Nita Herbal Clinic

Nita Herbal Clinic

Share

Habari Tunatoa huduma ya VIPIMO VYA AFYA kwa mwili mzima kwa bei ya OFA ya Shs 20,000/= tu.

19/11/2023

MWANAUME USIKAE KINYONGE TUNASULUHISHO LA TATIZO LAKO

Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamilifu au kushindwa kusimamisha uume vizuri. Shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, hisia na mishipa ya damu, misuli ya uume. Tafiti zinaonesha kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao ana tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kutokuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.

Tatizo hili huwanyima sana watu raha na kupelekea kuwa na mawazo, migogoro katika mahusiano. Watu wenye changamoto hii mara zote wanahitaji dawa zisizo na madhara (virutubisho lishe) vilivyotokana na mimea na matunda na kubadilisha mitindo yao ya kimaisha (lifestyle changes) ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo.

Kwa matibabu na ushauri
Piga #0766073388
Biashara kwa wote ROCK CITY MWANZA business #

18/11/2023

K**a wewe unasumbuliwa na matatizo ya Mifupa na Maungio k**a vile...

👉Maumivu makali magoti.
👉Maumivu makali ya mgongo.
👉Maumivu makali ya shingo.
👉Maumivu makali ya kiuno.
👉Maumivu ya Uti wa mgongo
👉Pingili za Uti wa mgongo kupishana nk...

WASILIANA NASI
PIGA
0766073388
*************

31/10/2023

TIIBA YA BAWASIRI. JINSI YA KUTIBU BAWASIRI KWA ALOE VERA
K**a hujawahi kabisa kujitibu na unahisi una tatizo hili la bawasiri hebu tafuta majani ya aloe vera.

Chana katikati kisha toa ule utomvu uwe unajipaka sehemu yenye kinyama kutwa mara tatu (3) hadi tatizo liishe.
Wakati ukitumia hiyo aloe vera pia uwe pia unatengeneza chai ya mchaichai au uji mwepesi unachanganya na unga wa majani ya mlonge kijiko kimoja cha chai halafu unakunywa asubuhi na jioni kila.siku
Huu mlonge hakikisha unatumia ambao umeandaliwa bila kukaushwa juani
Ukifanya k**a nilivyokuelekeza utapona tu kwa uwezo wa MUNGU. Tumia hadi tatizo litakapoisha maana najua wengine wanaweza kuuliza watumie kwa muda gani. Yaani tumia tu iwe miezi 2, 3,6 nk mpaka upone
Endapo sasa umetumia na hujapona vizuri au unahitaji tiba rahisi na ambayo imeshaandaliwa na yenye matokeo ya haraka yaani siku 30-60 basi wasiliana nasi tukupatia tiba yetu yenye gharama ya 385,000 kwa siku 30
Simu/whatsapp: 0628985396

31/10/2023

Bawasiri Tips:

K**a bawasiri yako inaanza basi tafuta mafuta ya habbat soda, unga wake na asali

Chukua mafuta utakuwa unapaka kwenye tundu la haja kubwa k**a kuna miwasho au maumivu

Halafu chukua unga wa habbat soda changanya na asali.kidogo halafu weka kwenye kibakuli na uwe unalamba mara kwa mara

NB: Hii.itawasaidia kwa baadhi ya watu kupunguza tatizo

Kwa wale ambao wanaweza kuchukua dozi yetu ambayo gharama yake kwa dozi moja ni Tsh 385,000 (k**a huna vidonda vya tumbo)

Pia utapewa usimamizi maalum mpk mwisho wa dozi

Mawasiliano kwa tiba: +255766073388

Asante

31/10/2023

JE UNAPITIA CHANGAMOTO YA MIFUPA ???

Dr. James Obedi na Afya ya MIFUPA

-maumivu makali kwenye magoti
-magoti kushindwa kujikunja
-kusikia milio ya magoti kusagana
-kushindwa kuinama
-kusikia ganzi kwenye miguu
-mifupa kusagana
-maumivu kwenye maungio (joints)
-kiuno kuuma
-mgongo kuuma
-pingili za vidole kuvimba (gout)

SABABU KUU INAYO SABABISHA CHANGAMOTO HIZI NI K**A !

-Ajali
-Uzito ulipindukia
-kutumika kwa viungo kupitia kiasi mfano wanamichezo
-Historia ya familia
-Umri (30+)

JE UMEHANGAIKA KWA MUDA MREFU BILA SULUHU YA UHAKIKA ?

JE ULIFANYIWA UPASUAJI NA KUWEKEWA VYUMA ILA BADO MAUMIVU NI MAKALI SANA NA MIFUPA BADO INASAGANA ?

HUNA HAJA YA KUHANGAIKA TENA TUNAYO SULUHU YA VIRUTUBISHO AMBAVYO VITAONDOA KABISA CHANGAMOTO YAKO YA MUDA MREFU YA MIFUPA NA HAITOJIRUDIA TENA

JE UNAPITIA CHANGAMOTO YA MIFUPA ???

-maumivu makali kwenye magoti
-magoti kushindwa kujikunja
-kusikia milio ya magoti kusagana
-kushindwa kuinama
-kusikia ganzi kwenye miguu
-mifupa kusagana
-maumivu kwenye maungio (joints)
-kiuno kuuma
-mgongo kuuma
-pingili za vidole kuvimba (gout)

SABABU KUU INAYO SABABISHA CHANGAMOTO HIZI NI K**A !

-Ajali
-Uzito ulipindukia
-kutumika kwa viungo kupitia kiasi mfano wanamichezo
-Historia ya familia
-Umri (30+)

JE UMEHANGAIKA KWA MUDA MREFU BILA MAFANIKIO. HUNA HAJA YA KUHANGAIKA TENA .

Wasiliana nasi kupitia 0766073388
……
Pia unaweza kuja whatsapp sasa hivi direct wa.me/255766073388

KARIBU TUKUHUDUMIE .

27/10/2023

Tunatoa suluhisho la maradhi sugu aina zote ikiwemo-:
🔸️Mfumo wa mishipa ya damu moyo na ubongo
🔸️Mfumo wa maradhi ya mifupa
🔸️Mfumo wa mmeng'enyo na uyeyushaji wa chakula
🔸️Afya ya uzazi kwa mwanaume na mwanamke
🔸️Afya ya ngozi na maradhi ya ngozi
🔸️Mfumo wa fahamu
🔸️Ugonjwa wa macho
🔸️Mfumo wa upumuaji
🔸️Kisukari
🔸️Kansa
🔸️Pressure/shinikizo la damu
🔸️Tezi dume
🔸️Bawasiri
🔸️Meno
🔸Sikio
️🔸️Ugonjwa wa kutetemeka
🔸️Fangasi
🔸️U.T.I sugu
🔸️Maradhi ya Ini
🔸️Bandama
🔸️Figo
🔸️n.k

🔯Tunatibu kwa virutubisho/tiba lishe/supplement
✡️Tunatoa ushauri bure
✡️Kumuona daktari bure
✡Tunafanya vipimo mwili mzima(Full body check up) bure

Njoo tukupime tujue chanzo cha tatizo
Nitafute kwa ajili ya miadi/apointment kwa namba;-
#0766073388

26/10/2023

Karibu tukuhudumie

26/10/2023

Karibu kwa vipimo ujue afya yako

08/09/2023

MADHARA YA KISUKARI

Kisukari huweza kusababisha madhara yafuatayo kwa muhusika iwapo hakitatibiwa inavyopaswa.

* Kuziba kwa mishipa mikubwa ya damu kutokana na kuzungukwa na mafuta (Atherosclerosis)

* Mgonjwa kushindwa kuona vizuri au kushindwa kuona kabisa na kuwa kipofu (diabetic retinopathy)

* Kushindwa kufanya kazi vizuri kwa figo

* Mgonjwa kuhisi ganzi na kupoteza kuhisi mikononi na miguu kwa sababu ya kuharibika kwa neva (diabetic neuropathy)

* Kupungua kwa nguvu za kiume.

* Vidonda (diabetic ulcers) hususani vidoleni. Hali hii wakati mwingine hupelekea mgonjwa kukatwa viungo vyake.

* Mgonjwa kuwa hatarini kupata maambukizi ya vimelea mbalimbali hasa bakteria kutokana na kuharibiwa na kushindwa kufanyakazi vizuri kwa chembe nyeupe za damu (White Blood Cells)

Na mengine mengi zaidi kwa sababu watu tunatofautiana sana namna miili yetu hukabiliana na maradhi.

Maana ingawa KISUKARI ndio ugonjwa rahisi kutaja watu wengi hasa wagonjwa wa UKIMWI wamejificha kwenye ugonjwa huu wa kisukari.

Hivyo MTU k**a huyo ni dhahiri anapopata madhara ya kisukari kwake ikawa tofauti zaidi.

Karibu kwenye clinic yetu kwaajili ya vipimo na matibabu

Whatsap
👉0628985396
Call
👉0766073388

07/09/2023

*MADHARA YA KUTOONDOA SUMU KATIKA MWILI*
*(DETOXIFICATION PROGRAM)*

Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao. Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.

*VYANZO VYA SUMU*
Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;
1. Matumizi ya dawa mara kwa mara
2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4. Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri
5.Matumizi ya madawa makali
6.Uzito mkubwa
7.Mitindo ya maisha
8.Njia za uzazi wa mpango za kisasa

*DALILI ZA KUWA SUMU NYINGI MWILINI*
1.Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi,vipele
2.kuwa na uzito wa kupindukia
3.kutokupata choo au choo kigumu
4.kukosa usingizi Na kujihis kuchokachoka
5.Kiichwa kuuma
6.Kupata miwasho
7.Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti
8.kuwa na hasira mara kwa mara.
9.Tumbo kujaa gesi



*MADHARA YAKE*
1.kuondoa hamu ya tendo la ndoa
2.maumbikizi ya figo
3.Maumbikizi ya Ini
4.Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5.hupelekea uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke
6.Hupelekea matatizo ya pressure
7.Mvurugiko wa homoni

*SULUHISHO LA KUDUMU*

Kwa watu wenye changamoto hizo kampuni tumewaandalia program ya lishe kamili na virutubisho muhimu. Bidhaa hizi ni vyakula, siyo dawa wala mitishamba.
Faida ya Kutumia Bidhaa Hii👇

• Huondoa sumu na uchafu katika Mwili .

•Huongeza Kinga ya Mwili kwa asilimia kubwa sana

•Husaidia kubalance presha

•Husaidia kubalance kiwango cha sukari katika Mwili.

•Hudhibiti virusi Na bacteria

•Huondoa uvimbe wa ndani Na nje.

•Husaidia katika kurekebisha mfumo wa mmengenyo wa Chakula.

•Husaidia katika kuondoa matatizo ya upataji choo kigumu au mtu anayekosa choo.

•Husaidia katika kuimarisha mfumo wa mzunguko wa damu na upumuaji katika Mwili.

• Husaidia katika kuimarisha mfumo wa uzazi kwa mwanaume na mwanamke pale atakapoitumia na Bidhaa zetu nyingine.

• Husaidia kuongeza virutubisho na kuupa Mwili afya na kulainisha Ngozi na kuifanya Ngozi kuwa ng'avu na laini.

•Huondoa uchovu Na kuupa nguvu.

WHATSAPP
👉0628985396
PIGA
👉0766073388

01/09/2023

*Mchanganyiko wa juice ya karoti na tangawizi inaweza kuwa na mchango katika kudumisha kinga ya mwili wa binadamu kwa sababu zifuatazo:*

1. Vitamini na madini: Karoti ni chanzo kizuri cha vitamini A, C na K, ambazo zote ni muhimu kwa afya ya kinga ya mwili. Tangawizi ina madini ya shaba, manganese na magnesiamu ambayo yanaweza kusaidia kuboresha kinga ya mwili.

2. Antioxidants: Karoti na tangawizi zina antioxidants ambazo zinaweza kusaidia kupunguza uharibifu wa seli za mwilini.

3. Husaidia katika kupambana na Maradhi: Tangawizi ina sifa za kupambana na uvimbe ambazo zinaweza kusaidia kupunguza hatari ya magonjwa yanayohusiana na uvimbe, k**a vile kansa.

4. Kuimarisha mmeng'enyo wa chakula: Juice ya karoti na tangawizi inaweza kusaidia kuimarisha digestion na kupunguza matatizo ya utumbo, ambayo inaweza kusaidia kuimarisha afya ya kinga ya mwili.

AFYA KWANZA
"Tunajali na Kuthamini Afya yako"
*Tupigie* +255766073388

01/09/2023

*FAHAMU SABABU NA DALILI ZA FANGASI SEHEMU ZA SIRI KWA MWANAMKE*

Je, Fangasi Inaambukizwaje?

Mbali na kusababisha maambukizi ya fangasi sehemu za siri, fangasi pia husababisha maambukizi katika sehemu za mwili wako zenye unyevunyevu, k**a vile mdomo(thrush), sehemu za kwapa, na sehemu za makucha. Vimelea wa fangasi pia wanaweza kusababisha tatizo la harara.

*MAMBO YANAYOSABABISHA VIHATARISHI VYA TATIZO HILI*
👉Matumizi ya madawa makali k**a vile ya antibiotic, nk;
👉Kisukari cha muda mrefu,
👉Mabadiriko ya homoni, hasa kwa kina mama wenye ujauzito.
👉Vidonge vya kupachika sehemu za uke,
👉Mavazi ya ndani yenye kubana sana, nafikiri kina dada mnaosoma makala hii hapo mlipo mumeshatambua maana najua hata sasa wapo wengi wenye mazoea ya kuvaa nguo za kubana ambazo wengi wanaita “Skin Tight”!
👉Kutokuwa na usafi sehemu za uke
👉Matumizi ya sabuni kwa kuoshea sehemu za uke sio kwamba zinasababisha fangasi bali zinaongeza hatari ya kupata maambukizi ya fangasi.

*DALILI ZA FANGASI UKENI*

Utakapoona dalili hizi basi jua una fangasi sehemu za siri
✅Kuhisi muwasho sehemu za uke
✅Kutokwa na uchafu wenye rangi nyeupe k**a maziwa mtindi lakini hauna harufu.
✅Kuhisi hali ya kuwaka moto sehemu za uke
✅Kuhisi hali ya muwasho
✅Kutokwa na uchafu sehemu za uke hata k**a ndio umeanza kutoka haijalishi ni mwingi au kidogo maana ndio dalili zenyewe za fangasi
Kumbuka kwa upande mwingine dalili hizi zaweza kuwa majimaji yenye harufu.
✅Kuhisi Maumivu wakati wa kujamiiana
✅Kuona hali ya uvimbe
✅Vidonda ama michubuko sehemu za siri.
✅Sehemu za siri kuwaka moto na maumivu makali kutokana na miwasho pamoja na kupata maumivu makali na kupata

Tupigie # 0766073388

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Kariakoo Gerezani
Dar Es Salaam