Nuhu na Afya
Tunashughulika na kutatua changamoto za afya kwa magonjwa yasiyoambukiza K**a vile tezidume , bawasi
29/09/2022
Utofauti watezi iliyovimba na ambayo haijavimba
23/09/2022
TEZI DUME INATIBIKA BILA UPASUAJI
0752848040
Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a PROSTATE GLAND.
Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.
Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.
Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa uzazi wa mwanaume.
Tezi hii si kubwa saana, inapata sentimita zisizozidi 4, lakini tezi hii HUKUA kadiri UMRI UNAVYOONGEZEKA.
DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-
✓Kukojoa Mara kwa mara.
✓kubakiza mkojo kwenye kibofu.
✓kukojoa saana usiku.
✓Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
✓Kupungukiwa nguvu za kiume
✓UTI ya Mara kwa mara.
✓Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
✓Figo kujaa maji,hii Ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
✓Kupoteza fahamu.
✓Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
✓Uume kushindwa kusimama vizur.
✓Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.
ATHARI ZA TEZI DUME K**A HAITAWAHI KUTIBIWA:-
1)Kushindwa kabisa kukojoa.
2)Kupatwa na maambukizi ya UTI
3)Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
4)Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
5)Figo inaweza kuharibika.
Kwa ushauri Na tiba 0752848040
Au WhatsApp https://wa.me/0752848040
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam