Afya mikononi mwako
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya mikononi mwako, Health/Beauty, Dar es Salaam.
Mazoezi Ni kitu muhimu kwa ajiri ya kujenga afya ya mwili na akiri, hivyo sisi K**a binadamu tunashauriwa kufanya mazoezi Kila siku ili tujenge afya zetu.
JE WAJUA TEZI DUME NI NINI?
🔹Tega sikio nikujuze wewe ndg msomaji unayetaka kujua mengi juu ya Tezi Dume.
🔹Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND). Hii ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hii inapatikana jirani na kibofu cha mkojo na mirija ya mkojo.Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume. Majimaji hayo ndio yale anayotoa mwanaume anapofika kileleni. Hivyo tezi hii ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.Tezi hii si kubwa sana inaukubwa upatao sentimita zisizozidi 4, lakini pia tezi hii hukua kadiri umri unavyoenda.
🔹SARATANI YA TEZI DUME maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani. Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini
🔹DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:
🔹Kukojoa Mara kwa mara.
🔹Kubakiza mkojo kwenye kibofu.
🔹Kukojoa saana usiku.
02/12/2021
Tatizo la michirizi na chunusi sugu fangasi na jasho Kali kwapani linatokana na mabadiliko ya mwili pamoja na Hali ya hewa katika mazingira yanayokuzunguka.
Click here to claim your Sponsored Listing.