Afya_online_

Afya_online_

Share

Huduma ya afya, ushauri na matibabu

12/07/2023

*WATOTO MSIWARUSHE JUU*

Kitaalamu haishauriwi kumrusha rusha juu mtoto

Mtoto anapokua mdogo ubongo wake unakua ni mdogo ikilinganishwa na fuvu lake la kichwa.

Hivyo tuseme ubongo wa mtoto unakua haujatoshea katika fuvu lake la kichwa.

Unapomrusha rusha juu mtoto husababisha ubongo kujingonga katika fuvu la kichwa jambo ambalo linaweza kusababisha mtoto kupata hitilafu katika ubongo wake.

Na kupelekea kupata degedege pamoja na magonjwa megine ya ubongo.

Madhara mengine ni pamoja na kupatwa:-

-Degedege mara kwa mara

-Kutapika

fahamu

-Mtindio wa ubongo

-Na hata kupoteza maisha

*_ALL IT'S BACAUSE YOUR HEALTH MATTERS_*

06/04/2023

Matatizo ya FUNGUS,PID,UTI na Matatizo yote ambayo yapo kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke yanatibika kirahisi
100%

12/02/2023

*⛔Athari za Homoni ya Prolactin kuwa Juu wakati HUNYONYESHI na Huna Mimba.*

1️⃣Maziwa Kutoka kwenye Chuchu

2️⃣Mayai kutokupevuka

3️⃣Mzunguko wako kuwa mfupi sababu Ya kiwango kidogo cha Progesterone na Estrogen k**a yai halikupevuka.

4️⃣Mayai Kutokupevuka hata Ukipima Homoni za Kukomaza mayai LH katikati ya Mzunguko unakuta ziko Chini ya kiwango Kinachotakiwa kutoa yai kwenye Ovari kuja kwenye Mirija.

5️⃣Kuingia hedhi ya Matone au Kutokuingia kabisa

6️⃣Hamu ya tendo la ndoa Hakuna na maumivu wakati wa Tendo la ndoa (Kuwa mkavu sana wakati wa Tendo la ndoa)

7️⃣Mimba kuharibika. Kwa sababu homoni za Kulea Mimba Huathiriwa na Prolactin.

8️⃣Kutokupata Ujauzito Kabisa.

*✍🏻Je DALILI Gani kati ya Hizo Unahisi Inakutesa sana Kwenye mwili wako? TUAMINI TUKUHUDUMIE.
0719593777

04/02/2023

Dar to Ifakara.

Trustfull deliveries pale inapohitajika ila tuna branches nyingi mikoa tofauti tofauti.

Wasiliana nasi kwa 0719593777

it's bacause your health matters.

02/02/2023

Hii ni kwa wale wanawake wanaosumbuliwa na tatizo la kutokwa na uchafu ukeni harufu mbaya k**a shombo ya samaki fungus, na miwasho package yakumaliza changamoto hizi ni 40000 tu

Lakini pia Amedeus Wilberld] tunatoa suluhisho la changamoto zote zinazohusu uzazi k**a vile

🔥PID

🔥UTI SUGU

🔥Hormone imbalances

🔥Mirija kuziba au kujaa maji

🔥Ukavu ukeni

🔥Maumivu wakati wa tendo la ndoa

🔥Kukosa hamu ya tendo la ndoa 🔥Maumivu ya tumbo chini ya kitovu pamoja na mgongo na kiuno

🔥Kukosa ute

🔥Uvimbe kwenye kizazi

🔥Umetafuta ujauzito kwa mda mrefu bila mafanikio, Mimba kuharibika mara kwa mara n.k

tunatoa suluhisho la changamoto zote hizi, suluhisho la magonjwa ya uzazi kwa jinsia zote na magonjwa yote sugu yaambukizwayo na yasiyo ambukizwa.
Karibunj sana!

Kwa mawasiliano whatsaap /normal call 0719593777

04/01/2023

UGONJWA WA PRESSURE (SHINIKIZO LA DAMU ) NA TIBA YAKE

Nini maana ya shinikizo la damu?

Ni msukumo wa damu ulio juu kuliko inavyotakiwa kwa muda mrefu. Msukumo wa damu huhitajika mwilini ili kusambaza chakula, oksijeni na kutoa uchafu.

Shinikizo la damu hupimwa kwa kutumia kifaa kinachoitwa Sphygmomanometer

Shinikizo la damu husababishwa na nini?

Vitu vifuatavyo vinaweza kusababisha shinikizo la juu la damu:

- Uvutaji sigara
- Unene na uzito kupita kiasi
- Unywaji wa pombe
- Upungufu wa madini ya potassium
- Upungufu wa vitamin D
- Umri mkubwa
- Ongezeko la kemikali kwenye figo (renin)
- Kushindwa kufanyakazi kwa kichocheo kiitwacho insulin

*Uanishaji wa shinikizo la damu

- Presha ya kawaida

02/01/2023

Karibuni 🤝🤝🤝

27/12/2022

Mwendelezo PID 👇👇

27/12/2022

PID sikiliza 👇👇👇

27/12/2022

*ZIJUE SABABU ZA UGONJWA SUGU WA FIGO, DALILI ZAKE, MADHARA YAKE NA TIBA ZAKE.

*KWA TIBA, USHAURI NA MAMBO BINAFSI USISITE KUJA INBOX*

Ugonjwa sugu wa figo, pia unaitwa hali sugu ya kushindwa kufanya kazi kwa figo, inahusisha figo kupoteza polepole utendaji kazi wake. Figo zako huchuja uchafu na majimaji kutoka kwenye damu, ambao huondolewa kweye mkojo wako. Ugonjwa sugu wa figo unaweza kusababisha viwango vya hatari vya majimaji, pamoja na uchafu viweze kujengeka mwilini mwako
Je, Dalili Zake Zinakuwaje?

Dalili za ugonjwa sugu wa figo hutokea muda wote ikiwa k**a ikianza kuharibika polepole. Kupotea kwa uwezo wa figo kufanya kazi kunaweza kusababisha matatizo ya majimaji au uchafu mwilini. Hutegemeana na jinsi ilivyo sugu, kupotea kwa uwezo wa figo kufanya kazi kunaweza kusababisha mambo haya:

• Kuhisi kichefuchefu
• Kutapika
• Kukosa hamu ya kula
• Mwili kudhoofika na kuchoka
• Matatizo ya kutokupata usingizi
• Kukojoa sana au kidogo tu
• Uwezo wa ubongo kupungua
• Misuli kuuma
• Miguu kuvimba
• Ngozi kukauka, na kuwahsa
• Shinikizo la juu la damu ambalo huwa ni vigumu kulithibiti
• Kushindwa kupumua vizuri ikiwa majimaji yakiwa yamejaa kwenye mapafu
• Kifua kuuma, ikiwa majimaji yakiwa yamejaa maeneo ya moyo

*_ALL IT'S BACAUSE YOUR HEALTH MATTERS_*

Photos from Afya_online_'s post 17/12/2022

Slide left 👉

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
255