaye ni mlevi hujiweka katika hatari ya kupata madhara mengi k**a vile; magonjwa ya moyo,presha,kisukari, uzito kupita kiasi,

bila kusahau athari katika mfumo wa uzazi ikiwa ni pamoja na kupata tatizo la upungufu wa nguvu za kiume,uzalishaji wa mbegu za kiume ambazo hazina ubora na kwa kiwango kidogo sana tatizo ambalo hujulikana k**a low s***m count.

- Kuwa mtu wa kuishi na msongo wa mawazo muda wote, tafiti zinaonyesha miongoni mwa waathirika wakubwa wa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ni wale ambao wana stress nyingi au msongo wa mawazo hali ambayo huwapelekea kushindwa kufanya tendo la ndoa vizuri.

- Kuishi kwa hofu na wasiwasi mkubwa, tafiti zinaonyesha mbali na madhara ya kushuka kwa kinga ya mwili ambayo mtu huweza kuyapata kutokana na kuwa na hofu sana, athari pia huweza kuwepo hata katika uwezo wake wa kushiriki tendo la ndoa.

Hivo hali hii huweza kupunguza nguvu za kiume

- Matumizi ya baadhi ya dawa, kuna baadhi ya dawa ambazo zina athari katika mfumo wa uzazi wa mwanaume ikiwa ni pamoja na kupunguza nguvu zake za kiume

- Kula vyakula ambavyo havina virutubisho muhimu sana mwilini k**a vile Vitamin mbali mbali pamoja na Proteins
- Kuwa mwanaume ambaye anapiga puchu au punyeto mara kwa mara ndani ya kipindi kirefu huweza kuleta athari pia katika mfumo wako wa uzazi ikiwa ni pamoja na kupungua kwa nguvu za kiume.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU SULUHISHO TUWASILIANE KWA NAMBA +255782798933

14/05/2022

HELLOW MWANAUME!!!!

Habari yako mwanaume
Katika maisha ya siku hizi tumekuwa tukipitia changamoto nyingi sana.

💥Pamoja na watu kufanya mazoezi lakin tatizo la limekuwa likiendelea kila siku

📌 ?

Najua hupendi kabisa kubaki hivyo ulivyo. Je?

💥Unawahi kufika kileleni
💥Huna uwezo wa kurudia tendo.
💥Unachoka sana wakati wa tendo la ndoa
💥Umeathirika na punyeto.

ILI KUONDOKANA NA TATIZO HILI NI LAZIMA UTAMBUE NA KUTIBU VYANZO VYA TATIZO NDIO UTAPONA MOJA KWA MOJA.

Kwa maelezo zaidi andika namba yako ya whatssap hapo chini.

Utapata mwongozo sahihi au
Call/WhatsApp +255782798933

10/05/2022

NGUVU ZA KIUME
tuma neno AFYA kwenda namba 0782798933

10/05/2022

Mwanaume mazoezi ni sehemu ya chakula cha kila siku lakini vijana wengi hukitumia chakula hiki bila utaratib maalum,,, ndio maan utakut mazoez anafany na bado anachangamot ya nguvu za kiume, hii yote ni kwa sababu anafany mazoez bila kufuat utaratib maalum,, ili ufanye mazoezi ni lazim uhaikishe mzunguko wa dam mwili mwako upo vizur damu inazunguk bila shida, chakula maalum si kila chakula ni muhimu vingin ni sumu tu na hata vinywaji,,

Je, unahitaj program za mazoez na chakula maalum kwaajili ya kurekebish tatizo la upungufu wa nguvu za kiume???

Nitafte kwa namba 0782798933 tuma neno AFYA WhatsApp, normal calling or texting

Photos from Rijali- mwanaumetz's post 09/05/2022

MWANAUME KARIBU UMALIZE CHANGAMOTO HIZI KWA NJIA SALAMA ZA VIRUTUBISHO DAWA
1)
2)
3)
4)
5)
6)
Nk
Piga/tuma ujumbe BORESHA AFYA kwenda watspp number +255782798933 kwa tiba na ushauri

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam