getwell _virutubisho 9040
KARIBU UPATE USHAURI WA AFYA YAKO
01/06/2023
UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UNAAMBATANA NA VITU VIFUATAVYO NI VIZURI KUCHUKUA TAHADHARI MAPEMA:
1. Kukosa hamu ya mapenzi
2. Uume kusimama kwa uregevu;
3. Kuwahi kufika kileleni
4. Kuchelewa sana kufika kileleni yaan unafanya ili mradi tu...husikii chochote kumaliza mwisho unaamua kuacha tu.
5. Kushindwa kurudia tendo la ndoa yaan ukipiga kimoja mpaka kurudia tena unachukua masaa mengi au kushindwa kabisa kuamsha tena
6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
7. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji.
8. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu.
Msaada wa ushauri na tiba Whatโs app +255 0658 963 949
๐๐0658963949
16/10/2022
Zipo changamoto mbali mbali zinawakumba wanaume katika masuala ya tendo la ndoa au kujamiiana kwa ujumla bila kujua chanzo cha changamoto na suluhisho lake. Moja ya changamoto ni hii ya kufika kileleni wakati wa kumuandaa mwanamke. Lakini nataka nikuongezee nyingine ambayo ni uume kusimama vizuri na hisia zinakuepo lakini ukisha fika mlangoni ili kuingia uume unalegea, inabidi urudi tena kwenye kumchezea mwenza wako. Wapo walionipigia simu na wengine wamenitumia message wakiwa na hizi changamoto.
Sasa fahamu chanzo Cha tatizo na suluhisho lake. Wote walio na changamoto hizi walikiri kuwa wanajichua na kuangalia video za ngono hapo hapo, wengine kuangalia video za ngono pekee bila kujichua na wengine walipiga punyeto bila kuangalia video za ngono na wengine walisha acha lakini bado wanafika kileleni wakati wa kumuandaa mwanamke na wengine uume unasimama vizuri lakini akishafika mlangoni uume unalegea na kushindwa kuendesha gari. Kutokana na mchanganuo huo ni dhahiri kuwa changamoto hizi chanzo kikubwa ni punyeto na kuangalia picha za ngono. Lakini pia kwa upande mwingine ulaji pia unamchango mkubwa katika kumfanya mwanaume kuwa imara au kuwa dhaifu kwenye ngoma ya wakubwa.
Lishe mbovu hupelekea afya kudhoofika na kupelekea baadhi ya magonjwa ya mifumo ya uzazi.
Suluhisho la tatizo 1.kuacha punyeto na video za ngono na kufuta uraibu ili mwili urudi kwenye hali ya kawaida, hili linafanikiwa kupitia ushauri wa msingi na miongozo
2.Mazoezi unatakiwa kujua ni mazoezi yapi yanaweza kukusaidia nimekuwa nikitoa mazoezi maana siyo kila mazoezi yataweza kukusaidia.
3.Ulaji mzuri ikiwa ni pamoja na kupata virutubisho muhimu na maalumu kwa ajili ya kurudisha kilichopotea wakati wa kujichua/Punyeto.
Hivyo unatakiwa kuelewa ni vyakula gani ni muhimu kula wakati unaendelea kutumia virutubisho ili kujenga mwili upya, kumbuka ukijichua unapoteza virutubisho na madini muhimu, mishipa ina dhofika,
Neva zinabadilisha mfumo wa kihisia kwenye "sexual stimulation" Kwa Huduma Na Ushauri Tuma Neno "AFYA YANGU" Whatspy Namba
https://wa.me/255658963949?text=Naomba%20maelezo%20kuhusu%20Argi%2B%20na%20maca
kwa Huduma Ya Haraka au piga kwa Maelezo zaidi.
16/10/2022
Ndizi*
Wakati unafikiria uwezo wa kufanya vema tendo la ndoa unatakiwa kuwaza juu ya uimara wa misuli ya mwili ambayo inatajwa kuwa ni sehemu kuu na yenye muhimu katika kujamiiana. Kwa msingi huo ulaji wa ndizi mbivu unatajwa kusaidia kujenga misuli mwilini na kumfanya mtu aweze kuwa hodari katika tendo la ndoa.
Kuwa na stamina ni muhimu katika ufanyaji mapenzi. Ndizi ni chanzo kikubwa cha vitamin B ambayo husaidia sana katika kuongeza stamina na nguvu mwilini hasa wakati wa kufanya kazi nzito.
Ndizi ina kimengโenyo cha Bromelain ambacho huongeza nguvu za kiume, ashki ya mapenzi (libido).
16/10/2022
Zinc ni madini muhimu mno katika afya ya binadamu kiasi ambacho ukosefu kidogo unaweza kuleta madhara makubwa.
Zinc ni madini ya muhimu sana kwa sababu yanatumika ndani ya kila kiungo cha mwili wako na yanahusika kwa karibu sana na kugawanyika kwa seli za mwili.
Zinc ni muhimu kwa usafirishwaji wa vyakula mwilini, ni muhimu kwa kuimarisha kinga ya mwili na ukuaji wa tishu mbalimbali za miili yetu.
Zinc hiyo hiyo ndiyo huzalisha vichocheo muhimu kwa ajili ya homoni za uzazi k**a Testosterone, hivyo unapokuwa na mapungufu ya hamu ya tendo la ndoa, uume mlegevu, kuwahi kufika kileleni, saratani ya tezi dume, ugumba au Kushindwa kutungisha mimba.basi tambua kuwa una mapungufu pia ya madini ya Zinc mwilini mwako!
Mwili hauna uwezo wa kutunza au kuzalisha Zinc, hivyo inahitajika wewe mwenyewe uweze kuulisha Zinc ya kutosha ili kuendana na mahitaji yako ya kila siku.
MADINI YA ZINC PIA HUSAIDIA
1 Kusawazisha kiwango cha sukari katika mwili
2 Kusaidia utengenezwaji wa protini kwenye mwili
3 Kusaidia kusapoti mfumo wa upumuaji
4 Kuongeza ufanyaji kazi wa seli za mwili
5 Huboresha Afya Ya Uzazi Ya Mwanamme na tendo la ndoa.
6. Uboreshaji wa mfumo wa neva kwenye ubongo Ambao ni muhimu sana katika ufanisi wa tendo. Napata wapi haya madini?
โข Samaki jamii ya shellfish, dagaa, pweza nakadhalika.
โข Nyama
โข Nyama za Wanyama jamii ya ndege
โข Mboga jamii ya kunde
โข Mayai
โข Mbegu zisizokobolewa
โข Baadhi ya mboga za majani k**a broccoli, bamia,uyoga na kunde. Kutokana na mfumo wa maisha na uzalishaji wa lishe hupelekea kupata lishe katika kiwango kidgo sana vyakula vingi vya sasa ni ngumu kupata haya madini muhimu kutokana na maandalizi ya hivi vyakula kuwa na usasa mwingi toka vikiwa shambani namaanisha Mbolea za kisasa na unyunyiziaji wa Madawa kuua wadudu.
Hivyo tumekuandalia Natural premium package ambayo imetengenezwa na kuhifadhiwa katika mfumo wa virutubisho ili kukusaidia kupata ile lishe sahihi.
KWA MAHITAJI YA PROGRAM ZA VIRUTUBISHO UNAWEZA UKANITAFUTA ๐๐ฝ ๐๐๐๐๐๐๐๐ +255658963949
https://wa.me/255658963949?text=Naomba%20maelezo%20kuhusu%20Argi%2B%20na%20maca
16/10/2022
Zipo changamoto mbali mbali zinawakumba wanaume katika masuala ya tendo la ndoa au kujamiiana kwa ujumla bila kujua chanzo cha changamoto na suluhisho lake. Moja ya changamoto ni hii ya kufika kileleni wakati wa kumuandaa mwanamke. Lakini nataka nikuongezee nyingine ambayo ni uume kusimama vizuri na hisia zinakuepo lakini ukisha fika mlangoni ili kuingia uume unalegea, inabidi urudi tena kwenye kumchezea mwenza wako. Wapo walionipigia simu na wengine wamenitumia message wakiwa na hizi changamoto.
Sasa fahamu chanzo Cha tatizo na suluhisho lake. Wote walio na changamoto hizi walikiri kuwa wanajichua na kuangalia video za ngono hapo hapo, wengine kuangalia video za ngono pekee bila kujichua na wengine walipiga punyeto bila kuangalia video za ngono na wengine walisha acha lakini bado wanafika kileleni wakati wa kumuandaa mwanamke na wengine uume unasimama vizuri lakini akishafika mlangoni uume unalegea na kushindwa kuendesha gari. Kutokana na mchanganuo huo ni dhahiri kuwa changamoto hizi chanzo kikubwa ni punyeto na kuangalia picha za ngono. Lakini pia kwa upande mwingine ulaji pia unamchango mkubwa katika kumfanya mwanaume kuwa imara au kuwa dhaifu kwenye ngoma ya wakubwa.
Lishe mbovu hupelekea afya kudhoofika na kupelekea baadhi ya magonjwa ya mifumo ya uzazi.
Suluhisho la tatizo 1.kuacha punyeto na video za ngono na kufuta uraibu ili mwili urudi kwenye hali ya kawaida, hili linafanikiwa kupitia ushauri wa msingi na miongozo
2.Mazoezi unatakiwa kujua ni mazoezi yapi yanaweza kukusaidia nimekuwa nikitoa mazoezi maana siyo kila mazoezi yataweza kukusaidia.
3.Ulaji mzuri ikiwa ni pamoja na kupata virutubisho muhimu na maalumu kwa ajili ya kurudisha kilichopotea wakati wa kujichua/Punyeto.
Hivyo unatakiwa kuelewa ni vyakula gani ni muhimu kula wakati unaendelea kutumia virutubisho ili kujenga mwili upya, kumbuka ukijichua unapoteza virutubisho na madini muhimu, mishipa ina dhofika,
Neva zinabadilisha mfumo wa kihisia kwenye "sexual stimulation" Kwa Huduma Na Ushauri Tuma Neno "AFYA YANGU" Whatspy Namba +255 658963949
https://wa.me/255658963949?text=Naomba%20maelezo%20kuhusu%20Argi%2B%20na%20maca
kwa Huduma Ya Haraka au piga kwa Maelezo zaidi.
13/10/2022
TUMIA ARGI+ k**a wewe ni mwanaume ambae unapenda
๐ดKwenda Round nyingi bila kuchoka - bandika bandua ๐๐
๐ดKuwa na uume uliosimama muda wote wakati wa mechi (hakuna kusinyaa wakati wa tendo)
๐ดKutoishiwa Hamu ya Tendo wakati wa Tendo ๐
๐Wanaume wengi wanakua na upungufu wa hivi vitu vi3 kwasababu ya Nutritional Deficiencys -
๐ukitumia ARGI+ unafill in ile Nutritional Gap na mwili unakua na uwezo wa kuperfom EXTRAORDINARY -mkeo atahadisia mashoga zake๐๐
๐
!https://wa.me/255658963949?text=Naomba%20maelezo%20kuhusu%20Argi%2B%20na%20maca
CALL/WHATSAPP โ+255658963949
12/10/2022
Ondoa changamoto pressure katika mfumo wako wa mwili kwa kufuata mwongozo kamili juu ya Afya yako leo kwa mawasiliano Zaidi wasiliana nasi kupitia WHATSAPP/text/piga + #0658963949
12/10/2022
MWANAUME BORESHA NA KURUDISHA AFYA.
Afya Ndiyo msingi mkuu wakati wako wa leo
Zingatia tendo la ndoa kwa umakini
Kazi kwako .
12/10/2022
Zingatia Afya yako ni muhimu sana ndiyo mtaji MKUU KATIKA MAISHA YAKO
Kwa ushauri zaidi kuhusiana na maswala ya kiafya unaweza wasiliana nasi moja kwa moja kwa kupiga /SMS au WhatsAap + #0658963949
12/10/2022
Wengi hutumia maziwa k**a njia ya kutatua changamoto ya vidonda vya tumbo lakini lazima ujue maziwa huweka ahueni kwa muda mfupi tuu .Baada ya hapo muhanga akitumia huweka utando kwa muda mfupi hivyo humfanya muhanga wa tatizo kujisikia afadhali
Lakini ni kwamba maziwa huongeza tindikali na huchochea acid inayo zalishwa tumboni na kuendelea kutafuba kuta za tumbo
HIVYO KWA USHAURI ZAIDI JUU YA KUEPUKANA NA CHANGAMOTO YA VIDONDA VYA TUMBO .karibu wasiliana nasi moja kwa moja kwa kupata elimu juu ya virutubisho muhimu kwa Afya yakoTumia virutubisho maalumu kwa mawasiliano Zaidi wasiliana nasi kupitia piga /text/WhatsAap + #0658963949
11/10/2022
Ushuhuda
11/10/2022
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Dar Es Salaam
KIHONZILA