Joana Skin & Beauty
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Joana Skin & Beauty, Beauty, cosmetic & personal care, Dar es Salaam.
08/04/2024
To my bosses who are lovers of good skin and authentic products you are appreciated.
08/04/2024
NEUTROGENA, REFRESHINGLY CLEAR OIL- FREE MOISTURIZER.
✅Nzuri kutumia kwa watu wa ngozi ya mafuta.
✅Inasaidia sana kutoa chunusi na ngozi yenye changamoto ya mafuta.
✅Inakupa hydration saa 24 without clogging pores.
✅Inafanya ngozi yako kuwa safi na yenye kupendeza
Matumizi kwa matokeo mazuri.
✅Anza kwa kusafisha uso wako kwa cleanser (zipo dukani)
✅Baada ya apo anza kupaka moisturizer yako kiasi uku uki massage vizuri.
✅Kama ni mchana utamalizia na sunscreen yenye SPF 30+
Tsh 38,000
Ml 50
☎️0766618888
Mikoani tunatuma
Tunapatikana opposite na wanlong plaza au karibu na shoppers plaza ya mikocheni.
15/03/2024
COSRX ALOE SOOTHING SUNCREAM
✅Hii ni product nzuri sana kutoka korea, ina SPF 50, inakukinga na both UVA & UVB rays
✅Hii husaidia sana kukinga ngozi na mionzi ya jua na kufanya isiharibike
✅Inasaidia sana kuongeza hydration kwenye ngozi yako na kukufanya usiwe mkavu.
✅Inafanya ngozi kuwa nyororo na yenye mvuto.
✅Inaipa ngozi glow nzuri wakati wote.
Matumizi kwa matokeo mazuri.
✅Anza kwa kusafisha uso wako na cleanser (zipo dukani)
✅Ikifuatiwa na serum pamoja na moisturizer (zipo dukani)
✅Unamalizia kwa kupaka sunscreen yako
☎️0766618888
Mikoani tunatuma.
Tunapatikana barabarani karibu na wanlong plaza au karibu na shoppers plaza ya mikocheni.
15/03/2024
COSRX, SALICYLIC ACID DAILY GENTLE CLEANSER
Hii ni Korea product, cleanser hii ni nzuri sana na inaleta matokeo mazuri sana kwa watumiaji wake.
✅Ni nzuri sana kutumiwa na mtu mwenye ngozi ya mafuta.
✅ Inasaidia sana kupunguza mafuta yaliyozidi usoni (sebume)
✅Inasaidia sana kutoa dead skin na ku promote the new one.
✅Ina reduce bacteria usoni kwako na kufanya ngozi kuwa safi kabisa.
✅Ni nzuri kutumiwa mara 2 kwa siku asubuhi na usiku kwa matokeo mazuri zaidi.
Ml 150.
Tsh 45000
☎️0766618888
Tunapatikana barabarani opposite na wanlong plaza au karibu na shoppers plaza ya mikocheni.
15/03/2024
COSRX, LOW ph GOOD MORNING GEL CLEANSER
✅Ni cleanser nzuri sana ambayo inatumiwa na all skin types lakin kwa sensitive skin ni nzuri zaidi.
✅Inasaidia sana kusafisha ngozi yako.
✅Inafanya ngozi yako kuwa soft na nyororo.
Ml 150.
Tsh: 45000
☎️0766618888
Tunapatikana barabarani opposite na wanlong plaza au karibu na shoppers plaza ya mikocheni.
15/03/2024
HYLURONIC ACID WATER SUN.
Hii ni sunscreen nzuri sana ya geli
✅Ni nzuri sana kwa mwenye dry skin na dehydrated skin anatumia.
✅Inaongezeka hydration kwenye ngozi.
✅Inasaidia kulinda ngozi na jua maana ina SPF ndani yake 50.
✅Inasaidia ngozi kupambana na wrinkles.
✅Ina absorb kwa haraka.
✅Unashauriwa kukaa dk 15 ndani baada ya kupaka.
✅Inasaidia usipate madhara ya ngozi yanayosababishwa na jua k**a vile kuwa mwekundu kwenye ngozi yako au kuwa mweusi kwa kuungua na jua.
Matumizi kwa matokeo mazuri
✅Hii ni hatua ya mwisho kabisa kupaka kwenye skin care routine yako.
✅Baada ya kusafisha uso na kupaka serum na moisturizer inafata sunscreen.
✅Ni nzuri kupaka kwanzia asubuhi mpaka mchana ila haipakwi wakati wa usiku.
Ml 50.
Tsh: 50,000
☎️0766618888
Mikoani tunatuma.
Tunapatikana barabarani opposite na wanlong plaza au karibu na shoppers plaza ya mikocheni.
15/03/2024
HYLURONIC ACID INTENSIVE CREAM.
Ni cream nzuri iliyotengenezwa na hyluronic acid, hivyo ni nzuri sana kwenye ngozi na inaleta matokeo mazuri.
✅Inasaidia sana kuipa ngozi yako unyevu kutokana na Hyluronic acid ambayo ipo.
✅Ni nzuri sana maana inapunguza fine lines usoni.
✅Inasaidia sana ngozi ku glow
✅Ni nzuri kutumiwa na watu wa aina zote za ngozi maana inatoa matokeo mazuri.
100g
Tsh: 50,000
☎️0766618888
Tunapatikana barabarani opposite na wanlong plaza au karibu na shoppers plaza ya mikocheni.
15/03/2024
CORSX ADVANCED SNAIL 92 ALL IN ONE CREAM
Snail mucin
✅ Nzuri kwa ngozi yoyote (All skin types)
✅Inasaidia ngozi ambayo ni sensitive na inapunguza muwasho
✅Inafanya ngozi iwe smooth
✅ Inatumika na nzuri kwa wale waliopona chunusi na madoa
✅Itumie baada ya kuosha uso, au baada ya kupaka serum
✅Kwa matokeo itumie mara mbili kwa siku
Tsh 55,000
☎️0766618888
Tunapatikana barabarani karibu na shoppers plaza
15/03/2024
CORSX ADVANCED SNAIL 96 MUCIN POWER ESSENCE
Snail mucin
Sodium hyaluronate
✅ Nzuri kwa ngozi yoyote (All skin types)
✅Inaongeza unyevunyevu kwenye ngozi
✅Inafanya ngozi iwe smooth with clear complexion
✅ Inatumika na nzuri kwa wale waliopona chunusi na madoa
✅Itumie baada ya kuosha uso, kuukausha kabla ya kumostuirize
✅Kwa matokeo itumie mara mbili kwa siku
☎️0766618888
Tunapatikana barabarani karibu na shoppers plaza
12/03/2024
NEUTROGENA,HYDRO BOOST GEL CREAM.
✅Ni nzuri sana kwa dry skin na sensitive skin
✅Inasaidia kuongeza hydration saa 48 hii nzuri sana inaipa ngozi unyevu.
✅Ina shika kwa haraka k**a gel (absorb quickly) hii inasaidia kukupa matokeo mazuri.
✅oil free maana ina balance mafuta.
✅Inasaidia pia ngozi yako ku glow.
Matumizi kwa matokeo mazuri.
✅Anza kwa kusafisha uso wako kwa neutrogena cleanser (zipo dukani)
✅Kama unatumia serum basi unapaka na kumalizia na cream yako hii
✅Kama ni mchana unamalizia na sunscreen yenye SPF 30+ ili kukukinga na jua.
Ml 50.
Tsh 48000
☎️0766618888
Mikoani tunatuma
Tunapatikana opposite na wanlong plaza au karibu na shoppers plaza ya mikocheni.
12/03/2024
NEUTROGENA, HYDRO BOOST WATER GEL.
✅Ni face moisturizer nzuri kwa normal skin na combination skin.
✅Imetengenezwa kwa hyaluronic acid ambayo ni nzuri sana kwa afya ya ngozi yako.
✅kutonaka na igridient zake inauwezo wa kukupa hydration siku nzima.
✅Inakupa glow nzuri ya ngozi yako day after day
Matumizi kwa matokeo mazuri.
✅Anza kwa kusafisha uso wako kwa cleanser (zipo dukani)
✅Paka moisturizer kiasi uku uki massage usoni.
✅Kama ni mchana malizia kupaka sunscreen yenye SPF 30+.
Ml 50.
Tsh: 48000
☎️0766618888
Mikoani tunatuma
Tunapatikana opposite na wanlong plaza au karibu na shoppers plaza ya mikocheni.
12/03/2024
NEUTROGENA, REFRESHINGLY CLEAR OIL- FREE MOISTURIZER.
✅Nzuri kutumia kwa watu wa ngozi ya mafuta.
✅Inasaidia sana kutoa chunusi na ngozi yenye changamoto ya mafuta.
✅Inakupa hydration saa 24 without clogging pores.
✅Inafanya ngozi yako kuwa safi na yenye kupendeza
Matumizi kwa matokeo mazuri.
✅Anza kwa kusafisha uso wako kwa cleanser (zipo dukani)
✅Baada ya apo anza kupaka moisturizer yako kiasi uku uki massage vizuri.
✅Kama ni mchana utamalizia na sunscreen yenye SPF 30+
Ml 50
☎️0766618888
Mikoani tunatuma
Tunapatikana opposite na wanlong plaza au karibu na shoppers plaza ya mikocheni.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
255