Nyasanga Health Care
Karibu tunatoa huduma ya afya kwa virutubisho lishe , Pia tunatibu magonjwa mbali mbali k**a UTI SUG Tunatibu matatizo yote ya afya kiujumla
22/08/2024
Mwaka huu usipite bila kuitwa Mama kwa wewe , kila Jambo linawezekana, kikubwa Usikate tamaa.
Huenda umeambiwa unamatatizo haya Basi usisite kuwasiliana namimi leo, tuone namna ya kukusaidia.
1: Unamatatizo ya uvimbe(fibroids.)
2: Matatizo ya mvurugiko wahomoni.
🔸 Hedhi imekuwa ya shida.
🔸Mayai hayapevuki vizuri.
🔸 Hupati Ute wa uzazi.
🔸unakosa hamu ya tendo landoa
pamoja na kuwa na uke mkavu.
🔸unakosa hedhi ya kila mwezi.
3: Mirija ya uzazi imeziba.
4: unamaambukizi sugu via vyako vya uzazi.yaani (P.I.D)
5: Unamatatizo ya vimbe maji kweye o***y zako.
Tuko tayari kukusaidia wewe mwenye uhitaji zaidi, kwani tunasema kila Mwanamke ni Mama, HAKUNA MGUMBA🙏🏽, Whatsapp no:+255682 286 538
09/04/2024
Dondoo| *Ujauzito na Afya ya Akili. Upande usiotazamwa sana na wengi*
Shirika la afya duniani ( WHO) linatoa takwimu za mama wajawazito 5 basi 1 anaweza kujikuta kupitia hali fulani zinazoweza kuhatarisha afya yake ya akili kipindi cha ujauzito au baada ya kujifungua.
Zipo dalili kadhaa ambazo huweza kuonekana za kawaida mama mjamzito anaweza kupitia zinazoweza kuwa na tafsiri ya hali duni ya afya ya akili.
1. Kujihisi mtu mwenye huzuni wakati mwingi
2. Kutohisi raha yoyote ile ya mambo alozoea kuyapenda na kufurahia
3. Wasiwasi uliozidi
4. Kulala kusiko kwa kawaida au kukosa kabisa usingizi isivyo kawaida
5. Kukosa utulivu wa umakini na kuamua mambo
6. Kujawa na hali ya kukosa kabisa tumaini na kujihisi mkosaji
7. Kujawa na hali za wakati mwingi kufikiri kuna jambo baya laenda kutokea
8. Kukosa hali ya kujiona mtu aliye na thamani
Hali hizi tajwa zaweza kujitokeza katika kiwango kidogo, kati au kupitiliza.
Katika hali ya kiwango kidogo huweza kuhitajika tu hali ya msaada wa karibu, wanafamilia au mwenza kumpa moyo juu ya hali za ujauzito
Katika hali mbaya zaidi mama mjamzito huweza kupitia hizi hali kiasi cha kuharibu uwezo wake wa kufanya mambo na pengine kuhitaji kabisa matibabu.
Tunagusia hili la afya ya akili kipindi cha ujauzito kwa sababu inapokosa kuongelewa. Mama mjamzito anaweza kuwa katika hatari ya dalili kadhaa tajwa juu kujikuta inachangia katika yafuatayo.
1. Upatikanaji wa mtoto chini ya uzito wake wa kawaida au kuzaliwa kabla ya wakati ( ingawa zipo sababu nyingine mbali na hili)
2. Kujikatisha maisha ( su***de) ambapo ni wakati mbaya sana unaomkuta mama mjamzito kufikia hatua ya kuyakatisha maisha yake
3. Matokeo mabaya ya ukuaji wa mtoto pindi hali itamkuta baada ya kujifungua
Pia wapo wengine ambao hupata changamoto baada ya kujifungua na kujikuta wakitawaliwa na hali zifuatazo:
1. Kushindwa kuacha kuwa na hofu dhidi ya watoto wao
2. Kukosa ujasiri wa kumtunza mtoto
3. Kujawa na mawazo hasi dhidi ya mtoto wake ( wapo ambao hadi huwadhuru watoto wao)
Dalili tajwa huangaliwa namna ya siku zilivyodumu, na namna athari hizo zimeendelea kuwa kubwa.
29/12/2023
NJIA TANO ZA KUTIBU TATIZO LA UKE MKAVU.
1. Tumia vilainishi vya kisasa mfano KY
2. Tumia vilainishi asilia mfano mafuta ya n**i na mzeituni.
3. Tumieni muda mrefu kuandaana vizuri.
4. Usitumie manukato au kitu chochote cha kunukia ukeni unaharibu tezi zinazotengeneza ute.
5. Tibu tatizo la homone imbalance, uke mkavu maana yake homoni za estrojen hazitoshi.
WASILIANA NASI KWA NAMBA 0682-286538
Kwa tiba na ushauri wa kiafya.
31/10/2023
TUWAHESHIMU SANA WANAWAKE WANAOSHIRIKIANA NA SISI KUTATUA CHANGAMOTO HIZI ZA NGUVU ZA KIUME
Wanaume sometimes tun**ingua sana tu 😢 wanawake wanafanya kila kitu ili kutuonyesha wapo pamoja na sisi kwenye matatizo yetu lakini hatuachi kuzingua na kuwachukulia poa.
Mwanaume una tatizo la kuwahi kufika kileleni mapema, ukianza game dk 2 mbali ushamwaga, pengine hata dk haiishi umeshamaliza, mwanamke anaumia na hasemi kitu. 😢
Baadaye mwanamke anaamua kuvunja ukimya anakushirikisha kuwa mbona k**a una tatizo? Basi tutafute suluhisho ili upone, ila cha ajabu unakuwa mkavu usiyekubali udhaifu, na hushirikiani na mwanamke kutafuta suluhisho la tatizo lako.
Ndugu yangu, si kila mwanamke ana courage ya kufanya hivyo kwasababu suala la wewe kuwa mdhaifu sio lake, ilifaa akiona hakuna maajabu anakuacha ili ampe nafasi mwenye maajabu.
Wanawake wengine wanavumilia wanachoka, hawajaja kula na kushiba, kutumia hela na kulala pazuri wakati wanadhulumika hisia zao... 😢 wanaamua kuondoka.
Wewe wako anakuvumilia na anakupambania unajivuta, anakununulia na program lakini wewe kuitumia tu ni mzigo, kweli jamani? Tunataka wanawake wanaotupenda wafanye nini kwetu?
Mwisho mwanamke akuache au akucheat useme anatamaa? Useme hakupendi? Kuna mahali Gentlemen tun**ingua sana.
Je, wewe unaweza kuishi na mwanamke asiye na hisia, mkavu, asiyetaka s*x hata mara 2 kwa mwezi mzima? Ungekubali?
Sasa kwanini yeye akuvumilie wakati miezi 6 yote unamwaga dk 1 tu? It's not fair.
Ungana na mwanamke wako leo mkapate suluhisho la tatizo lako mfurahie mahusiano yenu.
Kwa matatizo yote ya uzazi tupigie 0682-286538 sasa!!!
09/10/2023
Mfalme.
Kuongeza nguvu za kiume na testosterone, anza hapa:
•Kegels
•Kula mayai
•Kula chaza
•Nyama nyekundu
•Zabibu nyeusi
•Lala masaa 7+ usiku
•Tembea hatua 10,000 kila siku
•Nenda Gym mara 4-5 kwa wiki
•Kunywa Lita 3 za maji kwa siku
•Kaa dakika 60 kwenye jua
•Kula matunda yenye magnesium
•Anika korodani zako dakika 15 kila siku
•Tafuta Six-packs (bodyfat 15-20%)
•Fanya mazoezi ya miguu mara 2+/ wiki
Anza kufanya haya na utaona unavyokuwa mwanaume tena.
11/09/2023
URIC ACID NI NINI?
kwaufupi...
Uric Acid ni kemikali ya asill ambayo inapatikana katika mwili wabinadamu.
Kemikali hii hupatikana baada ya kuvunjwa vunjwa kwa vyakula ambavyo ndani yake kuna kundi la kemikali aina ya "Purine" ambayo baada ya kuvunjwa ndipo huzalisha.kitu kinachojulikana k**a "Uric Acid".
Katika mwili wa binadamu, kiwango ambacho ni cha kawaida mtu kuwa nacho ni 2.4-6.0 mg/dl (kwa mwanamke) na 3.4-7.0 mg/dl (kwa mwanamme)
Kiwango cha uric acid muilini hupimwa kwa kutumia njia ya damu.
Kiwango hiki endapo kitazidi mwilini kitasababisha matatizo mwilini na hasa katika maeneo ya mwili ambayo ni maungio ya mifupa/jointi.
Katika maungio ya mifupa au jointi, mtu atapatwa na maumivu makali, kuvimba na kubadilika kwa umbile la maungio ya mifupa na kuwa k**a kumepinda.
Hali hii kitaalamu au ugonjwa hujulikana k**a "Gout"
Pia kuzidi kwa kiwango cha uric acid mwilini kinaweza kuwa ni dalili ya magojwa k**a vile magonjwa ya ini, figo pamoja na saratani.
Tupigie sasa 0682-286538.
19/02/2023
Hatua mbali mbali ambazo zikichukuliwa zinaweza kupunguza hatari ya kupata maambukizi ya UTI:
1⃣Kunywa maji mengi na uende haja ndogo mara kwa mara ili kusafisha njia ya mkojo
2⃣Epuka vinywaji k**a vile pombe na kahawa ambavyo vinaweza kudhuru kibofu.
3⃣Nenda haja ndogo mara baada ya kufanya tendo la ngono.
4⃣Jipanguse kuanzia mbele kwenda nyuma baada ya kwenda haja ndogo na kubwa.
5⃣Hakikisha sehemu zako za siri ni safi kila wakati.
6⃣Kuoga kwa maji yanayotiririka( showers) ni bora zaidi na epuka kutumia mafuta.
7⃣Pedi (s**o) zinazotumiwa nje ni bora zaidi kuliko zile zinazoingizwa ndani
8⃣Epuka kutumia bidhaa za manukato katika sehemu ya siri.
9⃣Vaa nguo ya ndani(chupi) iliyotengenezwa kwa pamba na nguo ambazo hazikubani ili kuhakikisha sehemu zako za siri zinapata hewa.
🔟Watu wanashauriwa kuwasiliana na madaktari iwapo watahisi kuwa na dalili za UTI, hususani k**a wana uwezekano wa kupata maambukizi ya figo.
10/02/2023
Nani ameiba Furaha yako??
JE ni:
1. Ugumba au PID sugu? Au ni harufu ukeni na kutokwa uchafu ukeni wenye harufu kali?
2. Tezi dume?
3. Saratani katika shingo ya uzazi au ni uvimbe kwenye kizazi au ni U.T.I sugu?
4. Upungufu wa nguvu za kiume na uliathirika na punyeto mpka misuli ya uume imesinyaa Sana na hauna nguvu za kutosha kumridhisha mwenzi wako tena??
5. Chango la uzazi na mabadiliko ya hedhi kila mwezi?
6. Au ni Matatizo ya meno kuuma, kuwa na harufu mara Kwa mara na kutokwa na Damu kwenye fizi?
7. Au unasumbuliwa na chunusi sugu/madoadoa na magonjwa ya ngozi?? Wasiliana nasi mara moja urejeshe sifa yako ya Kuwa Baba na Mama Bora katika Familia yako. Tuna tiba lishe ZINAZOTIBU na kutokomeza kabsa tatizo lako.
Wasiliana nasi kupitia namba 0682-286538.
30/01/2023
P.I.D ni maambukizi katika mfumo wa uzazi, imekuwa janga kubwa kwa wanawake wengi mpaka inapelekea kushindwa kubeba mimba.
K**a una dalili hizo tuwasiliane nikupatie tiba na ushauri zaidi
0682-286538
NAMBIE!!!!! WEWE NI HUYU K**A NI UYU BASI ONDOA HOFU , NTAKUSAIDIA KUPONA TATIZO HILI KIPINDI HIKI CHA OFA, NJOO INBOX 0682-286538 AU NIPIGIE, NAMBIE NAHITAJI DAWA KWA BEI YA OFA KUTIBU TATIZO LANGU😇 NITAKUSIKILIZA🫶✍️
NAMBIE!!!!! WEWE NI HUYU K**A NI HUYU BASI ONDOA HOFU , NTAKUSAIDIA KUPONA TATIZO HILI KIPINDI HIKI CHA OFA, NJOO INBOX 0682-286538 AU NIPIGIE, NAMBIE NAHITAJI DAWA KWA BEI YA OFFER KUTIBU TATIZO LANGU😇 NITAKUSIKILIZA🫶✍️
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Opening Hours
| 09:00 - 17:00 |