Neyafyacare
nasaidia watu kuanza biashara kubwa kwa mtaji mdogo sana
25/12/2024
Suluhisho lipo wasiliana nasi kwa no.0710290777
14/12/2024
Unateseka na Acid Reflux???Tiba ipo
Piga 0710390777
Kupata ushauri na.ikiwezekana upate TIBA
30/11/2024
Acid Reflux ina madhara Mengiii,Hebu njoo tutibuu
29/10/2024
_“Ujumbe Muhimu Sana Kwa Wagonjwa Wa ACID REFLUX 🔥🔥🔥
_K**a wewe ni mgonjwa wa ACID REFLUX ambaye umekuwa unahangaika kwa muda mrefu na tatizo hilo bila ya kupata utatuzi wa uhakika_
_basi naomba unisikilize kwa makini kabisa kwani huenda taarifa ifuatayo ikawa taarifa muhimu kuliko taarifa yoyote katika maisha yako._
_Baada ya kuwasaidia zaidia ya wagonjwa 845 wa ACID REFLUX nimekuja kugundua kuwa chanzo cha tatizo la ugonjwa huo sio kula vyakula vya uwanga k**a madaktari wengi wanavyodai bali ni jambo ambalo ukilifahamu utaweza kuondokana na tatizo hilo mara moja bila ya kumeza dawa kila siku._
_Ndani ya taarifa hii fupi nitazungumzia chanzo cha tatizo lako na mambo 5 ya kuzingatia kuweza kutatua tatizo hilo na jambo gani la kufanya mara moja kuweza kutokomeza tatizo hilo sugu…_
… Milele.”
K**a umefaidika na taarifa hii na utapenda kuonana na mimi ana kwa ana kwa ajili ya ushauri wa BURE KABISA kupata muongozo wa kutatua tatizo lako piga simu namba 0710290777_
_Ofa hii ya kupata ushauri wa BURE ni kwa watu 10 tu.._
_Ili usipitwe na hiyo OFA hakikisha unafanya booking sasa hivi kwa kupiga simu 0710290777
_K**a simu haipatikani jaribu tena. Na tena. Na tena.”_
27/10/2024
Kwanini maziwa sio rafiki kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo & acid reflux??
Maziwa yana kiasi kingi cha madini ya Calcium (Ca), madini haya huchochea uzalishwaji wa acid kwa wingi tumboni, hali hii hupelekea vidonda kuchimbika zaidi na baadae husababisha hali kuwa mbaya zaid kwa mgonjwa.
Wengi wanakitumia maziwa hupata naafuu ya muda kwasababu ya ile hali ya maziwa kuvifunika vidonda kwa muda na baada ya hapo hali huwa mbaya. Hivyo maziwa si salama kabisa kwa wagonjwa wa vidonda vya TUMBO.
Hapo zamani madaktari walikuwa wakishauri maziwa kwa mgonjwa wa vidonda vya TUMBO lakini tafiti zinaonesha kwamba maziwa si salama kabisa kwa mwenye vidonda vya tumbo, ukiona daktari anakupa USHAURI huu basi huenda akawa hajui ama hajafikiwa na tafiti za wakati huu.
Za Mashirika ya Afya Duniani.
NB: Maziwa hayawezi kusaidia kuzuia au kutibu vidonda vya tumbo. Kiukweli, yanaweza kufanya mambo kuwa mabaya zaidi kwa kusababisha tumbo lako kutengeneza asidi zaidi.
Piga Simu Sasa Uweze Kupata Msaada Zaidi Wa KiUSHAURI Na Tiba Ya Vidonda Vya Tumbo Na Acid Reflux
📞 0710290777
Endelea kufuatilia page hii uendelee kujifunza jinsi ya kujitibu na kujikinga na magonjwa na changamoto mbalimbali za kiafya.
27/10/2024
Nipigie simu 0710290777 sasa hivi
27/10/2024
Matokeo utayapata, naamini utanipenda.
Mada ya leo: Watu wengi sasa hivi tumekuwa tukilalamika kuwa na:
1. Gesi nyingi tumboni.
2. Kuvimbiwa na kujiisi uchovu wa mara kwa mara.
3. Uchafu na sumu nyingi mwilini.
4. Kupunguza mafuta yasiyo ya lazima tumboni.
5. Kutopata choo kwa muda muafaka au kupata choo ngumu.
6. Kutoa harufu mbaya kupitia sehemu za nyuma au kujamba harufu mbaya sana.
Nitakushangaa una shida ndogo ndogo za namna hii, halafu unaenda hospitali au kwa daktari kuangaika, wakati tiba nyingine ni rahisi sana
Nipigiee 0710290777
23/10/2024
Nipigie 0710290777 upate suluhisho
23/10/2024
Karibu tuwasilana upata hayaa madini kwa bei nafuuu kabisaaa .....piga 0710290777
23/10/2024
Suluhisho lipo
20/09/2024
FANGASI
Fangasi kwa mwanamke husababishwa na Vimelea aina ya Candida(Candidiasis) hawa ni aina ya fangas ambao wanapatikana sehem mbalimbali za mwili k**a vile ngozi, ukeni na njia ya haja kubwa.kika kawaida fangasi hawa hawana madhara kabsa (Normal frola) mpaka pale kinga ya mwili inaposhuka au inapohusika kubadilika ndipo utaanza kuugua,wanawake wanaugua sana fangasi hasa wajawazito kutoka na mabadiliko ya hormone za uzazi au mabadiliko ya mazingira ukeni kitaalamu tunaita Changes in viginal PH.
DALILI YA FANGASI KWA MWANAMKE.
1. Kupata miwasho ndani ya uke na kwenye mashavu ya uke ( rabia manora& rabia majora) 😀
2. Kutokwa na uchafu k**a maziwa ya mtindi ukeni.
3. Kusikia hali ya kuungua ukeni.
4. Kuwa na harufu mbaya kutoka ukeni.
5.kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
JINSI YA KUJIKINGA KUTOKUPATA FANGASI UKENI KWA MWANAMKE.
1. Vaa nguo za ndani ambazo hazibani na ambazo zimetengenezwa kwa material ya pamba.
2.Osha uke kwa maji safi na kausha na kitambaa/ taulo safi.
3. Epuka kuoshea/ kuogea maji ya moto sana ogea ya uvuguvugu.
4. Epuka kushiliki tendo la ndoa na mpenzi ambae tayari anamaambukizi hakikisha mmepona kabla.
5. Epuka kutumia sabuni zenye chemical kuoshea sehem za siri(ukeni) au manukato yoyote maana zinaweza kubadilisha PH ya ukeni.
6. Kula mulo wenye virutubisho k**a vile mboga za majani na matunda kwa wingi.
7. Kunywa maziwa mtindi atleast glass 3 kwa siku k**a unaweza kupata.
Tiba wasiliana nami 0710290777
Nikuhudumie
20/09/2024
Ni changamoto inawatesa wengi......Suluhisho lipo
Nipigiee 0710290777
Nikuhudumie
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam