Bright castor oil
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Bright castor oil, Beauty, cosmetic & personal care, Kimara korogwe, Dar es Salaam.
23/11/2019
๐บ **BRIGHT PURE CASTOR OIL ๐บ
MAFUTA HALISI NA BORA YA MNYONYO.**
Ili kupata matokeo bora ya matumizi ya mafuta ya Bright castor oil unatakiwa kuyatumia vizur kutokana na tatizo lako hucka.
๐บ **Utumiaj wa mafuta haya kwa mweny chunusi**
๐บ *nintofaut na mwenye vipele*,
๐บ *nitofaut na anaetaka kutoa mba kichwan*
๐บna *ntofaut kwa anaetaka kukuza nywele au kurainisha miguu na mikono.*
Pamoja na Bright Castor oil kufanya vzur x**a ktk ukuzaj wa nywele leo tuangazie katka kuondoa mba wa kichwani.
Bright Castor oil inaondoa mba kichwan.
๐๐ผ **K**a unanywele kavu**
changanya kijko1 cha Bright castor oil na kijko1 cha olive na nusu ndimu.
๐๐ผ *K**a una nywele zenye mafuta*
changanya kjko1 cha Bright castor oil,asali, aloe vera gel na nusu ndimu.Paka mchanganyiko kwenye roots za nywele zako,kaa nayo kwa dakka30 kisha osha kwa shampoo na paka conditioner
๐๐ผ *Kwa wenye dreads*
Changanya Bright castor oil na conditioner yako kufanya dreadlock zako ziwe lain na zing'ae na kuwa nzito.
Pia unaweza kuendelea kupaka kwenye mzizi au shina la dreads zako kwa ukuaji mzuri.
๐๐ผ *Kwa matumiz ya ngozi*
Bright castor oil inakainisha ngozi, kwakuwa inasaidia kutengwneza elastin na collagen ambazo ndizo huondoa mikunjo usoni na kuranya uso uonekane laini.
๐๐ผ *Bright castor oil inasaidia wenye ngoz kavu,*
Changanya Bright castor oil na mafuta ya n**i(kipimo sawa) kisha paka katikati sehemu ambayo ngozi imekauka. Pia inaondoa madoa na chunusi.
๐๐ผ *Kwa matumizi ya miguu na mikono*
Inalainisha miguu iliyo kauka na migumu,Kabla ya kulala paka miguun na ukiweza vaa soksi had asbuh kisha osha miguu na na uendelee na shughul nyingne.
Kwa upande wa mikono tumia k**a hand lotion, paka kila muda baada ya kumaliza shughuli zako za kuxhika maji.
*N:B* K**a unaseti nywele zako ukipaka mafuta ya Bright Castor Oil nywele haitakuwa na mawimbi,unaweza kupaka kwenye ngozi tu ili ubaki na mawimbi uweze kuchana style uipendayo. _
Karibuni sana Wateja wetu wa Bright Castor Oil.๐ค๐ผ๐ค๐ผ๐ค๐ผ
๐บ **BRIGHT CASTOR OIL NDO MPANGO MZMA_** ๐บ
*Njia 10 za kufanya Nywele zako ziwe za kuvutia na zenye afya*
๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น
kuna vitu vingi vinavyoweza kufanya nywele zako zikakosa afya na mvuto, vitu k**a vumbi, upepo, mvua, jua, maji na madawa tunayoweka kwenye nywele zetu pamoja na vyakula tunavyokula ni chanzo kikuu cha nywele zetu kuharibika na kukosa afya na mvuto. leo nimekuletea vidokezo vichache vya jinsi ya kutunza nywele zako.
๐๐ป๐๐ป *kata ncha za nywele zako*
kukata ncha za nywele zako kunasaidia kufanya nywele zako kujizaa upya, mara nyingi seli katika ncha za nywele hufa. seli zinapokufa huzui nywele zinazozaliwa kushindwa kustawi vyema na hivyo kuzifanya nywele zako kukosa afya. japo wanawake wengi huwa hawapendi kukata ncha za nywele zao wakihofia nywele zao kuonekana fupi. lakini ukweli ni kwamba unapokata ncha za nywele zako unasaidia nywele zako kupata nafasi ya kukua vizuri na kuwa zenye afya nzuri na kuvutia.
๐น *onya nywele zako angalau mara moja kwa wiki*
kuonya nywele zako angalau mara moja kwa wiki kutasaidia kuzifanya nywele zako ziwe na afya. hata k**a uko busy sana basi jitahidi isipite wiki mbili bila kuonsha nywele zako.
๐๐ *tumia shampoo inayoendana na nywele zako*
tumia shampoo inayoendana na nywele zako, kuna nywele za aina tofauti. kuna nywele kavu, zenye mafuta, mchanganyiko, na pia kuna nywele nyepesi, laini, ngumu na nzito. zipo aina tofauti za shampoo zinazoendana na aina ya nywele zilizopo . hivyo basi ni vyema unapotaka kuosha nywele ukajua ni aina gani ya shampoo utumie, pia kwenye condition napo unatakiwa kufanya hivyo hivyo.
๐ *Zipe nywele nafasi*
nywele nazo huitaji nafasi,kuchana nywele kila siku, kuzipaka nywele jelly kila siku, kuzichana mitindo tofauti, kuziwekea gundi na mafuta tofauti tofauti huzifanya nywele zako zichoke na kukosa afya. hivyo unatakiwa mara moja moja un**ipa nywele zako nafasi ya kumupumzika. zipumzishe nywele zako kwa kus**a mtindo ya kawaida k**a mabutu na nywele nyngne za mkono. โ
๐ *Usichane nywele kwa nguvu zikiwa mbichi* .
jaribu kuzichana nywele kwa kichanuo kikubwa, au jaribu kuziacha mpaka zikauke ndo uzichane. unapochana nywele mbichi tumia kitana kikubwa na chana taratibu ukianzia nyuma kuja mbele.
20/11/2019
*๐บBRIGHT CASTOR OIL๐บ*
Ni mafuta yanayo uchangamsha mfumo wa damu na kufungua njia ya mizizi ya nywele hivyo kuchochea ukuaji wa nywele kwa haraka. *Karibu ujipatie mafuta Bora yatakayo saidia kubadilisha muonekano wa nywele yako* ๐ค๐ผ๐ค๐ผ
๐ฅฐ๐ฅฐ๐ฅฐ
14/11/2019
๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
13/11/2019
Leo nitakupa sababu za kutumia mafuta ya castor oil kutoka BRIGHT CASTOR OIL
Bright castor oil ni mafuta asilia ya mmea wa mnyonyo yanayotengenezwa kwa kutumia mbegu za mmea wa mnyonyo, mbegu hizo ukaangwa kwanza ndipo uchunjwa na ndomana yana rangi nyeusi kwa kuyaangalia
Mafuta haya hayajachanganywa na chochote si mafuta mengine wala chemical zozote na yanaharuf ya mmea wa mnyonyo na yanauzito mfano wa asali
Hizi ni faida mojawapo ya kutumia mafuta ya castor oil kutoka kwetu
*yanakuza na kujaza nywele
*ynalainisha na kung'arisha nywele
*yanaondoa mba na muwasho kichwani
*yanasaidia kuponyesha vibarango na vidonda vingne kichwani
*yanasaidia kuzuia nywele zisikatike sana
*yanasaidia kuondoa maumivu kwenye viungo kwa kujichua nayo
*yanasaidia kuondoa chunusi
*yanasaidia kuondoa michiriz mwilini
*na faida nyinginezo.
Bright castor oil ni suluhisho na tiba ya nywele zako
๐น๐น๐น๐น๐น๐น
12/11/2019
COCONUT AND CASTOR OIL KWA UKUZAJI WA NYWELE
Nini kina fanya nywele zikue haraka? wasichana wengi hujiuliza hili swali na hapo ndipo wanapo amua kutafuta majibu kupitia madawa ya salon ambayo ni ghali pia yana kemikali ambazo si nzuri. Kuna mafuta mazuri ya asili ambayo yana weza kukusaidia kukuza nywele zako bila gharama na pia hayana kemikali, leo tuangalie mafuta ya n**i na mafuta ya mnyonyo
Mafuta ya mnyonyo husaidia ku imarisha nywele na kujaza nywele zilizo katika.
Mafuta ya n**i yenyewe husaidia vingi ikiwemo kuondoa mba, kukuza nywele, kuzipa nywele protein na kuzuia ukatikaji wa nywele.
Kuna njia mbali mbali za kutumia mafuta haya
Castor oil โ ili kupaka mafuta haya kata nywele zako katika mafungu mafungu na tumia pamba kupaka mafuta kwenye ngozi kisha zifanyie massage
Coconut oil โ una weza kupaka mafuta haya mara mbili kila week k**a ilivyo kuwa katika mafuta ya mnyonyo haya pia ukisha paka massage ngozi ya kichwa chako, itasaidia ukuaji wa haraka wa nywele.
Lakini pia unaweza kutumia mafuta haya K**a hair mask kwa kufanya hivi
Mahitaji
Vijiko Vitano vya mafuta ya6 n**iVijiko vitano vya mafuta ya mnyonyo
changanya mafuta hayo kisha paka kwenye ngozi ya kichwa bila kusambaza kwenye nywele, baada ya kupaka kichwa chote fanyia massage kichwa chako kwa dakika tano kisha sambaza kwenye nywele vaa kofia ya plastic na funga taulo kwa masaa mawili japo ukikaa nayo usiku mzima itapendeza zaidi, Kisha osha na fanya conditioning yako k**a kawaida una weza kufanya hivi mara mbili au moja kwa mwezi, ukifanya inavyo takiwa utapata matokeo mazuri si tu nywele kukua bali zitakua na afya na kungโaa
BRIGHT CASTOR OIL yanapatikan kwa bei poa 0713972365 tupo dar mkoani y anapatikana pia
๐น๐น๐น๐น๐น
12/11/2019
JIPATIE CHUPA YAKO HII KWA 10000/= WEKA ODA YAKO SASA UPATE MAFUTA STAHIK KWA AJIL YA NYWELE TUPO DAR MKOANI UNATUMIWA
12/11/2019
JIPATIE CHUPA YAKO HII NDOGO KWA BEI YA OFA KABISA NICHEK WHATSUP 0713972365 KUPATA MAFUTA YAPO
๐น๐น๐น๐น๐น
12/11/2019
KUZA NYWELE ZAKO KWA KUTUMIA MAFUTA YA NYONYO (BRIGHT PURE CASTOR OIL)
Bright Castor Oil ni mafuta halisi ya nyonyo,ambayo hayajachanganywa na kemikali yoyote na yanatumika kwa ajili ya ๐บkutibu nywele
๐บngozi na afya yako,
๐บyanatumika kutibu matatizo k**a nywele kudumaa
๐บhazikui,
๐บyanaongeza kasi ya ukuaji wa nywele zako hivyo hata kwa wenye kipara yanaondoa
๐บ pia kukuza nyusi,
๐บkuondoa mba,
๐บchunusi,madoa,michirizi(stretchmark),
๐บnywele kuwa nzito ,
๐บkulainisha ngozi ,mikunjo usoni,hamu ya kula,kukosa choo na vingine.
leo tutaongelea faida ya mafuta ya nyonyo katika ukuzaji na uboreshaji wa nywele zako.๐๐๐ Hapa tuazungumzia mafuta halisi ya *Bright castor oil* ambayo yametengenezwa kiasili na hayajachakachuliwa
๐Mafuta ya nyonyo yanasaidia kukuza nywele.
Mafuta ya nyonyo yanakuza nywele haraka, *ukiyapasha joto kidogo* kabla ya kupaka, kisha unapaka kwenye ngozi ya kichwa na kuyatawanya vizuri katika ngozi taratibu k**a una massage kichwa chako pia bila kupasha kule kumassage kunayongezea joto linayoyapa uwezo wa kupenya vizuri. Unapopaka na kutawanya vizuri unasaidia kuongeza mzunguko wa damu kichwani hivyo virutubisho vinavyoletwa na damu kukuza nywele zako vinafika kwa utoshelevu. Mafuta haya yana virutubisho mbali mbali ikiwemo Omega 6 fatty acids ambazo huongeza virutubisho vinavyoleta afya katika nywele zako.
๐mafuta haya yanajaza nywele
mafuta ya nyonyo yana uwezo mkubwa a kujaza nywele na kuotesha zaid na haraka kuliko kawaida kwan yana virutubisho k**a omega 6 fatty acids ambavyo huongeza virutubisho vinavyongeza afya kwa nywele.๐ค
๐Mafuta ya nyonyo hutibu tatizo la mba kichwani* .
mafuta haya yana uwezo mkubwa wa kuua vijidudu/ bakteria mbao huleta matatizo mbalimbali ya nywele na ngozi ya kichwa.๐
Iwapo una mba na nywele zina mafuta mengi basi changanya hivi: kijiko kimoja kimoja cha mafuta ya nyonyo, asali na ute ute wa aloevera na maji ya nusu limao. Paka kwenye mizizi ya nywele yani kwenye ngozi kaa nayo dakika 30 kisha osha mchanganiko utoke kwenye nywele yako.
Pamoja na kutibu mba michanganyiko hii hurutubisha nywele na kufanya zing'ae.
๐husaidia kung'arisha nywele na kuonekana zenye afya
10/11/2019
Ukuzaji wa nywele
Nywele hukua tofauti kwa kila mtu, wengine zinakua haraka sana wengine taratibu k**a kinyonga.
Sababu kuu tatu zinazosaidia ukuaji wa nywele ni
1.usafi
2.kuziacha nywele zipumue, mitindo michache isiyovuta sana nk.
3.k**a ilivyo kwa bustani nzuri, upaliliaji! na utumiz wa mbolea (Bright castor oil)
USAFI
je waosha nywele zako mara ngapi kwa mwezi, wiki, siku? waosha kwa kutumia nini?
mimi huosha mara moja kwa wiki,
kipindi nywele zangu zilikua fupi nilikua nikiosha tu bila wasiwasi ila sasa zimekuwa ndefu na zinashik**ana sana hivyo basi inanibidi kuosha kwa mafungu mafungu hii inapunguza ushik**anaji wa nywele na pia ukatikaji wa nywele.
usafi wa mwili na roho je?
kula vyakula vyenye virutubisho, samaki na karanga hukuza nywele,kunywa maji mengi ondoa stress, kuwa mwenye furaha .
MISUKO
Kuna misuko jamani mpaka unameza panadol, je wahisi kitabaki kitu kweli?
s**a style tulivu, style zenye upendo na ngozi yako. ukiona msusi anataka kukutoa roho achana naye tafuta mwenye mkono mlaini .
pia usiziache wazi sana penda kuzifunika wakati wa kulala, funga kiremba huko hupunguza makali ya mto kugusana na nywele na kukatika kwa nywele.
MBOLEA
je wewe watumia mbolea gani na unaitumiaje?
wanasayansi wamezibitisha njia kuu tatu ambazo husaidia kurutubisha mizizi na nywele pia kubaki katika hali ya mng'aro wa kuvutia.
moisture (maji) nyunyizia tumaji kidogo kuanzia chini kwenda juu, usiloweshe nywele fanya tu kuwe na unyevunyevu. kishua paka mafuta ya bright castor oil kwenye ngozi ya kichwa na nywele. funga mabutu lala. waweza fanya hivi mara mbili hadi tatu kwa wiki k**a nywele zako ni ngumu sana.
WASILIANA NAMI KUPITIA 0713972365 WHATSUP KUJIPATIA MAFUTA YAKO HE BRIGHT CASTOR OIL KWA BEI POA KARIBUNI WAPENDWA
๐น๐น๐น๐น๐น๐น
10/11/2019
KUZA NYWELE ZAKO KWA KUTUMIA MAFUTA YA NYONYO (CASTOR OIL).
Mafuta ya castor oil au nyonyo ni mafuta yatokanayo na mmea wa mbarika. ni mafuta ya asili yanayotumika katika shughuli mbalimbali k**a kukuza nywele, kuondoa michilizi, husaidia kuotesha kope na kazi nyingine nyingi tu.....
leo tutaongelea faida ya mafuta ya nyonyo katika ukuzaji na uboreshaji wa nywele zako. Hapa tuazungumzia mafuta halisi ya castor oil ambayo yametengenezwa kiasili na hayajachakachuliwa
1. Mafuta ya nyonyo yanasaidia kukuza nywele. mafuta haya uliyaasha moto na kuwa na joto kiasi, ukiyapaka kichwani na kuyamassage kwa kuyasambaza kichwan, kwa kufanya hivi japo mara mbili kwa wiki itakupa matokeo mazuri.
2.mafuta haya yanajaza nywele. mafuta ya nyonyo yana uwezo mkubwa a kujaza nywele na kuotesha zaid na haraka kuliko kawaida kwan yana virutubisho k**a omega 6 fatty acids ambavyo huongeza virutubisho vinavyongeza afya kwa nywele.
3. Mafuta ya nyonyo hutibu tatizo la mba kichwani.
mafuta haya yana uwezo mkubwa wa kuua vijidudu/ bakteria mbao huleta matatizo mbalimbali ya nywele na ngozi ya kichwa.
4. husaidia kung'arisha nywele na kuonekana zenye afya
5. Pia hutumika k**a conditioner au huweza kutumiwa kuchanganya na steaming na ukapaka kichwan na kuzifanya nywele zako kuwa imara zaidi.
JALI NYWELE ZAKO KWA HALI YA JUU NA JARIBU KUFATILIA KWA KUFUATA NJIA HIZI... KWA MAHITAJI YA MAFUTA YA BRIGHT CASTOL 0713972365 whatsup
๐น๐น๐น๐น๐น๐น
10/11/2019
KWANINI UTUMIE BIDHAA YA ASILI KATIKA NYWELE YAKO YAANI CHEMICAL FREE
Utafiti unaonyesha unapotumia products ambazo malighafi zake zote zinatokana na kemikali ambazao kwa hakika zina pande mbili za matokeo kuna mambo mawili yatakutokea kwa hakika
Jambo la kwanza bidhaa hiyo ikikusaidia jua itakua ni kwa muda tu baada ya kuzoeana na cell zako itaweza kuacha kukusaidia
Jambo la pili bidhaa hii itakapo shindwa kukusaidia itakudhuru na kukupa reaction na allergy mbali mbali
Kwa upande Mwingine kutumia bidhaa asili ambayo haina viambata kemikali kutaituza nywele yako na pia kukusaidia daima
Bidhaa za asili hazina tabia ya kuacha kufanya kazi kwasababu imezoeana na cell zako
Pia endapo bidhaa ya asili haitakusaidia k**a ulivyo tarajia bidhaa ya asili haitakudhuru itakuacha ukiwa na afya yako ya awali
๐ฅUREMBO ASILI NI HESHIMA๐ฅ
asili yako
na kemikali sio lazima๐๐
Karibuni saana mjipatie mafuta bora na halisi yasiyo na kemikali yoyote ile kutoka Bright castor oil 0713972365 watsup
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam