Nsambo Healthcare Polyclinic

Nsambo Healthcare Polyclinic

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Nsambo Healthcare Polyclinic, Health/Beauty, .

16/06/2023

RATIBA ZA KLINIKI NSAMBO HEALTHCARE KLiniki huduma ya kuonana na Daktari

Jumatatu na Jumanne Saa 2:00Asubuhi-Saa12:00Jioni

Ijumaa na Jumamosi Saa 2:00Asubuhi-12:00Asubuhi

Kliniki inatoa huduma ya matibabu ya magonjwa ya Lishe, Kisukari, Shinikizo La Damu, Kitambi na uzito mkubwa, Magonjwa ya Joint na Mifupa, Ugumba na Hormones

NSAMBO HEALTCARE POLYCLINIC TUPO MWANANYAMALA MKABALA NA HOSPITALI YA RUFAA YA MWANANYAMALA MTAA WA MINAZINI

TUPIGIE: 0767 030 160 FOLLOW

Photos from Nsambo Healthcare Polyclinic's post 08/04/2023

TAARIFA KWA UMMA: SOMA KWA KUSUKUMA PICHA

Photos from Nsambo Healthcare Polyclinic's post 25/03/2023

NSAMBO HEALTHCARE POLYCLINICS
Ni taasisi inayotibu na Kutoa Elimu ya afya kwa jamii ikiwa imejikita hasa na Magonjwa yasiyo yakuambukiza, Magonjwa ya Lishe.
Taasisi hii inajihusisha na Kutibu magonjwa yafuatayo kwa Kutumia matibabu ya Kitalamu na Matibu mengine ya Mbadala ya Kutumia Lishe bora na Ushauri.
1. Uzito mkubwa na Kitambi
2. Ugonjwa wa Kisukari
3. Shinikizo la damu
4. Pumu ya kifua na Pumu ya Ngozi
5. Magonjwa ya Gesi na Kiungulia (GERD) na Vidonda vya Tumbo (PUD)
6. Matatizo ya Homoni na Ugumba kwa wakina mama na Wanaume. nk
7. Matibabu ya Mifupa na Joint Yasiyo Hitaji Upasuaji. (Osteoathritis,Rheumatoid, Osteoporosis) nk.
Matibabu Haya Yanahusisha hatua zifuatazo:
1. Kuchukuliwa maelezo ya kutosha kujua tatizo lako kwa kina linawezakuwa nini na limesababishwa na nini ili kurahisisha uchunguzi.
2. Uchunguzi wa Maabara unahusisha Kuchukuliwa sampuli ya Damu, Mkojo, Choo, Semen na Sampuli zingine endapo Utahitajika kutoa kwa uchunguzi zaidi.
3. Utasomewa majibu yako na kujadiliana na daktari nini kifanyike kutibu Tatizo lako. Asilimia 85 ya matibabu yetu ni lishe na Ushauri na Asilimia 15-20 ni Dawa endapo kuna ulazima na K**a tatizo lako ni kubwa linahitaji utatuzi mapema.
Matibabu ya magonjwa ya Lishe kwa ukaribu huhitaji muda mwingi sana. Mgonjwa mmoja hutumia Takribani dakika 45 mpaka saa moja kuzungumza na Kushauriwa juu ya ugonjwa wake.
CLINIC IPO MKABALA NA HOSPITALI YA MWANANYAMALA DAR ES SALAAM

Piga simu : 0767 030 160 au 0787 999 994 au 0767 074 124
Follow page ya Kitengo cha Matibabu na Ushauri :

16/03/2023

Nsambo Healthcare offers its treatments using Integrative approach. The only clinic in Tanzania that offers this treatment approach.

INTEGRATIVE MEDICINE is a type of healthcare that combines conventional Western medicine with evidence-based complementary therapies and lifestyle approaches such as diet, exercise, stress reduction, and mindfulness.

It also focuses on the whole person—mind, body, spirit—rather than just treating physical symptoms.
Integrative medicine seeks to find the underlying causes of illness, while stimulating the natural healing process of the body. It emphasizes the use of strategies such as patient education, nutrition, health coaching, and lifestyle counseling.
Furthermore, it encourages the development of a therapeutic relationship between patients and healthcare practitioners that is based on mutual respect, open communication, and shared decision-making.
Follow us

Photos from Nsambo Healthcare Polyclinic's post 15/01/2023

*Kuna njia mbili za kufikia malengo yako na ufurahie mwili wako.*

Kwanza Inatakiwa ufahamu kwamba Ukitaka kufikia malengo yako ya mwili na Ufurahie lazima *uweke nia dhabiti na Utenge bajeti* ya kuufikisha mwili sehemu ambayo unapenda.

Njia zetu ziko mbili:

1. Tuna Programu yetu ya Elimu ya lishe na group la whatsapp. Hapa unawekwa kwenye Group na Kufundishwa.
Note: Hii *njia Sio nzuri sana kwako wewe unaye nyonyesha na unataka kitu Flani specific sio njia nzuri sana.*
Sababu unafundishwa kwa pamoja.
Hii njia Unalipia Tsh 50,000 Mafunzo ya miezi 6 kwenye whatsapp group la pamoja.

2. Mafunzo ya mtu binafsi yaani VIP MENTORSHIP. Haya *unafundishwa na daktari hatua kwa hatua mpaka unaelewa* Unapewa masharti kila siku unakuwa unawasilisha mpaka ufikie malengo ya kitu unachotaka. Usimamizi ni binafsi na daktari.
*Mafunzo haya yanamfaa mama anaye nyonyesha, Mtu mwenye dawa nyingi za magonjwa lishe, Mtu mwenye malengo makubwa kiafya na mtu yeyote aliye serious*

Ada ya VIP ni TSH 250,000/ Miezi 6

Photos from Nsambo Healthcare Polyclinic's post 18/11/2022

NSAMBO HEALTHCARE POLYCLINICS
Ni taasisi inayotibu na Kutoa Elimu ya afya kwa jamii ikiwa imejikita hasa na Magonjwa yasiyo yakuambukiza, Magonjwa ya Lishe.
Taasisi hii inajihusisha na Kutibu magonjwa yafuatayo kwa Kutumia matibabu ya Kitalamu na Matibu mengine ya Mbadala ya Kutumia Lishe bora na Ushauri.
1. Uzito mkubwa na Kitambi
2. Ugonjwa wa Kisukari
3. Shinikizo la damu
4. Pumu ya kifua na Pumu ya Ngozi
5. Magonjwa ya Gesi na Kiungulia (GERD) na Vidonda vya Tumbo (PUD)
6. Matatizo ya Homoni na Ugumba kwa wakina mama na Wanaume. nk
7. Matibabu ya Mifupa na Joint Yasiyo Hitaji Upasuaji. (Osteoathritis,Rheumatoid, Osteoporosis) nk.
Matibabu Haya Yanahusisha hatua zifuatazo:
1. Kuchukuliwa maelezo ya kutosha kujua tatizo lako kwa kina linawezakuwa nini na limesababishwa na nini ili kurahisisha uchunguzi.
2. Uchunguzi wa Maabara unahusisha Kuchukuliwa sampuli ya Damu, Mkojo, Choo, Semen na Sampuli zingine endapo Utahitajika kutoa kwa uchunguzi zaidi.
3. Utasomewa majibu yako na kujadiliana na daktari nini kifanyike kutibu Tatizo lako. Asilimia 85 ya matibabu yetu ni lishe na Ushauri na Asilimia 15-20 ni Dawa endapo kuna ulazima na K**a tatizo lako ni kubwa linahitaji utatuzi mapema.
Matibabu ya magonjwa ya Lishe kwa ukaribu huhitaji muda mwingi sana. Mgonjwa mmoja hutumia Takribani dakika 45 mpaka saa moja kuzungumza na Kushauriwa juu ya ugonjwa wake.
CLINIC IPO MKABALA NA HOSPITALI YA MWANANYAMALA DAR ES SALAAM

Piga simu : 0767 030 160 au 0787 999 994 au 0767 074 124
Follow page ya Kitengo cha Matibabu na Ushauri :

16/09/2022
05/09/2022

SOMA✅ MAPIGANO BARIDI YA KINGA YA MWILI DHIĎI YA TEZI YA SHINGO
Katika makala hii tujifunze magonjwa yanayo sababishwa na Mapigano baridi ya kinga ya mwili dhidi ya Tezi ya Thyroid. Maradhi hayo ni Hashimoto's thyroiditis na Graves' disease kwa pamoja tunayaita ni Maradhi ya Tezi ya Shingo yanayo sababishwa na Mapigano Baridi ambayo ni Sugu ya Kinga ya mwili dhidi ya Thyroid.
Haya Ni Mambo Yanayoweza Kumsha Hasira Kinga ya Mwili Ikaanza Mapigano Baridi dhidi ya Tezi ya Thyroid:- 1. Lishe Mbovu Inayo Udumaza mwili na kiwango kikubwa cha Mabaki ya Oksijeni yaani Free radicals. Mabaki haya ya Oksijeni kadri yanavyozidi Yanaweka Hatarini Tezi ya Thyroid kushambuliwa. Kumbuka Oxidative stress hukabili Tezi ya thyroid. Tafiti zinaonesha kwamba mwili wako ukiwa katika Msongo wa Mabaki mengi haya ya Oksijeni unauweka hatarini mwili wako kuamsha mashambulizi baridi ya kinga ya mwili dhidi ya Viungo vya Mwili. Tezi hii Husthiriwa kwa haraka sana.
Tafiti zina onesha kwamba mwili unapo unguza sukari na wanga unazalisha Mabaki mengi kuliko vyakula vya mafuta na protini asili. Tafiti zina onesha pia Wagonjwa wa Kisukari Wanaposhindwa kudhibiti Kisukari. Sukari nyingi husababisha mwili kuzalisha Free radicals nyingi kuliko uwezo wa kuzisafisha. Una uweka mwili hatarini kubebanisha maradhi.
Mbali na hivyo vyakula vya kukaanga kwenye mafuta ya mbegu za mimea. Ni hatari sana vina udumaza mwili wako na Oxidative stress na kuamsha mapigano baridi mwilini.
2. Tezi Linapo Lemewa na madini mengi ya Iodine. Kumbuka Iodine ni malighafi ya uzalishaji wa Homoni za Tezi hizo T4 na T3. Kwa siku unatakiwa upate angalau micrograms 150 za Iodine na Usishuke chini ya 50mcg.
Mayai 5 na Kiini chake yanatosheleza Kukupa mahitaji hayo kwa siku. Vikombe 2 vya maziwa vinatosha kukupa hicho kiwango.
Ikitokea Thyroglobulin ambayo hupokea Iodine Ikanasa Iodine nyingi kupita kawaida. Kinga ya mwili Inalibaini k**a Kivamizi na Kuanza Kutengeneza Kinga ya mwili dhidi ya Thyroid (TPO na Tg Antbodies)
Iodine ni Madini muhimu LAKINI hayatakiwi kuzidishwa mwilini. Lazima Upate Ushauri SAHIHI ya Kiwango na Aina Ya Vyakula UnavyoKula k**a Unajitosheleza au Hapana. INAENDELEA

Photos from Nsambo Healthcare Polyclinic's post 03/09/2022

Weka Miadi Kuonana na Daktari Kwa ajili ya Uchunguzi wa afya yako na Matibabu.
Tunafanya Vipimo vya Uchunguzi wa Homoni na Maradhi mengine yote tunakukaribisha k**a una tatizo la kiafya la uzazi unahitaji utatuzi.
Tuko Mkabala na Hospitali ya Mwananyamala Dar es salaam Piga simu 0767030160

Photos from Nsambo Healthcare Polyclinic's post 03/09/2022

Weka Miadi Kuonana na Daktari Kwa ajili ya Uchunguzi wa afya yako na Matibabu.
Tuko Mkabala na Hospitali ya Mwananyamala Dar es salaam Piga simu 0767030160

Photos from Nsambo Healthcare Polyclinic's post 03/09/2022

Book Consultation with a doctor for Body checkup and treatments.
Select a day and Time call 0767 030160

Website