Naima na kilimo

Naima na kilimo

Share

Tumia super gro kwenye mazao yako hautokuja kujutia

Photos from Naima na kilimo's post 12/12/2022

Msimu wa kilimo umewadia.
Je unataka kufanya kilimo Cha Biashara?
Je unahitaji kuvuna mazao zaidi na yenye afya?
Super Gro ndio jibu pekee katika kilimo chako.

Msimu huu wa sikukuu utajipatia dumu la liter 5 kwa 150,000
Badala ya 190,000

Photos from Naima na kilimo's post 12/12/2022

*IFAHAMU SUPER GRO*

Super Gro ni Kirutubisho bora asilia cha Mimea kisicho na kemikali ambacho kilitengenezwa ili kuhakikisha uimarishaji wa mazao yako katika hali ya majira yoyote pia huongeza uzalishaji wa mazao kwa ubora wa hali ya juu kwa kilimo chochote. Kirutubisho hichi asilia chenye sifa kutoka kwa wakulima wote duniani ambacho kitaongeza mazao yako zaidi ya mara tatu unayoweza kupata kutoka kwa mbolea zingine za kemikali.

Super Gro ni bidhaa ya NEOLIFE, Hii ni kampuni ambayo kitaalamu inatengeneza na kusambaza duniani kote bidhaa za asili na lishe kwa binadamu na mimea .Super Gro ni kirutubisho cha maji kwa mimea ambacho hakina kemikali kabisa iliyoongezwa au kuchanganywa nayo,hiki kirutubisho ni salama kwa asilimia 100% kutumia kwenye mboga au mazao yoyote. Super Gro inaweza kutumika kwa mimea yoyote, mti, mboga na majani ambayo yanahitaji mbolea.

_HISTORIA_
Super Gro ilianzishwa karibu miaka 15 iliyopita kwenye Pwani ya Magharibi ya Afrika Kusini. Kiungo chake kikubwa kuwa ni mbolea ya seabird(aina ya ndege) hupata kukusanywa kutoka maeneo tofauti nane kando ya Pwani ya Magharibi chini ya usimamizi wa Uhifadhi wa Hali ya Afrika Kusini, ili kuhakikisha kwamba ndege hao wote wanaish kwenye mazingira mazuri bila uharibifu wa mazingira hayo wanayoishi.

Uzuri wa Super Gro ni kwamba haina kemikali au chembechembe inayo adhiri usalama wa afya ya binadamu kwa sababu haina mabaki ya kemikali ambayo yanaweza kubaki katika mazao ya kilimo ambayo inaweza kuweka maisha ya binadamu katika hatari katika mchakato wa matumizi . Hivyo basi,kutokua na kemikali hii mbolea ni rafiki kwa udongo wowote bila kuleta madhara.

*KAZI ZA SUPER GRO*
1>Kusaidia udongo kutunza unyevunyevu kwa muda mrefu(wetting agent) kwani Super Gro huvunjavunja uzio wa maji na kuruhusu kupenya hadi tabaka la 3 la udongo

2>Kuongeza uzalishaji kwa maana ya wingi na ubora wa mazao.

3>Husaidia mimea kufyonza virutubisho vilivyomo katika udongo hasa katika tabaka la 3 la udongo kwani hufanya mizizi ya mimea kupenya ktk tabaka hilo na kufyoza virutubisho vyote muhimu hivyo mimea kuwa imara na yenye afya

4> Kusaidia dawa za kuulia wadudu zisitiririke (Sticker)na zifanye kazi ipasavyo, hivyo kupunguza garama za dawa na pembejeo zingine za kilimo

5>Kupunguza garama za mbolea(hadi kufikia nusu) kwani kwa kutumia Super Gro utatakiwa kutumia kiac kidogo sana cha mbolea

6>Kufanya mimea iwe na rangi halisi ya ukijani kwani ukijani huo ndio unasaidia mmea kujitengenezea chakula chake

7> Sio sumu na haiharibu udongo kabisa (unaweza kupuliza katika mmea asubuhi na baadae jioni ukaweza kula bila athari yoyote

*Kazi ya ziada ya Super gro*
Huleta nguvu mpya kwa mazao yaliyolemaa
Huongeza maua ya uzallishaji na huzuia kupukutika kwa maua hayo
Huongeza kiasi cha mavuno na pia ukubwa wa matunda
Huongeza uzito wa mazao kwa mfano kabichi, viazi, mahindi, ngano, vitunguu, karoti, korosho, chai, kahawa, maharage, kunde na mazao mengineyo.
Hunyonywa haraka zaidi na mimea na pia haina ugomvi na bidhaa zingine za kusaidia ukuaji wa mimea
Husaidia kutunza unyevunyevu wakati wa jua na joto kali hivyo kuifanya mimea kuwa na afya hata wakati wa kiangazi.

*JINSI NA MUDA WA KUPULIZA*
Tunapuliza katika majani ya mmea pamoja na shina la mmea pia

Tunapuliza Mara 1 baada ya siku 7 kwa kipindi cha Kiangazi

Na Mara 1 baada ya siku 14 kwa kipindi cha Masika.
*VIPIMO*
1cc/ml ya Super Gro utachanganya na 1litre ya maji

10cc za Super Gro utachanganya na 10litres za maji

*KUMBUKA*
Dumu moja la Lita 5 utatumia kwa eneo la Hekari 10 mpaka 15. **Lita 1 ya Super Gro utatumia kwa heka moja mpaka 2 nipigie no 0748485287

Photos from Naima na kilimo's post 12/12/2022

Msimu huu wa sikukuuu super GRO na bidhaa zetu zote zipo kwenye offer hakikisha hukosi offer hi
Nawatakia Heri ya crismax na mwaka mpya wahi ssa zimebaki chache

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam