Madam zela

Madam zela

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Madam zela, Health/Beauty, Dar es salaam, Dar es Salaam.

01/09/2022

Wanawake msijisahau katika kuzingatia Lishe bora,.. Mambo k**a Unywaji wa pombe, vimiminika vyenye sukari, vyakula vyenye sukari k**a keki nk, vyakula vya kukaanga, Uzito mkubwa,..nk HUFANYA OVARI ISIMAME, KUENDESHA MZUNGUKO WA HEDHI VIZURI.. Zingatia unacho kula kila siku. Endapo unapitia changamoto katika mzunguko wa hedhi, njoo tuzungumze na kubaini chanzo cha tatizo ni nini +255694178357

31/08/2022
25/08/2022

Habari njema kwako mwanamke unaesumbuliwa nachangamoto ya maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi, wakati wa kufanya tendo la ndoa suluhisho la changamoto io linapatikana
Wasiliana nasi kwa simu no 0694178357

19/08/2022

Habari njema kwako mwanamke tiba ya changamoto hizo inapatikana karibu wasiliana nasi 0694178357

19/08/2022

K**a unapata maumivu wakati wa s*x, wakati wa kukojoa na kutokwa nauchafu ukeni natatizo limekuwepo mfululizo zaidi ya wiki 3, hilo tatizo limekuwa chronic/sugu, k**a hujafanya vipimo hakikisha unafatilia... Njia nzuri ya kupona ni kuliwahi tatizo kabla halijawa kubwa zaidi.

18/08/2022

K**a wewe ni mwanamke unasumbuliwa na changamoto za uzazi zifuatazo nipigie upate suluhisho la uhakika

_uke kuwa mkavu
_mvurugiko wa homoni
_fungus na uti sugu
_uvimbe
_mirija ya uzazi kuziba
_mimba kuharibika
_maumivu wakati wa tendo n.k

0694178357

18/08/2022

Ninayo habari njema kwako wewe mwanamke unaeteseka na changamoto ya maumivu makali chini ya kitovu wakati wa tendo la ndoa hata wakati wa hedhi suluhisho la changamoto io linapatikana ushauri ni bure ninazo tiba nzuri na bora kwa afya yako. Karibu kwa mawasiliano piga 0694178357

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
234