AFYA YAKO NI MTAJI
Dr. Albertus๐ฅผ
Wasiliana Nasi WhatsApp/Call ๐น๐ฟ0765119695๐ฌ
Kwa Matibabu ya uhakika๐ฏ
25/04/2026
JE WEWE UNA MAUMIVU YA MGONGO, KIUNO , MAGOTI , PINGILI , NYONGA & GANZI ?
TUNAWEZA KUKUSAIDIA HARAKA UWEZE KUPONA
KARIBU,
NI , AFYA BORA KIPATO IMARA
TUNAWASAIDIA WATU KUTIBU CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA AFYA KWA NJIA YA USHAURI KUPITIA TIBA LISHE , VIRUTUBISHO NA MAZOEZI TIBA (REHABILITATION) ,
TUPO TAYARI KUKUSAIDIA KUKUPA USHAURI KUTIBU KABISA CHANGAMOTO YAKO YA VIUNGO NA MIFUPA TUMESAIDIA WENGI KUPONA KABISA KURUDI KATIKA MAJUKUMU YAO YAKAWAIDA
๐น๐ฟ Wasiliana nasi 0765119695
30/08/2025
Njia Rahisi Ya Kutokomeza Maumivu Ya Mifupa Na Maungio bila upasuaji*
Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu.
Mbaya Zaidi limewaondolea watu ule uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi.
Cha kusikitisha zaidi endapo tatizo hili usipolitibu mapema linaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.
Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.
Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.
K**a na wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo,usiwaze tena. Nina habari Nzuri kwako.
Nimekuandalia Tiba Maalum kwa Bei nafuu itakayokuwezesha kutatua changamoto yako pasipo upasuji.
Ukiwa na changamoto wasiliana nasi Kwa
Sms
Whsp
Piga๐
๐น๐ฟ0765119695
30/08/2025
TATIZO LA KIUNO NA MGONGO.
HUSABABISHWA na vyanzo mbalimbali ikiwemo.
๐KULIKA na KUSAGIKA Kwa baadhi ya PINGILI kwenye UTI wa mgongo.
๐Matumizi ya dawa za Muda mrefu K**a dawa za SUKARI ,TB na kufubaza virusi VYA ukimwi.
๐Kupungua na kuisha Kwa madini na vitamini zinazoimarisha na kujenga mifupa.
๐ Aina ya KAZI mtu anayofanya ikiwemo kukaa ,kusimama Muda na kunyanyua mizigo mizito kupita kiasi.
๐Kulalia godoro lenye mabonde au mkao MBAYA Kwa Muda mrefu.
๐Kuisha Kwa Ute na KUSAGIKA Kwa gegedu kwenye maungio.
MADAHARA YA TATIZO.๐๐
๐ Kushindwa kushiriki tendo takatifu la ndoa๐ญ๐ญ.
๐Kushindwa kufanya KAZI za kawaida za Kila siku.
๐ Kushindwa kutembea Muda mrefu.
๐ Maumivu MAKALI na Kukosa usingizi.
๐Kupata Ganzi kwenye viungo ambayo Kwa muda mrefu kupotea Mawasiliano ya Baadhi ya viungo.
๐Kuweka usugu wa TATIZO.
๐ Kuathiri pingili zingine na kuhama Kwa PINGILI.
๐ Kupata mawazo hivyo hupelekea Kupata Magonjwa mengine K**a pressure na vidonda VYA Tumbo.
TIBA.
Pata suluhisho la kudumu la TATIZO lako Kwa haraka uhakika kutoka kwangu wasiliana no.
๐น๐ฟ0765119695
04/05/2025
Njia Rahisi Ya Kutokomeza Maumivu Ya Mifupa Na Maungio bila upasuaji*
Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu.
Mbaya Zaidi limewaondolea watu ule uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi.
Cha kusikitisha zaidi endapo tatizo hili usipolitibu mapema linaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.
Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.
Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.
K**a na wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo,usiwaze tena. Nina habari Nzuri kwako.
Nimekuandalia Tiba Maalum itakayokuwezesha kutatua changamoto yako pasipo upasuaji.
Ukiwa na changamoto wasiliana nasi Kwa
Sms
Whsp
Piga๐
๐น๐ฟ0765119695
04/05/2025
๐ง๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐๐จ๐ฃ๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐จ๐ก๐๐๐ข ๐๐ช๐ ๐ช๐๐ก๐๐ข๐ฆ๐จ๐ ๐๐จ๐๐๐ช๐ ๐ก๐ ๐ ๐๐จ๐ ๐๐ฉ๐จ ๐ฌ๐
ยฐ ๐ก๐ฌ๐ข๐ก๐๐
ยฐ ๐๐๐จ๐ก๐ข
ยฐ ๐ ๐๐ข๐ก๐๐ข ๐ก๐
ยฐ ๐ ๐๐จ๐ก๐๐๐ข (๐๐ข๐๐ก๐ง๐ฆ)
๐๐๐๐๐๐๐:
๐ฆ๐๐๐๐๐จ ๐ญ๐๐ก๐๐ญ๐ข๐ฃ๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐๐จ๐ ๐๐ฉ๐จ ๐ฌ๐ ๐๐๐จ๐ก๐ข ๐ก๐ ๐ก๐ฌ๐ข๐ก๐๐ (๐ ๐ถ๐ณ๐๐ฝ๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐จ๐ท๐๐บ๐น๐ฎ) ๐
โ๏ธ Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
โ๏ธ Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
โ๏ธ Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
โ๏ธ Mawazo (stress).
โ๏ธ Kulala kwa muda mrefu
โ๏ธ Matumizi mabaya ya mto.
๐ ๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฌ๐ ๐ ๐๐จ๐ ๐๐ฉ๐จ ๐๐๐ฌ๐ข ๐ก๐ ๐๐๐ ๐ ๐ฌ๐๐๐จ๐๐ง๐๐ฌ๐ข ๐
โ๏ธ Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
โ๏ธ Hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
โ๏ธ Hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
โ๏ธ Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.
โ๏ธ Inaweza kusababisha mtu kupata Kansa ya Mifupa na kusababisha kifo k**a Tatizo halijaondolewa mapema.
๐๐๐๐๐๐ (๐๐๐๐๐๐๐๐) โ๏ธ
Habari njema ni kwamba baada yakufanya Utafiti wa kina kwa Muda mrefu sasa tiba imepatikana Tiba ya uhakika na Waliopata Bahati ya kuitumia 97% Wamepona Kabisaa Changamoto za Mifupa na Maungio ๐
๐๐ช๐ ๐ง๐๐๐ ๐ก๐ ๐จ๐ฆ๐๐๐จ๐ฅ๐ ๐ญ๐๐๐๐
Tembelea Ofisi Zetu au Tupigie Sasa Kupitia
โ๏ธ๐น๐ฟ0765119695
16/03/2025
*MATEGE (rickets) ni nini* .?
Matege ni kupinda miguu kwa watoto wadogo kutokana na uwepesi au ulegevu wa mifupa.
*SABABU*
โ๏ธUkosefu na upungufu wa Calcium na vitamini D uliokithiri na wa mda mrefu.
Vitamini D huusaidia mwili wa mtoto kufyonza na kutumia madini ya Calcium na Phosphorus kutoka kwenye chakula. Ukosefu wa mda mrefu au upatikanaji kwa uhafifu wa Vitamini D hupelekea mwili kupata ugumu wa kufyonza na kuyauwianisha madini hayo ya Calcium na Phosphorus mwilini na hali hiyo ikiwa ya mda mrefu hupekea kupata matege.
*DALILI*
โ๏ธKuchelewa kwa ukuaji wa mtoto.
โ๏ธMtoto kulalamika maumivu ya uti wa mgongo mara kwa mara.
โ๏ธMiguu kupinda na kushindwa kugusana magoti
โ๏ธKuchelewa kwa maendeleo ya mtoto k**a vile;
>Kukaza shingo
>Kukaa
>Kutambaa
>kusimama na kutembea
*VIHATARISHI*
โ๏ธNgozi nyeusi.
Ngozi nyeusi ina melanin nyingi, ambayo hupunguza uwezo wa ngozi wa kuzalisha vitamini D kutoka katika mwanga wa jua.
โ๏ธMama mjamzito kukosa vitamini D wakati wa ujauzito.
โ๏ธWatoto ambao wanaishi katika maeneo ya kijiografia ambapo kuna jua kidogo huwa katika hatari kubwa ya kupata matege.
โ๏ธWatoto waliozaliwa kabla ya tarehe zao zinazofaa huwa na kiwango cha chini cha vitamini D kwa sababu walikuwa na wakati mdogo wa kupokea vitamini kutoka kwa mama zao tumboni.
โ๏ธMatumizi ya dawa za kuongeza kinga mwilini kwa wamama wenye VVU & UKIMWI wakati wa ujauzito hupunguza uwezo wa mwili wa mtoto kutumia vitamini D na huweza kusababisha baadae kupata matege.
โ๏ธUnyonyeshaji wa maziwa tu kwa miezi 6 ya mwanzo bila mtoto kupata matone ya vitamini D.
*MADHARA YA MATEGE*
โ๏ธKukosa ukuaji mzuri wa kawaida.
โ๏ธKibiyongo (Mgongo uliopinda).
โ๏ธUpungufu wa meno.
*KINGA YA MATEGE*
โ๏ธKupata mwanga wa jua la asubuhi hadi kabla jua halijawa kali zaidi walau kwa dakika 15.
โ๏ธEpuka kumpa mtoto vyakula vilivotengenezwa kwa mtindi vyakula k**a jibini n.k
โ๏ธMama mjamzito kutumia virutubisho vyenye vitamini D
โ๏ธWatoto wachanga wenye kulishwa na chupa wanaweza pia kuhitaji virutubisho vya vitamini D ikiwa hawapati vitamini D vya kutosha kutoka kwa lishe wapewayo.
โ๏ธKuongeza vitamini D au kalsiamu kwenye lishe kwa ujumla hurekebisha shida za mifupa zinazohusiana na kusababisha matege.
*Je unahofia mwanao kuzaliwa na shida ya matege au ana tatzo hilo..?*
Tuwasilane kwa ushauri na tiba zaidi.
*Mawasiliano* :-
Simu:- ๐น๐ฟ0765119695
Imeandaliwa na mtaalamu wa afya
TUKIPATA MDA TUTAENDELEA NA UGONJWA MWINGINE WA MIFUPA NA MAUNGIO ..............
comment na uliza chochote
12/02/2025
Hujachelewa, changamoto zote za uzazi zinatatulika,bei zetu ni rafiki unaweza anza na pesa yoyote uliyo nayo...tupigie sasa k**a unatafuta mtoto na sababu ni
1.Homoni hazijakaa sawa(Hormonal Imbalance) -tatizo linaloongoza
2.PID/UTI sugu
3.Kuziba kwa mirija
4.Uvimbe kwenye kizazi(fibroids)
5.Kutokupevusha mayai
N. K au hujui tatizo bado tutakusaidia kujua tatizo na tutakusaidi
Wasiliana nasi 0765119695 Call/Wasap
11/02/2025
TUNA TIBU WATU WENYE CHANGAMOTO ZA MIFUPA NA MAUNGIO MAGOTI YALIYOISHIWA UTE UTE NA CARTILAGE (KUSAGIKA) TUNA TIBA ZINAZOENDA KUTENGENEZA CARTILAGE NA KWENDA KUONGEZA UTEUTE.
TUNA HUDUMIA WATU WENYE CHANGAMOTO YA SCIATICA NERVE PAIN YAN DISC KUKANDAMIZA MISHIPA YA FAHAMU NA KUPEKEA MAUMIVU MAKALI MGUU MMOJA KUSHUKA CHINI KWENYE MISULI HADI KWENYE UNYAYO KUPATA HISIA ZA GANZI
WATU WENYE URIC ACID (GOUT) INAWEZA IKAWA NDO CHANZO CHA CHANGAMOTO KUTOKUISHA
SO TUTAKUHOJI NA KUJUA CHANGAMOTO ZAKO ILI UPATE TIBA SAHIHI KUTOKANA NA TATIZO LAKO.
TUNAJUA UMETUMIA DAWA NYINGI BILA MATOKEO SISI TUNA TIBA ZA VIRUTUBISHO LISHE TIBA ZETU NI ZA KUMALIZA CHANGAMOTO KWANZIA CHANZO MPAKA TATIZO LENYEWE.
K**A UNAHITAJI USHAURI NA TIBA SERIOUS PIGA SIMU
0765119695
AU WHATSAPP
11/02/2025
NILITESEKA NA TATIZO LA MIFUPA, JOINTS NA MGONGO KWA MIAKA MINGI HADI NILIPOIJUA SIRI HII!!
Naitwa James. Nina umri wa miaka 47 sasa. Naishi Ukonga Dar es Salaam.
Kwa kifupi sana ni kuwa nimepitia changamoto kubwa sana ya mifupa, joints na MGONGO kwa muda mrefu. Na licha ya kujaribu matibabu mengi tofauti sikupata nafuu yoyote.
Nikaanza kukata tamaa!
Lakini miezi michache iliyopita nikaona makala moja Facebook ikiongelea mambo 7 ambayo mtu mwenye changamoto ya mifupa na joints anapaswa kuyajua. Nikawa interested kusoma.
Nikakuta wanaeleza hivyo vitu 7. Sababu zingine niliona zinanihusu. Mfano kukimbilia DAWA ZA KUTULIZA MAUMIVU (pain killers) ambazo zenyewe zipo kwa ajili ya kumpa mhusika nafuu ya muda tu na siyo kudili na chanzo cha tatizo. Na kwamba kumbe zina madhara makubwa mwilini hasa zikitumika kwa muda mrefu!
Kingine walielezea kuwa watu wengi hawazingatii vitu vidogo k**a vile kiti anachokalia ofisini kipoje, mazoezi anayofanya yapoje na anafanya kwa KIPIMO, lishe unayokula inaimarisha mifupa na joints au la? Godoro unalolalia na mito ipoje. Nk.
Nilisoma kwa umakini na kugundua kuna sababu 3 za changamoto kwa upande wangu ambazo nilikuwa sijawahi kujua kabisa. So niliwatafuta kwa namba zao. Nilipewa ushauri wa kipekee sana. Na kufanyia kazi mambo yale 3 ambayo nilikuwa siyafahamu huko nyuma. Mwezi August nikaona nafuu ya tofauti kabisa. Mwezi wa 9 nikaona nafuu zaidi. Na mwezi huu October mpaka sasa nimeimarika mno kwa kweli.
Naamini hadi mwaka huu uishe nitakuwa katika ubora mkubwa k**a enzi za ujana wangu!
Naendelea na maelekezo yao na sasa nimerejea kwenye maisha yangu vizuri zaidi kazini na nyumbani pia k**a MUME WA MTU๐ฅ๐ฅ๐ฅ
K**a wewe pia umehangaika k**a mimi kwa muda mrefu nakushauri watafute hawa wataalamu watakusaidia sana! Ninayajua maumivu ya mifupa na mgongo na joints aisee!!๐ฅ
Wasaliana nasi WhatsApp tiba na ushauri .
โ๏ธโ๏ธ 0765 119 695
Barikiwa. Furaha yako ikatimie!
Ushuhuda wa James kutokea Ukonga Dar es salaam.
(Mwisho wa kunukuu)
# # # # # # # # # # # # # # # # # # # # # #
Afya ya mifupa na maungio bila upasuaji.
๐ +255765119695
Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kwa sasa kutokana na mabadiliko ya mitindo ya Maisha. Umri mkubwa ni moja ya sababu inayopelekea kutokea kwa tatizo, ambapo tishu za mwili zinakuwa kavu na kupoteza uwezo wa kuvutika.
Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu sababu ya maumivu makali wanayoyapata..
Pia limewaondolea watu uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi na wengine wengi kupata ulemavu wa maisha sababu ya kuwa na tatizo kwa muda mrefu sana na kulichukulia kawaida kwa kutumia dawa za maumivu (ant pains)
Na changamoto hii endapo isipotatuliwa mapema inaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.
Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.
Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.
K**a wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo,usiwaze tena. Nina habari njema kwako.
Habari njema nikwamba unauwezo wa kutumia dawa asili zitokanazo na virutubisho lishe (food suppliments) ambazo zimewasaidia wengi kutibu matatizo yao yaliyo wasumbua kwa muda mrefu sana
karibu tukuhudumie sasa ASANTE.
๐ 0765 119 695
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |