Afya.sarah

Afya.sarah

Share

Tunatoa ushauri na tiba asilia kwa wote. Bidhaa zetu ni kutoka Marekani. No. 0687675450

17/05/2021

UGONJWA WA KISUKARI NA TIBA YA HARAKA..

kisukari ni ugonjwa ambao humsababishia mtu kuwa na kiwango kikubwa cha sukari katika damu na kushindwa kuitumia sukari hiyo ipasavyo ili kumpa nguvu na hivyo sukari hiyo kutoka nje ya mwili wa mgonjwa kupitia njia ya mkojo. Ugonjwa huu pia huitwa Diabetes Mellitus, maneno yanayotokana na kigiriki na kilatini. Diabetes linatokana na kigiriki likimaanisha kijibomba kinachonyonya maji na mellitus linatokana na neno la kilatini “Mel” lenye maana ya asali, hivyo diabetes mellitus ni “kunyonya maji yenye utamu k**a asali” baada ya madaktari wa enzi hizo kugundua kuwa mkojo na damu ya mgonjwa wa kisukari vilikuwa na glucose kwa wingi sana.

Wachina wanauita huu ugonjwa “Sweet Urine Disease” -Ugonjwa wa kutoa mkojo mtamu.



Insulin Na Kongosho
Insulin ni homoni inayotoa ishara kwa seli za mwili ili ziweze kuchukua glucose kotoka kwenye damu na kuitumia katika kuupa mwili nguvu na kuujenga. K**a kiwango cha insulin mwilini ni kidogo au hakuna insulin kabisa katika mwili, glucose haitachukuliwa na seli za mwili hivyo kusababisha mwili kuyeyusha mafuta yaliyomo mwilini ili upate nguvu.

Insulin karibu za wanyama wote hufanana, tofauti ni katika nguvu ya ufanyaji wake wa kazi. Kwa mfano, insulin ya nguruwe “Porcine insulin”, inafanana sana na insulin ya binadamu, hii ikiwa na maana kuwa binadamu anaweza kutumia insulin ya wanyama. Lakini kwa bahati nzuri, insulin inaweza kutengenezwa kwenye maabara.

Kongosho ni sehemu ya viungo vilivyo katika mfumo wa uyeyushaji (mmeng’enyo) wa chakula na kinapatikana sehemu ambapo mbavu hukutana kwa chini. Kongosho lina umbo la jani na lina urefu upatao k**a nchi sita. Kongosho ina kazi ya kutengenza insulin na homoni zingine za kusaidia uyeyushaji wa chakula.



Dalili Za Kisukari Ni Zipi?

Baada ya kujikumbusha hayo, sasa tutazame mambo ambayo yakikutokea ujue kwamba ni dalili za kuwa na ugonjwa huu wa kisukari. Watu wengi wanakuwa na ugonjwa huu bila kujijua kwa sababu dalili za awali za ugonjwa huu hazimsababishii mtu kushindwa kuendelea na shughuli zake za kawaida, lakini ni vizuri kuugundua ugonjwa huu katika hatua zake za awali ili kuepukana na madhara makubwa yanayoweza kutokea baadaye. Tutaorodhesha hapa dalili zinazojionyesha mara nyingi zaidi:

Kukojoa mara kwa mara: Jee, umekuwa na tabia ya kwenda kupata haja ndogo mara kwa mara? K**a jibu ni ndiyo, basi figo zako sasa haziwezi kuirudisha glucose kwenye mfumo wa damu na badala yake zinachukua maji kutoka kwenye damu na kusababisha kibofu kijae mara kwa mara.

Kiu Isiyoisha: K**a unakojoa mara kwa mara, utapata kiu isoisha kwa sababu mwili unahitaji kurudisha maji uliyopoteza kwenye mkojo.

Njaa Kali: K**a isulin yako haifanyi kazi au k**a huna insulin, mwili wako unakosa glucose ya kuupa nguvu. Katika kutafuta njia nyingine ya kupata nguvu, mwili utakuwa na njaa ili uupatie chakula.

Kuongezeka kwa uzito (unene): Hii inatokana na dalili ya kusikia njaa kali.

Kupungua uzito kusiko kawaida: Hili huwatokea zaidi wagonjwa wa Type 1 Diabetes kwa sababu kwa kukosa insulin na seli kukosa chanzo cha kupata nguvu, mwili huanza kuvunjavunja misuli na kuyeyusha mafuta ya mwili ili upate nguvu hiyo hali inayochangiwa zaidi na tabia ya kisukari cha aina hiyo kujitokeza kwa ghafla.

Uchovu wa mwili: Mwili unapokosa glucose ya kuzipa seli nguvu, uchovu hutokea.



Dalili za kisukari

Hasira: Hasira zinaweza kuwa ni sababu ya mwili kukosa nguvu.

Kutoona vizuri: Ugonjwa huu husababisha mtu kushindwa kuviona vitu vizuri. Tatizo hili hutibika lakini mara nyingine hali huweza kuwa mbaya kiasi cha kuwa na tatizo la kudumu au kupata upofu.

Vidonda kutopona vizuri au haraka: Unapokuwa na sukari nyingi katika damu, uwezo wa mwili kuponya vidonda hupungua.

Magonjwa ya ngozi: Mwili wenye sukari nyingi ndani ya damu huwa na uwezo mdogo sana wa kujiponya kutokana na maambukizi ya wadudu. Wanawake wenye kisukari huwa na maambukizi zaidi na hupata shida kubwa ya kuponya maambukizi ya sehemu nyeti za miili yao.

Kuwashwa kwa ngozi: Kuwashwa kwa ngozi mara nyingine ni dalili ya kuwa na kisukari.

Kuwa na fizi nyekundu au zilizovimba: Fizi nyekundu na/au zilizovimba huweza kuwa ni dalili ya kuwa na ugonjwa wa kisukari, mara nyingine meno hulegea.

Uwezo mdogo wa kushiriki tendo la ndoa: Hili ni tatizo hasa la wanaume wenye umri unaozidi miaka 50, ambapo mara nyingi watakosa uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kikamilifu au uwezo wao wa kufanya tendo hilo kufa kabisa (Erectile Dysfunction).

Ganzi mikononi au miguuni: Uzidifu wa sukari mwilini huweza kuharibu neva au mishipa midogo ya damu inayolisha neva, hivyo kusababisha hali ya ganzi mikononi au miguuni.

Madhara Ya Kisukari


K**a ugonjwa wa kisukari hautadhibitiwa ipasavyo, madhara makubwa huweza kutokea. Baadhi ya madhara ambayo yamehusishwa na ugonjwa huu ni k**a ifuatavyo:

Matatizo ya macho-glucoma, cataracts na mengineyo

Matatizo ya miguu-vidonda na gangrene ambavyo mara nyingine husababishwa miguu ikatwe.

Matatizo ya moyo-pamoja na upungufu wa damu inayoelekea kwenye misuli ya moyo.

Hypertension-ambayo huweza kusababisha figo kushindwa kufanya kazi, matatizo ya macho, magonjwa ya moyo na kiharusi.

Matatizo ya kusikia-kisukari husababisho tatizo la kushindwa kusikia vizuri.

Gastroparesis-misuli ya tumbo kushindwa kufanya kazi yake vizuri.

Kiharusi (Stroke)-endapo blood pressure, cholesterol na sukari havitadhibitiwa, uwezekano wa kupatwa na kiharusi huwa ni mkubwa sana.

Ugumba-kisukari humfanya mgonjwa ashindwe kufanya tendo la ndoa.

Kwa Ushauri na tiba nichek 0687675450

25/04/2021

Kwa Ushauri na Tiba. Piga 0687675450

23/03/2021

*TIBA_YA_MAUMIVU_YA_MGONGO_KIUNO_MIGUU__NYONGA_NA_MAUNGIO_MENGINEYO_BILA_MADHARA_WALA_UPASUAJI*

Bila shaka umesha msikia ndugu yako, rafiki au mtu wako wa karibu wakilalamika kuuma kwa MAUNGIO k**a (Knee Joint), , (Shoulder Joint) NA . Wako pia wanaolalamika maumivu ya maungio ya kisigino *(Ankle Joint)* . . . . Inasemekana kwamba kuna zaidi ya watu bilioni nne duniani wana sumbuliwa na matatizo ya viungo *( MAUNGIO)* Ambapo wanawake ni *18%* na wanaume ni *9.6%* Kawaida katika *MAUNGIO* huwa kuna ute ute uitwao synonvio fluid ambao kazi yake ni kulainisha *MAUNGIO* pia kuna kitu k**a sponji kiitwacho catilage *(gegedu)* ambayo Kazi yake ni kufanya mfupa na mfupa visisagane hivyo sponji hii na ute ute juu ndio vinavyofanya *MAUNGIO* yawe salaam salimini *TATIZO* hili kitaalamu huitwa *OSTEOARTHRITIS(OA)* hutokea pale ambapo gegedu(cartilage) kuanza kulika pole pole na kusababisha mifupa ya kwenye MAUNGIO kusagana hii husababisha maumivu

*CHANZO_CHA_TATIZO* •Umri •Uzito •Kuumia Kwa Kupata ajali •Kurithi (genesis) •Wafanya mazoezi/wana michezo. .

endapo_usipotibu_tatizo_hili_kuna_uwezekano_mkubwa_wa_kufanyiwa_upasuaji na kuwekewa cartilage za bandia ambapo kimsingi ni gharama kubwa sana MATIBABU gluzoint zaminocal Hizi ni bidhaa asili zilizo andaliwa kwa teknolojia kubwa kutoka nchini Marekani na kuandaliwa na WAFAMASIA wakubwa kutoka U.S.A phamathetical laboratory ambazo zinazoongeza ute ute kwenye maungia na kuziponya cartilage. *(sponji zinazozuia mifupa kusagana)* na Huondoa maumivu ya maungio kabisaaaa •Huongeza *GLUCOSE AMINE* ambayo huunda upya cartilage (sponji zinazolinda mifupa isisagane •Huongeza *CHRONDROITIN* ambayo hutumika kutengeneza ute ute kati ya maungio •Huondoa kabisaa maumivu ya maungio yaliyokithiri •Ni nzuri sana kwa *MTU mwenye TATIZO LA ATHRITIS* •Huwafaa sana watu wanaofanya mazoezi na wenye shida ya maungio, nyonga au mgongo Kwa tiba

Kwa Ushauri na tiba.. nichek 0687675450 sms au WhatsApp

09/02/2021

TUJIFUNZE MADHARA YA MATUMIZI YA KISASA YA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO

#0687675450

A)MADHARA YA SINDANO ZA KUZIA MIMBA

(1) Usumbufu wa hedhi
(2) Kuumwa kichwa mara kwa mara
(3) Kizunguzungu
(4) Kichefuchefu
(5) Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
(6) Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
(7) Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi

B)MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA

(1) Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha ma uvimbe
(2) Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
(3) Kuumwa kichwa mara kwa mara
(4) Kupata kichefuchefu
(5) Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
(6) Kubadilisha mwenendo wa damu
(7) Kuliathiri ini kidogo kidogo
(8) Kupata kisukari
(9) Kupata ugonjwa wa moyo
(10) Kupooza upande mmoja wa mwili.
(11) Kupunguza hamu ya tendo la ndoa

C)MADHARA YA KITANZI

(1) Utokaji ovyo wa damu
(2)Kutoboka fuko la uzazi
(3) Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
(4) Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
(5) Kuondoa hamu tendo la ndoa

D)MADHARA YA KIJITI

(1) Husababisha kansa
(2) Huchanganyikiwa (Akili huvurugika)
(3) Shinikizo la damu
(4) Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
(5) Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
(6) Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa

CHUKUA TAHADHARI EWE MWANAMKE UNAATHIRIKA BILA KUJUA

👇👇
Madawa haya yanasababisha ugumba na matatizo Mengi katika mfumo wako wa uzazi,,

**Tunazo Tiba Lishe za Kuondoa Tatizo hilo ili Uanze Kutumia Kalenda

🔷 Kwa Wale Wote Ambao Tayari Wameshaathirika na matumizi haya

✓Yawezekana nzunguko wako umebadilika

✓Unapata maumivu chini ya kitofu

™Unapata maumivu wakati wa tend oo

✓Unapata hedhi ndefu

✓Haupati kabisaa na hauna mimba,,

Na dalili nyingine k**a hizo,

👉Tuna Bidhaa Zisizo Na Athari Za Kikemikali yaani TIBA LISHE

Kwa ushauri na tiba piga 0687675450 sms au WhatsApp

09/02/2021

MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA NA UKAVU UKENI
______________
0687675450
Uke mkavu: ni tatizo ambalo husababishwa na upungufu/kiwango kidogo/uwiano mbaya wa homoni za uzazi yaan ESTROGEN HORMONES,, ambayo huleta ute na vilainishi vya uke

✍️✍️_kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na ute wa wastanii ambao hufanya uke kubana,kuleta joto na raha katka tendo

✍️✍️VISABABISHI VYA UKE MKAVU
_Upungufu/kiwango kidogo/uwiano mbaya wa homoni za uzazi
_magonjwa ya zina k**aa kaswende,gonorea n.k
_U.T.I sugu
_Fangasi sugu ukeni
_uke mchafu
_matumizi ya sabuni za anti biotics kusafishia uke
_matumizi ya pedi zisizo za anions

❤️❤️ DALILI ZA UKE MKAVU

_Maumivu makali wakat wa tendo la ndoa
_kutokwa na damu wakat/baada ya tendo la ndoa
_kukosa/kupungua hamu ya tendo la ndoa
_maumivu ya chini ya kitovu wakati wa tendo
_maumivu ya kiuno,mgongo na tumbo
_maumivu ya mifupa na viungo
_kuwa na ngozi kavu
_msongo wa mawazo kupita kiasi
_siku za hedhi kuto kuwa na mpangilio maalum
_kuto furahia tendo la ndoa
_kuto shika mimba

✍️✍️ MADHARA YA UKE MKAVU

_upungufu/kiwango kidogo/uwiano mbaya wa homoni za uzazi(HORMONES IMBALANCE )
_kuto shika mimba
_siku za hedhi kuto kuwa na mpangilio maalum
_ni rahisi kushambuliwa na maambukizi katka mfumo wa uzazi k**a PID,PCOS.

Kwa Ushauri na Tiba piga 0687675450 WhatsApp au sms

06/02/2021

KIBOKO YA MAUMIVU YA MIGUU KUWAKA MOTO NA GANZI

0687675450

TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO(MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)

Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wengine sana na ni tatizo ambalo linakera sana kwa sababu hata unapoenda hospitali Mara nyingi hawapati tatizo lolote

NINI HASWA CHANZO CHA TATIZO HILI

1:UMRI
Kawaida mtu anapokua umri umeenda, mwili mzima uzeeka pamoja na mfumo mzima wa damu, hii husababisha mishipa midogo midogo ya damu kufa, au kuziba hii husababisha chakula na hewa ya oksijeni kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali k**a miguuni na vidoleni hali hii hupeleekea mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa safi hivyo ganzi hutokea

2:KISUKARI
Sukari inapokua nyingi kwenye mzunguuko wa damu hupelekea kuunguza mishipa ya damu halo hii husababisha mishipa kusinyaa ambalo hupelekea hewa ya oksijeni na chakula kutofika kwa ufadsaha maeneo ya mbali sana k**a miguuni na mikononi hali hii husababisha mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa hivyo husababisha ganzi

3:DAMU NZITO
Damu inapokua nzito pia hupelekea MTU kupata tatizo LA ganzi kwa ni husababisha kutofika kwa damu kwenye mishipa midogo midogo ya damu hii hupelekea ganzi pia

TIBA YA GANZI

-Hii ni dawa asili ya kupambana na tatizo hili bila madhara
-Imetengenezwa na mitishamba mitatu yenye uwezo mkubwa sana wa kufungua mishipa midogo midogo ya damu ambayo inapoziba au inapokua ndio chazo cha tatizo hili
-Huzuia damu isivilie kwenye mishipa hivyo huondoa hatari ya kiharusi
-Huiuisha mishipa kw mawasiliano zaidi no ;0687675450

02/02/2021

✅AINA ZA UCHAFU WA UKENI USIO WA KAWAIDA

0687675450

Kikawaida uke wa mwanamke una bacteria wa kawaida wazuri waishio katika tunda hilo kwa ajili ya ulinzi.
Kitu chochote kitakacho haribu uwiano wa bacteria wa kawaida waishio katika uke kinaweza kuleta mabadiliko katika rangi, harufu, au muundo wa uchafu utakaotoka katika uke. Hapa chini naonyesha aina ya uchafu unaotoka, Maana yake au chanzo chake na dalili ambazo zitatokea kwenye mwili wa mwanamke Husika ukiona una dalili hizo wahi kupata ushauri na tiba

1⃣ UCHAFU WENYE DAMU AU RANGI YA KAHAWIA
• Hii ni dalili ya mzunguko wa mwezi wa mwanamke uliovurugika na Mara chache ni dalili ya cancer ya servix au aina nyingine ya cancer iitwayo endometrial cancer. Mwanamke mwenye tatizo hili atatoa damu nyingi ukeni na kuumwa nyonga.

2⃣UCHAFU WA NJANO AU KIJANI WENYE HARUFU MBAYA
• Endapo uchafu ukatoka k**a mapovu wenye rangi ya kijani au njano ukiambatana na harufu mbaya hii ni dalili ya Trichomoniasis maambukizi ya (parasitic) yanayotokana na Ngono zembe dalili nyingine ni kuwashwa wakati wa kutoa haja ndogo.

3⃣ UCHAFU MWEUPE WA NJANO AU KIJIVU WENYE HARUFU YA SAMAKI.
• Uchafu wa aina hii ni dalili ya maambukizi ya bacteria (vaginosis) .Mwanamke mwenye tatizo hili atasikia miwasho au maumivu, kuvimba kwa uke au sehemu ya nje ya uke (v***a)

4⃣ UCHAFU WENYE RANGI YA MAWINGU AU NJANO
• Hi ni dalili ya ugonjwa wa kisonono (Gonerhea) mwanamke atatokwa na damu katikati ya Siku zake, Atatokwa na mkojo bila kukusudia na kupata maumivu ya nyonga.

5⃣ UCHAFU MWEUPE MZITO K**A JIBINI
• Hii ni dalili ya maambukizi ya aina ya fungas (yeast infection)
Na dalili zingine atakazozisikia mwanamke huyu ni kuvimba na maumivu kwenye sehemu za nje za siri (v***a) Kuwashwa na maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa

Je wewe ni mwanamke unapitia changamoto za kiafya hasa afya ya uzazi kiasi cha kukata tamaa unahitaji kupata au kuongeza mtoto unashindwa kwasababu ya matatizo ya kiafya either Hormonal imbalance, kizazi kimelegea, mirija ya uzazi imeziba au kujaa maji, ovarian Cysts, uvimbe (Fibroids), Mayai hayapevuki vizuri, Uko na infection k**a PID (pelvic inflammatory disease) Fangas sugu (Candida's albincas yeast ) au U.t.i sugu?
Karibu sana kwa ushauri na tiba
Piga 0687675450 sms au WhatsApp

30/01/2021

JE, WAJUA U.T.I INATIBIKA KABISA?

0687675450

U. T. I ni neno la kiingereza linalotamkwa kwa kifupi lakini kirefu chake ni, “Urinary Tract Infection” likimaanisha, “Maambukizi katika njia ya Mkojo. ”
Ugonjwa huu humpata mtu yeyote bila kujali jinsia au umri.

VISABABISHI VYAKE

Ugonjwa wa UTI unaweza kusababishwa na vijidudu vya namna nyingi. Bakteria aina ya Escherichia Coli kwa kiasi kikubwa ndo wanaosababisha ugonjwa huu wa UTI japo bakteria wengine wapo.
Upande wa wanawake, tatizo la fangasi katika sehemu za siri imekuwa ni tatizo kubwa sana. Uwepo wa fangasi hasa kwenye uke na maeneo jirani pia huweka mazingira ya mvuto kwa bakteria kuvamia maeneo hayo na kuleta maradhi ya UTI.
NOTE: Kwa wanaume mara nyingi kutokana na maumbile yao na mfumo mzima wa mkojo na viungo vyake, hawa siyo waathirika wakubwa wa UTI.

DALILI ZA UTI

Dalili za UTI huwa k**a ifuatavyo:

1. Kusikia maumivu wakati wa kukojoa.
2. Kuhisi homa
3. Kuhisi uhitaji wa kukojoa mara Kwa mara na pia mkojo kuwa na hali ya kuunguza wakati wa kukojoa
4. Kuhisi maumivu ya tumbo chini ya kitovu au mgongo.
5. Mkojo kuonekana kuwa wenye rangi ya damu au usaha.
6. Kutokwa na uchafu wenye harufu sehemu za siri, hasa tatizo hili linapokuwa la muda mrefu.

MADHARA YA U.T.I

Vimelea wa UTI wanapoingia sehemu ya uke, wanaweza kushambulia na kuharibu sehemu zifuatazo:

1. Tabaka la juu la mlango wa kizazi na kusababisha uvimbe wa shingo ya kizazi.
2. Kuziba kibofu cha mkojo au mirija ya mkojo.
3. Kuharibu figo za muhusika.
SULUHISHO

Wasiliana nasi kwa tiba bora ya U.T.I
Bila kujirudia kabisa

Tuchek 0687675450

20/01/2021

*TATIZO LA MAUMIVU CHINI YA KITOVU KWA MWANAMKE*

0687675450

Tatizo hili huwakumba watu wengi sana kwenye jamii yetu lakini kwa bahati mbaya watu wengi huchukulia ni jambo la kawaida kitu ambacho baadae hupelekea watu wengi kuingia kwenye matatizo makubwa ya kiafya hasa kwenye mfumo wa uzazi na mfumo wa chakula.

Maumivu Chini Ya Kitovu Hutokea K**a Ifuatavyo:
*1⃣Yapo yale ya chini ya kitovu katikati, kushoto na kulia*. Kwa wanawake maumivu ya kushoto na kulia yapo ya aina mbili. Kuna yale ambayo yanakuwa upande mmoja lakini husambaa kwa urefu wa sentimita mpaka nne na inaweza ikawa upande mmoja au pande zote mbili lakini yapo mengine chini ya kitovu ambayo yanaweza yakawa upande mmoja au pande zote mbili bila kusambaa kwa marefu.

2⃣Kuna maumivu mengine chini ya kitovu huwapata wanawake wakati tu wanaposhiriki tendo la ndoa kwa ndani ya uke au chini ya kitovu.
3⃣Pia yapo ambayo huwapata wanawake wakati wameinama, wakati wa kunyanyua vitu vizito, wakati wa kucheka au kuimba na wakati mwingine wakiwa wamelala kifudifudi.

*Maumivu chini ya Kitovu Yanaashiria Matatizo Gani Kwa Wanawake?*

*✍🏼Mirija ya uzazi kujaa maji mazito na machafu ambayo huzuia yai kutembea kwenye mirija ya uzazi.* Mwanamke ambaye amewahi kuambiwa na daktari kwamba anatakiwa asafishwe kizazi chake/mirija ya uzazi na wakati huo huo anasikia maumivu chini ya kitovu kushoto na kulia au upande mmoja kuna uwezekano akawa na tatizo la mirija ya uzazi kuziba kutokana na kujaa maji machafu.

*✍🏼Kutokukomaa kwa mayai ya uzazi.* Hii husababisha vifuko vya mayai ya uzazi
*✍🏼kuvimba(ovarian cyst)* na kumletea mwanamke maumivu chini ya kitovu mithili ya kichomi.
✍🏼Mwanamke ambaye anamaumivu chini ya kitovu na wakati huo huo ana matatizo ya hedhi mfano hedhi kukoma au kutokuwa na mpangilio maalum kunauwezekano mkubwa akawa na tatizo la vifuko vyake vya mayai ya uzazi kutokomaza mayai na hivyo mayai kutotoka kwenye vifuko hivyo na kusababisha kuvimba na hatimaye kumsababishia mwanamke maumivu makali mithili ya kichomi.

*✍🏼Kuvimba kwa kuta za mji wa mimba na kuta za mirija ya uzazi (PID/Pelvic Inflamatory Disease).* Mwanamke anayesikia maumivu chini ya kitovu katikati na pembeni kwa wakati mmoja na wakati huo huo akawa anatokwa na uchafu mzito mithili ya maziwa mtindi kunauwezekano akawa na PID hasa hasa k**a amewahi kukumbwa na tatizo la kuharibika kwa mimba kabla haijafikisha miezi mitano.

*✍🏼Afya mbovu ya kibofu cha mkojo ikiambatana na matatizo ya maambukizi kwenye mfumo mzima wa mkojo (UTI).* Maumivu chini ya kitovu yanayohusisha afya mbovu ya kibofu cha mkojo huambatana na mgonjwa kutoa haja ndogo kidogo sana ila mara kwa mara.

Kwa ushauri na tiba nichek 0687675450

11/01/2021

_JE, KWANINI DAMU IGANDE NA ITOKE KWA MABONGE WAKATI WA HEDHI?_

Kuganda kwa damu wakati wa hedhi huonekana k**a jambo la kawaida kwakuwa ni hali tu iliyo katika sehemu ya mzunguko wa hedhi. Wanawake wengi, kwa mtazamo mwingine wakati wa mizunguko yao ya hedhi hushindwa kupitisha mabonge ya damu. Baadhi ya mabonge yanaweza kuwa makubwa yenye tishu nyeupe yakiambatana kwa pamoja katika mzunguko wa hedhi wa muda mrefu, yaani siku 8-14. Hali hii inaweza kujitokeza baada ya kuporomoka kwa mimba, lakini je, ni hali ya kawaida kwa mwanamke?

Mabonge ya damu hayakupaswa kumtokea mwanamke wakati wa hedhi. Hapo chini utaona mambo gani yanayosababisha damu kuganda wakati wa hedhi, na dalili gani zinazojitokeza, na je, unaweza kuzuiaje damu isigande wakati wa hedhi?

Je, Ni Kawaida Kuwa Na Mabonge Ya Damu Wakati Wa Hedhi?

Kwa asili, wanawake wengi huwa wanapatwa na hali hii ya mabonge wanapokuwa hedhini. Lakini hata hivyo, kuna mambo ambayo kwa kawaida huonyesha kuwa unaweza kuwa na mabonge wakati wa hedhi au la. Mambo yanayoweza kusaidia kubaini tatizo hili ni k**a yafuatayo:

🔹Uvimbe aina ya Fibroids

🔹Kizazi kuongezeka na kuwa kikubwa

🔹Uwezo wa misuli ya kizazi chako kusinyaa

🔹Uvimbe katika mlango wa kizazi

🔹 homoni kutokuwa sawa

Kwa ushauri na tiba, tupigie 0687675450

08/01/2021

TATIZO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI

FIBROID NI NINI?

Siku hizi kuna ongezeko kubwa sana la huu ugonjwa hebu tega sikio.
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.

Kuna aina kuuzifuatazo za fibroids:

1️⃣Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2️⃣intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3️⃣Subserosal(nje ya kizaz)

Watu wafuatao wako hatarini ya kupata ugonjwa huu fibroids

1️⃣Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2️⃣miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3️⃣kurithi
4️⃣unene
5️⃣kuingia hedhi mapema

🤝🤝Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu waga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.

Dalili za fibroids

1✅.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2✅.kutokwa na uchafu wenye kiaharufu mbaya au ambao hauna harufu lkn mwingi na mweupe.
3✅.maumivi ya kiuno hasa wakati wa hedthi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4✅.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5✅.hedhi zisizokuwa na mpango
6✅.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7✅.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8✅.maumivu makali wakati wa hedhi

Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo.

1️⃣Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2️⃣Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo
3️⃣Haja kuwa ngumu
4️⃣miguu kuvimba
5️⃣kupungukiwa damu

Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto:

1️⃣Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yan ovari
2️⃣Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi..hasa submucosal fibroids
3️⃣Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai.

Kwa tiba piga simu namba 0687675450 sms au WhatsApp

08/01/2021

Kwa ushauri na tiba. Piga 0687675450 sms au WhatsApp

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam