Bright Health Care in Bf Suma
AFYA NI MTAJI
30/05/2023
Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/Lgu0PLNFn5w4VyiELUshW3
NINA SAIDIA WANAUME KUACHA KUJICHUA (PUNYETO) PROGRAMU NI NDANI YA WIKI MBILI TU UTAONA MATOKEO KARIBU BONYEZA HIYO LINK KUJIUNGA NIKUSAIDIE UPONE KABISA TATIZO LAKO HILO KUJIUNGA NI BURE NA PROGRAM NI BURE KABISA
LOSA G STAR HEALTH CARE WhatsApp Group Invite
22/04/2023
Karibu nikuhudumie kwa ushauri wa kiafya na matibabu
*UMUHIMU WA UCHUNGUZI WA SARATANI YA MATITI KWA AKINA MAMA*
_________&_&&_______
mshauri:
*LOTH SAMWEL GUNDA*
call
*+255655716435*
or Whatsapp no
*+255769716435*
❓
*SARATANI YA MATITI NI NINI?*
Ni mabadiliko ya chembechembe hai zilizopo kwenye mat**i Saratani hii kwa kawaida Haina dalili katika hatua za mwanzo.
Wanawake katika hatua za mwanzo za ugonjwa hawana maumivu au dalili nyingine zozote.
Uchunguzi wa awali awali ndio utakaowezesha kugundua ugonjwa katika hatua hii.
⬇️
*DALILI ZA SARATANI YA MATITI au Mabadiliko yaletwayo nasaratani ya mat**i*
✍️Kuvimba katika t**i au kwenye makwapa
✍️mabadiliko ya umbo na ukubwa wa mat**i
✍️kutoka na majimaji au damu katika chuchu ama chuchu kuingia ndani ya ziwa
✍️mabadiliko katika rangi ya ngozi ya t**i (kuonekana K**a sehemu ya nje ya Ganda la chungwa)
⏬
*MAMBO YANAYOCHANGIA KUOATA SARATANI YA MATITI*
✍️jinsi ya k**e
✍️kuanzia hedhi katika UMRI mdogo au kukoma hedhi katika UMRI mkubwa
✍️kutokuzaa kabisa
✍️kutokunyonyesha kabisa au kunyonyesha kwa muda mfupi
✍️Utumiaji wa mafuta mengi katika chakula
✍️Kutofanya mazoezi ya Mara kwa Mara
✍️Unene kupita kiasi
✍️Uvutaji wa sigara
Utumiaji wa pombe kupita kiasi
✍️Historia ya Saratani ya mat**i katika familia
⬇️
*JINSI YA KUJILINDA NA SARATANI YA MATITI*
⬇️
✍️Kujichunguza mwenyewe Mara kwa Mara
✍️pata uchunguzi wa kitabubu Kila mwaka
✍️Uchunguzi wa mat**i kwa njia ya mashine ya mionzi Mara moja kwa mwaka kwa wenye miaka zaidi ya 40
✍️Wanawake wote wenye umri kuanzia miaka 21 wajichunguze mat**i Yao siku ya 5 Hadi 7 baada ya kumaluza hedhi mbele ya kioo
⬇️
*TIBA YA SARATANI YA MATITI*
✍️Upasuaji katika hatua za mwanzo
(Operation)
✍️Dawa kwa njia ya drip
(chemotherapy)
✍️Tiba ya Mionzi
✍️Tiba ya vichocheo
⬇️
*TAHADHARI ZINAZOTAKIWA KUCHUKULIWA MARA UONAPO DALILI ZILIZOTAJWA HAPO JUU*
✍️
Nyanyua mikono juutazama K**a Kuna mabadiliko yote katika mlingani wa t**i
✍️Ukiwa umesimama au umelala chalimkono pamoja na kipaja Cha vidole vya mkono wa Julia kuchunguza la kushoto kwa njia ya mzunguko
✍️Kwa polepole K**a chuchu ya Kila t**i chunguza K**a Kuna Ute uliochanganyika na damu
✍️Nenda kamuone daktari K**a Kuna uvimbe au Ute uliochanganyika na damu au Hali yeyote uliyoona wakati wa Kujichunguza
✍️*NB*
Ni vizuri kufika Mara moja kwa mwaka katika kituo Cha afya kilichokuwa karibu na wewe kwa uchunguzi zaidi
Karibu katika zahanati ya Tabata wanatoa HUDUMA hii ya uchunguzi wa
✅Saratani ya
Mat**i
✅Saratani ya mlango wa kizazi
✅Saratani ya tezi dune
Kwa ushauri na msaada zaidi wasiliana na Mimi
Call +255655716435
Whatsapp no
+255769716436
By
*LOTH SAMWEL GUNDA*
10/02/2022
*UTOKWAJI WA UCHAFU UKENI (_ABNORMAL DISCHARGE ) NA UCHAFU USIO WA KAWAIDA (ABNORMAL DISCHARGE).*
Mshauri
*LOTH SAMWEL GUNDA*
call +255655716435
Whatsapp no
+255769716435
*HII INAWEZA KUWA MOJA YA DALILI KUBWA YA P.I.D*
*NAMNA YA KUYATOFAUTISHA MAJIMAJI UKENI*
Utokwaji wa majimaji katika via vya uzazi vya mwanamke ni hali ya kawaida. *Ni katika mwili wa mwanamke kujisafisha.* lakini maji maji haya yanatakiwa kuwa katika hali ya kuweza kuwa manageable yaani kutawalika na siyo kuwa `sehemu ya kero kwa maana ya kutumia taulo au vitu vingine katika kuyadhibiti, pia yasiwe na harufu mbaya inayoambatana na miwasho .
*Ukiona viashiria vifuatavyo katika utokwaji wa haya maji maji ujue siyo wa hali ya kawaida k**a ifuatavyo*
⏩ ```Kiasi cha maji maji haya yakiwa mengi kiasi cha kushindwa kujistili hiyo siyo hali ya kawaida.
```
⏩ ```Yenye rangi k**a maziwa mtindi yanayoambatana na miwasho siyo hali ya kawaida. Hiyo inaashiria``` una ```maambukizi wa bacteria``` ```unahitaji``` tiba.
⏩ ```Rangi k**a brown inayoelekea katika wekundu inaweza ikawa ni hali ya kawaida kwenye rangi ya brown katika kipindi cha mzunguko wa hedhi lakini ukiona kipindi hicho kimeshaisha na bado una hii changamoto hiyo siyo hali ya kawaida.```
⏩ ```Pia utokwaji wa maji maji hayo inaweza kuwa ni kiashiria cha kujaa maji katika mirija ya uzazi hali ambayo inaweza kupelekea kuziba kwa mirija hiyo Na kushindwa kubeba mimba.
N.B. k**a kuna uchafu wa rangi nyeupe isiyo nata wala kutoa harufu na miwasho ukeni hayo ndo maji maji au discharge ya kawaida. lakini k**a umeona katika hizo rangi zingine zimekugusa basi upo hatarini na``` ```unatakiwa uwaone madaktari mara moja.
Pia k**a umesumbuka kwa muda mrefu bila mafanikio basi ni vema ukawasiliana nami sasa kwanini ushauri na tiba
*NI SISI WENYE KUJALI AFYA YAKO*
23/01/2022
*SARATANI YA TEZI DUME*
Tezi dume ni nini?
Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.
*Ipo wapi?*
▪️Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguks mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.
_*Saratani ya tezi dume ni nini?*_
▪️Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini
*Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume*
▪️Umri Mkubwa kuanzia miaka 50
▪️Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii
▪️Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu
▪️Unene uliokithiri
▪️Ukosefu wa mazoezi
▪️Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.
▪️Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume
*Dalili zake ni zipi?*
▪️Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
▪️Kwenda kukojoa mara kwa mara.
▪️Damu ndani ya mkojo.
▪️Kushindwa kukojoa.
▪️Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
▪️Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
▪️Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
▪️Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa tezi dume imeathirika.
*UCHUNGUZI*
Wanaume wote wanpaswa kufanya uchunguzi wa saratani ya tezi dume kuanzia miaka 50. Kwa wale wenye historia katika familia wanapaswa kuanza wakiwa na umri wa miaka 45.
*Uchunguzi unafanyika kwa njia zifuatazo*
🔹Uchunguzi kwa cancer marker kwa kuchunguza damu (PSA).
🔹Uchunguzi kwa njia ya kipimo cha njia ya haja kubwa (DRE)
🔹Biopsy.
🔹Ultrasound.
🔹X-ray.
🔹Bone scan.
*Jinsi ya kutibu saratani ya tezi dume*
▪️Matibabu ya tiba lishe na tabia*
▪️Upasuaji.
▪️Mionzi
▪️Dawa ya saratani
▪️Homoni.
*Matibabu hutegemea*
▪️Ngazi na ukali wa ugonjwa.
▪️Je, ugonjwa upo ndani ya tezi dume tu au umesambaa.
▪️Umri na afya ya mgonjwa.
▪️Magonjwa ambatanishi na saratani hiyo, shinikizo la damu, matatizo ya moyo na kisukari.
TIBA
*TIBA LISHE, KUBADILIFUMO WA MAISHA NA TABIA*
▪️Tiba hii hulenga kuondoa mazingira hatarishi ya kuzaliwa kwa chembechembe hai za tezi dume bila utaratibu, kupunguza mazingira ya acid na lulifanya tezi kurudi katika umbo lake la awali. Vyakula k**a nyama, maziwa, ngano, pombe na sigara huondolewa katika mlo huo ili kupunguza shambulio hatarishi. Sambamba na lishe, mgonjwa au mtu alie na dalili hizo hushauriwa kutumia virutubisho vyenye Zinc, vitamin D, E, C, Follic acid na amino acids kwa kiasi kikubwa.
*UPASUAJI*
▪️Kuondoa tezi dume yote peke yake inaweza ikatosha.
▪️Kuondoa tezi dume na tezi jirani.
▪️Kuondoa tezi dume na kuhasi
▪️Kuondoa tezi dume kidogo kupitia njia ya mkojo na kumpa mgonjwa tiba shufa.
MIONZI.
▪️Dawa na upasuaji inaweza kuondoa ugonjwa iwapo haujasambaa.
▪️Mionzi pia hutolewa k**a tiba shufaa.
*DAWA YA SARATANI*
▪️Baadhi ya wagonjwa hufaidika na tiba hii, dawa hutolewa kwa muda mfupi na kufuatilia maendeleo ya mgomjwa kwa kufanya PSA,dawa inaweza kuwa moja au mchanganyiko.
*HOMONI*
▪️Hutolewa mfullulizo kwa njia ya vidonge au sindano.
*Ufuatiliaji wa karibu*
▪️Ni muhimu kufuatilia hali ya tezi isirejee baada ya ugonjwa kutibiwa kwa kufanya kipimo cha PSA mara kwa mara angalau miezi mitatu mara moja.
_Athari zitokanazo na matibabu mbalimbali yaliyotajwa._
*Upasuaji*
Unaweza kusababisha kutoweza:
▪️Kuzuia mkojo
▪️Kupoteza nguvu za kiume.
*Homoni*
▪️Homoni huongeza joto mwilini
▪️Kupungukiwa na nguvu za kiume
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam