Afya mtaji001
NI WAJIBU WETU KULINDA AFYA ZETU
31/12/2022
0787100316,
FIBROIDS(UVIMBE KWENYE KIZAZI),SABABU, DALILI, PAMOJA NA TIBA ..
Ni Uvimbe ambao hutokea katika misuli laini ya mfuko wa uzazi wa mwanamke.
Kuna Aina tatu za vimbe
*Submucosal fibroid- Uvimbe huu hutokea Ndani ya kizazi
*Intramural fibroid- uvimbe huu hutokea Ndani ya nyama ya kizazi
*Subserosal fibroid- Uvimbe huu hutokea nje kwenye ukuta wa kizazi
SABABU YA UVIMBE
Uvimbe huu sababu kubwa Ambayo husababisha na wingi wa vichocheo mwilini (hormon ya estrogen)ambayo hufanya kupata hedhi, *sindano,vidonge,vitanzi(uzazi wa mpango)pia nivichocheo ambavyo huchangia kuongezeka kwa hormona ya estrogen.
WATU AMBAO WANA HATIHATI YA KUPATA UVIMBE NIK**A:
*ambao hawajazaa kabisa
*wanawake wanene(hasa ule wa kujiongezea na sindano)
*wanaopata hedhi mapema
*wasichana /wanawake ambao wako ktk umri wa kupata ujauzito.
DALILI ZA UVIMBE
dalili ya uvimbe hutegemea na ukubwa wa uvimbe Pamoja na sehemu ya uvimbe ulipo kwenye mfuko uzazi,,pia uvimbe ukiwa migo unaweza usioneshe Dalila zozote.
Dalili ni hizi zifuatazo:
*kutokwa Damu nyingi kwa muda mrefu wakati wa hedhi ikiambatana na mabonge isivyokawaida
*hedhi zisizokuwa na mpango na kutokwa Damu isiyo ya kawaida katikati ya mwezi
*kupata maumivu ya kiuno wakati wa hedhi(kutokana na ugonjwa kubana viungo vingine vya mwili)
*maumivu wakati wa tendo la ndoa
*maumivu ya mgongo
*kukokoa mara kwa mara (Uvimbe hukandamiza kibofu cha Mkojo)
*kutotunga mimba/mimba kutoka au kuharibika wakati mwingine ugumba
Uvimbe unapokuwa mkubwa sana huonesha husababisha:
*miguu kuvimba
*kufunga choo
*kupungukiwa damu
*mkojo kubaki kwenye kibofu
Nikwanini Uvimbe hufanya mtu kutopata mimba?
*uvimbe hukandamiza mirija ya kupitishia maya kutoka kwenye ovari/sehemu mayai yanapotengenezwa
*hufanya mfuko wa uzazi ukaze hivyo kushindwa kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitishia mayai
*uvimbe unaweza kuzuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi hada ikiwa ni submucosal fibroid
TIBA YA UVIMBE HUU
*upasuaji(myomectomy)
Tiba hii hutumika endapo Uvimbe ni mmoja na simkubwa sana,,hutoa Uvimbe na kubakiza kizazi
*dawa za kutuliza maumivu
*Hysterectomy
Hii hutoa sehemu ya Uvimbe yote iliyo ktk kizazi maanabyake hutoa kizazi chote endapo Uvimbe utakuwa mkubwa sana su vivimbe vingi vikiwa ktk kizazi.
Note:uvimbe unaweza kujirudia tena endapo vichocheo vinavyosababisha Uvimbe havita sawazishwa.
ZIPO TIBA MBADALA ZINAZOWEZA KUKUSAIDIA KUTOA KABISA UVIMBE AU KUPUNGUZA, VILE VILE ZINASAIDIA KUBALANCE HOMONS ILI KUEPUKA USIPATE UVIMBE KWENYE KIZAZI.
0787100316
📞0742990316
TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NA
MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)? 0787100316
✓Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti
Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kukamata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.
Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.
SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA
✍️Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
✍️Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
✍️Umri na mazoezi yaliyopindukia
MADHARA YA MAUMIVU HAYO NI K**A YAFUATAYO;
✍️Hupelekea kushindwa kufanya tendo LA ndoa.
✍️Hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
✍️Hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
✍️Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.
Kwa ushauri na tiba piga
📞 0742990316
📞0742990316
TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NA
MAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAUNGIO (JOINTS)? 0787100316
✓Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti
Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kukamata katika vifupa vilivyo kwa chini
karibu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.
Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.
SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA (mifupa kwa ujumla)
✍️Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
✍️Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
✍️Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
✍️mawazo (stress).
✍️kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya mto.
MADHARA YA MAUMIVU HAYO NI K**A YAFUATAYO;
✍️Hupelekea kushindwa kufanya tendo LA ndoa.
✍️Hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
✍️Hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
✍️Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.
Kwa ushauri na tiba piga
📞 0742990316
12/09/2022
Suluhisho la kusagana kwa mifupa na viungo +255742990316
12/09/2022
SULUHISHO LA KUSAGANA KWA MIFUPA NA VIUNGO
Click here to claim your Sponsored Listing.