AKilly bf suma
AKILLY NA AFYA
25/11/2022
*VYAKULA 10 KWA KUIMARISHA NGOZI YAKO*
Wengi wanapenda kuonekana warembo Lakini inawezekana ukawa unajiharibu zaidi katika kujifanya uwe mrembo leo na kujiletea madhara makubwa yasiyotibika kesho. Pia, inawezekana unatumia hela nyingi na muda mwingi katika kuhakikisha ngozi yako inakuwa nyororo, nzuri, na ya kuvutia. Je, unafahamu kuwa kuna aina za vyakula vinavyosaidia katika kutunza ngozi yako?
K**a ambavyo unajitahidi kufuata kanuni za afya ili kuufanya mwili wako uwe vizuri – chakula bora, mazoezi mara kwa mara, kupumzika kwa muda mrefu – vivyo hivyo ngozi yako inatakiwa kutunzwa kutokana na kanuni asilia. Hapa tunakuletea vyakula vinavyotunza ngozi yako bila gharama yeyote.
1. *Asali*
Asali ni afya kwa binadamu, hutengenezwa na nyuki kwa viambato asilia. Chochote kile ambacho ni kizuri kwa afya yako ni nzuri kwa ngozi pia. Ngozi yenye afya inatakiwa kuhifadhi unyevunyevu ili kuzuia kukauka na kupasuka. Hii ndio sababu kubwa ya kutumia mafuta ili kuweka ngozi iwe na unyevunyevu. Asali husaidia kuleta na kuhifadhi unyevunyevu kwenye ngozi.
Ili kuweza kulinda ngozi, paka asali wakati wa kuoga, acha kwa muda kisha ioshe. Ni zoezi la muda mfupi linalohakikisha ngozi yako inanawiri vizuri.
Asali ina kiwango kikubwa cha sukari na asidi ambavyo huzuia vijidudu (Bacteria) wanaozaliana kwenye ngozi.
2. *Vyakula vya baharini*
Kwa ujumla vyakula vya baharini ni vizuri kwa afya yako, lakini faida haishii kwenye afya ya mwili tu, bali inasaidia hata kwenye ngozi yako. Vyakula vingi vya baharini vina kiwango kikubwa cha Zinc na Omega-3 ambazo ni muhimu kwa afya ya ngozi yako.
*Faida za Omega3*
Kuondoa kukak**aa au ukavu wa ngozi.
Kupunguza kuvimba na kukunjamana kwa ngozi.
Husaidia mzunguko mzuri wa damu mwilini hivyo kuboresha ngozi - mzunguko mzuri wa damu mwilini ni muhimu kwa ngozi yenye afya.
Faida za Zinc kwa ngozi
Inasaidia kuondoa chunusi na harara kwa kuyeyusha homoni ya testosterone.
Inasaidia kuzalishwa kwa seli au chembe hai za mwili na kuondoa chembe zilizokufa. Hii inaifanya ngozi kung’aa na kuwa na mvuto
3. *Mayai*
Nadhani si ajabu kusema kuwa yai ni kirutubisho muhimu kwa afya yako. Lakini afya yako huonekana kutokana na ubora wa ngozi yako. Yai lina virutubisho muhimu sana – iwe kiingi au ute – kwa afya ya ngozi yako. Kiini cha yai kina vitamin A, na B. Ute wa yai una protini nyingi ambayo ni muhimu pia kwa ngozi yako.
Tretinoin inayopatikana kwenye Vitamin A kwa ngozi yako ni kuwa inasaidia kuondoa chunusi na mikunjo ya ngozi.
Biotin inayopatikana kwenye Vitamin B ni muhimu kwa afya ya ngozi na kucha.
Protini inayopatikana kwenye ute wa yai ni muhimu kufanya ngozi kuwa nyororo na yenye kung’aa na kusaidia ngozi kujilinda vizuri na mionzi ya jua.
4. *Matunda*
Matunda yenye vitamin C – chungwa, limao na mengine mengi – ni muhimu kwa afya ya ngozi yako sababu inasaida kutengeneza collagen, aina ya protini inayotengeneza ngozi.
Vitamin C inasaidia kuondoa uvimbe na mikunjo ya ngozi hivyo kuilinda ngozi yako kuzeeka mapema.
5. *Shayiri*
Shayiri ina virutubisho muhimu vya kuisaidia ngozi yako. Hivi ni k**a
Mafuta yanayolainisha ngozi
Polysaccharides ambayo huzuia kupasuka kwa ngozi kutokana na ukavu
Saponins, inayosaidia kusafisha ngozi na kuzuia fungus na vijidudu
Polyphenols inayozuia uvimbe wa ngozi
Protini inayojenga na kurutubisha ngozi
Wanga unaohifadhi unyevunyevu kwenye ngozi
6. *Mboga za majani*
Mboga za majani zina vitamini A nyingi sana. Vitamin A ni muhimu kwenye ngozi sababu ndio kitu kikubwa kwenye kusaidia ngozi kuzalisha seli mpya na kuondoa zile zilizokufa, hivyo kupunguza ukavu na kutunza ngozi na kuifanya kungara na kuvutia.
7. *Shea Butter*
Mafuta ya shea ni kirutubisho muhimu kinachotumika kwa muda mrefu sana katika kutibu magonjwa mengi, hasa katika nchi za Afrika. Mafuta ya shea yana triglycerides, mfano palmitic, stearic, oleic and linoleic fatty acids. Hivi ni muhimu katika kuleta unyevunyevu na kulinda ngozi kwa muda mrefu.
8. *Karanga*
Vyakula jamii ya karanga vina vitamin E..
K**a unachanga moto ya ngoz yoyote ile njoo meseger
22/11/2022
Kitanzi ni vifaa vidogo vyenye umbo la herufi T vinavyoingizwa kwenye mji wa uzazi wa mwanamke kupitia uke na mlango wa kizazi. Karibia aina zote za vitanzi huwa na kamba ndogo inayoning’inia kwenye mlango wa kizazi.
Ikiwa mwanamke ataamua kutumia njia hii ya uzazi wa mpango atatakiwa kufahamu kuwa kitendo cha yeye kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja, au kuwa na mwanamme ambaye hushiriki mapenzi na wanawake wengi ni hatari.
Kitanzi huhitaji ushirikiano na uaminifu mkubwa sana kwa wapenzi, vinginevyo mwanamke huyu atakuwa mhanga wa mara kwa mara wa maambukizi makubwa pamoja na magonjwa ya mfumo wa uzazi.
Uwezo kwa kushika ujauzito baada ya kuacha matumizi ya kitanzi hutofautiana miongoni mwa wanawake. Wastani wa kawaida ni miezi 3-8, japo wengine hutumia hadi miezi 18.
22/11/2022
FAIDA ZA PARACHICHI KWA WANAUME.
Watu wa zama za kale walikua na nguvu nyingi mno na waliishi miaka mingi bila kupata maradhi kutokana na vyakula walivyokua wakivitumia.
Jamii ya watu wa kale, waliishi kwa kula vyakula vya asili k**a matunda, majani, mizizi, Asali, nyama, mayai, samaki, wadudu na kadhalika.
Vyakula hivi hususani matunda viliwapatia virutubisho vyote muhimu vinavyohitajika kujenga mwili na kuukinga na maradhi mbalimbali.
Leo tutazungumzia tunda la Mparachichi ambalo pia ni moja kati ya matunda yaliyotumiwa na watu wa kale zaidi ya miaka mia nane iliyopita.
Parachichi ni tunda linalostawi maeneo mbalimbali duniani ikiwa ni pamoja na hapa nchini kwetu Tanzania. Kwa hapa Tz, Parachichi hupatikana kwa wingi zaidi maeneo ya nyanda za juu na kwenye hali ya hewa ya Ubaridi wa wastani.
Watafiti wa tibalishe wanaliona tunda la mparachichi k**a nyumba ya virutubisho (Nutrients powerhouse) kutokana na viini lishe vilivyomo kwenye parachichi k**a ifuatavyo;-
*Vitamin B6
*Vitamin B12
*Vitamin A
*Vitamin K
*Vitamin E
*Vitamin D
*Vitamin D2
*Vitamin D3
*Vitamin C
*Fatty acid
*Caffeine
*Omega 3
*Maji (g)73.22
*Mafuta (g)14.66
*Wanga (g)8.53
*Nishati (Kcal)160
*Fiber- nyuzinyuzi (g)6.7
*Sukari (g) 0.66
*Protini (g)2
*Madini ya Calcium (mg)12
*Madini ya chuma (mg)29
*Madini ya zinc (mg)0.64
*Madini ya magnesium (mg)29
*Phosphorus (mg)52
*Potassium (mg)485
*Sodium (mg)7
*Thiamine (mg)0.07
*Riboflavin (mg)0.13
*Niacin (mg)0.5
★Virutubisho vyote hivyo hupatikana kwenye nusu kipande cha parachichi au kwenye gramu 100 ya parachichi.
FAIDA ZA KULA PARACHICHI KWA WANAUME.
★Husaidia kuimarisha mfumo wa uzazi kutokana na uwepo wa vitamin E, ambayo hutoa kinga dhidi ya sumu mwilini (Antioxidant) hasa kwa wanaume wenye changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume.
★Husaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa. Hii ni kutokana na uwepo wa nishati, Omega 3 na vitamin B6 ambayo huchochea hisia au hamu ya tendo la ndoa na kuufanya uume kusimama kwa muda mrefu (s*x drive, libido booster and longer lasting on bed)
★Huongeza ubora wa mbegu za kiume na kuzifanya ziwe na uwezo wa kutungisha mimba (fertility)
★Husaidia kubalansi (balance) mzunguko wa damu, kutokana na uwepo kwa wingi wa Madini ya potassium hivyo kuzuia shambulio la moyo (heart attack)
★Husaidia mmeng'enyo wa vyakula kuwa mzuri na wenye ufanisi.
★Huimarisha mifupa kutokana na uwepo wa Madini ya calcium.
★★Faida nyingine ni kwa wanawake, ambapo husaidia mama na mtoto anapo kwepo tumboni kutokana na uwepo wa folic acid. Pia parachichi husaidia ngozi kuwa bora na yenye afya.
*SULUHISHO LA BAWASILI BILA UPASUAJI KUPONA NI 100% UKITUMIA HIYO PACKAGE*
*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
*CHANZO CHA BAWASIRI*
➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
➖ Tatizo sugu la kuharisha
➖ Ujauzito
➖ Uzito wa mwili kupita kiasitt
➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
➖ Kupata haja kubwa ngumu
➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
➖ Kunywa pombe
➖ Kula sana nyama nyekundu
➖ Vidonda vya tumbo
➖ Ngiri(Chango/Hernia
➖ Kula sana pilipili
➖ Kunyanyua vitu vizito
*DALILI ZA BAWASIRI*
➖ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
➖ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
➖ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
➖ Kupata kinyesi chenye damu
➖ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
➖ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
➖ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
➖ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
➖ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)
*MADHARA YA BAWASIRI*
➖ Upungufu wa damu mwilini
➖Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
➖ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
➖ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
➖ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
➖ Kupata tatizo la kisaikolojia
➖ Kutopata ujauzito
➖ Mimba kuharibika
Kwa mawasliano whatsap no +225 787447384
FAIDA ZA KUTUMIA DAWA YA MENO BORA HAINA CHEMICALS
-Inasafisha na kuny'arisha meno
-Inaondoa harufu mbaya kinywani
-Inaondoa maumivu ya jino na kuvimba kwa fizi
-Inaondoa hali ya fizi kutoa damu
-Inaimarisha meno na kuzuia meno kuoza
-Inauwa vijidudu inavyoshambulia kinywa
💦 Huondoa tatizo la kutokwa na Damu Kwenye fizi na kujaa kwa mate mdomoni Mara kwa Mara.
💦Hukinga maradhi yote ya kinywa na harufu mbaya mdomoni.
💦Husafisha meno,Hutoa hunjano, ukungu na uchafu mzito uliogandamana ktk meno hasa uliotokana na Sigara.
💦 Huondoa vijidudu ninavyo toboa meno, nakuondoa maumivu makali ya meno.
By Dr .AKILLY
☎️+2557..0787447384
OR Whatsapp
16/11/2022
Kwa matibabu ya ngozi piga simu namba +255 0787447384 au whatsap
UNA MATATIZO YA NGOZI WANAWAKE KWA WANAUME
-MIWASHO KWENYE MWILI
-VIPELE BAADA YA KUNYOA NDEVU
-CHUNUSI SUGU KWENYE USO NA MADOA PIA
-FANGASI KWA WANAUME
-KUONDOA HARUFU MBAYA KWENYE MWILI
-KUONDOA MAPUNYE
-KUONDOA MBA
-NGOZI KUWA LAINI NA NYORORO
-KUONDOA WEUSI KWENYE MAKWAPA.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam