Mofitness2
Tunawasaidia Wanaume Kuondokana Na Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume kupitia lishe na Mazoezi.
22/12/2022
Kamwe Usithubutu Kufanya huu Mchezo...!
Punyeto ni hatari kwa afya yako.
k**a haupo tayari Kuachana na mchezo wa kujichuwa (punyeto) basi tarajia madhara makubwa baadae katika uwezo wako wa kushiriki tendo la ndoa.
unaweza sema mbona sijapata madhara yoyote au fulani mbona hajapata madhara.
lakini kumbuka tatizo linajiunda kidogo kidogo kutokana na kinga ya mwili kuwa tofauti kati ya mtu na mtu.
k**a umethirika na kujichuwa na unahitaji msaada
basi wasiliana nasi kupitia namba hii 0772353135 au Whatsapp...
16/12/2022
Kabla ya kuanza kutumia kirutubisho chochote,
Kumbuka kufanya jambo muhimu ambalo ni kufanya *cleansing* (kusafisha mwili) ...
Safisha mwili kabla ya kuanza kutumia dawa au kirutubisho chochote.
Uchafu/sumu.. Hiyo ndio sababu mwili wako hausikii dawa.
11/12/2022
[OKOA] ndoa yako kwa kufanya hivi...
Umekuwa unakabiliwa na changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume
kwa muda mrefu
changamoto inayo kukosesha raha na kukutia unyonge
pengine umefikia hatua mbaya zaidi ya kuanza kuchukiwa na mwenza wako au hata kudharauliwa.
jambo ambalo linatishia ndoa yako na hata kuharibu familia yako.
k**a we ni muhanga au unatamani kumsaidia ndugu au jamaa
leo nimekuandalia suluhisho la tatizo hili.
fuatana nami kujifunza...
lakini kabla ya kuendelea,
kumbuka ili upate matokeo katika hiki ninacho kufunza unahitaji kufanya kwa uangalifu zaidi ili kupata matokeo bora
haya tuendelee...
sasa kitu ninacho hitaji ufanye mwenyewe ukiwa nyumbani ni kutengeneza tiba mwenyewe.
vitu vinavyo hitajika;
ni Tangawizi (unga) mdalasini (unga) habat soda (unga) kitunguu thaum (punje 7) na asali
jinsi ya kufanya;
Asali (robo lita)
mdalasini (kijiko kimoja)
Tangawizi (kijiko kimoja)
Habat soda (kijiko kimoja)
matumizi;
vichanganye pamoja kisha kunywa kutwa mara mbili asubuhi kabla ya kula
na usiku unapotaka kulala...
NB; usifanye nje ya maelezo hayo,
wasiliana nasi kwa msaada zaidi.
msaada wa mwisho k**a utashindwa kuandaa mwenyewe wasiliana nasi tukupe muongozo 0772353135
sambaza post hii kwa jamaa na marafiki ili ufaidike zaidi.
usisahau kufollow ukurasa wetu.
07/12/2022
Ndoa yako imefikia hapa...?
Unaweza sema bado haijafika...
Je umefanya nini ili usifikie hapo...?
Huyu mwenzetu yeye ameona Dalili mapema za mke wake kutoridhika...
Je wewe umeona mabadiliko au ni sawa tu
usiseme mkeo amebadilika lakini hujui chanzo,Chanzo kikubwa ni hicho haumpi haki yake...
wacha nikwambie, chunga kaka asije kuchukua maamuzi ya kutoka na akampata alie na uwezo wa kumpa haki yake zaidi yako.
mwisho
"mimi ni mjumbe tu".
Kupata suluhisho wasiliana nasi kupitia 0772353135 Whatsapp au call.
06/12/2022
Kamwe Usithubutu Kufanya huu Mchezo...!
Punyeto ni hatari kwa afya yako.
k**a haupo tayari Kuachana na mchezo wa kujichuwa (punyeto) basi tarajia madhara makubwa baadae katika uwezo wako wa kushiriki tendo la ndoa.
unaweza sema mbona sijapata madhara yoyote au fulani mbona hajapata madhara.
lakini kumbuka tatizo linajiunda kidogo kidogo kutokana na kinga ya mwili kuwa tofauti kati ya mtu na mtu.
k**a umethirika na kujichuwa na unahitaji msaada basi wasiliana nasi kupitia namba hii 0772353135 au Whatsapp.
05/12/2022
Matumizi ya madawa X ya kuboost na kuchochea hamu ya tendo ni hatari kwa afya yako huweza pelekea matatizo ya moyo...
04/12/2022
umewahi kutumia dawa za kuboost
je uetumia mara ngapi na umepoteza
kiasi gani...?
kwa nini usipangilie chakula chako na kufanya mazoezi maalum kuondokana na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume...
k**a nawe ni muhanga wa punyeto au maumbile madogo wasiliana nasi kupata suluhisho.
mawasiliano 0772353135.
03/12/2022
Wanaume wenye changamoto ya kusimamisha maumbile (ED)
wanahusishwa zaidi na hatari ya maradhi ya moyo ikiwemo (heart attack)
kumbuka Ili uume usimame sawasawa unategemea damu kutiririka vizuri katika maumbile.
sasa ikitokea damu haiendi vizuri katika maumbile hiyo ni dalili tosha ya kuwepo kwa matatizo katika mfumo wa moyo na damu (cardiovascular system)
Hiyo ndiyo sababu tunakushauri kutibu
afya ya mzunguko wa damu.
kumbuka hakuna ugonjwa wa "nguvu za kiume" bali kuna magonjwa yanayo sababisha mwanaume kukosa nguvu za kiume.
kwa msaada zaidi wasiliana nasi kupitia Whatsapp namba hii 0772353135 au tupigie simu.
02/12/2022
Mambo Matano Ya Kufanya ili Udumu Kitandani...
Fanya mambo haya ili udumu kitandani
1. Pata muda wa kutosha kulala,
2. Kula chakula bora sio bora chakula,
3. Fanya mazoezi angalau mara tano kwa wiki kwa muda wa dakika 30 (kukimbia, kutembea au kuruka kamba)
4. Dhibiti msongo wa mawazo
(Changamoto za kazini... jitahidi kudhibiti)
5. kunywa maji ya kutosha
Hizi ni njia Tano ambazo ukiamua kuzifata na kuzifanyia kazi hautakuwa
muhanga wa nguvu za kiume.
kumbuka kutibu vyanzo vya upungufu wa nguvu za kiume....
wasiliana nasi kwa ushauri na matibabu.
Mawasiliano 0772353135 Whatsapp/call
01/12/2022
Mwanaume...
k**a unafanya mambo haya utaendelea kuwa mtumwa wa upungufu wa nguvu za kiume,
❌ kuvuta sigara
❌ kunywa pombe
❌ kujichuwa (punyeto)
❌ kutofanya mazoezi
❌ kutumia madawa hovyo
ili kuondokana na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ni muhimu kujua chanzo ni nini.
kumbuka "huu si Ugonjwa".
Bali ni tatizo linalosababishwa na vyanzo vyengine vingi ikiwemo kutokuwa sawa kwa mzunguko wa damu.
k**a unapitia changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume na maumbile madogo wasiliana nasi kupitia namba 0772353135.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 19:00 |
| Tuesday | 08:00 - 19:00 |
| Wednesday | 08:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 19:00 |
| Friday | 08:00 - 19:00 |
| Saturday | 08:00 - 19:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |