Ipendengozi_yakotz
Bidhaa kwa ajili ya afya ya ngozi vilivyotengenezwa na virutubisho asilia kwa utaharamu wa hali ya j
Bidhaa zetu zinatumika kwa mda mrefu na haziadhiri usalama wa ngozi yako. Wasiliana nasi kwa 0758504954 au 0623446949
PIA TUNAHITAJI MAWAKALA WA BIDHAA HII
KARIBUNI
28/01/2021
imarisha na boresha ngozi yako Kwa kutumia CARE ambayo inatumika kuondoa visumbufu k**a
Vipele
Vidonda
Mapunye
Tangotango
Miwasho
nk
Wasiliana nasi kwa 0758504954
TUNAKUFIKISHIA POPOTE ULIPO TANZANIA KWA USALAMA KABISA
15/09/2020
KWA UPELE AINA ZOTE na Kwa rika zote tutafute upate suruhisho la uhakika ambalo halitaacha madhara Yoyote kwenye ngozi yako maana tuna bidhaa ambazo zometengenezwa kwa uasili bila kemikali k**a PCC, ALOVERA JELLY, na CARE
Hakika utafurahia utendaji kazi wake
Pia tuna virutubisho ambavyo ni vya kumeza maalum kwa ajili ya afya ya NGOZI ambavyo vinatibu tatizo la ngozi ambalo linaanzia ndani kwenye seli hivyo kuzuia kujirudia rudia kwa tatizo
WASILIANA NASI KWA 0758504954/0623446949( kwa kawaida au watsapp)
17/07/2020
Je! Umekuwa ukitamani kuwa na ngozi yenye afya na inayovutia, lakini Umekuwa ukitumia vipodozi ambavyo vinahatarisha ngozi yako k**a kuacha mabaka(utofauti wa rangi) hadi mtu akikuona anajua moja kwa moja kwamba umetumia vipodozi?
NAKUPA SIRI
Hivyo vipodozi vinakuwa na kemikali ambayo kazi yake sio kutakatisha ngozi bali vinakwangua ngozi na hivyo kusababisha Madhara k**a hayo na mala nyingi vinakufanya kuwa k**a mtumwa kwamba usije kuviacha ukishaanza kuvitumia maana sehemu ambayo itakuwa imekwanguliwa sana ukiacha panakuwa PEUSI zaidi hivyo kukufanya uwe na mwonekano usiopendeza kabisa kuzidi hata kabla hujaanza kuvitumia
Lakini pia kutokana na mwendelezo wa kukwangua ngozi kila siku itasababisha matatizo ya chunusi, ngozi kuchoka,
*Maana unakuwa unalazimisha seli za ngozi kufanya kazi kwa haraka hivyo zikichoka ndo madhara k**a hayo yanatokea
**Kwa kulitambua hilo tunakuletea vipodozi ambavyo vimetengenezwa bila kemikali ambavyo vitafanya mg'ao wa ngozi yako bila kukwangua wala kubabua ngozi yako na kufanya iwe yenye afya njema k**a vilivyooneshwa kwenye picha
Kwa maelezo zaidi na uhitaji wasiliana nasi kwa
0758504954
au
0623446949
04/06/2020
NGOZI ni kiungo kinachotengenezwa kuanzia ndani hivyo matatizo yake mengi pia yanaanzia kwenye uundwaji wa seli zake ndani mfano wa hayo matatizo ni:
# Chunusi sugu
# Vidonda ndugu
# Upele
# Tangotango na kadhalika
Lakini wengi wanatibu matatizo haya kwa nje tu ndo maana yanajirudia mala Kwa mala
**Ila ukitibu tatizo kuanzia ndani (seli) hutakuja kuliona tena
**FORMULA IV no KIRUTUBISHO chenye vitamin A, B, D, na E maalumu kwa ajili ya kuboresha afya ya ngozi kuanzia ndani na kuondoa matatizo yote ya ngozi kuanzia ndani kuliko kuendelea Katibu tatizo la ngozi kwa nje bila kufika hatima ya hilo tatizo
**Haina madhara Yoyote maana ni virutubisho sio kemikali
**Wasiliana Nami kwa 0758504944 kwa Maelezo zaidi na uhitaji
18/05/2020
Kwa wanaosumbuliwa na
*Chunusi sugu
*Harara, mba, nywele kukatika na kutojaa, matangotango, miwasho ya ngozi, vipele, na matatizo Mengine ya ngozi
*SURUHISHO NDO HILI AMBALO NI SABUNI NA MAFUTA YALIYOTENGENEZWA KWA VITU VYA ASILI
Wasiliana nami kwa 0758504954
Sabuni, mafuta na shampoo,vilivyotengenezwa kwa virutubisho asilia vya ngozi vinaweza kuondoa
Chunusi sugu
Harara
Matangotango
Vipele
Miwasho
Nywele kukatika na kutojaa na kuzifanya zikue haraka na kufanya ziwe laini
Na visumbufu vingine vya ngozi bila kuharibu uhalisia wa ngozi yako( hazichubui)
Nitafute kwa 0758504954 kwa uhitaji na maelezo zaidi
09/05/2020
Kirutubisho maalum chenye vitamin A, B, D na E ambazo zote ni muhimu kwenye kuboresha afya ya NGOZI na kutibu tatizo la ngozi kuanzia ndani ( mfano chunusi sugu, matangotango nk) na kuifanya ngozi yako kuwa imara na ya Kupendeza
K**a una matatizo ya ngozi(rika na jinsia zote) wasiliana Nami kwa 0758504954
NAAMINI UTAPATA SURUHISHO
*So good for skin growth and protect without any negative effect because it manufactured by natural nutrients of skin
* Mafuta na rosheni ambazo ni nzuri sana kwa ukuaji, uimara na usalama wa ngozi bila madhara yoyote maana zimetengenezwa na virutubisho asili vya ngozi
0758504954
21/03/2020
Tumia na Mafuta na rosheni ambayo yametengenezwa Kwa virutubisho vya ngozi(skin nutrients) hivyo hazina madhara kwa ngozi yako na zinaifanya ngozi yako iwe na afya siku zote
*Zipo za watoto na watu wazima pia
*Tanzania Nzima unaweza kuzipata wewe tu wasiliana namii
02/03/2020
Bidhaa kwa ajili yaSuruhisho la matatizo k**a hayo na Mengine yahusuyo ngozi linapatikana
TUKO SINZA DAR ES SALAAM lakini pia kwa walio mikoani tunaweza kukufishia huduma bila shaka Yoyote na kwa Mda muafaka
Kwa mawasiliano yote tumia namba ambayo ni. 0758504954
KARIBU TUKUHUDUMIE
Zipo bidhaa kwa ajili ya rika na jinsia Zote kutibu matatizo K**a chunusi, fungus, mapunye, allergy na kadhalika
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam