Boresha Afya yako
Kalibuni tuelimixhane kuusu Afya na jinsi ya kutibu magonjwa yanayo wasumbua
26/02/2025
KARIBU UJIPATIE MASHATI MAPYA ORIGINAL KWA BEI YA JUNLA KUANZIA PISI MOJA KWA Shs. 20,000/= tuu
MZIGO UNAKARIBIA KUISHA WAHI MAPEMA.
☎️Airtel ➡️ +255 788 688 010
Whatsapp No +255 763 554 221 call Whatsapp/sms
Location📍Dar Es Salaam.
WATEJA WETU WA MIKOANI KARIBUNI PIA MTUPATIE ODA
ZENU. TUNATUMA MZIGO MKOANI KWA UAMINIFU KABISA.
HAPA KAZI TUU 💪
Karibu sana.
13/08/2024
God is good, we have finished the camps with a bang.
Charles Seven Force
29/01/2024
KARIBU UJIPATIE MASHATI MAPYA ORIGINAL KWA BEI YA JUNLA KUANZIA PISI MOJA KWA Shs. 20,000/= tuu
MZIGO UNAKARIBIA KUISHA WAHI MAPEMA.
☎️Airtel ➡️ +255 788 688 010
Whatsapp No +255 763 554 221 call Whatsapp/sms
Location📍Dar Es Salaam.
WATEJA WETU WA MIKOANI KARIBUNI PIA MTUPATIE ODA
ZENU. TUNATUMA MZIGO MKOANI KWA UAMINIFU KABISA.
HAPA KAZI TUU 💪
Karibu sana.
25/12/2023
🤣🤣🤣
19/11/2023
🚴🚴 Charles Seven Force
TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NA
MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)?
MSHAURI: +255 788 688 010 ☎️ ☎️
➡▪Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti
Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.
Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.
SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA (mifupa kwa ujumla)
1.Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
2.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
3.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
4.mawazo (stress).
5.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya mto.
MADHARA YA MAUMIVU HAYO NI K**A YAFUATAYO;
1.Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
2.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.
Habari njema ni kwamba baada yakufanya utafiti wa kina kwa mda mrefu sasa tiba imepatikana,tiba ya uhakika na ya haraka
Kwa matibabu ya haraka na sahihi wasiliana nasi,+255 788 688 010 ☎️
Pia Tupo kwenye punguzo la Bei kwa asilimia 30 wasiliana nasi tukusaide
Whatsap https: +255 763 554 221 au 0788 688 010
25/10/2023
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA U.T.I SUGU(URINARY TRACT INFECTION)
U.T.I ni maambukizi kwa njia ya mkojo na huathiri mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi, wadudu huathiri sana kibofu na urethra.
Jina U.T.I ni kifupi cha URINARY TRACT INFECTION (Neno la kingereza) watu wengi huzoea kuita hivyo wakijua ni jina la kiswahili, imeshazoeleka hivyo.
Jinsia ya k**e wana hatari kubwa kuliko jinsia ya kiume.
Maambukizi yakwenye kibofu huleta maumivu makali, madhara makubwa hutokea maambukizi yakifika mpaka kwenye figo.
U.T.I husababishwa na wadudu wadogo sana ambao ni bakteria waitwao Escherichia coli (E. coli), wanapoingia mwilini na kuenda kuathiri mfumo wa mkojo.
U.T.I hutibika haraka kwa mtu ambaye atatumia dawa na pia yaweza kuleta madhara makubwa isipotibika huweza kuathiri mfumo wa uzazi, kibofu, na sehemu mbalimbali, tunashauri mtu mwenye U.T.I inatakiwa awe msafi na kubadili mienendo iliyo hatarini.
UTI+Header
MGAWANYO WA U.T.I
Kuna mgawanyo wa aina mbili za U.T.I
Maambukizi ya Upande wa juu – Hii hujumuisha Figo na Ureta
Maambukizi ya Upande wa chini – Hii hujumuisha Kibofu na Urethra
CHANZO CHA MAAMBUKIZI YA U.T.I
U.T.I husababishwa na wadudu wadogo sana ambao ni bakteria waitwao Escherichia coli (E. coli), wanapoingia mwilini na kuenda kuathiri mfumo wa mkojo, vitu vifuatavyo vinaweza kukuingiza kwenye hatari ya kupata U.T.I;
✍️Kinga ya mwili kuto kuwa imara
✍️Kutumia Vifaa au Dawa za kuzuia mimba
Kwa wa k**e; Kupungua kwa homoni ya estrogeni
✍️Mtu mwenye kisukari
✍️Kutumia choo kichafu na kutumia idadi kubwa ya watu
✍️Kuwa na tatizo la mmeng’enyo na tatizo la choo
✍️Kukaa kwa mda mrefu bila kutembeatembea
✍️kufanya mapenzi holela
DALILI ZA MTU MWENYE U.T.I
Dalili za mtu mwenye tatizo la U.T.I hutokea tofauti kulingana na umri, jinsia na sehemu iliyoathiriwa. Hizo dalili ni k**a;
urinary_tract_infections-1
✍️Kujihisi mchovu na kutokujisikia vizuri
✍️Kukojoa kwa shida na kujilazimisha
✍️Maumivu wakati wa kukojoa
✍️Kukojoa kiasi kidogo na mara kwa mara
✍️Mkojo kutoa harufu kali
✍️Mkojo kuwa na rangi tofauti zisizo za kawaida kwa mfano wekundu kiasi
✍️Kichefuchefu au kutapika
✍️Maumivu ya tumbo, au pande za mwili karibu na tumbo mpaka sehemu za misuli
✍️Joto laweza kuongezeka
JINSI YA KUEPUKANA NA U.T.I
✍️Kunywa maji mengi
✍️Acha kutumia dawa za uzazi wa mpango
✍️Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
✍️Kojoa hata kidogo baada ya kujamiiana
✍️Punguza au acha kunywa pombe na kutumia sigara kuathiri kibofu
✍️Kuwa msafi hasa sehemu za siri ili kutoruhusu bakteria
✍️Usipulizie spray kwenye tupu
Kwa ushauri na tiba wasiliana nasi WhatsApp Call Kwa namba
0788 688 010 / 0763 554 221. Whatsapp.
KARIBUNI SANA. Charles Afya.
Boresha Afya yako
04/09/2023
Mwendo wa minuno
Follow back
Usisahau ku like na kucomment.
02/09/2023
Atimaye tumeitimisha kwa kishindo kikubwa.
Click here to claim your Sponsored Listing.