Diana virutubisho

Diana virutubisho

Share

+255

13/11/2022

Naomba Chukua Tape Na Kitabu Chako Fungua Page Ya Sita Jipime Jaza Nitumie Ukijaza

13/11/2022

*Kuna Maneno Kwenye Measure Ukutana Nayo *

Calves - Kigimbi

Thighs- Paja ile Sehemu Ya Kati

Biceps- mkono chini ya bega 💪

Hips Najua Mnajua

Waist - Kiuno

Na Unaweza Pima tumbo Kati Kati Ukarekodi Pembeni Tu Maana Halipo Kwenye Kitabu

*Vipimo Tunapima Asubuhi Kabla Ya Kuanza Program Uzito Pia *

13/11/2022

*MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA UKIWA KWENYE CLEAN 9 DAY 3-9*

* Chakula Chako Cha 600 Calories Unakula Mara Moja Tu K**a Utakula Chakula Cha Kawaida Mchana Usiku Utakula Shake Yako (Vanilla Na Maji ) Na K**a Unaamua Kula Shake Yako Mchana Basi Usiku Utapata Normal Food Cha 600 Calories

* Epuka Chumvi Nyingi Kwenye Chakula Chako Chumvi Hufifadhi Maji Mwilini Utashindwa Kupunguza Water Weight So Weka Chumvi kidogo

*Right Portion Muhimu Kuzingatia Uiano Wa Chakula Chako Chakula Ni Vema Kiwe Na Protein Na Carbohydrates Pia Vegetables Angalia Mi Fano Ya Picha Zetu Juu Nashauri Upige Picha Utume Hapa Tuweze Pia Kukupa Mwongozo Kabla Ya Kula 😁 So Muhimu Kuweka Chakula Cha Wastani.

*Muda Wa Kula Muhimu Unasaidia Mwenge'nyo Wa Chakula Kufanya Kazi Zake Muhimu Wahi Kula K**a Chakula Cha Mchana Saa Sita Nanusu Mpaka Saa Nane Ushakula Na Jioni Saa Kumi Na Mbili Na Nusu Mpaka Saa Mbili Ushakula

*Maji Mengi Kunywa Kwa Wanawake at least 2.5L Na Wanaume 3L During The Day Maji Yana Changia Sana Process Ya Kupungua

*Mazoezi Muhimu Sana Sasa Kwa Kuwa Kesho Tunaanza Kula Basi Tujiatahidi Kufanya Walau 45minute to 1Hrs kwa Sababu Kesho Utakuwa Na Nguvu Mazoezi Ni Muda Wowote Guys

*Day 4 Asubuhi Tutakiwa Kupima Uzito kucheki Progress 😁

*Usiache Kula Ili Upungue Uzito Hii Sio Crash Program K**a Za Mtaani Watu Wanafanya Vitu Ambavyo Ukimwambia Aendelee Kufanya Hata Kwa Mwezi Au Miezi Sita Hata Weza Jifunze Kucontrol Portion Ya Chakula Chako Na Ndio Tabia Muhimu Unahitaji Ili Uweze Kuepuka Kuwa Na Uvito Unaozidi Kila Mara So Acha Ile Mi Sili Chakula Ili Ni Pungue Na Kwanza Jua Kula Muhimu Protein Na Carbs Kuna Wengine Wanapenda Kula Tu Protein Wanaacha Carbs Sio Sawa Kula Carbs Kidogo Inasaidia Kuwezesha Mwili Kuburn More Yani Ina Accelerate Metabolism Ya Mwili Kuyeyusha Mafuta So Nategemea Tutaona Vyakula Vyetu Kesho *

*Enjoy The Process I Wish You All The Best In Your Weight Loss Journey *

By Diana Robert edward
*Fitness Ambassador 🙏 *

13/11/2022

ICLEAN 9 PROGRAM
(C9 ) ,ina vitu vifuatavvyo;
• Aloe vera gel (2 bottles)
• Forever lite ultra shake mix(1)
• Forever therm(18 Tablets)
• Forever fibre(9 sticks)
• Garcinia plus (54 softgels)

MATUMIZI
SIKU YA 1&2
MUDA
TUKIO
BREAKFAST
12:00 Asb
Kunywa Garcinia 2(Subiri dakika 20)

12:20Asb
Kunywa Aloevera gel(4oz)
Kunywa Forever Therm(kidonge kimoja)
(Na angalau glass moja ya maji)

12:30-7:00Asb
Fanya mazoezi mepesi kwa angalau Dakika 30(Tembea,Endesha Baiskeli,Ogelea,Kimbia)

SNACK
3:00 Asb
Kula paketi moja ya Forever Fibre(Changanya na glass moja ya Maji au Kinywaji kingine)

LUNCH
6:30-7:00 Mchana
Kunywa Garcinia vidonge 2
Subiri dakika 20
Kunywa Aloevera gel(4oz) na maji angalau glass moja
Kunywa Forever Therm(kidonge kimoja)
Kunywa Forever Lite Ultra Kijiko kimoja changanya na maji 10 Oz au skimmed milk

DINNER
12:30-7:00 Jioni
Kunywa Garcinia vidonge 2
Subiri dakika 20
Kunywa Aloevera gel(4oz) na maji angalau glass moja
Kula Vyakula vyepesi,Mf Matango,Apples,

USIKU
2:30-3:00 Usiku
Kunywa Aloevera gel(4oz) na maji angalau glass moja

NOTE:
Kunywa Maji Mengi Uwezavyo ni muhimu sana katika hatua hii ya Kutengeneza mwili wako

SIKU YA 3 -9

BREAKFAST
12:00 Asb
Kunywa Garcinia 2(Subiri dakika 20)
12:20Asb
Kunywa Aloevera gel(4oz)
Kunywa Forever Therm(kidonge kimoja)
(Na angalau glass moja ya maji)
Kunywa Forever Lite Ultra Kijiko kimoja changanya na maji 10 Oz au skimmed milk

12:30-7:00Asb
Fanya mazoezi mepesi kwa angalau Dakika 30(Tembea,Endesha Baiskeli,Ogelea,Kimbia)

SNACK
3:00 Asb
Kula paketi moja ya Forever Fibre(Changanya na glass moja ya Maji au Kinywaji kingine)

LUNCH
6:30-7:00 Mchana
Kunywa Garcinia vidonge 2
Subiri dakika 20
Kunywa Aloevera gel(4oz) na maji angalau glass moja
Kunywa Forever Therm(kidonge kimoja)
Kunywa Forever Lite Ultra Kijiko kimoja changanya na maji 10 Oz au skimmed milk

(AU Kula chakula kisichozidi Carolies 300,Hii itaanza kukuandaa kuingia kwenye program ya pili ya FIT 1

DINNER
12:30-7:00 Jioni
Kunywa Garcinia vidonge 2
Subiri dakika 20
Kunywa Aloevera gel(4oz) na maji angalau glass moja
Kula Vyakula vyepesi,Mf Matango,Apples,Mapeazi,maberry,figs,strawberry,Zabibu,spinach,nyanya nk( Vyakula visizidi Carolies 600)

(Kati ya siku ya 3-8 Wanaume wanaweza kula chakula mpaka cha Carolies 800,au baada ya chakula cha Carolies 600 wanaweza kunywa na Forever Lite Utra)

USIKU
2:30-3:00 Usiku
Kunywa maji angalau glass moja

NOTE
K**a utapendelea chakula cha mchana kikawa usiku na usiku kuwa mchana kwa siku ya 3-9 unaweza kufanya hivyo.

C9 ni LIFESTYLE Program kwa ajili ya kuusafisha mwili na kuondoa sumu mwilini.

Ni Program ya Siku 9 Inayojumlisha VYAKULA/VIRUTUBISHO NA MAZOEZI.

Itakusaidia Kupunguza Mwili,kitambi na uzito uliozidi KIAFYA,kwasababu inafanyakazi ya KUSAFISHA Mwili,KUTOA Sumu Mwilini,Kuondoa Mafuta yaliyozidi Mwilini na kukupa Mfumo bora wa Ulaji wa Chakula.

Program Hii ina Jumla ya Bidhaa zifuatazo

1.ALOE VERA GEL
Kazi yake ni kutoa Sumu na kusafisha Mwili na kurudisha Nutrients Muhimu kwenye Mwili

2.GARCINIA PLUS
Inafanya kazi ya Kufyonza Mafuta na kuyabadilisha kwenda kwenye nguvu(Energy)

3.FOREVER THERM
Ni bidhaa inayoongeza Joto la Mwili kwa 1°C, hivyo basi husaidia kuyeyusha mafuta haraka zaidi na kuyatoa mwilini

4.FOREVER LITE
Ni bidhaa itokanayo na Soya yenye Protein muhimu za kujenga Mwili,Kuimarisha Misuli na kusaidia kazi za ubongo k**a kuona vizuri

5.FOREVER FIBER
Ina Mchanganyiko wa Aina nne(4) za Fiber hivyo husaidia Kumeng'enya chakula vizuri hivyo damu kusafiri vizuri na kusambaza virutubisho Mwilinii

K**a ungependa kupunguza Uzito zaidi unaweza kuendelea F 15
*Karibu sana katika hatua nzuri n muhimu ya Forever F.I.T Beginner 1*
*Itakayokupatia msingi na hamasa katika safari yako ya mabadiliko kiafya na kimuonekano.*

*Asubuhi*(saa 11 - saa 1)
☆2 Garcinia plus.
Subiri dk 30
☆Kunywa Aloe 120 mls ikifuatiwa na maji si chini ya 240 mls

☆Kijiko kimoja cha Ultra Lite Vannila (Changanya na skimmed milk, soy milk, coconut milk au maji)
☆1 Forever therm
Fanya mazoezi k**a muongozo wa F15 Begginer 1 unavosema

*Kabla ya mchana* (saa 3 - saa 5)
☆Forever Fiber (changanya na maji 240 mpaka 300mls )
☆Snack (200 Calories kwa wanawake na 300 kwa wanaume.... angalia ukurasa wa 36)

*Mchana* (saa 7 - saa 8)
☆2 Garcinia
☆Subiri dakika 30
☆1 Forever Therm
☆Chakula (calories 450 kwa wanawake na 550 kwa wanaume)

*Mapema Jioni* (saa 12 - saa 2)
☆2 Garcinia
☆Subiri dakika 30
☆Chakula (Calories 450 kwa wanawake na 550 kwa wanaume)

*Usiku*
☆Kunywa maji yasiyopungua mls 240

*TIPS*
*Kunywa maji si chini ya lita 3 kwa mwanaume na lita 2 na nusu kwa mwanamke*

*Usitumie chumvi ya kuongeza mezani, ya kupikia weka kidogo, ukiweza usiweke kabisa*

05/11/2022

Jipatie Package Yako, itakusaidia kwenda mara nying, kurudia Zaid kuwa imara kusafisha sumu mwilini , kuzibua mishipa ya Damu , kuondoa mafuta mabaya yanayoganda kwa mishipa ya Damu, Afya ya Moyo ,Tezi dume mbegu kuwa Bora na speed,

Tuwasiliane +255714492946
Tunasafirisha mikoa yote

25/10/2022

Hello habari Naitwa Diana ni mjasiliamali natafuta vijana ambao wapo tayari kupambania malengo Yao kwa kutengeneza kipato kikubwa kupitia online Busness nicheki inbox nikupe mwongozo ni jinsi gani unaweza kutengeneza kipato icho +255714492946

20/10/2022

Neda mara nyingi zaidi, simama imara, Kuwa na speed, imarika misuli, ondoa athari za msongo wa mawazo, ondoa sumu Mwilini, taka mwili , pata choo kilaini , Ondoa Gesi tumboni, Ondoa mafuta yanayoganda mishipa ya Damu

Tuwasiliane +255714492946
Napatikana Dar es salaam mikoan nasafirisha karibu

20/10/2022

Karibu 0714492946

20/10/2022

Jipatie package yako nicheki +255714492946

19/10/2022

Nzuri kwa kuongeza uzito

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam