Lucas Raymond Mwalufuna

Lucas Raymond Mwalufuna

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Lucas Raymond Mwalufuna, Health/Beauty, Dar es Salaam.

03/07/2025

I love customer’s Feedback C9 iheshimiwe πŸ’ͺ,
2.8kgs Off Day 3 Of C9

Kupata package yako wasiliana nasi nawe kuanza safari yako;
+255760993660

11/06/2025
12/09/2022

Balanced diet/ Mlo kamili ni mlo ulio na mchanganyiko wa vyakula kutoka kwenye makundi yote makuu ya chakula, ili viweze kuupa mwili wako "Calories " (Mwili wako unatumia calories kutoka kwenye vyakula ilikuweza kufanya kazi za mwili, k**a kutembea, kupumua, kuongea, na mengine mengi.

Hivyo basi ukila chakula ambacho ni Balanced diet, unasaidia mwili wako kuupa virutubisho muhimu ili uweze kufanya kazi kiufanisi, na usipokula balanced diet/ Mlo kamili basi unafanya kinyume chake.

Ilikupata Virutubisho mwilini mwako unavyohitaji, basi inabidi ule vyakula vifuatavyo;
β—‹ Matunda freshi (Fruits)
β—‹ Mboga za Majani freshi (Vegetables)
β—‹ Nafaka (Whole grains)
β—‹ Vyakula jamii ya Maharage (Legumes)
β—‹ Vyakula jamii ya karanga (Nuts)
β—‹ Lean Protein
β—‹ Na maziwa (Diary)

Hivyo ukiweza kula aina ya hivyo vyakula kwenye mlo wako wa kila siku basi utaupatia mwili wako VIRUTUBISHO muhimu k**a ifuatavyo;
● Vitamins, madini na Antioxidants
● Wanga (Carbohydrates)
● Protein
● Mafuta mazuri (Healthy fats)

So, Kitanzania, chakula chako (Mlo kamili) unaweza kuwa hivi;
* Mbogamboga na Matunda yawe nusu sahani (Kupata Vitamins ,madini na Mafuta mazuri. Mf; Parachichi πŸ₯‘)
* Kuku au samaki iwe robo sahani (Kukupa protein)
* Tambi/ Brown rice/ Mkate wa brown iwe robo ya mwisho ya sahani (Kukupa wanga)
* Bila kusahau glassi ya maji.

Karibu pia k**a una changamoto ya uzito uliopitiliza. Tuna program salama kiafya itakupa uwezo wa kupungua kati ya kilo 3 mpaka 9 au zaidi ndani ya siku 9,au kupungua mpaka kilo 15 na zaidi ndani ya siku 24 na kupata muongozo wa mazoezi na chakula sahihi.

KWA MAWASILIANO ZAIDI:
DM/Call/WhatsApp; +255 747 059 851

[Hizi bidhaa sio dawa, ni virutubisho vya chakula,na hazina dhumuni la kutibu au
kuzuia ugonjwa wowote]

Follow us for more health tips and advice πŸ‘‡πŸΎ;
Lucas Mwalufuna]]
Lucas Mwalufuna]]
Lucas Mwalufuna]]

12/09/2022

NINI HUSABABISHA CHRONIC BACKPAIN?

● Ajali
● Kubeba vitu vizito
● Majukumu ya kila siku (Kukaa au kusimama kazini kwa muda mrefu)
● Kulalia godoro linalobonyea sana katikati
● Umri
● Kula vyakula vinavyozalisha Uric Acid nyingi mwilini

Vyakula vingi tunavyokula hushindwa kusapoti mwili katika utengenezaji au uzalishaji wa vinasaba vinavyorepair na kurejesha uteute, gegedu, kurudisha Calcium, tunazopoteza wakati wa ej*******on ( kwa wanaume) au kuingia period kila mwezi ( kwa mwanamke). Hii hufanya mifupa kupoteza ubora wake.

Habari njema ni kwamba lipo tumaini kwa wenye changamoto hii, na pia waweza kijikinga mapema na tatizo hili.

Tumia virutubisho vinavyosaidia kuleta uteute( synovial fluid) katika maungio ya disc zako kuondokana na maumivu ya misuguano ya discs na kurejesha afya ya mifupa na maungio yake .

KWA MAWASILIANO ZAIDI:
DM/Call/WhatsApp; +255 747 059 851

[Hizi bidhaa sio dawa, ni virutubisho vya chakula,na hazina dhumuni la kutibu au
kuzuia ugonjwa wowote]

Follow us for more health tips and advice πŸ‘‡πŸΎ;
Lucas Mwalufuna]]
Lucas Mwalufuna]]
Lucas Mwalufuna]]

12/09/2022

Maumivu ya goti yanaweza kumpata mtu yeyote.
Maumivu ya goti hutokea k**a kuna kuumia kwenye maeneo ya gegedu (cartilage) au ligament.

Nini husababisha maumivu ya goti?
● Kuisha kwa uteute (Synovial fluid),hii hupelekea mifupa kusagika kiurahisi.
● Mifupa kukosa afya (Arthritis)
● Kiwango kikubwa cha Uric acid mwilini (Gout)
● Maambukizi kwenye afya ya mifupa na maungio yake ( Bursitis)
● Majukumu ya kila siku ( Kusimama au kukaa kwa muda mrefu)
● Uzito uliozidi (Obesity)
● Kulika kwa gegedu
● Vijivimbe kwenye maungio ( Baker's cyst)
● Kulika kwa maungio /joints (Osteoarthritis)

Maumivu ya mara kwa mara yatokanayo na inflammation kwenye maungio hupelekea kuharibika mifupa (Burtistist)

Madhara Ya Changamoto Ya Magoti Ya Muda Mrefu husababisha;
β—‹ Goti kuvimba
β—‹ Kuwa na wekundu na kuhisi goti la moto unapoligusa
β—‹ Kuhisi kuchoka na kushindwa kusimama au kukaa muda mrefu
β—‹ Goti kuvuja damu kwa ndani
β—‹ kukosa uimara kwenye goti
β—‹ Maumivu makali mara kwa mara
β—‹ Kupata ganzi
β—‹ Kuparalyse
β—‹ Miguu hasa visigino kuwaka moto

Tumia virutubisho vinavyosaidia kuleta uteute( synovial fluid) katika maungio ya disc zako kuondokana na maumivu ya misuguano ya discs na kurejesha afya ya mifupa na maungio yake .

KWA MAWASILIANO ZAIDI:
DM/Call/WhatsApp; +255 747 059 851

[Hizi bidhaa sio dawa, ni virutubisho vya chakula,na hazina dhumuni la kutibu au
kuzuia ugonjwa wowote]

Follow us for more health tips and advice πŸ‘‡πŸΎ;
Lucas Mwalufuna]]
Lucas Mwalufuna]]
Lucas Mwalufuna]]

Photos from Lucas Raymond Mwalufuna's post 12/09/2022

HII PROGRAM IMEBADILISHA AFYA YA WATU KWA UJUMLA, KUNA WATU WALIKUWA NA MATATIZO MAKUBWA KIAFYA YALIYOLETWA NA UZITO ULIOPITILIZA NA LEO NI WAZIMA KWASABABU WALITUMIA HII PROGRAM.

Jaribu F.I.T PROGRAM yetu leo ambayo itakupa uwezo wa kupungua kati ya kilo 3 mpaka 9 au zaidi ndani ya siku 9, au kupungua mpaka kilo 15 na zaidi ndani ya siku 24 na kupata muongozo wa MAZOEZI na CHAKULA sahihi.

KWA MAWASILIANO ZAIDI:
DM/Call/WhatsApp; +255 747 059 851

[Hizi bidhaa sio dawa, ni virutubisho vya chakula,na hazina dhumuni la kutibu au
kuzuia ugonjwa wowote]

Follow us for more health tips and advice πŸ‘‡πŸΎ;

12/09/2022

F.I.T PROGRAM NI NINI? NA INAFANYAJE KAZI KUKUSAIDIA UPUNGUE UZITO?
SOMA HII πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ

● F - (Maana yake itakujengea msingi wa kupungua uzito)
● I - (Itakupa hamasa ya kufikia lengo lako la uzito kwa kuanza kuona matokeo kidogo kidogo)
● T - (Itakupa mabadiliko ya kupungua uzito ya haraka, uhakika, na ya kudumu kwa muda mrefu kwa kukufanya ubadilishe lifestyle yako)

F.I.T Program ni virutubisho vya chakula ambavyo vimeambatana na mkakati mzuri wa lishe sahihi pamoja na mazoezi ambayo imetengenezwa kukusaidia kuusafisha mwili wako naa kuondoa (Sumu/Toxins/ Takamwili) ambazo ndio chanzo kikubwa cha mwili kutengeneza mafuta mabaya ambayo mwisho wake hukufanya unenepe.

F.I.T Program ina pack mbili;
Pack ya kwanza inaitwa ambayo inatumika ndani ya siku 9 tu na lengo lake haswa ni kuusafisha mwili wako na kuondoa hizi toxins ili uweze kuwa na mmeng'enyo mzuri wa chakula na pia kukusaidia kuyeyusha mafuta yaliyorundikana mwilini na hii inaweza kukupa matokeo ya kupungua kwanzia 2 kgs mpaka 9 kgs ndani ya hizo siku 9.

Pack ya pili ni , hii ni program ya pili baada ya kutumia C9, lengo lake ni kukusaidia kupungua zaidi na kukusaidia kujenga discipline nzuri ya mazoezi na chakula na kuubadilisha wako kabisa. Inatumika kwa siku 15 na inaweza kukusaidia kupunguza kilo nyingi za ziada kuanzia 5 kgs hadi 10 kgs au zaidi.

AGIZA PROGRAM YAKO SASA πŸ“¦πŸšš

KWA MAWASILIANO ZAIDI:
DM/Call/WhatsApp; +255 747 059 851

[Hizi bidhaa sio dawa, ni virutubisho vya chakula,na hazina dhumuni la kutibu au
kuzuia ugonjwa wowote]

Follow us for more health tips and advice πŸ‘‡πŸΎ;
Lucas Mwalufuna]]
Lucas Mwalufuna]]
Lucas Mwalufuna]]

12/09/2022

DALILI ZA VIUNGO KUSAGANA:

1 . Maumivu kwenye magoti
2 . Kusikia milio ya mifupa kusagana kwenye magoti
3 . Magoti kushindwa kujikunja
4 . Maumivu kwenye mgongo
5 . Kusikia maumivu makali wakati wa kuinama na kushindwa kuinama
6 . Kusikia ganzi kwenye mapaja au miguu

Tumia virutubisho vinavyosaidia kuleta uteute( synovial fluid) katika maungio ya disc zako kuondokana na maumivu ya misuguano ya discs na kurejesha afya ya mifupa na maungio yake .

KWA MAWASILIANO ZAIDI:
DM/Call/WhatsApp; +255 747 059 851

[Hizi bidhaa sio dawa, ni virutubisho vya chakula,na hazina dhumuni la kutibu au
kuzuia ugonjwa wowote]

Follow us for more health tips and advice πŸ‘‡πŸΎ;
Lucas Mwalufuna]]
Lucas Mwalufuna]]
Lucas Mwalufuna]]

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam