Afya Na Tiba

Afya Na Tiba

Share

Page hii ni maalumu kwa ajili ya kutoa suluhisho la haraka kwa wanawake wanaosumbuliwa na changamoto za afya ya uzazi!

Photos from Afya Na Tiba's post 06/11/2021

Hii ni dalili ya P.I.D na ndio chanzo cha wanawake wengi kukosa watoto njoo nikuhudumue

04/11/2021

Kwanini uteseke wakat tiba ipo fanya uamuz sasa

01/10/2021

*UTI AND FUNGUS*
Watu wengi sana wanapata UTI na fungus mara kwa mara..mtu anatibiwa na antibiotics na dozi anamaliza lakin baada ya wiki moja au mbili tatizo linarudi tena...hii ni kwasababu hatujaondoa source ya tatizo..unarudia mazingira yale yale,nguo za ndani zile zile...ili tumaliza tatizo la miwasho na uti unatakiwa umdhibiti vimelea visababishi..
Tumia *CARE* ugundue jinsi ya kujilinda na vimelea.

Kwanza unaichanganya maji kabla ya kuitumia kwenye ratio ya 1:30

Use mild naturally acquired *CARE*

Weka matone machache kwenye sinki za chooni kabla hujatumia hivi vyoo vya public ili kuuwa vimelea ambavyo labda vimewachwa pale na mtu aliyekutangulia pale chooni.
Kumbuka maumbila ya wanawake ni tofauti na yale ya wanaume._wanawake wana athari kubwa ya kubeba vimelea kutoka chooni_

Weka matone ya *CARE* ilochanganywa kwenye maji ya kutawazia baada ya kwenda uwani.

Weka matone machache ya *CARE* iliochanganywa kwenye maji ya ndoo au beseni wakati wa kuoga maana huna uhakika aliyekutangulia kutumia hio ndoo ni nani.

Weka matone machache ya *CARE* kwenye maji unayotumia kusuuzia nguo za ndani ,chupi,vesti,bra,boxer na taulo kwa sababu hizi nguo huwa zinahifadhi vimelea vingi.bacteria na fungus wanajificha mle.

Unaweza ukatumia *CARE* iliochanganywa kupaka kwenye sehemu za mwili zenye miwasho ,mba ,mapunye na vipele vinavyosabavishwa na bacteria na fungus.

Inatumika *CARE* pia kusafisha na kukausha vidonda.

Hawa bacteria na fungus wanapatikanika sehemu nyingi sana na usipokuwa makini wataendelea kukutesa sana.

Tumia CARE kujilinda.

Ukiitaji CARE njoo inbox

01/10/2021

*UTI AND FUNGUS*
Watu wengi sana wanapata UTI na fungus mara kwa mara..mtu anatibiwa na antibiotics na dozi anamaliza lakin baada ya wiki moja au mbili tatizo linarudi tena...hii ni kwasababu hatujaondoa source ya tatizo..unarudia mazingira yale yale,nguo za ndani zile zile...ili tumaliza tatizo la miwasho na uti unatakiwa umdhibiti vimelea visababishi..
Tumia *CARE* ugundue jinsi ya kujilinda na vimelea.

Kwanza unaichanganya maji kabla ya kuitumia kwenye ratio ya 1:30

Use mild naturally acquired *CARE*

Weka matone machache kwenye sinki za chooni kabla hujatumia hivi vyoo vya public ili kuuwa vimelea ambavyo labda vimewachwa pale na mtu aliyekutangulia pale chooni.
Kumbuka maumbila ya wanawake ni tofauti na yale ya wanaume._wanawake wana athari kubwa ya kubeba vimelea kutoka chooni_

Weka matone ya *CARE* ilochanganywa kwenye maji ya kutawazia baada ya kwenda uwani.

Weka matone machache ya *CARE* iliochanganywa kwenye maji ya ndoo au beseni wakati wa kuoga maana huna uhakika aliyekutangulia kutumia hio ndoo ni nani.

Weka matone machache ya *CARE* kwenye maji unayotumia kusuuzia nguo za ndani ,chupi,vesti,bra,boxer na taulo kwa sababu hizi nguo huwa zinahifadhi vimelea vingi.bacteria na fungus wanajificha mle.

Unaweza ukatumia *CARE* iliochanganywa kupaka kwenye sehemu za mwili zenye miwasho ,mba ,mapunye na vipele vinavyosabavishwa na bacteria na fungus.

Inatumika *CARE* pia kusafisha na kukausha vidonda.

Hawa bacteria na fungus wanapatikanika sehemu nyingi sana na usipokuwa makini wataendelea kukutesa sana.

Tumia CARE kujilinda.

Ilikupata CARE njoo inbox

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Dar Es Salaam