Prince mchina Nabii kibari
PRINCE MCHINA TZ
13/05/2026
Naomba uzao wako wa kwanza ukafanikiwe sana..
Namfunika kwa damu ya Yesu uzao wako wa kwanza kila silaha itakayo simama juu yake
Haitafanikiwa, kila mashambulizi ya adui nayazimisha kwa mamlaka ya jina la Yesu Kristo.
Kila laana iliyo tamkwa naibatilisha na kuwa Baraka
Kila mtego ulio tegwa nautegua kwa uwezowa ROHO MTAKATIFU
Kila kufuli lililo fungwa nalifungua kwa jina la Yesu Kristo...
Eeeh Mungu naomba ukambariki yule atakaye follow account hii na
Ukambarikikie uzao wake wa kwanza
Amen 🙏 🙏
11/05/2026
Mwezi huu 5 ukawe wenye Baraka kwako
Mungu akafungue kila kufuri zilizo fungwa kwenye maisha yako
Kila silaha iliyo kinyume na mungu ikaondolewe kwa jina la Yesu Kristo
Kila laana iliyo tamkwa ikageuke kuwa Baraka kwako
Amen 🙏 🙏
05/05/2026
MAVAZI YA KIROHO
WA MUNGU
YEREMIA 33:3
Niite na mimi nitakuitikia,
Tena takuonyesha mambo
Makubwa na magumu usiyo yajua.
Baba,mama,kaka,tibia,babu.
Inakupasa umtazame yeye aliye kuumba na umtegemee MUNGU
Kwenye changamoto yoyote unayopitia muite Mungu anasikia kilio chako
Maana yeye halali wala asinzii sikio lake sio zito hata asisikie
Yeye achelewi wala awahi, bali anajibu kwa wakati.
Amen 🙏 🙏
04/04/2026
ANAKUONA LEO #
Watu wengi wapo kwenye mashindano ya kimya kimya na wewe,
Wanapima hatua zako,
Wanahesabu mafanikio yako na wengine wanaomba hata uteleze,
Lakini usijari,kwa sababu kila hatua unayo piga Mungu yupo mbele yako,akikutetea
Wakati wao wanapanga kwa siri kukuangusha Mungu nae anapanga kwa uwazi;
Wakati wao wanajaribu kukudhoofisha, Mungu anakujengea nguvu 🔋;
Na wakati wao wanataka kukuangusha Mungu nae anapanga kukunyanyua zaidi.
Endelea kutembea kwa imani kwa sababu vita ambavyo hujaona ndivyo MUNGU anavyo kushindia, kila siku bila hata wewe kujua..
Amen 🙏 🙏
Kwa WhatsApp tunapatika kwa namba: 0773853885
Prince mchina Nabii kibari PRINCE MCHINA TZ
03/04/2026
Mwezi April Mungu akakufutie kila madeni yote uliyokuwa unadaiwaa kwa jina la YESU...
03/04/2026
LA LEO #
Usali sana mwanangu kuna watu Wanampenda mume/mke wako
Na wanampenda sana
Kuliko hata unavyo mpenda wewe muhusika....