Ngozi na Urembo

Ngozi na Urembo

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Ngozi na Urembo, Beauty, cosmetic & personal care, Tazara, Dar es Salaam.

05/04/2023
28/02/2023

*👉🏼JINSI YA KUMALIZA KABISA CHANGAMOTO YAKO YA NGOZI
*
Ngozi ni ganda la nje la mwili wa binadamu au mnyama.
Ngozi ni kiungo muhimu sana katika mwili wa binadamu kutokana na kazi zake katika miili yetu k**a kutoa uchafu kwa njia ya jasho na mengineyo
Utakubaliana na mimi kwamba mtu akiwa na Ngozi iliyoharibika/mbaya anakosa kujiamini mbele za watu na kinyume chake mtu akiwa na ngozi nzuri hujiamini popote pale anapokuwa.
Pia miaka hii tumeona kuwa utunzaji wa ngozi si kwa wanawake tu bali pia hata wanaume hutunza ngozi zao
Watu wengi wamekuwa wakihangaika kutafuta suluhisho la changamoto zao za Ngozi bila mafanikio.
Watu wengi wamekuwa wakitumia njia tofauti tofauti ili kumaliza Changamoto zao za ngozi
Kuna wanaotumia madawa au bidhaa za kemikali kumaliza tatizo, pia kuna wanatumia mitishamba ili kumaliza Changamoto zao
Njia hizo zinaweza kuwa sahihi kumaliza tatizo lako lakini utagundua kuwa si njia zote zinaweza kumaliza tatizo lako
Iko hivi
Njia fulani inaweza kumfaa mtu fulani na mwingine isimfae
Je utajuaje njia ipi utaenda kumaliza tatizo lako kabisa ???
Fungua Whatsapp tuma ujumbe Andika NGOZI kwenda namba 0785630537
Nitakuuliza maswali machache kuhusu changamoto yako na kisha nitakushaurii (BURE) Bila malipo yoyote kuhusu njia ipi itakufaa
Au unaweza kunipigia simu moja kwa moja kupitia namba hii 0785630537
Karibu 🙏🏼

18/02/2023

Je??? Ni changamoto ipi Kati ya hizi inakunyima Amani/furaha??? 1.Makunyanzi usoni. 2.Mabaka, madoa,vitundu vya usonii. 3..Weusi chini ya macho. 4.Sugu za mikononi au Miguuni. 5.Black spot usoni. 6.Ngozi yako inakuw na mafuta mengi au inakuwa kavu Sana? 7.Weusi wa mapajani na makwapani. 8.kutokuwa rangi moja mwili mzima . 9. Wekundu usoni/ Mwilini. 10.Ngozi yako imeathirika na cream Kali? 🤗karibu Sana JISIKIE AMAN k**a unatatizo lolote🖕 hapo suluhisho lipo Ngozi na urembo Tunatoa huduma kwatatizo lolote la ngozi..hapa au. Wasiliana kwa
0785630537
Welcome

07/02/2023

Je una shida ya ku katika kwa nywele mara kwa mara Basi tuna products nzuri sana kwa ajili ya tatizo lako hilo

Wasiliana nasi upate bidhaa zako ufurahie nywele zako

Karibu sana

07/02/2023

Aftershave is available kuzuia vipele wakati wa kunyoa na kukuacha ukiwa smooth kabisa

02/02/2023

Feedback ya sonya pack

K**a una ngozi mchanganyiko na Hujui uhiudumie vipi na bidhaa gan Za kutumia Njoo tuongee
0785630537

02/02/2023

K**a una shida ya ngozi Njoo tuongeee tumalize tatizo lako
Ushauri ni buree kabisa

Wasiliana nasi kwa
0785630537
Welcome

02/02/2023

See the transformation jamn it’s magic

K**a una shida yoyote ya ngozi Njoo Dm tuongee vzr

Hakuna ngozi mbaya ni how unavyoihudumia tu

Call or WhatsApp
0785630537
Welcome 🙏

24/01/2023

Watu wengi wamekuwa wakihangaika na chunusi sugu bila mafanikio
Tunasuluhisho la tatizo lako kwa kutumia bidhaa asilia kabisa na kupona ni uhakika
K**a unachangamoto yoyote ya ngozi njoo Dm or whatspp tuzungumze
0652769985
0785630537
Welcome

11/11/2022

Watu wengi wakifanya skincare routine wanasahau neck nawakumbusha ukifanya skincare routine na shingo uifanyie

Kwa ushauri kuhusu ngozi Wasiliana nasi kwa
Call or whatsp
0785630637
Welcome All

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address

Tazara
Dar Es Salaam