Afya Tabia2
Tunasaidia watu kutatua changamoto za upungufu wa nguvu za kiume na uzito mkubwa au kitambi
24/10/2022
Leo katika zama hizi za sayansi na teknolojia, tatizo la kupungua nguvu za kiume limekuwa kubwa sana, siyo Tanzania tu, bali duniani kote.
Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri.
DALILI TANO ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Dalili za kuonesha kuwa Mwanaume ana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a;
1.HUKOSA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA ~huwa Hana uwezo wa kutamani kufanya tendo la ndoa, tatizo hili husababishwa na msongo wa mawazo
2.KUTOKUA NA UWEZO WA KUSIMAMISHA UUME ~Hali hii hutokea kutokana na kutoa kuwepo kwa mzunguko wa damu wa kutosha Kwenye uume
3.UUME HUSINYAA KATIKATI YA TENDO~uume wa mwanaume husinyaa na kuwa mdogo na kurudi ndani hivyo huwa Hana uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa, Hali hii husababishwa na upigaji punyeto kwa muda mrefu
4.KUFIKA KILELENI MAPEMA ~mwanaume hushindwa kufanya mapenzi kwa dakika hata 15 hivyo huwahi kupeez ndani ya dakika 5.
5.KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA ~mwanaume hushindwa kurudia mzunguko wa pili hivyo akifika mzunguko wa kwanza anakuwa Hana uwezo wa kuendelea, Hali hii husababishwa na kutokua na msukumo wa damu wa kutosha.
Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za Kiume k**a umeziona moja ya dalili hizo usipuuze, na k**a unamfaham mtu mwenye Changamoto hii usipuuze mpatie taarifa hii atakushukuru sana, kumbuka hilo tatzo likiwa sugu utapata shida Sana kurejea ubora wa mwanzo itakuwa ngumu sana na utadhalilika. Jenga Afya yako sasa hivi kwa nini usubiri kesho?
𝐂𝐀𝐋𝐋/ 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏 0674197802
Pia Follow Instagram kwa makala ya afya zaidi
23/10/2022
Tuma ujumbe neno AFYA kwenda WhatsApp namba +255674197802 upate mwongozo
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
255