Afya kwanza

Afya kwanza

Share

Health

04/03/2023

FAHAMU UGONJWA WA UTI, DALILI NA JINSI YA KUEPUKA UTI SUGU

UTI(Urinary tract infection) ni ugonjwa wa maabukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya yanasababishwa na viumbe k**a bakteria,fangasi na virus. Maranyingi bakteria wanaoingia kwenye mfumo wa mkojo hutolewa na mwili,Wakati mwingine bakteria wanaweza zidi kinga ya mwili na kusababisha maambukizi hayo.

UTIs inaweza athiri urethra,kibofu cha mkojo na figo

MFUMO WA MKOJO

Mfumo wa mkojo ni mfumo wa mwili unaotumika kuondoa uchafu na maJi ya ziada

Mfumo huu unaundwa na ureta,kibofu cha mokojo,figo na urethra sitachambaua kwa undani hizi sehemu

KISABABISHI CHA UTI

Mara nyingi UTI zinasababishwa na bakteria aitwaye Escherichia coli (E. coli) na UTI nyingine zinaweza sababishwa na Chlamydia na Mycoplasma na UTI hizi zina athiri hadi mfumo wa uzazi na wanandoa wanapaswa kupata tiba pamoja,

Maambukizi ya UTI ni makubwa sana dunian Zaidi ya watu milioni 8 pointi 1 wanaathiriwa na ugonjwa huu

KWANINI WANAWAKE NDO WAHANGA WAKUBWA?

Wanawake ni wahanga wakubwa sana wa ugonjwa huu kulingana na maumbile yao ya nje

1.Urethra(mrija wa mkojo kutoka kwenye kibofu) kwa wanawake ni mfupi sana hivyo kuruhusu bakteria kufika kwa haraka kwenye kibofu

2.Pia mrija huo unafungukia sehemu ambazo zinaweza kuwa ni vyanzo bakteria ambayo ni sehemu ya uke na pili ni puru

Kwa wanaume ni vigumu sana ila wakipata tatizo linaweza kuwa zito kutibu tofauti na kwa wanawake

WATU WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA UTI

‪ #‎Watu wenye vidonda kwenye uti wa mgongo

‪ #‎Mtu yeyote mwenye tatizo katika mfumo wa mkojo

‪ #‎Tendo la ndoa linaweza likahamisha bakteria kutoka kwenye uke kwenda kwenye urethra

‪ #‎Baadhi ya njia za uzazi k**a kutumia diaphragm,spermicides,kondomu nk

KURUDIARUDIA KWA UTI(UTI SUGU)

Mara nyingi wanawake wakipata UTI inaweza ikawa inajirudia mara kwa mara kulingana na sababu zifuatazo

1.Uwezo wa bakteria kujishika kwenye njia ya mkojo hivyo kutotibika na kurudia tena

2.Sababu nyingine ni wanawake kuwa non sector yani kuwa na damu grupu A,B na AB ambao hawawez kuzalisha kinga nzur kwa ajili ya hao bakteria

DALILI ZA UTI

1.Kukojoa mara kwa mara na maumivu wakati wa kukojoa

2.Kuhisi kuunguzwa na mkojo kwenye kib

18/02/2023

MAAMBUKIZI katika via vya uzazi kwa kawaida hujulikana k**a PID, kitaalamu kirefu chake ni Pelvic Inflammatory Disease, kwa Kiswahili maana yake ni maambukizi ya magonjwa katika via vya uzazi.

PID, ni maambuki yanayoathiri viungo vya uzazi vya mwanamke na hutokana na mchanganyiko mbalimbali wa magonjwa ya zinaa, hasa yaliyosababishwa na bakteria wa Pangusa (Chlamydia-ugonjwa huu tutaujadili siku zijazo) au kisonono.

Ugonjwa wa PID unapokaa muda mrefu bila kutibiwa, unaweza kusababisha uharibifu mkubwa usiobadilika katika mfumo wa uzazi wa mwanamke, hasa katika mfuko wa kizazi (uterus), vifuko vya mayai (Ovaries) na mirija ya mayai (fallopian tubes).

Ugonjwa huu unapokaa muda mrefu mwilini bila kutibiwa humfanya mwanamke kupatwa na ugumba. Wanawake wengi wamekuwa wakisumbuka na ugonjwa huu.

Ugonjwa wa kisonono pamoja na pangusa (Chlamydia) ndio vyanzo vikuu vya maambukizi katika via vya uzazi wa mwanamke.

Mwili wa mawanamke unapokuwa na afya kamili, mlango wa kizazi huwa na nguvu ya kuzuia bakteria wasiweze kuingia katika viungo vya ndani vya uzazi kutoka ukeni.

Hata hivyo, wakati mlango wa kizazi unapokuwa wazi na kuruhusu magonjwa ya zinaa kuingia, hasa kisonono na pangusa, mlango wa kizazi hupata maambukizi na kisha hupoteza uwezo wake, hivyo kuruhusu maambukizi na bakteria kuingia na kufika juu kwenye viungo vya uzazi.

Hapa kuna mambo ambayo huwafanya wanawake kupatwa na tatizo hili kwa urahisi, mambo hayo ni: Moja, kuwa na wapenzi wengi ama kutoka nje ya ndoa, pili; kuanza mambo ya mapenzi mapema hasa chini ya miaka 20, tatu; kupiga bomba ukeni kwaweza kusaidia vimelea kuingia ndani na kusababisha maambukizi katika viungo vya uzazi.

DALILI ZA MAAMBUKIZI

PID ikianza kuonyesha dalili zaweza kuwa k**a ifuatavyo; maumivu ya tumbo chini ya kitovu, kutokwa na uchafu ukeni, hasa wenye rangi ya njano unaoelekea kuwa kijani kwa mbali ukiwa na harufu mbaya, kuhisi maumivu ama hali ya kuungua wakati wa kukojoa.

Dalili nyingine ni kuwa na homa, kuhisi kichefuchefu ama kutapika, maumivu wakati wa tendo la ndoa ama kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa, kupata hedhi mara mbili ndani ya mwezi mmoja.

Kadri inavyoonyesha kuwa huna dalili zozote za PID, ni vyema

10/02/2023

*PID SUGU*

PID ni ugonjwa unaoshambulia via vya uzazi vya mwanamke

Via vya uzazi vya mwanamke ni;

-Mirija ya uzazi inayosafirisha mbegu na mayai yaliyopevuka
- cervix ( mlango wa uzazi)
-uke
- uterus( mfuko wa uzazi sehemu mtoto anapokua akiwa tumboni au kizazi)

Hivyo via vya uzazi vinashambuliwa na bacteria Hali inayopelekea mwanamke kuanza

✍️Kutokwa na uchafu mzito unaoambatana na harufu kali ( harufu k**a shombo la samaki au k**a kitu kilichooza)
✍️ Kutokwa na maji maji k**a ya kijani ukikaa yanashuka k**a period
✍️ Maumivu ya mgongo na kiuno
✍️ Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
✍️ Kuumwa kichwa mara kwa mara na mwili kukosa nguvu

*Na haya ni Madhara ya kuumwa PID kwa muda mrefu bila kupata tiba stahiki*

- Ugumba
- saratani ya kizazi
-harufu mbaya ukeni
- Kutokwa na maji maji ukeni
- mimba kuharibika

Usipuuzie endapo una dalili hizi ni hatari kwa afya yako, fanya uamuz wa haraka kupata MATIBABU.

03/02/2023
03/02/2023

Badili dawa ya meno unayotumia tumia Dr Ts kuimarisha meno kuondoa maumivu na haruf mbaya kinywan

21/12/2022

*ENDOMETRIOSIS hutokea wakati ukuta wa ndani wa mfuko wa uzazi unapokua juu ya mfuko wa mayai ya uzazi (o***y), utumbo, na tishu zilizopo kwenye mifupa ya kiuno (pelvis).*

Si kawaida kwa tishu za endometrial kuenea zaidi ya eneo la mifupa ya kiuno (pelvic), na huwa haiwezekani kutokea. tishu zinazokua ndani ya ukuta wa mfuko wa uzazi (Endometrial) na zinazoota au kukua nje ya mfuko wa uzazi (mji wa mimba) huitwa "endometrial implant" kwa lugha ya kimombo

DALILI ZA UGONJWA

1️⃣Maumivu
👉🏿Maumivu makali kabla au baada ya hedhi
👉🏿Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
Maumivu ya tumbo, mgongo na maeneo ya mifupa ya kiuno (pelvis) Maumivu unapotaka kwenda kujisaidia/kwenda haja
👉🏿Maumivu ya miguu

2️⃣Hedhi
👉🏿Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi, damu hiyo inaweza kuwa au kutokuwa na mabonge
👉🏿Kuwa na hedhi ya muda mrefu isivyo kawaida
👉🏿Kupata hedhi kabla ya muda wa kawaida

3️⃣Uke
👉🏿Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa

CHANZO CHA UGONJWA

✍🏻Yafuatayo ni baadhi ya mambo kuchangia yanayovweza mwanamke kupata ugonjwa huu

1️⃣Historia ya Familia
Mwanamke ambaye baadhi ya ndugu zake wa karibu walishapata ugonjwa huu basi na yeye yuko hatarini kuupata.

2️⃣Historia ya kupata ujauzito. Kupata mimba imeonekana ni njia
kumlinda mojawapo
ya mwanamke kupata ugonjwa huu. Wanawake ambao hawajawahi kupata watoto wako hatarini kupata ugonjwa huu, ingawaje. Ugonjwa huu pia huwakumba Wanawake waliokwishapata watoto.
3️⃣Kudumaa ukuaji wakati wa utoto
4️⃣Kutokwa na damu nyingi wakati wa hedhi
5️⃣Kupata hedhi ya kwanza kabla ya kufikia miaka 11
6️⃣Mimba za Utotoni
7️⃣Kuwa na uzito mdogo sana
8️⃣Matumizi ya pombe

⚠️ Tatizo linapona kabisa. Wasiliana nami kwa Whatsap 0684213837

Photos from BF SUMA's post 30/09/2022
27/09/2022

Wanawake wengi wamekua wakisumbuliwa na tatizo la PID usiogope tatizo linatibika kwanza fahamu dalili za PID

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Dar Es Salaam