Mwanamke thamini afya yako

Mwanamke thamini afya yako

Share

Ninasaidia wanawake kuondokana na miwasho,harufu mbaya ukeni kupitia utaratibu wa rishe na virutubish

06/12/2023

📌FAHAMU TATIZO LA KUVURUGIKA KWA HOMONI NA TIBA YAKE. (HORMONE IMBALANCE) {DOZI NI LAKI 2 NA NUSU

:Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama(wanawake) wengi ambalo husababishwa na kiwango kidogo cha hormone ya ESTROGEN.

*VYANZO/VISABABISHI VYA KUVURUGIKA KWA HORMONE*
👉Utoaji wa mimba
👉Uwepo wa sumu mwilini.
👉kutokula mlo uliokamili au mfumo mbovu wa maisha.
👉Family history(upungufu wa ongezeko ya homoni ya progesterone
👉mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa.
👉uzito mkubwa
👉Msongo wa mawazo.
👉Kutofanya mazoezi.
👉Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango.
👉Kukoma kwa hedhi.
👉matumizi ya pedi zisizo na onion
👉kuugua fangasi ukeni kwa mda mrefu
👉uti sugu
👉matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango k**a sindano,vijiti,vidonge n•k
👉magonjwa ya zinaa k**a kaswende,gonolea n.k

DALILI ZA KUVURUGIKA KWA HOMONI
👉Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
👉Kutoshika mimba.
👉Mzunguko wa hedhi kubadilika.
👉Kuongezeka uzito.
👉Kupungua hamu ya tendo la ndoa.
👉Kupoteza kumbukumbu.
👉Hasira za Mara kwa Mara.
👉Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi au kutoa damu yenye mabongemabonge
👉Uke kuwa mkavu.
👉kutoka jasho jingi usiku.
👉maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
👉mzio wa vyakula/Allergy kuchaguachagua vyakula.

MADHARA YA KUVURUGIKA KWA HOMONI
👉kutoshika ujauzito kwa mda mrefu.
👉Mimba kuharibika Mara kwa Mara.
👉Kuwa mgumba.
👉U.t.I Mara kwa Mara.
👉Uvimbe kwenye via vya uzazi wa mwanamke.(fibroids)
👉kuziba kwa mirija ya uzazi.
👉saratani. N.k

*Hormone imbalance inatibika ondoa shaka ,jali afya yako*

06/12/2023

📌📌TUMIA KARAFUUUU KWA AFYA YAKO

🍒Manufaa ya karafuu ni wengi sana kiafya japokuwa watu wengi hawajui.tunapenda kutoa maelekezo kuhusu karafuu kwa ufupi k**a ifuatavyo;

✔🍒karafuu huimarisha uzito wa mifupa.

✔🍒huondoa maumivu ya viungo hususani mafuta yake kwa kuchua.

✔🍒mafuta ya karafuu hupunguza maumivu ya sikio.
✔🍒tiba nzuri ya meno.

✔🍒huondoa harufu mbaya kinywani.

✔🍒karafuu ina utajiri mkubwa sana wa viondosha sumu mwilini.

✔🍒huimarisha afya ya ini.

✔🍒husaidia sana kusafisha sukari kwenye damu.

✔🍒huzuia na kupambana na bacteria.

✔🍒kwa wale ambao wanaharisha, karafuu ni dawa nzuri sana ya kufunga, na matumizi yake unywe glasi moja mara 2 kwa siku.

✔🍒kichwa kuuma kila wakati tumia karafuu.

✔🍒karafuu ni kinga tosha ya maradhi ya kisukari au diabetes.
✔🍒huzuia saratani au cancer ya mdomo.

✔🍒karafuu huzuia sana mzunguko wa damu mwilini.
✔🍒husaidia sana wanawake wajawazito wakati wa kujifungua.

06/11/2023

Ujumbe muhimu kwa mwanamke

🩺🩺Afya ya uzaz wa mwanamke Dalili Za Uchafu Wa Ukeni Usio Wa Kawaida

📌Madiliko ya uwingi wa uchafu unaotoka au katika rangi ya uchafu unaotoka ni dalili ya maambukizi ya magonjwa katika uke. Maambukizi katika uke ni tatizo la kawaida kwa wanawake na wanawake wengi wameshapata tatizo la maambukizi angalau mara moja katika maisha yao. Ukiona yafuatayo, ujue unaweza kuwa na tatizo la maambukizi ya vijijidudu vya maradhi katika uke wako:

📌Kutokwa na uchafu ukeni kunakoambatana na kuwashwa au vijipele

📌Kutokwa na uchafu ukeni ambako ni endelevu na kwa kiwango kinachozidi kila siku

📌Kusikia maumivu wakati wa kutoa haja ndogo

📌Kutokwa na uchafu mweupe, mzito k**a jibini Uchafu wa kijivu/mweupe au njano/kijani unaotoa harufu mbaya
📌📌hivyo bas ukipata matokeo yakutokwa na uchafu mwingi na miwasho maanake una P.I.D hapo madhara ya P.I.D Unaanza kuyaona Number

03/11/2023

🍒HALI YA MWANAMKE KUKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO

🍒inawezekana hua unajiuliza k**a kuna upungufu wa nguvu za k**e.
Hali ya mwanamke kukosa hamu au hisia za kufanya mapenzi kitaalamu inaitwa female sexual dysfunction Katika hali ya kawaida hisia za mwanamke huratibiwa na homoni ya oestrogeni Homoni ambayo huzalishwa na mfuko wa mayai yaani ovaries.

🍒Homoni hii ya estrogen ndiyo inayofanya kazi ya kuufanya uke kua wet na mlaini. Kwa hiyo homoni hii inapopungua katika mwili wa mwanamke hisia za mapenzi nazo hupungua.
Kumbuka katika hali ya kawaida kadri umri wa mwanamke unavyo ongezeka ndivyo kiwango cha homoni hii kinavyopungua.

📌Sababu nyingine za homoni hii kupungua ni wakati wa kunyonyesha,ujauzito,pombe,stress n.k

🍒Baadhi ya wanawake wanaweza kuhisi wana tatizo hili kutokana na kuamini kua mwanamke hatakiwi kuonyesha hisia za mapenzi ,au kuonyesha kutaka mapenzi ,mpaka mwanaume amuanze ... Anataka huku anaogopa kusema au kuonyesha kua anataka anabaki kuugulia ndani Matibabu ya hali hii mara nyingi hua ni kisaikolojia pamoja na muhusika kujieleza vizuri kwa daktari.
kujua chanzo cha tatizo K**a _ishu ya kukosa hamu ya mapenzi.

📌Dalili kubwa ya tatizo hili ni uke kuwa mkavu unaposhiriki tendo la ndoa.

🍒Pia inaweza kusababishwa na kujichua kwa muda mrefu yaani Ma********on.

🍒Hali hii hutokea kwa mwanamke kutumia vitu mfano wa uume ili kujisisimua, vitu hivi ni k**a vidole, D***o, tango n.k..

Tunatibu tatizo hili na kutoa ushauri. 0711497587

02/11/2023

Madhara 10 ya kupiga punyeto kwa wanawake

📌Mara nyingi tumekuwa bize tukizungumzia madhara au athari za kujichua kwa wanaume bila kuwahi kuzungumzia madhara hayo kwa wanawake.

📌Ukweli ni kuwa wanawake nao wanajichua au wanajipiga punyeto k**a wanaume na kitendo hicho kina madhara kiafya kwao k**a ilivyo kwa wanaume hivyo kukaa kimya bila kulizungumzia hilo ni kutowatendea haki.

Haya ni baadhi ya madhara anayoweza kuyapata mwanamke anayejichua au kupiga punyeto

1. Inaweza kuharibu kizazi chako

2. Inakufanya kuwa mvivu

3. Inakupotezea hisia, inakufanya ukose hamu ya kushiriki tendo la ndoa

4. Inakuletea maumivu ukeni yasiyo na sababu

5. Inakufanya uwe na uke kua mlegevu, yaani mtepeto.

6. Hupelekea uke kutoa maji maji mara kwa mara au maji yale ambayo hutoka kabla ya tendo la ndoa kutokuwepo hivyo itakufanya kupata michubuko na maumivu makali wakati wa tendo la ndoa

7. Kukosa raha ya tendo la ndoa ukizoea sana punyeto

8. Inapelekea uke wako kukosa ladha hivyo itakupelekea kukimbiwa na mme wako

9. Inakufanya kuwa na hasira za mara kwa mara zisizo hata na sababu

10. Punyeto ni hatari kwa afya yako pia ukiizoea sana itakupelekea kufanya mapenzi ya jinsia moja.

11. Utakaposhiriki tendo la ndoa na mwanaume utachelewa sana kufika kileleni

14/10/2023

FAIDA ZA KUTUMIA JUISI YA BAMIA KILA SIKU KWA MWANAMKE.

1.🍒🍒🤝 Huondoa chunusi.
2.🍒🍒🤝 Hutibu maumivu yote ya viungo mfano kiuno, miguu kuwaka moto, pingili n.k.
3.🍒🍒🤝 Huleta hamu ya tendo la ndoa.
4.🍒🍒🤝 Huongeza ulaini kooni yaani kwa wenye sauti za kukoroma zinakuwa nyororo.
5.🍒🍒🤝 Hutibu vidonda vya tumbo kwa 100%.
6.🍒🍒🤝 Hukaza kizazi kilicholegea au wenye uke mkubwa akitumia juisi ya bamia uke unabana unakuwa mdogo.
7.🍒🍒🤝 Husafisha damu.
8.🍒🍒🤝 Husawazisha mpangilio wa homoni yaani hutibu homoni imbalance.
9.🍒🍒🤝 Ni dawa ya macho na masikio yanakuwa yanatoa machozi machozi na masikio yanayowasha.
10.🍒🍒🤝 Huondoa mistari ya mafuta mafuta mabaya kwenye mapaja, nyuma ya magoti, kwenye mikono.
11.🍒🍒🤝 Hutibu ngozi iliyokak**aa. Inakuwa nzuri ya kuvutia hata bila kupaka mafuta.
12.🍒🍒🤝 Hutibu UTI.
13. 🍒🍒🤝Hutibu chango la uzazi.
14.🍒🍒🤝 Husaidia mmeng'enyo wa chakula ndo maana kam ulikuwa hupati choo utaanza kupata choo

14/10/2023

Njia ya uzazi huanza kutoa majimaji wakati wa balehe. Hii ni hali ya kawaida.

Maji yanayotoka ukeni huwa yamechanganyika na vimelea.

Maji maji haya husaidia kuondoa ngozi ya uke iliyokufa hivyo kufanya uke kuwa katika hali ya usafi na yenye afya.

Iwapo sehemu ya uke inatoa harufu kali au uchafu usiokuwa wa kawaida hali hiyo hutokana maambukizi au magonjwa mengine.

Hapa chini naonyesha aina ya uchafu unaotoka, Maana yake au chanzo chake na dalili ambazo zitatokea kwenye mwili

1⃣ UCHAFU WENYE DAMU AU RANGI YA KAHAWIA
• Hi ni dalili ya mzunguko wa mwezi wa mwanamke uliovurugika na Mara chache ni dalili ya cancer ya servix au aina nyingine ya cancer iitwayo endometrial cancer. Mwanamke mwenye tatizo hili atatoa damu nyingi uken na kuumwa nyonga.

2⃣UCHAFU WA NJANO AU KIJANI WENYE HARUFU MBAYA
• Endapo uchafu ukatoka k**a mapovu,wenye rangi ya kijani au njano ukiambatana na harufu mbaya ,Hi ni dalili ya Trichomoniasis .Maambukizo ya (parasitic) yanayotokana na Ngono zembe.dalili ingine ni kuwashwa wakati wa kutoa haja ndogo.

3⃣ UCHAFU MWEUPE ,WA NJANO AU KIJIVU WENYE HARUFU YA SAMAKI.
• Uchafu wa aina hii ni dalili ya maambukizi ya bacteria (vaginosis), P.ID n.k. Mwanamke mwenye tatizo hili atasikia miwasho au maumivu ,kuvimba kwa uke au sehemu ya nje ya uke (v***a)

4⃣ UCHAFU WENYE RANGI YA MAWINGU AU NJANO
• Hi ni dalili ya ugonjwa wa kisonono (Gonerhea) mwanamke atatokwa na damu katikati ya Siku zake, Atatokwa na mkojo bila kukusudia na kupata maumivu ya nyonga.

5⃣ UCHAFU MWEUPE MZITO K**A JIBINI
• Hi ni dalili ya maambukizi ya aina ya fungas (yeast infection)
Na dalili zingine atakazozisikia mwanamke huyu ni kuvimba na maumivu kwenye sehemu za nje za siri (v***a) Kuwashwa na maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa.

MUHIMU :Ukiona unatokwa na harufu au uchafu kwa kutoosha sehemu za ndani ya uke , basi ujue una magonjwa ya bacteria au fungus, na unatakiwa umuone daktari kwa hata ili upate ushauri Na tiba 🤝.

Kwa msaada zaidi, Zungumza nami kwa Whatsapp no: 0711497587

06/07/2023

MIWASHO UKENI,SABABU & TIBA
Gusa hapa👉 wa.me/255711497587

📌Kuwashwa sehemu za siri kunqaweza kuwa dalili ya maradhi fulani bila kujali jinsi, muwasho unaweza kuwa umesababishwa na ugonjwa wa ngozi, zinaa au mzio.

📌Kinachosababisha muwasho katika sehemu za siri za mwanamke ni maambukizi ya fangasi ukeni, kuvimba uke wakati wa hedhi ,

📌Tatizo hili husababishwa zaidi na fangasi
Dalili kuu ni kuwashwa ukeni, kuvimba na kutoa harufu mbaya UCHAFU MWEUPE k**a maziwa.

NINI CHA KUFANYA?

📌Weka sehemu za siri katika hali ya usafi na ukavu, kwa maana unyevunyevu unaweza kusababisha maambukizi.

📌Vaa nguo isiyobana sana, iliyotengenezwa kwa vitu asilia k**a pamba.

📌usirudie nguo ya ndani baada ya Kuvua

📌Kila baada ya kukojoa au kujisaidia haja ndogo kuosha sehemu za siri kuanzia mbele yaani ukeni na baadaye nyuma kwenye njia kubwa.

DAWA NILIYONAYO
📌K**a Unapata Miwasho,Harufu mbaya,Uchau mweupe na maumivu wakati wa tendo,nina Dawa ya kutibu shida hii....

📌Ni ya maji ya kuweka ukeni kwa kutumia kifaa maalum, dawa hii inasaidia kusafisha maambukizi yote ya fangasi na bakteria Wa aina zote,na kuweka mazingira mazuri ya sehemu za siri....Waliotumia Dawa Hii wamepona kabisa

Njoo WhatsAp👉 wa.me/255711497587
Piga sim no 0711497587

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam