Ngozi na Urembo
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Ngozi na Urembo, Beauty, cosmetic & personal care, Tazara, Dar es Salaam.
05/04/2023
28/02/2023
*👉🏼JINSI YA KUMALIZA KABISA CHANGAMOTO YAKO YA NGOZI
*
Ngozi ni ganda la nje la mwili wa binadamu au mnyama.
Ngozi ni kiungo muhimu sana katika mwili wa binadamu kutokana na kazi zake katika miili yetu k**a kutoa uchafu kwa njia ya jasho na mengineyo
Utakubaliana na mimi kwamba mtu akiwa na Ngozi iliyoharibika/mbaya anakosa kujiamini mbele za watu na kinyume chake mtu akiwa na ngozi nzuri hujiamini popote pale anapokuwa.
Pia miaka hii tumeona kuwa utunzaji wa ngozi si kwa wanawake tu bali pia hata wanaume hutunza ngozi zao
Watu wengi wamekuwa wakihangaika kutafuta suluhisho la changamoto zao za Ngozi bila mafanikio.
Watu wengi wamekuwa wakitumia njia tofauti tofauti ili kumaliza Changamoto zao za ngozi
Kuna wanaotumia madawa au bidhaa za kemikali kumaliza tatizo, pia kuna wanatumia mitishamba ili kumaliza Changamoto zao
Njia hizo zinaweza kuwa sahihi kumaliza tatizo lako lakini utagundua kuwa si njia zote zinaweza kumaliza tatizo lako
Iko hivi
Njia fulani inaweza kumfaa mtu fulani na mwingine isimfae
Je utajuaje njia ipi utaenda kumaliza tatizo lako kabisa ???
Fungua Whatsapp tuma ujumbe Andika NGOZI kwenda namba 0785630537
Nitakuuliza maswali machache kuhusu changamoto yako na kisha nitakushaurii (BURE) Bila malipo yoyote kuhusu njia ipi itakufaa
Au unaweza kunipigia simu moja kwa moja kupitia namba hii 0785630537
Karibu 🙏🏼
18/02/2023
Je??? Ni changamoto ipi Kati ya hizi inakunyima Amani/furaha??? 1.Makunyanzi usoni. 2.Mabaka, madoa,vitundu vya usonii. 3..Weusi chini ya macho. 4.Sugu za mikononi au Miguuni. 5.Black spot usoni. 6.Ngozi yako inakuw na mafuta mengi au inakuwa kavu Sana? 7.Weusi wa mapajani na makwapani. 8.kutokuwa rangi moja mwili mzima . 9. Wekundu usoni/ Mwilini. 10.Ngozi yako imeathirika na cream Kali? 🤗karibu Sana JISIKIE AMAN k**a unatatizo lolote🖕 hapo suluhisho lipo Ngozi na urembo Tunatoa huduma kwatatizo lolote la ngozi..hapa au. Wasiliana kwa
0785630537
Welcome
07/02/2023
Je una shida ya ku katika kwa nywele mara kwa mara Basi tuna products nzuri sana kwa ajili ya tatizo lako hilo
Wasiliana nasi upate bidhaa zako ufurahie nywele zako
Karibu sana
07/02/2023
Aftershave is available kuzuia vipele wakati wa kunyoa na kukuacha ukiwa smooth kabisa
02/02/2023
Feedback ya sonya pack
K**a una ngozi mchanganyiko na Hujui uhiudumie vipi na bidhaa gan Za kutumia Njoo tuongee
0785630537
02/02/2023
K**a una shida ya ngozi Njoo tuongeee tumalize tatizo lako
Ushauri ni buree kabisa
Wasiliana nasi kwa
0785630537
Welcome
02/02/2023
See the transformation jamn it’s magic
K**a una shida yoyote ya ngozi Njoo Dm tuongee vzr
Hakuna ngozi mbaya ni how unavyoihudumia tu
Call or WhatsApp
0785630537
Welcome 🙏
24/01/2023
Watu wengi wamekuwa wakihangaika na chunusi sugu bila mafanikio
Tunasuluhisho la tatizo lako kwa kutumia bidhaa asilia kabisa na kupona ni uhakika
K**a unachangamoto yoyote ya ngozi njoo Dm or whatspp tuzungumze
0652769985
0785630537
Welcome
11/11/2022
Watu wengi wakifanya skincare routine wanasahau neck nawakumbusha ukifanya skincare routine na shingo uifanyie
Kwa ushauri kuhusu ngozi Wasiliana nasi kwa
Call or whatsp
0785630637
Welcome All
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam