IbraH BF Suma Services
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from IbraH BF Suma Services, White inn Sinza, Dar es Salaam.
23/08/2024
*YOUTH EVER*
*Youth Ever* Ni nini??
➖ Ni mchanganyiko wa virutubisho vyenye Antioxidant na Anti-aging.
🏕️NMN
🏕️RESVERATROL
🏕️Grape seed extract, Acai berry Extract Belberry, Extract na Oliver leaf extract
➖ Mchanganyiko wa RESVERATROL na NMN unairudisha umri nyuma kwa kuunda upya speed ya NAD+ Ambayo inazuia magonjwa yanayoletwa na uzee👇👇👇👇👇
🏕️Sukari.
🏕️Kusahau.
🏕️Kuangamiza Cells za Saratani.
🏕️Kuboresha Afya ya Moyo.
➖ Mchanganyiko huo huo inaondoa MIKUNJO ya NGOZI na kurudisha NGOZI katika hali ya UJANA yenye MVUTO zaidi.
➖ Antioxidant inaondoa SUMU MWILINI na kutupatia Mwili nguvu UPYA na KINGA dhidi ya Magonjwa ya UZEE I.
*LOOKE THE AGE YOU FEEL!*
☎️0675434293
21/10/2022
29/06/2022
TEZI DUME NI NINI?.
Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.
DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-
✓Kukojoa Mara kwa mara.
✓kubakiza mkojo kwenye kibofu.
✓kukojoa saana usiku.
✓Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
✓Kupungukiwa nguvu za kiume
✓UTI ya Mara kwa mara.
✓Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
✓Figo kujaa maji,hii Ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
✓Kupoteza fahamu.
✓Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
✓Uume kushindwa kusimama vizur.
✓Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.
ATHARI ZA TEZI DUME K**A HAITAWAHI KUTIBIWA:-
1)Kushindwa kabisa kukojoa.
2)Kupatwa na maambukizi ya UTI
3)Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
4)Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
5)Figo inaweza kuharibika.
Suluhisho la kumaliza hili tatizo lipo:
KARIBU UPATE HUDUMA🤝
0754206857
17/06/2022
*DERMA REPAIR LOTION NI NINI🧴🧴🧴*
Ni lotion ambayo imetengenezwa takriban na mimea asili 7 isiyo na kemikali na ni chakula Kwa ngozi💯👨🏻👩🏻
Mimea hiyo inaifanya *DERM EVER* kuwa mafuta Bora ya mwili na uso na kukupa faida zifuatazo👇🏾👇🏾👇🏽👇🏽
🧴🍒Inaongezwa unyevu kwenye ngozi, Kwa asilimia 53%
🧴🍒Inarudisha uwezo wa ngozi kutanuka na Kusinyaa Hivyo huondoa makunyanzi kwenye ngozi.
🧴🍒inaleta mng'ao wa ngozi Inamfanya mtumiaji kuwa na ngozi yenye rangi Moja mwili mzima.
🧴🍒inasaidia kuondoa uchakavu wa ngozi kwa watu wote.
🧴🍒inasaidia ngozi kujilinda na kujitibu na magonjwa ya ngozi, k**a vile mabalango.
🧴🍒huondoa cell zilizokufa kwenye ngozi na kuchochea uzalishaji wa cell mpya kwenye ngozi.
🧴🍒inarekebisha ngozi iloungua na cream zenye kemikali..0746485419
*We care your Skin's Health*👨🏻🦱👩🏻
09/06/2022
zinapatikana
02/06/2022
YATAMBUE MADHARA YA KUKOSA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU(constipation).
Watu wengi hudhani ni hali ya kawaida kupata choo kigumu au kutopata choo kabisa watu wengine siku nzima, siku mbili hadi siku tatu bila kupata choo! Au wengine kupata choo kigumu. USIPUUZIE HILO NI TATIZO KUBWA SANA.
MADHARA YA KUTOPATA CHOO AU KUPATA CHOO KIGUMU NI K**A:'
👉 (haemorrhoids) kuota kinyama sehemu ya haja kubwa, hii ni kutokana na kutanuka kwa mishipa midogo midogo ya damu kutokana na kutumika kwa nguvu nyingi wakati wa kijisaidia pia hupelekea maumivu makali kwenye njia ya haja kubwa.
👉 kwa layer ya ndani ya njia ya haja kubwa (a**l fissue) na kusababisha maumivu makali sana ni kutokana na matumizi ya nguvu nyingi wakati wa kujisaidia
👉 HUSABABISHA MAGONJWA YA TUMBO kuuma bila sababu, tumbo kuunguruma hii ni kutokana na kinyesi kukaa muda mrefu tumboni bila kutolewa (choo kinachotembea). HII husababisha magonjwa mengi yanayotokana na bakteria.
ENDAPO utakaa na tatizo hili kwa muda mrefu hupelekea kupata ya tumbo k**a vile:-
●Kansa ya utumbo mpana
●kuwa na kitambi kinachosababishwa na constipation
●muda mwingine husababisha vidonda vya tumbo kutokana na gesi inayojitengeneza tumboni.
Maumivu ya mgongo UTI n.k
K**a unasumbuliwa na tatizo hili au vinginevyo tupigie au tuma ujumbe whatsapp kwa namba kwa ushauri na tiba
30/05/2022
*FAIDA ZA FEMINERGY* *CAPSULES* 🇺🇸🇹🇿
*Kazi ya feminergy*
➡Huondoa makunyanzi.
➡Huondoa makovu yaliyo achwa na chunusi.
➡Hung'arisha ngozi na kuondoa mabakaa yasiotakiwa.
➡Huifadhi unyevu wa ngozi.
➡Huzuia magonjwa yaletwayo na umri k**a kansa, kisukari, Magonjwa ya moyo, Macho na Alzheimer's (Watu wazima kupoteza kumbukumbu) Huifanya Organi zako kufanya kazi bila kuzeeka mapema.
♀️FAIDA ZA KUTUMIA FEMINERGY BFSUMA
°Husaidia mishipa ya damu itanuke na kusinya hivyo kuiwezesha presha ya damu.
°Husaidia madhara ya mionzi ya jua, simu, Tv na mionzi mingine mwilini mwako.
°Husaidia kupambana na Allegy, Athma na mwili kukosa Nguvu.
**KWA NINI Uchague FEMINERGY**
--->Ni ya Asili.
Imetengenezwa na mbegu za zabibu.
**Ina matokeo Makubwa**
-->Ina 95% ya kiini cha PROANTHOCYADISM(OPC) Ambacho ndicho hupambana na uzee na kuchoka kwa ngozi.
**Ni salama***
>>Haina madhara kwa mtumiaji.
**Nani haswa anatakiwa kutumia feminegy**
>>Wanawake watu wazima, umri wakati na mabinti.
>>Wanawake wenye makunyanzi na wasiotaka makunyanzi.
>>Wanawake wenye mabaka ya chunusi na wasiotaka mabaka.
>>Wanawake wasiotaka kuzeeka haraka.
>>Watumiaji wa muda mrefu wa kompyuta, simu na TV.
>>Mtu mwenye ugonjwa wa moyo na damu katika ubongo.
>>Watu waliopigwa mionzi ya Chemotherapy.
>>Mtu anayechoka haraka na matatizo ya Allegy.
>>Mwenye matatizo ya kizunguzungu na kutojisikia vyema.
Call, Text and WhatsApp
0754206857
27/05/2022
*TIBA_YA_BAWASIRI YA NDANI NA NJE BILA_UPASUAJI KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO* .
IJUE BAWASIRI NA TIBA YAKE
_Bawasiri ni hali Kupasuka kwa mishipa sehemu ya haja kubwa, damu kuganda na kujitokeza vinyama katika Maeneo hayo.
AINA ZA BAWASIRI
1_Bawasiri ya ndani
2_Bawasiri ya nje.
_Bawasiri ya nje hutokea mwisho wa mfereji wa haja kubwa Mishipa ya damu (vena) hupasuka na damu kuganda, ikiambatana na maumivu makali
_Bawasiri ya ndan hutokea ndan ya mfereji wa haja kubwa, hii haiambatan na maumivu. hapa wengi huwa hawajijui
DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI
_Kuota vinyama sehemu ya haja kubwa.
_Miwasho na maumivu sehemu ya haja kubwa.
_Kinyesi kuvuja bila kujijua.
_Kutokwa na damu.
_Kinyesi kuchanganyika na damu .
_Kinyesi kuwa chenye harufu mbaya.
CHANZO CHA UGONJWA WA BAWASIRI
_kukaa kitako au kusimama kwa muda mrefu
_kufanya mazoez magumu yanayokaza misuli ya haja kubwa
_Uzito kupitiliza
_Mapenz kinyume na maumbile
_tatizo la kutokupata choo
_Wakati wa kujifungua
TIBA YAKE
_Mara nyingi watu wenye tatizo hili tiba yake ni kufanyiwa upasuaji, hata hivyo mara nyingi bawasirii hurudi baada ya kufanyiwa upasuaji.
_Sasa unaweza kutibu tatizo hili kwa kutumia virutubisho vilivyotengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu ambavyo havina kemikali 100%
KAZI YAKE.
_Huondoa miwasho na maumivu
_huweka sawa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuanzia mdomon hadi sehemu ya haja kubwa
_huondoa Bawasiri bila upasuaji.
_kulainisha choo.
NI VYEMA KUWAHI KUPATA TIBA MAPEMA.
KWA MAWASILIANO ZAID
1. SIMU/MESSAGE
2. WHATSAPP
0675434293
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam
NON
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |