Magonjwa na tiba tips

Magonjwa na tiba tips

Share

Nasaidia wanawake kuwatibu magongwa mbalimbali k**a fangasi na u.t.i sugu,uvimbe katika kizazi,uzazi na n.k kwa kutumia tiba lishe.

23/12/2023
30/09/2023

KIPANDA USO ".♐

♐Ni Nini ? ♐

♐Kipanfauso ni Jina la Jumps la Maumivu Ya Kichwa Yanayoshamiri Hasa Nyakati za Asubuhi Yanayo sShabihiana na Kuongezeka au Kukua Kwa Miale Ya Jua♐

♐Mara Nyingi Maumivu Haya Yamekuwa Yakihusishwa na Kuchomoza na Kupanda Kwa Jua Hasa Nyakati Za Asubuhi Kutokana na Miale Inayotoka Kwenye Jua Kuchochea Ongezeko la Maumivu Hayo Yanayoweza Kutokana na Sababu Mbali Mbali.

♐Maumivu Ya Kichwa Yanayobusishwa na Kipanfauso Yamegawanyika Sehemu Nyingi sana japo kuwa 1% yake ni ashirio la matatizo ya kiafya ambayo yamepitiliza au Ya Muda Mrefu.

♐ K**a Vile Concussion of Brain , Meningitis , Encephaliti na Viashiria Vya Stroke. Kuumwa na kichwa pia inawezatokana na matatizo ya Misuli au Mishipa Ya Damu Inayozunguka taya , Matatizo Ya Tissue au Misuli ya Taya , Meno au Hata Kula vitu vya Baridi zaidi Mara Kwa Mara.

♐Sehemu ambazo huuma ni k**a ifuatavyo:

- Mfumo wa fahamu ambao upo kwenye fuvu la kichwa.
- Baadhi ya neva za fahamu zilizoko usoni.
- Misuli ya kichwani.
-Mishipa inayopatikana kwenye fuvu la kichwana chini ya ubongo kuna mifumo ya fahamu yenye hisia. Kumbuka fuvu na tishu za ubongo kwa zenyewe haziumi kwani hazina mifumo ya fahamu ambayo inahisia.

♐Yapo Mambo 12 ambayo yanahusika sana.

1:Nervous tension headaches;

- Ni maumivu ya kichwa endelevu upande mmoja au pande zote za misuli ya shingo na upande wa juu wa mgongo,kuumwa na kichwa pamoja na kusinzia. Tumia vitamin b2 na c , punguza au acha matumizi ya sukari,kahawa,chakula chenye kukusababishia mzio,misongo ya mawazo na ufanye mazoezi yakutosha.

2: Cluster headaches;

- Kichwa kuuma haswa upande mmoja wa kichwa kwa maumivu makali, machozi humtoka mtu na mak**asi kwa mbali. Kitu cha kwanza ni kutumia chakula chenye protein ya kutosha, epukana na chakula chenye mzio kwako.

3: Hangover headaches;

- Hii ni hali ya kichwa kuuma kwa sababu ya matumizi makubwa ya vinywaji vikali haswa pombe. Weka barafu chini ya kichwa yaani maeneo ya kichogoni au shingoni,kunywa maji mengi na juice ya matunda freshi na uache pombe.

4: Exertion headaches;

- Hutokea pale ambapo mwili utatumika sana na haswa kwenye ngono. Weka barafu linalouma, kula mlo kamili na usifanye mazoezi.

5: Caffein headaches;

- Hali hii hutokea pale ambapo umeacha matumizi makubwa sana ya kahawa kwa ghafla. Kunywa kiasi kidogo cha kahawa kuondoa maumivu na upunguze matumizi kidogokodogo mpaka utakapo acha kabisa.

6: Sinus headaches;

- Maumivu haya huanzia upande wa kulia na kushoto wa pua na kupanda mpaka kichwani. Kula vitamini C kwa wingi na umuone mtaalamu wa afya maana saa zingine hii utkana na maambukizi.

7: Bilious headaches;

Kichwa na macho huuma haswa kipanda uso na husababishwa na kula sana, kula vibaya, kutofanya mazoezi na kukosa choo. Fanya mazoezi na kunywa maji ya kutosha.

8: Hunger headaches;

- Maumivu ya kichwa ambaya husababishwa na kutokula kwa muda. Kula chochote ilimradi kiwe ni protein au carbohydrates .

9: Eyes ram headaches.

- Haya ni maumivu yanayotokea kwenye macho na wengi hudhani labda wameangalia vibaya japo saa zingine inaweza kuwa sababu. lakini chanzo chake haswa ni ubongo kufanya kazi kupita kiasi. Badili mtindo wa maisha na k**a ni mtumiaji wa miwani ni vyema ukamuana mtaalamu aangalie k**a lensi zimepotea nuru au la.

10: Menstrual headaches;

- Hali hii hutokea kwa kina mama kipindi cha yai kupevuka. Hutokana na mabadiliko ya hormone, muone mtaalamu wa afya.

11: Arthritis headaches;

- Haya ni maumivu ya kichwa yanayosikika mpaka shingoni na saa zingine mpaka mgongoni ambayo husababisha maumivu haswa unapozidisha mwendo au shughuli. Kitu kikubwa ni kutibu ugonjwa unaosababisha hali hiyo.

12: Hypertension headaches;

- Ni maumivu ya kichwa chote, mwendo mkubwa pia huongeza maumivu. Hali hii husababishwa na shinikizo la damu. Tibu au pambana kushusha shinikizo la damu na halii itaisha bila shaka.

- Kabla ya Kupata Matibabu Yoyote Kuhusiana na Matatizo ya Kipanda Uso Kuna Mambo Kadhaa Unapaswa Kujiuliza : -

-Je unapata Usingizi wa kutosha?
-Unalala usiku masaa mangapi?
- Je, unakunywa maji ya kutosha?
-Una miaka mingapi?
-Unapata haja kubwa ya kutosha?
- Utaratibu Wako Wa Kuamka Ukoje ?
- Ukiamka Unakurupuka tu au Unasubiri Kutoa Nafasi Ya Damu Kusambaa Vizuri Kwenye Ubongo ?

♐Ushauri♐

♐Nenda Pia kapime
macho yako na kwenye mishipa ya fahamu huenda Kuna matatizo na Na Pia Ufanyiwe Uchunguzi
♐Kwa Mtu anayejishughulusha na Kazi za Juani awe anavaa Kofia.

Kwa Msaada Zaidi :
Suruhisho linapafikana. Whasap/call

15/02/2023

DERMA REPAIR LOTION NI NINI🧴🧴🧴*
Ni lotion ambayo imetengenezwa takriban na mimea asili 7 isiyo na kemikali na ni chakula Kwa ngozi💯👨🏻👩🏻

Mimea hiyo inaifanya *DERM EVER* kuwa mafuta Bora ya mwili na uso na kukupa faida zifuatazo👇🏾👇🏾👇🏽👇🏽

🧴🍒Inaongezwa unyevu kwenye ngozi, Kwa asilimia 53%

🧴🍒Inarudisha uwezo wa ngozi kutanuka na Kusinyaa Hivyo huondoa makunyanzi kwenye ngozi.

🧴🍒inaleta mng'ao wa ngozi Inamfanya mtumiaji kuwa na ngozi yenye rangi Moja mwili mzima.

🧴🍒inasaidia kuondoa uchakavu wa ngozi kwa watu wote.

🧴🍒inasaidia ngozi kujilinda na kujitibu na magonjwa ya ngozi, k**a vile mabalango.

🧴🍒huondoa cell zilizokufa kwenye ngozi na kuchochea uzalishaji wa cell mpya kwenye ngozi.

🧴🍒inarekebisha ngozi iloungua na cream zenye kemikali..

*We care you're Skin Health*👨🏻‍🦱👩🏻

12/02/2023

*DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*

Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a;

Kuwahi kufika kileleni

Kukosa hamu ya mapenzi

Kushindwa kurudia tendo la ndoa

Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha

Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji

Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo

Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)

Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji

JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME

Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku

Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi

Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo, punguza unene na mengine*DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*

Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a;

Kuwahi kufika kileleni

Kukosa hamu ya mapenzi

Kushindwa kurudia tendo la ndoa

Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha

Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji

Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo

Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)

Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji

JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME

Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku

Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi

Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo, punguza unene na mengine

10/01/2023

Karibuni wapenzi ..https://youtu.be/esJPyXeZu6s

05/01/2023

*Je? maumivu ya tumbo Wakati wa hedhi ni kawaida*
✍🏼
*Maumivu ya tumbo wakati wa hedhi*
ni tatizo la hedhi ambapo mwanamke huweze kusikia maumivu makali au ya kawaida wakati wa hedhi,maumivu haya hutokea chini ya tumbo lakini wakati mwingine huweza kusambaa mpaka mgongoni na mapajani.Hivyo mwanamke kusikia maumivu wakati wa hedhi huchukuliwa kawaida kwa sababu lazima yatokee kwa baadhi ya wanawake katika kipindi hicho.K**a ambavyo nimeeleza katika masomo yaliyopita sababu za maumivu hayo ila yanapokuwa makali Zaidi ya kiwango cha kawaida huwa ni tatizo.

Tatizo la muamivu ya tumbo wakati wa hedhi limegawanyika katika sehemu mbili
1.sehemu ya awali(Primary Dysmenorrhea) na

2.Sehemu ya sekondari(secondary Dysmenorrhea) 👉🏿

*Primary Dysmenorrhea* ni maumivu yanayotokana na kutokwa damu ya hedhi,hutokea pindi misuli ya kwenye mji wa mimba inapokaza kutokana na utokwaji wa damu ya hedhi na huzidi Zaidi kipindi chakutokwa na damu nyingi.

*Secondary Dysmenorrhea* Ni maumivu ya hedhi ambayo huambatana na vitu vingine k**a vile magonjwa ya uzazi,yanaweza kuwa endometriosis au uterine fibroids pamoja na mengine yenye mfano wan hayo.Endapo mwanamke anapata Maumivu makali sana wakati wa hedhi asichukulie k**a ni jambo la kawaida.Kuna Uwezekano wa kuwa na tatizo lingine kwenye mfumo wa Uzazi ambalo huambatana na muamivu hayo ya hedhi, hivyo ni vyema kupata ushauri zaidi.

*Jinsi ya kuthibiti maumivu ya tumbo wakati wa hedhi*
1.sugua tumbo Lako sehemu ya chini kwa Kutumia mkono,husaidia misuli ya mji wa mimba iliyokaza na kusinyaa kulegea na kupunguza maumivu yako
2.Kanda tumbo lako chini ya kitovu kwa maji ya UvuguVugu.
3.Kunywa maji ya moto yaliyowekwa tangawizi au weka miguu yako kwenye maji ya vuguvugu
4.Tembea tembea au fanya mazoezi,usilale kutokana na maumivu,kulala huongeza maumivu.
5.Minya minya sehemu ya mwili

✍🏼Dr.Mwasiti
Kwa tiba na ushauri call📞0745488514

_____

05/01/2023

MATUMIZI HOLELA YA DAWA ZA HOSPITAL(ANTIBIOTIC) NI HATARI KWA AFYA YAKO YA MWILI, NA ORGANS MUHIMU K**A FIGO, INI, KONGOSHO NA MOYO NA KUPELEKEA FIGO KUFELI, INI KUCHAKAA NA KUCHOKA, KONGOSHO KUFELI NA KUSHINDWA KUZALISHA INSULINI YA KUTOSHA LAKINI PIA MATUMIZI YA DAWA ZA HOSPITALI KWA MUDA MREFU HUATHIRI MIFUMO YA UZAZI(WANAWAKE NA WANAUME) NA KUATHIRI MOYO KIUJULA NOTE;PUNGUZA KUTUMIA DAWA ZA HOSPITALI MARA KWA MARA NA ANZA SASA KUTUMIA VIRUTUBISHI LISHE 0759052720, NINAVYO LEO VIRUTUBISHI VYA KUONDOA SUMU MWILINI, HABARI NZURI NI KWAMBA NITAKUPATIA KWA OFA ILI UANZE PROCESS YA KUONDOA SUMU MWILINI NA KULINDA INI, FIGO, KONGOSHO NA MOYO

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam