afya_yako_kwanza7

afya_yako_kwanza7

Share

Health Consultant

23/01/2026

USIPITE BILA KUSOMA CAPTION👇🏼 PIA SWIPE LEFT👉🏼 KUONA SHUHUDA

inawezekana Kabisa Uliwahi Kutumia Hii Bidhaa na Haukupata Matokeo Mazuri! I Agree And It's Possible

👉Sio Kwa Sababu Dawa Haifanyi Kazi, Bali Ni Kwa Sababu Haukukutana Na Mtaalamu Anaejua Tatizo Na Muingiliano Wa Bidhaa Hii!

✍️Namna Ya Matumizi Pia Hutegemea na Aina Ya Tatizo na Ukubwa Wa Tatizo

✍️Kuna Mambo Ya Kuzingatia Kipindi Unatumia Bidhaa Hii

👉LEO NATAKA NIKUPE CHANCE NYINGINE YA KUKUHUDUMIA KWA KUTUMIA HII!

Nakuhakikishia SIKU 3-7 TU ✅

KAZI ZAKE
✅ Kusafisha Kizazi Cha Mwanamke

✅Kuondoa Uchafu Na Harufu Mbaya Uken

✅Huondoa Maumivu Wakati Wa Tendo na Kuongeza UTE UTE Wa Kutosha

✅Hutibu Kabisa UTI Sugu Na Fangasi Sugu

✅Kuongeza JOTO JOTO Uken

Piga Simu: 0693 276 300

Popote Ulipo Utaipata!

17/11/2025

“Mwili kuwa na sumu nyingi” mara nyingi hutumika kuelezea hali ambayo mwili umechoka kwa sababu ya mkusanyiko wa taka, kemikali hatari, au bidhaa taka za mwili kushindwa kutolewa kwa ufanisi. Kitaalamu, mwili hutegemea ini, figo, ngozi, mapafu, na utumbo kufanya “detox” kila siku.

Ikiwa mwili unalemewa au unapata sumu nyingi (kwa chakula, dawa, kemikali, pombe, moshi, n.k.), madhara yafuatayo yanaweza kutokea:

Madhara ya kuwa na sumu nyingi mwilini

1. Uchovu wa mara kwa mara

Sumu nyingi huchochea mwili kutumia nguvu nyingi kusafisha, hivyo mtu huhisi uchovu sugu, kukosa nguvu na usingizi wa mara kwa mara.

2. Mabadiliko ya ngozi

Chunusi nyingi

Ukavu au kuwashwa

Madoa na vipele
Hii hutokea kwa sababu ngozi hujaribu kutoa sumu kupitia jasho na mafuta.

3. Maumivu ya kichwa na kizunguzungu

Kemikali au uchafu mwilini unaweza kuathiri mfumo wa fahamu na kusababisha maumivu ya kichwa ya mara kwa mara.

4. Shida za mmeng’enyo

Kuvimbiwa

Tumbo kujaa gesi

Kichefuchefu

Kukosa hamu ya kula
Uzito wa sumu huathiri utumbo ambao ndio njia kuu ya usafishaji.

5. Mbadiliko ya harufu ya mwili

Harufu kali kinywani

Harufu mbaya ya jasho

Mkojo au kinyesi chenye harufu kali
Hii hutokana na mchakato dhaifu wa kuondoa taka.

6. Kuchoka kwa ini na figo

Ini likipata mzigo mkubwa wa sumu, linaweza kupungua ufanisi. Vivyo hivyo figo zinapolegea huchangia uchafu kukaa zaidi mwilini.

7. Kinga ya mwili kushuka

Mwili unapopambana na sumu badala ya virusi na bakteria, mtu huwa mwepesi kuugua, kupata mafua au maambukizi mara kwa mara.

8. Maumivu ya viungo na misuli

Sumu mwilini inaweza kuchochea uchochezi (inflammation) unaosababisha maumivu ya viungo na misuli.

9. Tatizo la usingizi

Watu wengi huhisi usingizi usiotulia, kubadilika kwa usingizi, au kukosa usingizi kabisa.

10. Kuongezeka kwa uzito

Ukosefu wa usawaziko wa homoni na uchochezi mwilini kutokana na sumu nyingi unaweza kusababisha kuongezeka kwa mafuta ya tumbo, hamu ya sukari, na uzito kutoshuka kirahisi.

0693276300

17/11/2025

Kuwa na uzito mkubwa (obesity au overweight) kunaweza kuathiri afya kwa namna nyingi. Hapa chini ni madhara ya kawaida na yanayoidhinishwa na utafiti wa kitabibu:

1. Magonjwa ya moyo na mishipa

Huongeza presha ya damu (BP).

Huongeza hatari ya moyo kushindwa kufanya kazi vizuri, mshtuko wa moyo, na stroke.

2. Kisukari cha Aina ya 2

Uzito mkubwa hupunguza uwezo wa mwili kutumia insulin vizuri (insulin resistance).

Hatari ya kupata diabetes huongezeka mara kadhaa.

3. Shida za kupumua

Sleep apnea (kukosa hewa usingizini).

Kupumua kwa shida wakati wa shughuli ndogo ndogo.

4. Magonjwa ya mifupa na viungo

Osteoarthritis hasa kwenye magoti, kiuno, mgongo, kwani uzito mkubwa hubeba mzigo zaidi kwenye viungo.

5. Shida za ini

Fatty liver disease (NAFLD) – kujaa mafuta kwenye ini, inaweza kusababisha uharibifu wa ini.

6. Saratani mbalimbali

Kuwa na uzito mkubwa kunahusishwa na kuongezeka kwa hatari ya:

Saratani ya matiti (kwa wanawake),

Saratani ya utumbo mpana,

Saratani ya figo,

Saratani ya uterine/ovarian n.k.

7. Shida za homoni na uzazi

Kwa wanawake: mzunguko wa hedhi kuvurugika, PCOS, ugumu kupata ujauzito.

Kwa wanaume: kupungua kwa testosterone na tatizo la nguvu za kiume.

8. Matatizo ya kisaikolojia

Msongo wa mawazo, self-esteem kushuka, anxiety, na depression kutokana na mwonekano au changamoto za afya.

9. Hatari ya kifo cha mapema

Tafiti zinaonyesha uzito mkubwa sana unaongeza hatari ya kifo mapema kutokana na magonjwa yanayoambatana nao.

0693 276300

17/11/2025

Kunywa maji ya kutosha kila siku kuna faida nyingi kwa mwili na afya kwa ujumla. Hapa chini ni baadhi ya faida muhimu:

1. Huimarisha afya ya ngozi

Husaidia ngozi kuwa laini, yenye unyevunyevu na kuonekana vizuri.

Hupunguza uwezekano wa chunusi na kukauka kwa ngozi.

2. Huongeza nguvu na kupunguza uchovu

Upungufu wa maji mwilini husababisha uchovu, kizunguzungu na kukosa umakini.

Maji husaidia kuboresha mzunguko wa damu na utoaji wa nishati kwenye seli.

3. Husaidia mmeng’enyo wa chakula

Huwezesha chakula kusagika vizuri tumboni.

Hupunguza kuvimbiwa (constipation) kwa kulainisha choo.

4. Husafisha mwili (detoxification)

Husaidia figo kufanya kazi vizuri kwa kutoa taka mwilini kupitia mkojo.

Hupunguza uwezekano wa kupata mawe kwenye figo (kidney stones).

5. Huimarisha utendaji wa ubongo

Maji husaidia kuongeza umakini, kumbukumbu na uwezo wa kufikiri.

Upungufu wa maji unaweza kusababisha maumivu ya kichwa.

6. Husaidia katika kupunguza uzito

Hupunguza hamu kupita kiasi kwa kutoa hisia ya kushiba.

Huchochea mwili kuchoma mafuta kwa ufanisi zaidi.

7. Huimarisha utendaji wa viungo

Hufanya viungo na misuli kufanya kazi vizuri kwa kuweka mafuta ya asili kwenye maungio.

Hupunguza maumivu ya viungo na hatari ya kuumia wakati wa mazoezi.

8. Husaidia kudhibiti joto la mwili

Maji husaidia mwili kujipoza kupitia jasho.

Huzuia mwili kupata "heat exhaustion" au "heat stroke".

Kiasi gani cha maji kunashauriwa?

Kwa kawaida, watu wazima wanashauriwa kunywa angalau lita 2–3 za maji kwa siku (takribani glasi 8–12), lakini kiasi kinaweza kuongezeka kulingana na:

Mazoezi

Hali ya hewa (joto kali)

Uzito wa mwili

Afya ya mtu

Kwa Mawasiliano Zaidi: 0693276300

02/10/2025

PATA MATIBABU LEO JUU YA CHANGAMOTO ZA UZAZI 0693 276300

06/05/2025

DALILI KUBWA ZA UNGONJWA HUU NI:-

✍️ Kutokwa Na Uchafu K**a Maziwa Mtindi Sehemu Za Siri (Viginal Discharges)

✍️Kua Na Harufu Mbaya Sehemu za Siri.

✍️Kuhisi Maumivu Makali Ya Tumbo Chini Ya Kitovu Hasa Kipindi Cha Hedhi.

✍️Maumivu Makali Sana Wakati Wa Tendo na Kukosa Hamu ya Tendo Kabisa.

✍️Damu Nyingi Au Kidogo Sana Kuliko Kawaida Wakati Wa Hedhi.
_____________________________________________
FAIDA NA UBORA WA HUDUMA YANGU:

✍️Kupata Ushauri Mzuri Namna Ya Kuishi Ili Kuepukana na Changamoto Hizi.

✍️Kuondoa Vyanzo Vya Vikuu vya Tatizo: Yaani Kuua Bacterias Wa UTI na FUNGASI Ambao Ndio Vyanzo Vikuu Vya vinavyopelekea UGONJWA Huu wa PID

✍️Kuzalisha Bacterias Walinzi ( Normal Florals ) Ambao Watakua wanalinda Sehemu za Siri ili Usisumbuliwe na Bacterias Wabaya wa UTI Na Fangasi Tena.

✍️Kuondoa Wiwasho,Harufu Mbaya,Uchafu sehemu Za Siri na Maumivu Wakati Wa Tendo.

✍️Kuweka Sawa Hormones Ili kuzuia Mpangilio Mbovu Wa Siku/Tar Za Hedhi, Maumivu ya Tumbo Wakati Wa Hedhi.

✍️Kuondoa Maambukizi Kwenye Via Vya Uzazi, Kusafisha Mirisha ya Uzazi, Kuongeza Madini Muhimu Kwenye Kizazi, Mf: ZINC,CALCIUM nk Pia Kurutubisha Mayai Ili Iwe Rahisi Kushika Ujauzito!

🤝HAIJALISHI UMEHANGAIKA SEHEMU NYINGI KIASI GANI NA HAUJAPATA SULUHISHO.
🤝HAIJALISHI DOCTOR ALIKUPA MAJIBU GANI.

KARIBU NITAKUSAIDIA NA UTAPONA KABISA NDANI YA SIKU 30 TU ✅

Piga SM/SMS/WHATSAPP: 0693276300

08/04/2025

MARA YA MWISHO KUMFIKISHA MKEO/BEBE WAKO MSHINDO ILIKUA LINI?

✍️Wanaume Wengi Wamepoteza Amani Kwenye Mahusiano Yao Sababu Kila Wakiingia Kwenye Mchezo Kazi Yao Inakua Mbovu Hadi Aibu!

✍️Hata Wewe Unamhudumia Mkeo/Bebe Wako Unajisikiaje Unampatia Kila kitu Halafu Mkija kwenye Show Eti Kimoja Chali au unaenda Dakika 2 au 3 Seriously 😳

✍️MWANAUME Unatakiwa Ukipanda Kifuani Usishuke Mpaka Mwanamke Mwenyewe Ndio Aseme Basi🙌 Mfikishe Kisawasawa

✍️Haya Leo Nina Hii Kitu Ya Moto Kabisa, Kiboko Ya Wala Nauli, MWANAUME Ukiipata Hii Kitu Lazima Unitumie Zawadi Ya Shukran

✍️ MWANAUME Hii Kitu Ukitumia Ukapanda Kifuani Haushuki Mpaka Zimefika Dakika 40, Zimepungua Sana Dakika 30,

✍️Hii Inakuongezea Hamu Na Kukufanya Hata Uweze Kuunganisha Mchezo, Utapiga Hata Bao 5 Bila Hata Kuchoka

✍️Hii Kitu Itakufanya Umwage Bao Zito K**a Mtu aliekaa na Upwiru Kwa Muda wa Miaka 5, Achana na Habari Za kumwaga Bao Jepesi k**a Mate ya Mtoto...

✍️Hii Kitu Itakufanya Usimamishe k**a Nondo, Hata K**a Mashine Yako ilikua ndogo hii kitu Inanenepesha na Kurefusha.

👉Hii Kitu Haina Madhara Yeyote Na Sio Busta, hii Ukitumia Hauna haja ya Kurudia Tena, Ukitumia Tu Ndani Ya Siku 8, Kazi yako itakua ni Kupeleka Moto Tu Mpaka Mwisho💪💪

Jipatie Leo kwa Offer Ya Tsh 72,000/= Tu ✅ Badala Ya 115,000/= ❌

Piga Simu/WhatsApp:0693276300

04/12/2024

SABABU ZINAZOPELEKEA KORODANI ZISISHUKE.

Katika asilimia kubwa hakuna sababu ambayo imegundulika. Lakini matatizo ya homoni yamechangia katika kiwango kidogo cha tatizo hili.

Mara kadhaa wazazi wamekuwa wakieleza kuwa wamekuwa wakiona korodani za watoto wao  wakati wakiwaosha na kutokuziona tena wakati wa baridi.

DALILI KUU

Kushindwa kuzishika korodani kwenye mfuko wake au kushindwa kuzirudisha kwa njia ya kushikashika au kukamua. 

MADHARA YA KORODANI ZILIZOSHINDWA KUSHUKA.

1. Kuwa kwenye hatari ya kupata tatizo la Ugumba

2. Kuwa kwenye hatari ya kupata tatizo la Ngiri

3. Kujisokota kwa korodani n.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE +

04/12/2024

TATIZO LA MASIKIO KUPIGA KELELE,CHANZO NA TIBA YAKE(Tinnitus)

Tinnitus, Tatizo hili huhusisha mtu kusikia sauti za makelele au kitu kinaita(ringing) ndani ya sikio moja au yote mawili na sauti hizo hazitoki nje na wala hakuna mtu mwingine anazisikia zaidi ya mhusika mwenyewe.

Tatizo hili hutokea kwa watu wengi takribani asilimia 15% mpaka 20%, na hasa kwa watu wenye umri mkubwa au wazee

CHANZO CHA TATIZO HILI LA TINNITUS

1. Tatizo la kupoteza usikivu,ambapo seli za vinyeleo ndani ya sikio kwenye sehemu ya ndani(Cochlea) ambazo zinasaidia sikio kupokea mawimbi ya Sauti kwa kupitia Auditory nerves kwenda kwenye ubongo,Lakini baada ya ubongo kupokea hizo Electrical signals hutafsiri k**a kelele badala ya sauti ya kawaida,na ndipo tatizo hutokea.

2. Nywele ndani ya sikio kupinda au kutoka zenyewe kutokana na sababu mbali mbali k**a vile umri mkubwa au kuwa katika mazingira ambayo kunakuwa na sauti kubwa sana mara kwa mara k**a vile ya muziki n.k, hali hii ya kuwa katika mazingira haya ya SAUTI KUBWA SANA inayopenya masikioni huweza kusababisha mtu kuwa na tatizo hili

3. Maambukizi ya vimelea vya magonjwa mbali mbali kwenye sikio k**a vile bacteria,Fangasi,Virusi n.k

4. Tatizo la sikio kuziba kutokana na sababu mbali mbali k**a vile kuwa na maji mengi sikioni, nta kuzidi(EarWax), uchafu au kitu chochote ambacho kinaweza kuziba sikio lako

5. Kuumia kichwani au shingoni, hali hii huweza kuathiri sikio la ndani, nerves zinazosaidia sikio kusikia pamoja na utendaji kazi wa ubongo

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA

04/12/2024

📢📢MWANAUME KUPATA MAFUA BAADA YA TENDO LA NDOA🔥🔥📌

Mwanaume kupata Mafua baada ya tendo la ndoa husababishwa na nini?

⛑️Dalili hii husababishwa na hali ambayo kwa kitaalam hujulikana k**a -orgasmic illness syndrome (POIS).

-orgasmic illness syndrome (POIS) ni hali adimu ambayo huwaathiri wanaume, hali hii huambatana na dalili mbali mbali ambazo hujitokeza mara tu baada ya mwanaume kumwaga(ejaculation), Dalili hizo ni pamoja na;

➡️ Mwili Kuchoka sana kupita kiasi

➡️ Kupata hali k**a ya Mafua

➡️ Pua kuziba

➡️ Kuhisi hali ya kuungua Machoni pamoja na macho kuwasha

➡️ Kupata shida ya kuzingatia(concentration difficulties), 

➡️ Mwili kuwasha, kuwa na Vipele

➡️ Kukosa mudi au kuwa na hali ya huzuni n.k

Hali hii ya post-orgasmic illness syndrome (POIS) ni hali adimu ambayo haijulikani sana lakini Ipo. INAENDELEA,Google;.

JE,UNASUMBULIWA NA SHIDA HII NA BADO HUJAPATA TIBA?

🩺KWA USHAURI NA TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255

04/12/2024

Homa ya nyani ni ugonjwa unaosababishwa na virusi wa Mpox ambapo awali ilijulikana k**a MONKEYPOX.virusi hivi ni familia moja na virusi vinavyosababisha smallpox au ndui kwa kiswahili.

TUONE HISTORIA YA HOMA YA NYANI KIFUPI.

Homa ya nyani sio ugonjwa mpya, umegundulika mwaka 1958 katika nyani waliokua wakifanyiwa tafiti. Kesi ya kwanza ya homa ya nyani kwa binadamu iligundulika mwaka 1970 nchini  DRC.

Tangu wakati huo kumekua na kesi chache barani africa hasa  africa ya kati na afrika ya magharibi. Lakini mwaka 2022 tumeanza kuona ugonjwa huu ukienea kwa kasi maeneo ambayo sio endemic na hata nje ya bara la Africa.

UNAAMBUKIZWAJE

Mji maji au mate yanatotoka kinywani wakati wa Kuongea, kukohoa au kuoiga chafya. (Droplets)

Aina zote za ngono zinaweza kuambukiza, hii inajuimuisha kumbusu mtu mwenye mpox(All forms of sexual contact including kissing)

Kukutana au kugusana ngozi na mtu mwenye homa ya nyani (Skin to skin contact)

Kuvaa nguo au kutumia mashuka na foronya za mtu mwenye homa ya nyani. (Sharing clothes and/or bedding)

KUgusa au kula wanya walioathirika au mizoga.

DALILI

Upele (una wezakutokea kwenye ngozi, mdomoni, ukeni, au ndani ya njia ya haja kubwa)

Homa

KUskia maumivu kwenye koo. (Sore throat)

Maumivu Kichwa

Maumivu ya Misuli

Maumivu ya mgongo

Uchovu wa kupitiliza usio elezeka

Kuvimba tezi

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00