Teddy dawa asili
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Teddy dawa asili, Health/Beauty, Dar es Salaam.
27/10/2022
NINI CHANZO CHA MIGUU KUWAKA MOTO
Katika mwili wa binadamu kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili yani miguu na mikono. Tatizo hili kitaalamu hujulikana kwaa jina Peripheral Neuropathy
Mwili wa binadamu hutawaliwa na mifumo ya neva au kitaalamu Nervous System, ambapo katiks mifumo hii kuna mfumo mkuu central nervous system (ubongo ns uti wa mgongo) na pia kuna mfumo wa pembezoni ambazo ni kazi za mwili mbali na ubongo na uti wa mgongo ( Peripheral nervous system) mfumo huu wa pembezoni hujumuisha kazi za misuli mapigo ya moyo mmengenyo wa chakula rumboni, uwezo wa kuhisi baridi au joto, kugusa vitu na kujua ukali wa ncha ya kitu n.k.
Matatizo haya ya kiafya (miguu kuwaka moto kuhisi ganzi, baridi au maumivu) husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa nerves za pembezoni mwa mwili na hivyo kupotea kwa uwezo wa kufanya kazi wa nerves katika sehemu husika, miguu au mikono
DALILI ZINAZOAMBATANA NA UGONJWA HUU NI
1. Kuhisi ganzi
2. Maumivu na kuwaka moto maeneo ya miguu au mikono
3. Kuhisi k**a umevaa soksi su gloves wakati hujavaa
4. Kuhisi k**a kuna kitu cha ncha kali kinachoma miguu au kwenye vidole
5. Kushindwa kushika au kunyanyua kitu
6. Kuchoka kwa misuli n.k.
Miongoni mwa mambo ambayo hupelekea nerves hizi za pembezoni kudhoofika na kushindwa kufanya kazi kazi vizuri ni haya yafuatayo
1. Kupungua kwa virutubisho mwilini hasa vitamini B (B complex)
2. Matumizi ya dawa, mtu kuwa katika matumizi ya dawa kwa muda mrefu
3. Uzito mkubwa wa mwili
4. Ugonjwa wa kisukari
5. Shinikizo la juu la damu
Kwa matibabu ya miguu kuwaka moto na mikono
Tupo makumbusho stand biashara complex block b floor ya kwanza room no 35b
Tupigie kwa namba
27/10/2022
KARANGA ni zao muhimu kwa kila mwanaume kwani limejazwa na "arginine" kiini ambacho husaidia kuboresha manii na kuongeza kiwango cha homoni ya mwanaume (Testosterone). Pia hugeuzwa mwilini kuwa "nitric oxide" ambayo husaidia kupanua mishipa ya damu na kuboresha mtiririko wa damu.
02/10/2022
FAHAMU TIBA ASILI ZA MAGONJWA SUGU
LADY CARE SULUHISHO LA MATATIZO KWA WANAWAKE
1. Inatibu kizazi kwa ujumla
2. Inatibu ugumba
3. Inaondoa uvimbe (fibroids) kwenye kizazi
4. Inatibu matatizo ya hedhi ( menstrual disorder)
5. Inaondoa kutokwa na uchafu
6. Inatibu UTI sugu, STI, PID na fangasi
7. Inaweka mlingano wa homoni sawa kwa wanawake
8. Inasaidia kuondoa uwezekano wa kupata cancer ya mfuko wa kizazi
9. Inazibua mirija ya uzazi
10. Inatibu change
11.Pia k**A umekwama kushika mimba dawa hii inatibu
12.Miwasho sehemu za siri
13.kutokwa na uchafu ukeni k**a maziwa mtindi
14.Maumivu wakati wa hedhi NK
KOPO MOJA BEI YAKE NI 10000/=
DAWA YA CHEST CURE
Hii ina tibu mafua sugu
Kikohozi cha muda mrefu
Allergy zote
Vichomi visivyo kwisha, tezi kooni
Vidonda na muwasho kooni
Pumu
KOPO MOJA BEI YAKE NI 10000/- tu!
ORGANIC NUTRIENT
Inatibu
1. Presha
2. Kisukari
3.Bawasiri
4.UTI sugu
5. Baridi Yabisi
6. Vidonda vya tumbo
7. Shida ya macho yenye ukungu
8. Inatibu fibroids na vimbe nyingine zote
9. Inatibu PID
10. Inaupa mwili nguvu na inatibu maumivu ya viungo
11. Inaponyesha majeraha ya moto na majeraha mengine mwilini
KOPO MOJA BEI YAKE NI Tsh 10000
GENTLE POWER
Inatibu matatizo ya nguvu zakiume
Kuimarisha misuli ya uume na kufanya mwanaume afurahie tendo.la.ndoa
Inarutubisha manii
Walioathirika na punyeto
Kuwahi kufika kileleni mapema
Kushindwa kurudia tendo la ndoa
Uume kusinyaa wakati wa tendo la ndoa
Kukosa hamu ya tendo la ndoa
Ina tibu tezi dume, ngiri, chango
Inatibu matatizo ya kibofu cha.mkojo nk
KOPO MOJA BEI YAKE NI Tsh 10000 tu
RM MASSAGE OIL
Hii ni dawa asilia ya kuchua isiyo na kemikali yoyote yenye
Inamaliza maumivu ya misuli na viungo kwa haraka pia inafaa sana kwa watu walio pooza na kiarusi ili waweze kupona kwa haraka
KOPO MOJA BEI YAKE NI 10000/-
PURIFIER
Inatibu
1. Kuondoa sumu mwilini
2. Vidonda vya tumbo
3. Kibofu Cha mkojo
4. Matatizo ya kizazi
5. Shida za Figo na ini
6. Baridi yabisi
7. Bawasiri
8. Inasafisha damu
9. Inaondoa mafuta machafu
10.inatibu UTI
11. Kuondoa ganzi mwilini
12. Kuumwa na viuongo miguu mgongo
magoti na kiuno
13. Presha na kisukari
KOPO MOJA BEI YAKE NI 10000/=tu
ULCERS CURE
Ni dawa inayotibu vidonda vya tumbo kwa muda siku 14 tu
Unapata kiungulia,ges tumboni, kifua kuwaka moto, maumivu ya mgongo na kiuno, choo kigumu, kukosa hamu ya kula nk zote hizo ni dalili za vidonda vya tumbo.
KOPO MOJA BEI YAKE NI 25000
WhatsApp number:0677830514
Normal calls: +255 67 431 9800
02/10/2022
URIC ACID CHANZO DALILI NA TIBA
Mwili wa binadamu kwa asili yake umeumbwa kwa namna ambayo viungo vyote vinaweza kufanya kazi kwa ufasaha kutegemeana na taarifa ambazo zinasafirishwa kutoka katika ubongo na kupelekwa katika kiungo husika.
Ili mwili uweze kufanya kazi vizuri na kusitokee na tatizo lolote, haina budi kila kemikali ya asilia iliyopo mwilini iwe katika kiwango ambacho ni stahiki.
Miongoni mwa kemikali asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu ni hii ijulikanayo kwa jina la kitaalamu la “Uric Acid”.
Uric Acid ni kemikali ya asilia ambayo inapatikana katika mwili wa binadamu. Kemikali hii hupatikana baada ya kuvunjwa vunjwa kwa vyakula ambavyo ndani yake kuna kundi la kemikali aina ya “Purine” ambayo baada ya kuvunjwa ndipo huzalisha kitu kinachojulikana k**a “Uric Acid”.
Katika mwili wa binadamu, kiwango ambacho ni cha kawaida mtu kuwa nacho ni 2.4-6.0 mg/dL (kwa mwanamke) na 3.4-7.0 mg/dL (kwa mwanamme). Kiwango cha uric acid mwilini hupimwa kwa kutumia njia ya damu.
Kiwango hiki endapo kitazidi mwilini kitasababisha matatizo mwilini na hasa katika maeneo ya mwili ambayo ni maungio ya mifupa/jointi.
Katika maungio ya mifupa au jointi, mtu atapatwa na maumivu makali, kuvimba na kubadilika kwa umbile la maungio ya mifupa na kuwa k**a kumepinda. Hali hii kitaalamu au ugonjwa hujulikana k**a “Gout”.
Pia kuzidi kwa kiwango cha uric acid mwilini kinaweza kuwa ni dalili ya magojwa k**a vile magonjwa ya ini, figo pamoja na saratani. Mwilini kemikali hii ya asilia hutolewa kupitia njia ya mkojo k**a urea, tofauti na wanyama wengine au ndege ambao wao kemikali hii hutolewa kupitia kinyesi na wakati mwingine imekuwa na muonekano k**a chokaa na kuchanganyika na kinyesi mfano cha kuku.
Upatikanaji wa uric acid mwilini ni kupitia ulaji wa vyakula k**a vile maharagwe yaliyokaushwa, maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini au seafood (sardines pamoja na tuna). Pamoja na vyakula, pia uric acid mwilini hupatikana baada ya matokeo ya seli hai za mwili kuvunjika (seli kufa na kutengeneza purine ambazo nazo huvunjika na kutengeneza Uric Acid).
Kwa kuwa kiwango kikubwa cha uric acid kinasababisha matatizo ya kiafya, ni vyema kufahamu ni namna gani ambavyo mtu anaweza kuenenda ili kuhakikisha kuwa kiwango cha uric acid katika mwili kinakuwa siyo cha kuweza kusababisha matatizo ya kiafya.
Miongoni mwa njia za kutumia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilii ni kuepuka vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha “Purine” ambayo ndiyo hupelekea kupatikana kwa uric acid. Vyakula hivyo vya kuepuka ni pamoja na maini, figo pamoja na baadhi ya vyakula vya baharini k**a vilivyotajwa hapo juu. Pia ni vyema kutumia vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha virutubisho pamoja na vitamin ambavyo kiafya vinasaidia katika kuondoa sumu mwilini.
Virutubisho na vitamini ambazo husaidia katika kurekebisha kiwango cha uric acid mwilini ni pamoja na vitamin B6, Vitamin C, madini ya magnesium. Haya hupatikana katika matunda k**a vile ndizi mbivu, machungwa, matikiti maji, maembe pamoja na mananasi. Pia juisi la limao katika mwili husaidia katika kutengeneza chumvi aina ya calcium carbonate ambayo husaidia kuyeyusha au (Neutralize) tindikali asilia mwilini (Uric acid).
Aidha, sambamba na ulaji wa vyakula hivyo kwa mtu ambaye tayari analo tatizo la kuwa na kiwango kikubwa cha uric acid mwilini (Baada ya vipimo vya kitaalamu), inashauriwa kutumia dawa ambazo hupunguza kuzalishwa kwa uric acid mwilini lakini pia kusaidia katika kuondoa maudhi na maumivu makali ambayo mtu huyapata katika jointi.
Ili miili yetu iweze kuendelea kufanya kazi vizuri, inashauriwa kufanya chunguzi za kitaalamu ili kuweza kubaini mapungufu yaliyopo mapema na hatimaye kuepukana nayo kwa kufuata ushauri wa wataalamu wa afya.
Kwa ushauri na tiba tupigie kwa namba 0745007641
02/10/2022
Papai husaidia aina zote za mchakato wa umengenyaji wa chakula na hii ikiwa ni kutokana na sababu nyingi ambazo miongoni mwazo ni uwepo wa kimengenyo cha papaini kinachomengenya protini na kusaidia kufidia upungufu wa juisi zanazotumika katika mchakato wa umengenyaji
Mara ya mwisho kula papai ni lini
Tujali afya zetu
02/10/2022
VITU VINAVYOWEZA KUSABABISHA MATATIZO YA MIFUPA
1. Upungufu wa hormone za Estrogen hii huwapata sana wenye menopause
2. Ulevi
3. Magonjwa ya figo
4. (Hyperthyroidism) tatizo la utengenezwaji wa thyroid homoni nyingi kupita kiasi
5. Uzito mdogo kupita kiasi
6. Baadhi ya matibabu, madawa ya kemikali
7. Uvitaji wa sigara
8. Kutokufanya mazoezi
02/10/2022
MBEGU ZA MABOGA ni chanzo kizuri cha madini ya magnesiamu, madini ambayo huhitajika kwenye shughuli takribani 600 mwilini na ni muhimu katika kusaidia kudhibiti shinikizo la damu, kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo, kuimarisha mifupa, na kudhibiti kiwango chako cha sukari.
02/10/2022
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME – Chanzo, Dalili & Tiba
UTANGULIZI – LIJUE TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. atizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.
CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;
1. Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
2. Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
3. Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
4. Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
5. Kisukari
6. Kuwa na mawazo na wasiwasi
7. Matumizi ya madawa mbalimbali
8. Umri hasa wazee
9. Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
10. Kuwa na tatizo la kibofu
11. Tabia za kujichua kwa mda mrefu
12. Kutopata usingizi kamili
13. Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a;
1. Kuwahi kufika kileleni
2. Kukosa hamu ya mapenzi
3. Kushindwa kurudia tendo la ndoa
4. Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
5. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
7.Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
8. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
1. Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku
2. Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
3. Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo, punguza unene na mengine
4. Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidi
5. Balansi usito wako
6. Usivute sigara
7. Punguza au acha kunywa pombe
8. Punguza mawazo
9. Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
10. Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9
11. Usitumie dawa zenye kemikali nyingi huathiri mfumo wa uzazi
12. Kunywa maji ya kutosha
TIBA YA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Hili ni tatizo ambalo huwanyima raha watu wengi kwasababu linaashiria upungufu flani wa kimwili, tunawashauri watu wengi wafanye mazoezi, kula chakula bora hasa asilia na pia wanywe maji mengi ili kuimarisha afya zao. Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaondolewa japo ni kwa mda mrefu kidogo, wengi hudanganywa na kupewa dawa za kuongeza nguvu pale unapoenda kujamiiana na sio dawa ya kutibu.
Tuna dawa ya kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa. Dawa hiyo hutibu kwa mda kulingana na ukubwa wa tatizo, ukianza kutumia baada ya wiki mbili huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa utumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendekea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa.
Tunamshukru Mungu kwa uumbaji wake na kutupa dawa ambazo alizileta ili kutuimarisha na kutuponya, Mungu hakuumba dawa nyingine zaidi ya mimea na vitu vingine vya asili, japo wengi hudharau. Mungu tunaomba utuokoe na kutuponya.
MAWASILIANO tupigie kwa namba
02/10/2022
KWA NINI VINATOKA VINYAMANYAMA AU MABONGE YA DAMU WAKATI WA HEDHI
Kwa asili, wanawake wengi huwa wanapatwa na hali hii ya mabonge wanapokuwa hedhini, ni jambo ambalo huwastusha wengi na hutufanya kuwa na maswali k**a vile •Kwa nini mwanamke anatokwa na damu iliyoganda wakati wa hedhi?
•Ni kipi hasa husababisha damu kuganda wakati wa hedhi?
Leo nipo kwa ajili ya majibu.
~~Kwa ujumla, chanzo cha kuganda kwa damu wakati wa hedhi yako hutokana na kushindwa kutoka kwa ute wenye kemikali unaozuia kuganda kwa damu kibaolojia huitwa anticoagulants......
ambapo kazi ya ute huu ni kuukinga ukuta wa kizazi usiharibike.
Wakati wa hedhi, ute mzito unakuwa kwenye ukuta wa kizazi huanza kutoka. Ute huu unaokuwa na kemikali huanza kuachiliwa ili kuzuia damu isigande wakati wa hedhi. Wanawake wengi wanaotokwa na damu ya hedhi muda mrefu hutoka na damu yenye mabonge kwa sababu damu inayotoka kwenye ukuta wa mfuko wa kizazi(uterus) hutoka kwa kasi kuliko ute wenye kemikali ya kuiyeyusha isigande. Hali hii ndio husababisha damu kuganda na hedhi kutoka na mabonge ya damu kwa muda mrefu.
Visabibishi vya kupungua kwa ute huu (anticoagulants) ni uwepo wa tatizo katika kizazi mfano.
1. Uvimbe Katika Kizazi (Uterine Fibroids)
Uvimbe mmoja au zaidi ambao huwa sio saratani, kwa kawaida huota ndani ya kizazi cha mwanamke. Hata hivyo kwa kuwa sio saratani, huwa havionyeshi kuwa vimetulia tu. Dalili za kawaida anazozipata mwanamke mwenye uvimbe aina ya fibroids ni k**a ifuatavyo:
•Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
•Maumivu wakati wa tendo la ndoa
•Kutokwa na damu ya hedhi muda mrefu
•Tumbo kujaa gesi ama kukosa choo
2. Matumizi ya njia za Kisasa za Uzazi Wa Mpango
Dhumuni kuu la njia za kisasa za Uzazi wa mpango ni kuvuruga mpangilio wa homoni za mwanamke. Kivurugika kwa homoni hauharibu tu ukomavu wa mayai bali huharibu vichochezi vya homoni hasa oestrogens na progesterone ambazo ni muhimu katika kuzalisha ute, mayai na ujauzito kwa ujumla.
JICHUNGUZE
Ikiwa k**a unapaswa kubadilisha pedi zaidi ya mara moja kila baada ya masaa mawili au k**a mtiririko wa damu yako ya hedhi una mabonge makubwa ya damu yasiyokuwa ya kawaida, basi ina maanisha kwamba unatokwa na damu nyingi mno.
Endapo k**a utagundua kuwa mtiririko huo wa damu ulianza tu kipindi ulipoanza kutumia aina mpya ya vidonge vya mpango wa uzazi, basi unapaswa umweleze daktari wako akupe usahuri kuhusu jambo hilo.
3. Kuporomoka Kwa Mimba
5. Maambukizi
Aina ya kwanza ya maambukizi yanayoweza kusababisha hali hii ya kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi ni maambukizi katika via vya uzazi(P.I.D). Maambukizi ya aina hii huathiri viungo vya uzazi kwa mwanamke, na k**a tatizo hili litaendelea bila kufahamika vizuri, basi linaweza kusababisha uharibifu mkubwa katika mfumo wa uzazi wa mwanamke.
Uonapo dalili za kuwa mabonge wakati wa hedhi unaweza kumuona daktari wako kwa vipimo zaidi ila k**a umegundua tayari una mojawapo ya magonjwa hapo juu au umewahi kutumia uzazi wa mpango, jitahidi kutumia vyakula au vinywaji vyenye kukusaidia kuweka homoni sawa na kuyeyusha damu ili isikwame katika mfumo wa uzazi.
Muhimu k**a umegundua una matatizo katika uzazi ni vyema kuanza dozi yako ya kusafisha NJIA za Uzazi na kuweka homoni sawa ili uendelee kuwa na mrejesho mzuri siku zote.
Yapo mengi ya kuzungumza kuhusu uzazi hatuwezi kumaliza leo, endelea kufuatilia mafundisho haya pia unaweza kuwasiliana nami kwa mazungumzo zaidi....
Karibu sana
02/10/2022
Click here to claim your Sponsored Listing.